Lukaku, Morata na Lacazette: Nani mkali zaidi?

Lukaku, Morata na Lacazette: Nani mkali zaidi?

Morata yuko njema technically, huwezi mlinganisha na lukaku, lukaku anategemea nguvu na speed
 
Diego Costa anaweza kuwa bora kupia hao wawili ila sasa fujo zake zinaweza kudhoofisa. I am the big fan of Agueroooooooooooooooooooooo ....... I swear you'll never see anything like this again!



Well said kamanda Aguero hashikiki,,,,usimsahau wa pembeni yake "albino wa kizungu nimemsahau jina"
 
Morata is a big gamble right now cause he is moving from a girlish league to a hardcore one.

Lukaku is shifting to a better position.

I go for Lukaku.
 
Binafsi napenda kuchangia huu mjadala kwa kuangalia angle hizi hapa:

Kati ya Everton na R.Madrid ipi timu kubwa zaidi; bila shaka ni R Madrid nikiwa na maana kuwa kuna a very strong squad yenye build up ya goli kuanzia kwa golikipa hadi strikers. R Madrid hawana tofauti sana na Juventus; lakini Everton haipo level sawa na Juve wala R Madrid

Kwa maneno mengine Morata ana sapoti kubwa sana uwanjani kuliko alivyo Lukaku kutokana na tofauti pamoja na uwezo wa timu husika. Bado Lukaku ameng'ara zaidi ya Morata anayecheza sambamba na Ronaldo ama Benzema ama Gareth Bale; huku Lukaku akipambana kama jeshi la mtu mmoja.

Cha ajabu ni kwamba pamoja na kuwa Morata amekuwa kwenye timu kubwa kubwa bado ameshindwa kuwa kwenye strong first team akiwa Juve na hata R Madrid; yaani amekuwa kama sup kwenye timu zake; wakati Lukaku akifanikiwa kuwa kwenye first team na kufanikiwa pia kuibeba Everton

Ninachokiona ni kuwa ukweli ni kuwa Juve na R Madrid ni timu kubwa na imara zaidi ya Chelsea; na kama Morata alishindwa kung'aa vema na R Madrid kiasi cha kuweza kuwa chaguo namba moja basi nahofia kuwa Chelsea ndo atapotea zaidi maana nature ya ligi ya epl ni tofauti na ligi alizowahi kuzicheza hapo awali kuanzia timu yenyewe hadi uwezo wa mchezaji mmoja mmoja.

Kuhusu Lukaku; ni matumaini yangu huenda akarekebisha matatizo yake ya first touch na kumfanya kuwa kati ya wachezaji wakubwa sana Duniani kwa kuwa sasa ana sapoti ya nguvu kuanzia akina Pogba, Miki, Lingaard, Valencia, Blind, Bailly, Lindelof, Martial nk nk jambo ambalo hajawahi kukipata hapo awali tangu amekuwa mchezaji imara na tegemeo kwenye timu husika.

Huenda wazungu wakajitoa ufahamu kuhusu uwezo wa Lukaku dhidi ya Morata kutokana na rangi ya Lukaku.
Too bias analysis yaan unatoa room ya improvement kwa Lukaku pekee maandishi yako yanaonyesha jinsi gani ulivyo mnazi wa Manchester United badala ya kufanya analysis unaonyesha your wish na jinsi gani usivyoipenda Chelsea
 
Morata hana nguvu. Sijui kama atamudu EPL.
amecheza league yenye mabeki visiki ya Italy atashindwa England....mpira sio nguvu ni akili na inategemeana umezungukwa na nani??? sasa chelsea ina hazard, willian, Pedro, Moses na wanyama wengine wengi tu kitakacho mshinda nini????

I BLNG 2 JESUS CHRST
 
Hivi kwanini Morinho alimkataa Lukaku akiwa Chelsea?
 
man u na chelsea zote zilimtaka morata timu moja kati ya hizi ilikataliwa pamoja na kuwa morata alikuwa chaguo lao la kwanza hivyo jiulize ni kwanini conte na mourinho walimhitaji morata kama chaguo namba moja kuliko lukaku
 
Uzuri wa Morata sidhani kama utaonekana msimu wa kwanza,kwani ligi ya uingereza straika lazima utumie nguvu za ziada kwani mabeki wa timu zote wanajua kukamia.Tofauti na Hispania chenga nyingi hadi golini.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa nini walikataa? Mourinho alidai kuwa walishindwa kumsaji Morata kwa sababu walishindwa kukubaliana bei. Kwamba ndo iliyofanya Man Utd kwenda kumnunua Lakaku kwa £75. Lakini Real Madrid wamekubali kumwuza Morata Chelsea kwa £60m.

Hapo ndo najiuliza ni sababu gani hasa Madrid walikataa au waliwatamkia Man Utd dau kubwa?
kwenye money league Manchester amemchakaza sana madrid japo hana mafanikio ya uwanjani, madrid wanaogopa kupoteza mvuto wao wa timu tajiri na kikosi cha ma galactico ndio maana wanaifanyia sana figisu man utd. hilo ongezea na bifu la kumkosa de gea utaona kwanini walifanya hivyo.
 
Analysis
European football journalist Mina Rzouki on BBC Radio 5 live

If you offered me the choice between Morata and Lukaku, I wouldn't even think about it.

I would pay £20m or £30m more if I had to and I would bring in Morata.

That is because I would always prefer an intelligent player in my team. Even if he doesn't score as many goals, even if he doesn't do whatever he needs to.

If he is more intelligent then he can be moulded quicker, he can do what he needs to do. And Morata has Champions League experience. He was second top scorer for Real Madrid despite not starting.

He has done it at Juventus and he has done it at Real Madrid.

He understands, he has the pace, he is intelligent, he links up play, he can be a counter-attacking threat.
timu ikiwa na wachezaji wa aina moja pia haipendezi

martial ni technical gifted kuliko morata, ana speed na anajua kudrible, hata rashford pia, morata nae yupo vizuri zaidi finishing na vichwa anajua kupiga.

ukimuangalia lukaku yeye pia anajua vichwa na finishing

kwa timu kama man utd ambayo tayari ina martial na rashford pamoja na watu kama mkhitariyan, mata, pogba, herrera nyuma yao lukaku ni bora zaidi, sababu kinachotakiwa hapa tena sio intelligence, bali ni kusukumiza tu mpira kimiani.

mwaka jana nakumbuka man united walitoka draw mechi kibao, si kwamba tulizidiwa na tukashindwa kutengeneza nafasi, bali ni kukosa tu mtu wa kutia mpira kimiani.

mechi na burnley timu inapiga mashuti 30 lakini hakuna goli hata moja. hapa ndio utaona unahitaji striker gani.

hata mourinho alipohojiwa alisema lukaku amemsajili ili abreak timu zinazopaki basi kutokana na quality yake.

hivyo muono wangu lukaku anakuja kuwa complete rashford na martial na kuongeza upana wa option kutokana mechi na mechi, usishangae mechi akakaa benchi asianze na akaanza mtoto rashford.
 
Mbona lacazzette hamsemi?? Au arsenal tumelamba garasa, sijawahi mkubali lacazzette!
 
Back
Top Bottom