Luhaga Mpina: Waziri Mwigulu Nchemba anahusika na ufisadi wa trilioni 1.7 mradi wa SGR

Luhaga Mpina: Waziri Mwigulu Nchemba anahusika na ufisadi wa trilioni 1.7 mradi wa SGR

Wizi wa Magufuli tunaoujua ni 1.5 trilioni lakini ule wa Magufuli alioshirikiana na Biswalo Mganga ni zaidi ya hapo labda unaweza kufika trilioni 10 na ushee.

CCM ni walewale na mambo ya wizi na upigaji na matumizi mabaya ya fedha za Wananchi masikini ni yale yale.
Mkuu' vipi u mzima lakini?

Umepoteza kumbukumbu au? Maana uzi unamzungumzia waziri!
 
Waziri wa zamani wa uvuvi Ruhaga mpina ametoa tuhuma kwa waziri wa fedha mwigulu Nchemba kuwa ameiibia serkali pesa katika miradi wa SGR zaidi ya trilioni1.7 .

Hii ni zaidi ya ile kelele ya trilioni 1.5 ya utawala wa hayati Magufuli na ni nusu ya wizi wote alioutaja CAG katika report yake ya jumla ya trilioni 3.5 kwa wizara yote.

Kumbe yale mabasi na matimu ya mpira ni pesa za walipa kodi

USSR View attachment 2595078
Kwa kitendo cha spika Tulia kusitisha mjadala wa ripoti ya CAG ni wazi naye inawezekana ni accomplice wa huu ujambazi

Ninawaza kwa nini serikali imeagiza makatibu wakuu wa Wizara kujibu hoja za CAG ni wazi kuna uhusika mkubwa wa huu wizi behind strong tables
 
Ukimuona na tai yake ya bendera ya taifa utafikiri ni mzalendo kumbe jizi, inashangaza hadi leo yuko ofisini. Aishatuambia kama hatutaki tozo tuhamie Burundi, kumbe anataka tozo ili apige pesa akahudumie singida United
Hao watu wanaojifanya ni wazalendo sana kwakuvaa tai zenye rangi ya bendera ya Taifa, ni wanafiki na majizo makubwa. Wamafanya hivyo kuwahadaa wajinga.
 
Acheni kumchafuwa huyu waziri Ni kweli simkubali I'll kwa tuhuma hzo hpn ninkumchafua tu

Mazingira tu yanaashiria Mwigulu ni mwizi, japo yawezekana siyo kwa kiwango hicho.

Ebu fikiria waziri anakuwa mfadhili wa club. Anaondolewa kwenye uwaziri anashindwa kuifadhili timu, na timu inaingia kwenye ukata mkubwa. Ina maana uwaziri wake ndio uliokuwa unafadhili hiyo timu?
 
Waziri wa zamani wa uvuvi Ruhaga mpina ametoa tuhuma kwa waziri wa fedha mwigulu Nchemba kuwa ameiibia serkali pesa katika miradi wa SGR zaidi ya trilioni1.7 .

Hii ni zaidi ya ile kelele ya trilioni 1.5 ya utawala wa hayati Magufuli na ni nusu ya wizi wote alioutaja CAG katika report yake ya jumla ya trilioni 3.5 kwa wizara yote.

Kumbe yale mabasi na matimu ya mpira ni pesa za walipa kodi

USSR View attachment 2595078
Nyie genge la wasukuma zama zenu zimepita hakuna anayesikiliza huo uzushi wenu. Mtaweweseka sana ila hamtafanikiwa. Simtetei Mwigulu uzi wako unajionesha ni wa majungu usiokuwa na ushahidi. Mpina mi nanfahamu tangia anasoma ni mtupu km ndiyo mnamtegemea mjue hilo nii tambara bovu
 
Nyie genge la wasukuma zama zenu zimepita hakuna anayesikiliza huo uzushi wenu. Mtaweweseka sana ila hamtafanikiwa. Simtetei Mwigulu uzi wako unajionesha ni wa majungu usiokuwa na ushahidi. Mpina mi nanfahamu tangia anasoma ni mtupu km ndiyo mnamtegemea mjue hilo nii tambara bovu
Sio kila mtu ni mwanasiasa na kusukuma

USSR
 
Waziri wa zamani wa uvuvi Luhaga Mpina ametoa tuhuma kwa Waziri wa Fedha Mwigulu Nchemba kuwa ameiibia Serikali pesa katika miradi wa SGR zaidi ya trilioni1.7 .

Hii ni zaidi ya ile kelele ya trilioni 1.5 ya utawala wa hayati Magufuli na ni nusu ya wizi wote alioutaja CAG katika report yake ya jumla ya trilioni 3.5 kwa wizara yote.

Kumbe yale mabasi na matimu ya mpira ni pesa za walipa kodi

USSR

View attachment 2595078
Kweli simpendi Mwigulu, lkn tuhuma hii mbona kubwa sana.
Isije kuwa ni mambo kuchafuana tu
 
Waziri wa zamani wa uvuvi Luhaga Mpina ametoa tuhuma kwa Waziri wa Fedha Mwigulu Nchemba kuwa ameiibia Serikali pesa katika miradi wa SGR zaidi ya trilioni1.7 .

Hii ni zaidi ya ile kelele ya trilioni 1.5 ya utawala wa hayati Magufuli na ni nusu ya wizi wote alioutaja CAG katika report yake ya jumla ya trilioni 3.5 kwa wizara yote.

Kumbe yale mabasi na matimu ya mpira ni pesa za walipa kodi

USSR

View attachment 2595078
Akija Bungeni ajibie
 
MPINA: WAZIRI MWIGULU ANAHUSIKA NA UFISADI WA TRILIONI 1.7 MRADI WA SGR

"Kulikuwa na kutokufuata sheria ya manunuzi wakati wa kutoa zabuni ya mradi wa SGR.Kwa mujibu wa ripoti ya CAG ya mwaka 2021/2022 inaonyesha kuwa gharama ya ujenzi wa SGR Lot. Na. 3 na Lot. Na. 4 ziliongezeka kwa dola za Marekani milioni 1.3 na milioni 1.6 kwa kilomita moja ya SGR baada ya TRC kuacha njia ya ushindani na kutumia njia ya Single Source na kusababisha hasara ya jumla ya Tsh. Trilioni 1.7 Licha ya PPRA na bodi ya zabuni ya TRC kukataa sharti la kutumia mzabuni mmoja, lakini TRC ilitoa zabuni hiyo kwa njia ya Single Source kwa kampuni ya Yapi Merkezi.Maamuzi haya yalitokana na
maelekezo ya Wizara ya Fedha na Mipango chini ya Waziri @mwigulunchemba1 kwa barua yenye Kumb: PST/GEN2021/01/55" Mhe.Luhaga Mpina Bungeni
Mwigulu anapaswa kuondoka ofisini. Hii aina tofauti na kashfa ya Sukari. Aondoke na apelekwe mahakamani.
 
Huyu jamaa alikuwa anatetea sana tozo hadi kuwambia raia wahamie burundi, huku akijinasibu kwamba yeye ni mchumi nguli asiyetakiwa kutiliwa shaka hata kidogo.

Wananchi wanahangaika maisha magumu hawawezi kufanya savings kwa sababu ni tozo kila mahali, kwenye mitandao ya simu na mabenki, halafu hizo pesa zinapigwa kama hazina mwenyewe.

Ni bora serikali ikaona umuhimu wa kusitisha tozo kuwanusuru wanachi maana serikali inakusanya kodi za kutosha lakini upigaji na matumizi ya hovyo ikiwemo kununua magari ya kifahari kwa watendaji wa serikali ni makubwa kupindukia.​
 
Back
Top Bottom