Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 52,812
- 71,392
MUDA NI WAKATI MZURI SANA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Luis ni mtu aisee, hiyo ya manara wala sijaipendawaungane Na manara, tuu muwe vizuri watani
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mmmh naona una blue tick kabsa probably we ni great thinker ngoja tusibeze uzi wako.
Mkuu ukiwa na blue tick tumia akiliHabari kutoka chanzo cha ndani GSM ni muda wowote kuanzia kesho Luis Miquissone atatambulishwa kama mchezaji mpya wa kigeni kwa klabu ya Yanga.
NB:
Yanga wanafanya mambo kwa pupa na itawatokea puani!
Naona una kopi alicho ota Shaffih Dauda huko InstagramHabari kutoka chanzo cha ndani GSM ni muda wowote kuanzia kesho Luis Miquissone atatambulishwa kama mchezaji mpya wa kigeni kwa klabu ya Yanga.
NB:
Yanga wanafanya mambo kwa pupa na itawatokea puani!
Ligi ya Masri haijaisha na utambulisho wa wachezaji bado, anatolewaje kwa mkopo mchezaji hajatambulishwa kwa kuwa ligi inaendelea? Labda useme wamekopeshwa na Simba.Pole mkuu ila ndio ukweli, simba kwa sasa ni klabu kubwa na hata waarabu wameanza kupata hofu, luis amesajiliwa al ahly ila watamtoa kwa mkopo kwa yanga, na hizo ni mbinu zao za kuivuruga kiakili simba ambao wanajua moja kwa moja ni itakua tishio kwao na ubingwa wao wa afrika, wewe jiulize kwanini wasingempeleka timu nyingine.
Dah!,,mkuu umedadavua kiufundi hasa kwa fact zilizoshiba.Pole mkuu ila ndio ukweli, simba kwa sasa ni klabu kubwa na hata waarabu wameanza kupata hofu, luis amesajiliwa al ahly ila watamtoa kwa mkopo kwa yanga, na hizo ni mbinu zao za kuivuruga kiakili simba ambao wanajua moja kwa moja ni itakua tishio kwao na ubingwa wao wa afrika, wewe jiulize kwanini wasingempeleka timu nyingine.
Thanks Jesus!!!Habari kutoka chanzo cha ndani GSM ni muda wowote kuanzia kesho Luis Miquissone atatambulishwa kama mchezaji mpya wa kigeni kwa klabu ya Yanga.
NB:
Yanga wanafanya mambo kwa pupa na itawatokea puani!
Soma hii mkuuHahah kuna watu ni mazwazwa aisee! Yani na nyie mnaamini kabisa hii habari
Mkuu, itendee haki hiyo blue tick. Au hujui maana yake?Habari kutoka chanzo cha ndani GSM ni muda wowote kuanzia kesho Luis Miquissone atatambulishwa kama mchezaji mpya wa kigeni kwa klabu ya Yanga.
NB:
Yanga wanafanya mambo kwa pupa na itawatokea puani!
Ukitumia wewe zinatoshaMkuu ukiwa na blue tick tumia akili
Shida iko wapi?Mkuu, itendee haki hiyo blue tick. Au hujui maana yake?
Kuna tofauti gani kati ya muda na wakati!!?MUDA NI WAKATI MZURI SANA