inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 20,344
- 21,967
Ngada,we huoni wachezaji wanatoka Brazil wanakuja kucheza miezi mitatu wanarudi kwaoWanapata wapi pesa za kudhamini timu za mpira singida united na namungo fc hali ni watumishi wa umma watueleze. Kama ni wafadhili wajulishe.
Na sio kukamata traffic au hakimu aliyekula elf 10 ya rushwa.
Tozo zetu yarabi.Hii pesa ni nyingi sana aisee.
Exactly,let deal withThis is serious allegation...
Kwahiyo serikali inashindwa kujua pesa za marehemu zilipo?,alikwemda nazo mbinguni?,ifike mahala tumia akili yako kisoda kikamilifu uliyopewa na mungu kupambanua mambo unayosikia.Wizi wa Magufuli tunaoujua ni 1.5 trilioni lakini ule wa Magufuli alioshirikiana na Biswalo Mganga ni zaidi ya hapo labda unaweza kufika trilioni 10 na ushee.
CCM ni walewale na mambo ya wizi na upigaji na matumizi mabaya ya fedha za Wananchi masikini ni yale yale.
Raisi amesema zimefunguliwa akaunti huko Uchina au ulikuwa umelala?Kwahiyo serikali inashindwa kujua pesa za marehemu zilipo?,alikwemda nazo mbinguni?,ifike mahala tumia akili yako kisoda kikamilifu uliyopewa na mungu kupambanua mambo unayosikia.
Kwahiyo trln 10 imekaa tu halafu nchi inatembeza bakuri kupata pesa kwa mashariti ya kugonoana?,wewe ni mbwa kabisa
Muda si mrefu utajua hujuiNyie genge la wasukuma zama zenu zimepita hakuna anayesikiliza huo uzushi wenu. Mtaweweseka sana ila hamtafanikiwa. Simtetei Mwigulu uzi wako unajionesha ni wa majungu usiokuwa na ushahidi. Mpina mi nanfahamu tangia anasoma ni mtupu km ndiyo mnamtegemea mjue hilo nii tambara bovu
Tunataka zije haraka sana,usilete ujinga wa mama yakoRaisi amesema zimefunguliwa akaunti huko Uchina au ulikuwa umelala?
Mimi nafarijika sana hawa mafisi wakiraruana wenyewe kwa wenyeweWaziri wa zamani wa uvuvi Luhaga Mpina ametoa tuhuma kwa Waziri wa Fedha Mwigulu Nchemba kuwa ameiibia Serikali pesa katika miradi wa SGR zaidi ya trilioni1.7 .
Hii ni zaidi ya ile kelele ya trilioni 1.5 ya utawala wa hayati Magufuli na ni nusu ya wizi wote alioutaja CAG katika report yake ya jumla ya trilioni 3.5 kwa wizara yote.
Kumbe yale mabasi na matimu ya mpira ni pesa za walipa kodi
USSR
View attachment 2595078
Ndiyo maana Esther Luxury Coach fleet imeongezeka maradufuWaziri wa zamani wa uvuvi Luhaga Mpina ametoa tuhuma kwa Waziri wa Fedha Mwigulu Nchemba kuwa ameiibia Serikali pesa katika miradi wa SGR zaidi ya trilioni1.7 .
Hii ni zaidi ya ile kelele ya trilioni 1.5 ya utawala wa hayati Magufuli na ni nusu ya wizi wote alioutaja CAG katika report yake ya jumla ya trilioni 3.5 kwa wizara yote.
Kumbe yale mabasi na matimu ya mpira ni pesa za walipa kodi
USSR
View attachment 2595078
Povu lote la nini nakujua wewe ni Kada wa CCMTunataka zije haraka sana,usilete ujinga wa mama yako
Yanii nadata kabisa[emoji3][emoji3][emoji3] kwahiyo unaanza kuongea ovyoovyo?
Ashukuru tu ana walinzi lkn anastahili kukamatwa na kupakwa Vaseline msng huyu. Lina dharau wakati hata jamii yake inajulikana ina maisha duniUkimuona na tai yake ya bendera ya taifa utafikiri ni mzalendo kumbe jizi, inashangaza hadi leo yuko ofisini. Aishatuambia kama hatutaki tozo tuhamie Burundi, kumbe anataka tozo ili apige pesa akahudumie singida United
Mahakamani Moja kwa mojaMwigulu anapaswa kuondoka ofisini. Hii aina tofauti na kashfa ya Sukari. Aondoke na apelekwe mahakamani.