Luhaga Mpina: Waziri Bashe na Mwigulu walitengeneza uhaba wa sukari nchini, zilikuwa njama za kuiba mapato ya nchi

Luhaga Mpina: Waziri Bashe na Mwigulu walitengeneza uhaba wa sukari nchini, zilikuwa njama za kuiba mapato ya nchi


Katika Mkutano wa wake na Waandishi wa Habari leo 14/6/2024, wakati akitoa uthibitisho alioambiwa aupeleke na Spika wa Bunge ndani ya siku 10, Luhaga Mpina amesema;

"Hapakuwa na usimamizi wa bei nchini kwani hata pale sukari ilipopatikana kwa bei ndogo nje ya nchi bado iliuzwa kwa kubwa hapa nchini ambapo mfuko wa Kilo 50 uliuzwa Tsh. 145,000. Rejea risiti Na. ya TRA ya EFD Na. 32 ya tarehe 22 Februari 2024 na risiti yenye verification code Na.28630946606 ya tarehe 23 Februari 2024 zilizotolewa na Kampuni ya Mohammed Enterprises (T) Limited katika ofisi za Dar es Salaam.


"Mawaziri hawa walitengeneza uhaba wa sukari, kutoa vibali vya kuagiza sukari zaidi ya mahitaji, kuruhusu sukari inayoingizwa kwa msamaha wa kodi kuuzwa kwa bei kubwa kinyume cha sheria.

"Pia msamaha huo wa kodi unapelekea Serikali kupoteza mapato ya Tsh. Bilioni 580 na kuwawezesha wafanyabiashara kupata faida ya ziada zaidi ya Tsh. Bilioni 465. Kwa maoni yangu hizi ni njama zilizosukwa na baadhi ya Viongozi na watendaji wa Serikali kuiba mapato ya nchi."


Narudia tena. Naweza nikawa simkubali Mpina kwenye mambo kadhaa ila kati ya maeneo ambayo namkubali sana ni kwenye hili suala la sukari.

Cartels zinaiendesha sana nchi yetu kwenye suala la sukari. Hongera Mpina
 
Hapa kunamtu kashajigeuza chura 🐸 pamoja na point za mpina hao wahusika ni kipenz cha mamaa yaani nikama amemgusa mwanae abuduli!! Mpina ashone magwanda yakaki tuu safari ijayo ni ✌🏼...
Kikwete gang folaifu baibiii...🤟🏼
 
Weka ukweli wa gharama halisi za sukari toka nje na uhalali wa bei kuwa juu.
Bei ilianza kuwa juu toka Bashe hajawa waziri, sakata la sukari toka kipindi cha Magufuli lilikuwa pasua kichwa, nakumbuka waziri mkuu Majaliwa alitoa tamko la bei elekezi badala yake ikapanda zaidi.

Tatizo letu, tukipata watu wenye nia njema ya kutusogeza mbele wanapigwa zengwe na wafanyabiashara walaghai kupitia wanasiasa uchwara ambao hawana cha kupoteza.

Huyu Mpina hana moral authority ya kusimama popote kujifanya mzalendo wakati alipewa nafasi akavurunda zaidi.

Ninaomba Mungu kweli, na Nia njema isimame juu ya Tanzania hasa wizara ya kilimo.
 

Katika Mkutano wa wake na Waandishi wa Habari leo 14/6/2024, wakati akitoa uthibitisho alioambiwa aupeleke na Spika wa Bunge ndani ya siku 10, Luhaga Mpina amesema;

"Hapakuwa na usimamizi wa bei nchini kwani hata pale sukari ilipopatikana kwa bei ndogo nje ya nchi bado iliuzwa kwa kubwa hapa nchini ambapo mfuko wa Kilo 50 uliuzwa Tsh. 145,000. Rejea risiti Na. ya TRA ya EFD Na. 32 ya tarehe 22 Februari 2024 na risiti yenye verification code Na.28630946606 ya tarehe 23 Februari 2024 zilizotolewa na Kampuni ya Mohammed Enterprises (T) Limited katika ofisi za Dar es Salaam.


"Mawaziri hawa walitengeneza uhaba wa sukari, kutoa vibali vya kuagiza sukari zaidi ya mahitaji, kuruhusu sukari inayoingizwa kwa msamaha wa kodi kuuzwa kwa bei kubwa kinyume cha sheria.

"Pia msamaha huo wa kodi unapelekea Serikali kupoteza mapato ya Tsh. Bilioni 580 na kuwawezesha wafanyabiashara kupata faida ya ziada zaidi ya Tsh. Bilioni 465. Kwa maoni yangu hizi ni njama zilizosukwa na baadhi ya Viongozi na watendaji wa Serikali kuiba mapato ya nchi."


Hivi Mpina hajui sasa sukari inaagizwa na serikali kupitia shirika la hifadhi ya chakula?
 
Bei ilianza kuwa juu toka Bashe hajawa waziri, sakata la sukari toka kipindi cha Magufuli lilikuwa pasua kichwa, nakumbuka waziri mkuu Majaliwa alitoa tamko la bei elekezi badala yake ikapanda zaidi.

Tatizo letu, tukipata watu wenye nia njema ya kutusogeza mbele wanapigwa zengwe na wafanyabiashara walaghai kupitia wanasiasa uchwara ambao hawana cha kupoteza.

Huyu Mpina hana moral authority ya kusimama popote kujifanya mzalendo wakati alipewa nafasi akavurunda zaidi.

Ninaomba Mungu kweli, na Nia njema isimame juu ya Tanzania hasa wizara ya kilimo.
Achana na nakumbuka, kumbukumbu yako si ya wengine, tuwekee hali halisi ya bei.
 
Mpina unazungumza sana,nadhani toka ushindwe kusimamia uvuvi hadi Mjomba Magu akakutema,umepoteza muelekeo. Huwezi kuaminika kutokana ulivyoua uvuvi.Sasa imebakia na mock debate.
Sio suala la kuua uvuvi wala nini bali ccm haitaki watu makini, wasema kweli na wanaojielewa.

Makamba Jr aliivuruga tanesco mbona bado anapeta.
 
Mpina kwa sasa mwili wake ni ccm ila moyo wake ni Chadema!

Mavazi tu yanaashiria hivo!

Kikawada, maisha yetu ni mafupi sana, Mungu akikupa Nafasi ya kuongoza watu, tendea haki nafasi hiyo na uoneshe kwa dhati ya moyo Kwamba, Mungu hakukosea kukupa nafasi hiyo na ikiwezekana, itendee haki na kuwatendea haki watu wote, ilu iwe sehemu ya kumshawishi Mungu kukupa nafasi ya juu zaidi


Goo goo goo Mpina
Kama anadanganya sio bunge lipo? Mbona akina Zitto na Lissu wakitolewa bungeni kila siku? Mbona yeye hatolewi?
 
Achana na nakumbuka, kumbukumbu yako si ya wengine, tuwekee hali halisi ya bei.
Kwamba maelezo ya waziri Bashe hujayasikia kuhusu sukari?

Hata principle ndogo ya price inakuwa determined na demand and supply wewe huwezi kuelewa?

Kama viwanda vya ndani havitoshelezi sukari, vikapewa kibali cha kuagiza bado wanaagiza kdg tu kuna shida gan kuruhusu makampuni mengine kuleta sukari ili bei ishuke?

Simple as that.
 
Luhaga Mpina hana hoja yeyote zaidi ya WIVU dhidi ya walio kwenye madaraka. Sisi kama wananchi tulichotaka ni Bei ya Sukari iteremke.

Hapa Mpwapwa tulifika wakati tukanunua sukari kilo MOJA kwa Tsh 10,000 sasa hivi imeteremka hadi Tsh 3,000 kwa kilo.

Haya ndiyo matokeao ambayo wananchi wanataka NO MATTER Serikali imetumia njia gani kuleta sukari nchini.

Luhaga Mpina anajijua kuwa hawezi kurudi Bungeni mwaka 2025 kutokana na kufeli kufikia malengo ya wapiga kura wa jimbo lake.

Wana Kisesa hawatampa kura mtu aliyekuwa anawachomea nyavu na kupima urefu wa samaki. Luhaga Mpina afe tu ili akaungane na kichaa mwenzie Magufuli huko kuzimu
Majizi ya nchi hii mnajitahidi kuchafua watu.Nachosema lete ushahidi wa kupinga hoja zake basi
 
Mpina unazungumza sana,nadhani toka ushindwe kusimamia uvuvi hadi Mjomba Magu akakutema,umepoteza muelekeo. Huwezi kuaminika kutokana ulivyoua uvuvi.Sasa imebakia na mock debate.
Umetumia Nini kufirikiri na kuandika Huu uozo?.

Watu wajinga mnamatatizo
 

Katika Mkutano wa wake na Waandishi wa Habari leo 14/6/2024, wakati akitoa uthibitisho alioambiwa aupeleke na Spika wa Bunge ndani ya siku 10, Luhaga Mpina amesema;

"Hapakuwa na usimamizi wa bei nchini kwani hata pale sukari ilipopatikana kwa bei ndogo nje ya nchi bado iliuzwa kwa kubwa hapa nchini ambapo mfuko wa Kilo 50 uliuzwa Tsh. 145,000. Rejea risiti Na. ya TRA ya EFD Na. 32 ya tarehe 22 Februari 2024 na risiti yenye verification code Na.28630946606 ya tarehe 23 Februari 2024 zilizotolewa na Kampuni ya Mohammed Enterprises (T) Limited katika ofisi za Dar es Salaam.


"Mawaziri hawa walitengeneza uhaba wa sukari, kutoa vibali vya kuagiza sukari zaidi ya mahitaji, kuruhusu sukari inayoingizwa kwa msamaha wa kodi kuuzwa kwa bei kubwa kinyume cha sheria.

"Pia msamaha huo wa kodi unapelekea Serikali kupoteza mapato ya Tsh. Bilioni 580 na kuwawezesha wafanyabiashara kupata faida ya ziada zaidi ya Tsh. Bilioni 465. Kwa maoni yangu hizi ni njama zilizosukwa na baadhi ya Viongozi na watendaji wa Serikali kuiba mapato ya nchi."


Huyu tangia atolewe kwenye uwaziri amekuwa zaidi ya kichaa
 

Katika Mkutano wa wake na Waandishi wa Habari leo 14/6/2024, wakati akitoa uthibitisho alioambiwa aupeleke na Spika wa Bunge ndani ya siku 10, Luhaga Mpina amesema;

"Hapakuwa na usimamizi wa bei nchini kwani hata pale sukari ilipopatikana kwa bei ndogo nje ya nchi bado iliuzwa kwa kubwa hapa nchini ambapo mfuko wa Kilo 50 uliuzwa Tsh. 145,000. Rejea risiti Na. ya TRA ya EFD Na. 32 ya tarehe 22 Februari 2024 na risiti yenye verification code Na.28630946606 ya tarehe 23 Februari 2024 zilizotolewa na Kampuni ya Mohammed Enterprises (T) Limited katika ofisi za Dar es Salaam.


"Mawaziri hawa walitengeneza uhaba wa sukari, kutoa vibali vya kuagiza sukari zaidi ya mahitaji, kuruhusu sukari inayoingizwa kwa msamaha wa kodi kuuzwa kwa bei kubwa kinyume cha sheria.

"Pia msamaha huo wa kodi unapelekea Serikali kupoteza mapato ya Tsh. Bilioni 580 na kuwawezesha wafanyabiashara kupata faida ya ziada zaidi ya Tsh. Bilioni 465. Kwa maoni yangu hizi ni njama zilizosukwa na baadhi ya Viongozi na watendaji wa Serikali kuiba mapato ya nchi."


Wasukuma wengi hamnazo km yule mfu wao, wengi ni washamba, hayajitambui, yanajisahau sana
 
Msomali au siyo, kweli nchi ya wapuuzi ni ngumu sana kuendelea, Magufuli alionekana hivyo hivyo, ilivyorudi shamba la bibi ndo mnaanza kulalamika.

Kwa akili hizi hii nchi imeisha
mpuuzi ni wewe unayemfananisha the legendary Magufuli na huyo mwizi wa kisomali
 
Back
Top Bottom