Kuna tafiti gani zaidi ya Lukuvi kukiri?
Kikwete na Kinana peke yao hawafai. Kanisa lina nguvu sana zaidi yao.
Kwa fikra zako Kinana na Kikwete watafurahia aliyoyasema Lukuvi jana? Nnauhakika hawatafurahia, lakini watafanya nini? Lukuvi kishajitetea kuwa alitumwa na Waziri Mkuu, hiyo pekee inamaanisha ni mfumo kamili na wenye nguvu uliopo Serikalini. Si mchezo.
Usikubaliane na mimi, uko huru, basi kama kusoma huwezi hata kusikia husikii? msikilize Lipumba kwenye post #1 anasema nini na msikilize Lukuvi leo kasema nini. (nikiupata mkanda wa Lukuvi na huo ntaubandika).
Wote wenye hofu na Uislaam "Islamophobia" kama vile Lukuvi, eti hiyo ni khofu yake binafsi!
Wewe vipi? huna hofu?
Naema Ukristo? Lukuvi alipokuwa anajitetea bungeni leo hii, kashindwa hata kusema kuwa hayo maneno kayaongelea kanisani, kasema maneno niliyoyangea mitaani! Dah kajikoroga ile mbaya.
Sasa mimi nakuuliza wewe, Kanisani kuna Uislaam au Ukristo? na mkienda kanisani huwa mnaongelea Uislaam? jibu ni ndio, kutoka kwa Lukuvi, anasema alikuwa anatoa hofu yake na hiyo ni imani yake na hakuna wakumzuia hata katiba haiwezi kumzuia. Kishajisahau kuwa mwanzoni alisema pale alitumwa na Waziri Mkuu.
Hakika, ukweli ukidhihiri uongo hujitenga.
Angalia sasa mnavoumbuka mchana kweupe!
Wewe unaemuandikia huo UHARO huyo Lukuvi wako hamtoki, japo mshaanza kutafuta pakutokea kwa kuanza kutaja majina ya watu hovyo!
Kesho atakua kigango cha wapi katika huo muendelezo wenu wa KANISA?
!
!
iyena iyena iyena iyeeena iyena iyeena sisiem nambari wani...
!
!
nadiriki kusema kwamba mbali nu kumpond lukuvi humu ndani ya jf hakuna lolote ambalo aidha waislamu au wakristo wanaweza kufanya.
!
!
selikali mbili ni lazima......tutake tusitake ila la maana tu kama wanavyohubiri kuwa hii ni ndoa,ni muda muafaka kutuambia katika ndoa hii nani mwanamke na ni nani mwanaume,baasi!...ili sasa baba mwenye nyumba aongoze familia yake.
Teh teh teh naona mpini umekuingia kisawasawa, vipi ulikuwepo Kanisani wakati Lukuvi anawapa darasa la muungano.
hizi mbinu zao hawa jamaa ni mchezo mchafu sana na kila mtanzania anapaswa kusimama kulilaani hili dudu CCM linalofanya njia yoyote ili liendelee kutawa hata kama nchi itaingia vita.....DUH hawa jamaa ni washezi washenzi sijui ni aina gani ya binadamu wasio na huruma wala dini wao ni wizi tu na ufisadi. nikiwatazama vile walivyo ni kama kundi la mashetani wameitawala TZ. wanafanya mambo mpaka wanatikisha msingi wa umoja wa pande mbili.za TZ.Mtakuwa mme justify anachokitafuta.... Jeshi lichukue nchi!
Why cant you think critically kuwa wameona maji marefu na hivyo kuliko washindwe bora tukose wote?
Hakuna wakupigana, watatoana ngeu wao kwa wao kuweni tu wavumilivu. Hasira ni hasara just be composed and wait to see!
Siyo leo mbona toka wakati wa Nyerere kwani ulikuwa hujui.CCM leo kimekua Catholic Church movement.. ha ha ha udini kiboko.. niliwaambia UBOGUS WA LUKUVI+UCCM=UZUZU
Siyo leo mbona toka wakati wa Nyerere kwani ulikuwa hujui.
So you mean Lukuvi pale alisimama kuongea kama kasisi au?
Kama alienda kwenye sherehe hiyo mwaliko ulikuwa wa binafsi ama Serikali anayoitumikia? Sasa ww unaambiwa tatizo ni un ethical acts za CCM dot com huelewi?
You cannot kill a bad tree if you dont up root the roots! Ua kwa mzizi wa fitina ambao bila aibu miaka yote wametumia propaganda zenye kuhatarisha amani ya nchi hii ama sivyo kubali kudhalilishwa for the rest of ur life tena wamekwambia ukileta ujuaji wana magari ya washawasha na wana majeshi kukuadabisha!
...hayo wanayoyasema kwa vinywa vyao ni madogo kuliko waliyoyaficha kwenye vifua vyao...C.C.M Catholic Church Movement......Insha-Allah dada wache wapange na Mwenyezi Mungu anapanga...Na yeye ni mzuri wa Kupanga...Allah azidi kutufahamisha hili na jengine...Bado waislam wa Zanzibar tunafuraha ya kuwa pamoja na waislam walioko Bara...hakijaharibika kitu Dada....kama ukichunguza kwa mbaali Naona kheri haiko mbali inakuja...Allah akikupa siri ilioko nyoyoni mwa adui yako..hii ni moja hatua ya ushindi...
mkuu Birigita nimeipenda hii chukua like liveNi kweli katoa kanisani..........So what?
Mtafanya nini?........Labda kuja kumbwelambwela hapa JF. Nothing More, nothing less.
A confused mind is a lost mind.
Mnaipenda CCM ya LUKUVI, na Kuipenda Serikali ya Kikwete, ambayo ni ya Mfumo Kristo........wtf !!is that?
Kwani wewe ulijiunga Chadema kumfuata Padre Slaa au Mchungaji Msigwa?Makubwa so na ww ulijiunga na CCM kustrengthen catholic movement in TZ?
Jibu hoja mnafiki wewe,wale wazanzibari waliokata viuno kumpongeza Kikwete kwa kukandia s3 nao mfumo kristo?
Lukuvi leo kadhihirisha kinaga ubaga kuwa Serikali inaendeshwa kimfumo kristo. Haya tuliyajadili sana kwenye nyuzi ya Mohamed Said, watu wakapinga sana na kutubeza sana Waislaam. Lakini leo Lukuvi kadhihirisha na kasema ana "hofu" na hiyo hofu (phobia) yake kwa Uislaam hakuna wa kumzuwia.
Kikwete, ndio waziri wako huyo, ana hofu na Uislaam, jee hana hofu na wewe?
Kwa hili halilolisema ni la ukweli asilimia zote! Unafiki huko wapi hapo? Kama kuzungumza lukuvi kazungumza kila mtu amesikia.
Na hapa amewapa majibu waislam yaliyo wazi kuwa hii serikali ni ya inaendeshwa kivatican.
kunya anye kuku...leo kanya bata kelele teleeee ohhh bata kahara. wee faizafoxy sio wewe mtetezi mkuu wa ma ccm yako na serikali yao? je sii wewe mpiganaji wa serikali 2?...nini kimetokea wamshangaa mwana ccm mwenzako lukuvi?...au kwavile umeguswa uislam?....inshallah mungu akujaalie uzidi kuikataa ccn na serikali yake yote na madhambi yake yote...kuanzia sasa pigania serikali 3 tupate uhuru, mapinduzi na muungano wa kweli kwa tanganyika na zanzibari...na usisahau kuwa lukuvi alitumwa na pinda anayemwakilisha kikwete....simple logic lukuvi alimwakilisha kikwete...
ni hayoooooooooooo tu.
Kwa hiyo!!