magagafu
JF-Expert Member
- Jan 31, 2016
- 1,196
- 1,309
Swali kama hilo Majina yaliyopelekwa Yanga la Miquissone lilikuepo?Hata Kama yanga hawaja msajir Miqison jiulize haya
Usajir wa CAF umefungwa au?
Maana ahly ametuma kikos caf kwa ajil ya mashindano ya klabu bingwa lakn jina la luiz miquison halipo kwa mujibu was chanzo changu hiko misri
Je miquison amesajiliwa kwa mashindano ya ndani TU ya ahly?
Tuwe na subira kidogo ila la kuja yanga n ngumu kuamin japo lolote laweza kutokea katika mpira
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app