Luis Miquissone kutambulishwa Yanga kama mchezaji wao mpya

Luis Miquissone kutambulishwa Yanga kama mchezaji wao mpya

Hata Kama yanga hawaja msajir Miqison jiulize haya

Usajir wa CAF umefungwa au?

Maana ahly ametuma kikos caf kwa ajil ya mashindano ya klabu bingwa lakn jina la luiz miquison halipo kwa mujibu was chanzo changu hiko misri

Je miquison amesajiliwa kwa mashindano ya ndani TU ya ahly?

Tuwe na subira kidogo ila la kuja yanga n ngumu kuamin japo lolote laweza kutokea katika mpira

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Swali kama hilo Majina yaliyopelekwa Yanga la Miquissone lilikuepo?
 
Hata Kama yanga hawaja msajir Miqison jiulize haya

Usajir wa CAF umefungwa au?

Maana ahly ametuma kikos caf kwa ajil ya mashindano ya klabu bingwa lakn jina la luiz miquison halipo kwa mujibu was chanzo changu hiko misri

Je miquison amesajiliwa kwa mashindano ya ndani TU ya ahly?

Tuwe na subira kidogo ila la kuja yanga n ngumu kuamin japo lolote laweza kutokea katika mpira

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app

Tatizo ni una tengeneza maswali na majibu yako mwenyewe!
 
Ole wako hiii Habar isiwe ya kweli tutahoj hiyo blue tick na u great thinker wako
 
Pale ambapo haji manara atakapo ongea maneno yake ya shombo katika kilele cha siku ya wananchi huku akiwa akimtangaza Jose Luis Miqquissone ndo akili itakapowakaa nyie mbumbumbu [emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app

Mkiitwa Utopolo mnatokwa povu.Sasa hivi hamkumbuki tena ya CAS na Morrison.
 
Back
Top Bottom