ibanezafrica
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,261
- 6,553
Atabaki kwa mkopo mbona hamuelewi?[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwa kiwango cha Miquisone kubaki Bongo ni ndoto aise labda lakini.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Atabaki kwa mkopo mbona hamuelewi?[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwa kiwango cha Miquisone kubaki Bongo ni ndoto aise labda lakini.
Manji karudi nyumbani babaDah,kama itakua kweli ntauzunika sana asee.Simba wamefanya fanyaje mpaka ikawa rahisi kutengua mkataba mapema wa hii mashine Merquisone?
Buro, namimi ninayo ila ni nanga mtiifu. 🤭Mmmh naona una blue tick kabsa probably we ni great thinker ngoja tusibeze uzi wako.
😂😂😂😂😂😂kama hii habari si ya ukwel basi nitaelewa maana halisi ya hizi blue tickBuro, namimi ninayo ila ni nanga mtiifu. 🤭
nami nahisi jambo kama hili.Nasikia mchezo mchafu huu umefanywa na Ahly kwa kumnunua na kumtoa kwa mkopo yanga
usiwaite mashabiki wa timu zao mazwazwa wakati kwenye maswala ya usajili lolote linawezekana ,umesahau ya morisonHahah kuna watu ni mazwazwa aisee! Yani na nyie mnaamini kabisa hii habari
Senzo ni great thinker inavyosemekana kacheza mbinu hatari kubwa msimu huu watu lazima wafeNasikia mchezo mchafu huu umefanywa na Ahly kwa kumnunua na kumtoa kwa mkopo yanga
mateso gan?Km misimu miwil yote tunawapasuenHata wamshushe messi mateso yako pale pale
Leta takwimu utopolomateso gan?Km misimu miwil yote tunawapasuen
mbumbumbu
Uwezo wako wa kufikiri n mdogo sanaPole mkuu ila ndio ukweli, simba kwa sasa ni klabu kubwa na hata waarabu wameanza kupata hofu, luis amesajiliwa al ahly ila watamtoa kwa mkopo kwa yanga, na hizo ni mbinu zao za kuivuruga kiakili simba ambao wanajua moja kwa moja ni itakua tishio kwao na ubingwa wao wa afrika, wewe jiulize kwanini wasingempeleka timu nyingine.
Kuna kitu mimi kinanichanganya mtu anaposema kuwa ligi ya misri bado dirisha la usajili halijafunguliwa. Kwani dirisha la usajili wa CAF hauna nguvu? Maana tumeona CAF wakitangaza mwisho wa kuwasilisha majina ni tarehe 15 August hivyo maana yake ni kwamba CAF wameruhusu timu zinazoshiiriki michuano ya kimataifa wasajili kabla ya tarehe 15 wawasilishe majina. Sasa dirisha la usajili Misri linazuiaje dirisha la CAF?Ni ajabu sanaz na ni ntu zuzu tu atauelewa huu upuuzi wako.
Haiwezekani.
Yaani umnunue mchezaji then umtoe kwa mkopo tena kwa pesa mingi? Tena mchezaji ambaye yupo tayari kutumiwa? Ingekuwa kinda tungekuewa
Ligi ya Misri bado haijatamatika hivyo utambulisho wa wachezaji wapya bado.
Mwanasimba mwenzangu NAKUOMBA kuwa na akiba ya maneno mkuuMkuu ukiwa na blue tick tumia akili
[emoji16][emoji16][emoji16] unachekesha sana...Pole mkuu ila ndio ukweli, simba kwa sasa ni klabu kubwa na hata waarabu wameanza kupata hofu, luis amesajiliwa al ahly ila watamtoa kwa mkopo kwa yanga, na hizo ni mbinu zao za kuivuruga kiakili simba ambao wanajua moja kwa moja ni itakua tishio kwao na ubingwa wao wa afrika, wewe jiulize kwanini wasingempeleka timu nyingine.