Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni vizazi 7 mkuuu sio 30 kama nilivyooandika hapoHazifiki kwenye vizazi hivyo. Thus wenzetu hawaibiii serikali bali wanatengeneza mazingira ya wananchi wote kuwa na maisha mazuri Ili vizazi vyao wote vinufaike
Watu wana taka kukata minyororo ya umasikini mkuuuu kwenye familia zaoDuh haya sasa ngoja tuone mwisho wake lakini huu upotevu wa pesa kizembe hivi unatuvunja sana moyo Sisi wananchi wa kawaida hasa katika ulipaji wa kodi.. Hivi kwanini hawa viongozi wamekosa uzalendo na wamekuwa wanajifikiria wao na matumbo yao tu ???
Naona kama kuna kisingizio cha "hawako bungeni" kuna mambo yanaendelea kimya kimya nakosa majibu yake.Lakini jambo la kusikitisha sana sasa, hata akina CHADEMA husikii wakiyaibua haya, sijui ni sehemu ya maazungumzo ya maridhiano?
CHADEMA nao wamekubali kushirikishwa kwenye "kundi la majambazi"? CHADEMA wanapata mgao wao pia kutokana na uharamia huu?
Sasa tutakimbilia kwa nani sisi wananchi tupate wa kutusemea, mbali ya hawa akina Luhaga Mpina, hata kama wanafanya hivyo kwa maslahi yao!
Ulizia seheku inaitwa makunda huko iramba ndo kwao mbona pamechoka sana hata barabara hakuna kipindi hiki mihela ai angetengeneza hata kiwango cha changarawe. au Amalizie basi kale ka gorofa kake pale misigiri🤪🤣🤣🤣🤣🤣Ashukuru tu ana walinzi lkn anastahili kukamatwa na kupakwa Vaseline msng huyu. Lina dharau wakati hata jamii yake inajulikana ina maisha duni
Hajielewi huoni Kaweka Matako Kwenye Nini yakeZimetolewa bungeni acha upopoma
USSR
Umesema neno. Bunge la ccm lakini mbunge anasimama na kukiri kuwa ndani kuna mashoga, kuna wezi... yaani kumbe tatizo la dawa hospitalini, vifaa mashuleni, barabara mbovu nk. Maadili nk sababu ni hizo.Ccm wanatuhumiana kwa Ushoga na wizi ila bado wako wana dunda tu
Usukuma unaingia vipi apo ebooo Heshimu kabila za wengiNyie genge la wasukuma zama zenu zimepita hakuna anayesikiliza huo uzushi wenu. Mtaweweseka sana ila hamtafanikiwa. Simtetei Mwigulu uzi wako unajionesha ni wa majungu usiokuwa na ushahidi. Mpina mi nanfahamu tangia anasoma ni mtupu km ndiyo mnamtegemea mjue hilo nii tambara bovu
Akanushe, ama ampeleke msemaji wa tuhuma kwenye mahakama ya Bunge ama mahakama ya kiraia.Acheni kumchafuwa huyu waziri Ni kweli simkubali I'll kwa tuhuma hzo hpn ninkumchafua tu
Kwani CAG amesema hivyo?Mpina aache kinyongo,asisahau enzi za Operasheni Zagamba watu walivyopata shida.Kama anaona ubunge uko shida si aache siasaWaziri wa zamani wa uvuvi Luhaga Mpina ametoa tuhuma kwa Waziri wa Fedha Mwigulu Nchemba kuwa ameiibia Serikali pesa katika miradi wa SGR zaidi ya trilioni1.7 .
Hii ni zaidi ya ile kelele ya trilioni 1.5 ya utawala wa hayati Magufuli na ni nusu ya wizi wote alioutaja CAG katika report yake ya jumla ya trilioni 3.5 kwa wizara yote.
Kumbe yale mabasi na matimu ya mpira ni pesa za walipa kodi
USSR
View attachment 2595078
Ukweli mchungu vifo vyote vya matajiri nilivyohudhuria watoto wamelia sana
Ila walifarijiwa na ukwasi wa wazazi wao au baba yao aliowaachia imagine mtu anaachiwa apartment 7,nyumba 1,gari 3,account benki billioni 9.7, hapo kaajiriwa sehemu nzuri
Ni mwendo wa kulamba asali tu mpaka unaingia kaburini
Usijifariji na hio kauli ya "sote tutakufa"
Hizi waachie mapadri na masista wasio na watoto wewe zitakuumiza sana pamoja na uzao wako
Hayo ni yangu
Pesa inawekwa kwenye akaunti uko Switzerland ambapo akaunti unafungua kwa kutumia DNA yako.Ina maana pesa yote hiyo ameiweka mfukoni mwake sidhan
Asad aliulizwa hadharani akasema haijaibiwa ila haipo.Kuna Mmoja alipiga 1.5 trillion na bado hatunae tenaa Duniani