Lukuvi: Nina Hofu na Uislaam aka "Islamophobia".

Lukuvi: Nina Hofu na Uislaam aka "Islamophobia".

Status
Not open for further replies.
Lukuvi leo kadhihirisha kinaga ubaga kuwa Serikali inaendeshwa kimfumo kristo. Haya tuliyajadili sana kwenye nyuzi ya Mohamed Said, watu wakapinga sana na kutubeza sana Waislaam. Lakini leo Lukuvi kadhihirisha na kasema ana "hofu" na hiyo hofu (phobia) yake kwa Uislaam hakuna wa kumzuwia.

Kikwete, ndio waziri wako huyo, ana hofu na Uislaam, jee hana hofu na wewe?

Ninachokiona mimi ni kwamba 'chama' kina msimamo wake kwenye issue ya muundo wa serikali. Sasa wajumbe wa chama wanatumia kila mbinu ili kuunga mkono msimamo wa chama. Tumewasikia baadhi yao wakiwa ndani ya bunge hili hili wakitoa hoja za vitisho na maneno ya kejeli ili mradi ku-drive a point home. Sasa matokeo ya 'vijumbe' hawa ni kila mtu kutumia ushawishi wake kiasi kwamba ninaamini kama viboko vingeruhusiwa kuna watu wangechapwa viboko ili wakubaliane na muundo unaotakiwa na chama.

Sasa hapa tumekutana na waishiwa hoja ambao wameona sehemu dhaifu ya kwenda ni huko kanisani kutisha watu kupitia upande huo. Napata taabu kuamini kuwa aliyoyasema Lukuvi yanadhihirisha kuwa serikali ni mfumo kristo, sijui, ngoja niendelee kusoma katikati ya mistari labda nitaishia kwenye conclusion yako. Alichotumia Lukuvi ni kujenga watu hofu, nao wataenda kuwajenga wenzao wakifika nyumbani hivyo kuendeleza mlolongo mrefu wa watu wa dini hizi pendwa kuangaliana kichina china (utafikiri wanaliana timing!)

Hili ni moja, si bado wameendelea mbele kwa kusema jeshi litapindua nchi, sijui kodi za kichwa zitarudi (kumbuka hofu ya waliohadithiwa na babu zao adha ya kutokulipa kodi ya kichwa). Hayo yote si umeyasikia sis?

Na bado, tutasikia mengi kutoka kwa hao 'vijumbe' huku mtaani, tupe muda tu, tutafuatwa hadi nyumba kwa nyumba...
 
Hakuna kitu kibaya kama kuzeeka akili, Faizafoxy umezeeka umri na akili yaani katika mambo yote hili la Kanisa ndiyo umeliona kubwa? Wenye hofu ya kuvunjika Muungano ni Wazanzibar wenyewe hasa wale wa Unguja ambao wengi ni weusi dhidi ya Wapemba ambao wengi wana asili ya Uarabu. Kama unafuatilia Bunge utalidhibitisha hilo.
 
hivi kwanini waislamu wasimchukulie hatua huyu jamaa! maana anataka kutugawa......................
kama wakikaa kimya basi watadidimizwa milele na wagalatia kisa uccm tu..
 
Hili bunge litasaidia kuyaweka wazi mambo mengi ambayo yalifanywa ni siri. Lukuvi ameshindwa kuiweka kifuani siri hii na kujikuta akitamka wazi kuwa anauhofia uislam. Hakuna sababu yoyote ilomfanya Nyerere atake muungano zaidi ya hofu (phobia) ya uislam. Huu ni mfumo kristo ambao kina Lukuvi ni mawakala.
Jaalia maneno ya Lukuvi kanisani yangesemwa na Mussa Kundecha msikitini mpaka hivi sasa Kundecha angekuwa wapi?
 
FaizaFoxy Lipumba alimtaja kwa jina kabisa wala hakuficha it's sad ndo viongozi tulionao
 
Last edited by a moderator:
Nioneshe ni wapi niliitetea Serikali mbili? mimi sijali iwe moja, mbili au tatu.

Lakini leo hujamsikia lukuvi? ansema na hofu na Uislaam kuwa Zanzibar ikiwa na mamlaka kamili itakuwa Dola ya Kiislaam.

Tena kakiri kuwa maneno hayo kayasema kanisani na kakiri kuwa alitumwa na Waziri Mkuu.

Tunaposema, Tanzania tunaendeshwa na mfumo kristo , huwa mnabisha, haya bisheni sasa.

Pia alikubaliana na maneno ya mrema juu ya uamsho. Tatizo lenu waislaam amna ushirikiano thabiti toka Bakwata ilipokuwa taasisi ya serikali. Mshikamano legelege mwingine ni wa hawa wa bunge wa CCM waliobaki katika bunge la katiba. Lukuvu anavyowachukulia ni kana kwamba bungeni anaongea na mapunguani.
 
lukuvi akiwa mmoja wa wanamtandao anajua fika kwamba linapokuja suala la ubaguzi, salim ahmed salim alibaguliwa na mtandao wakati wa mchakato wa urais ndani ya ccm (2005). Je hapa palikuwa na suala la serikali tatu? Tanganyika na cuf au chadema? Hapana, kulikuwa na ccm, iliyoshinda baadae kwa zaidi ya 80%.

Salim alibaguliwa kwa lugha ya:
Hizbu, mwarabu, mpemba.

Cc mzee mwanakijiji, nguruvi3, mag3, mwanadiwani, ritz, pasco, fjm, nape nnauye, tumaini makene, mwigulu nchemba


sent from my blackberry 8520 using jamiiforums
lukuvi nimemsikiliza vizuri.hakusema anataka serekali yenye mfumo wa kikristo.maneno haya ni ya Faiza Foxy mwenyewe kwa utashi wake wa kutaka kusherehesha nia yake.alichosema LUKUVI ni kuwa anapinga na anaogopa serekali ya kidini.je wewe unataka serekali ya kidini?katiba zetu zote hupinga udini serekalini
 
Last edited by a moderator:
Kabla ya kutoka bungeni baadhi ya wabunge wa UKAWA jana, Professor Lipumba aliweka wazi aliyoyaongea kanisani waziri mmoja wa Serikali ya Muungano. Lipumba alisema kuna waziri kaenda kuhutubia kanisani kuwa "ikiwa Zanzibar itapewa mamlaka kamili basi mjuwe itaanzisha dola ya Kiislam".

Jana nikauliza ni waziri gani huyo? sikupata jibu humu JF.

Lakini kwa kuwa Mungu hamfichi mnafik, huyo waziri kajitokeza mwenyewe bungeni leo hii na kwanza kukiri kuwa katumwa na Waziri Mkuu na kusema kuwa hiyo ni hofu, "phobia" yake na akaendelea kusema "hakuna yeyote wa kunizuia hofu yangu hii".

Akazunguka wee na maneno lakini akashindwa kukisema kile alichokieleza Lipumba.

Kwa uchache, Lukuvi ameudhihirishia umma kuwa ana "Islamophobia" au hofu ya Uislaam.

Kiongozi unaefikia kutangaza Kanisani na Bungeni kuwa hutaki kuwapa mamlaka kamili Zanzibar kwa ajili ya dini yao, kweli hiyo si Serikali ya Mfumo Kristo tunayoilalamikia siku zote humu?

Na leo Lukuvi kahitimisha kwa kuniunga mkono yale ninayoyasema humu kila siku kuwa huu Muungano upo kwa ajili ya Kanisa. Na unaongozwa na Kanisa. Huwa mnajifanya hamnielewi lakini leo yamebainika bayana.

Wanaonisikitisha zaidi ni wale Wazanzibari waliobaki kuipigia makofi hoja hii ya Lukuvi, halafu wanajiita wao Waislaam. Waislaam mnaambiwa hampewi nchi yenu kwa kuwa Lukuvi ana hofu mkipewa mtaifanya dola ya Kiislaam na nyinyi mnashangilia? Yaani Lukuvi anawaambia kinaga ubaga kuwa mtabaki ndani ya mfuko Kristo mkitaka msitake na mkikataa basi ni bora nchi hii ishikwe na jeshi na akafikia mpaka kuwapa mfano wa Islamic Brotherhood ya Egypt.

Kinachonishangaza hii hofu yanini kwa Lukuvi? ikiwa nchi anayoiongelea ni Zanzibar na Wazanzibari 99% ni Waislaam ikiwa wataamuwa nchi yao kuwa ya Kiislaam yeye anapatwa na hofu ya nini?

cc Ritz, gombesugu kahtaan
Moderator tafadhali usiiunganishe hii na nyuzi nyingine hii maudhui yake inajitegemea.


Usiseme Serikali, sema CCM...Mbona unazungukazunguka....Kwani haya yameanza leo, wewe si kila siku unashabikia CCM?
 
Lukuvi leo kadhihirisha kinaga ubaga kuwa Serikali inaendeshwa kimfumo kristo. Haya tuliyajadili sana kwenye nyuzi ya Mohamed Said, watu wakapinga sana na kutubeza sana Waislaam. Lakini leo Lukuvi kadhihirisha na kasema ana "hofu" na hiyo hofu (phobia) yake kwa Uislaam hakuna wa kumzuwia.

Kikwete, ndio waziri wako huyo, ana hofu na Uislaam, jee hana hofu na wewe?

Na hiyo ndio Serikali tukufu ya CCM kila siku unayoisifia na kusema itatawala milele...

Nasubiri kusikia siku ukisema CCM ni Chama cha Kikristo..
 
Last edited by a moderator:
Lukuvi leo kadhihirisha kinaga ubaga kuwa Serikali inaendeshwa kimfumo kristo. Haya tuliyajadili sana kwenye nyuzi ya Mohamed Said, watu wakapinga sana na kutubeza sana Waislaam. Lakini leo Lukuvi kadhihirisha na kasema ana "hofu" na hiyo hofu (phobia) yake kwa Uislaam hakuna wa kumzuwia.

Kikwete, ndio waziri wako huyo, ana hofu na Uislaam, jee hana hofu na wewe?

Swali gumu sana! Lukuvi kwa matendo yake na majumlisho aliyoyaongea,nadhani ni Mkristo jina tu,kama tulivyo na Waislamu jina pia!

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
Nioneshe ni wapi niliitetea Serikali mbili? mimi sijali iwe moja, mbili au tatu.

Lakini leo hujamsikia lukuvi? ansema na hofu na Uislaam kuwa Zanzibar ikiwa na mamlaka kamili itakuwa Dola ya Kiislaam.

Tena kakiri kuwa maneno hayo kayasema kanisani na kakiri kuwa alitumwa na Waziri Mkuu.

Tunaposema, Tanzania tunaendeshwa na mfumo kristo , huwa mnabisha, haya bisheni sasa.
Unapokaa na boss wake kwenye Gahawa, umwambie amwajibishe Lukuvi.
Ukishindwa tuwaombe UAMSHO wampe japo adabu kidogo.

Huyo ni kiongozi mahiri sana wa Chama chako, kipenzi cha JK (mwislam safi)....anaminiwa na chama chako CCM pamoja na Kamati Kuu.

Mpaka mtakapokubali kwamba CCM ni tatizo, mtaendelea kumbwelambwela tu huku majukwaani.
 
Bibie! Naamini kuwa wewe ni mmoja kuwa mmoja wa watetezi wa Ndugu JK! Swali langu ni mmoja je huyu rahisi anapotetea sirikali mbili je naye anabaraka za kanisa ili Zenji isiwe na mamlaka kamili. Ni kwa faida ya CCM au kabnisa

Hilo ni swali zuri sana, nnauhakika tutapata majibu huu mjadala unapoendelea.

Kwa sasa swali lako zuri sipati jibu la haraka-haraka.
 
Kabla ya kutoka bungeni baadhi ya wabunge wa UKAWA jana, Professor Lipumba aliweka wazi aliyoyaongea kanisani waziri mmoja wa Serikali ya Muungano. Lipumba alisema kuna waziri kaenda kuhutubia kanisani kuwa "ikiwa Zanzibar itapewa mamlaka kamili basi mjuwe itaanzisha dola ya Kiislam".

Jana nikauliza ni waziri gani huyo? sikupata jibu humu JF.

Lakini kwa kuwa Mungu hamfichi mnafik, huyo waziri kajitokeza mwenyewe bungeni leo hii na kwanza kukiri kuwa katumwa na Waziri Mkuu na kusema kuwa hiyo ni hofu, "phobia" yake na akaendelea kusema "hakuna yeyote wa kunizuia hofu yangu hii".

Akazunguka wee na maneno lakini akashindwa kukisema kile alichokieleza Lipumba.

Kwa uchache, Lukuvi ameudhihirishia umma kuwa ana "Islamophobia" au hofu ya Uislaam.

Kiongozi unaefikia kutangaza Kanisani na Bungeni kuwa hutaki kuwapa mamlaka kamili Zanzibar kwa ajili ya dini yao, kweli hiyo si Serikali ya Mfumo Kristo tunayoilalamikia siku zote humu?

Na leo Lukuvi kahitimisha kwa kuniunga mkono yale ninayoyasema humu kila siku kuwa huu Muungano upo kwa ajili ya Kanisa. Na unaongozwa na Kanisa. Huwa mnajifanya hamnielewi lakini leo yamebainika bayana.

Wanaonisikitisha zaidi ni wale Wazanzibari waliobaki kuipigia makofi hoja hii ya Lukuvi, halafu wanajiita wao Waislaam. Waislaam mnaambiwa hampewi nchi yenu kwa kuwa Lukuvi ana hofu mkipewa mtaifanya dola ya Kiislaam na nyinyi mnashangilia? Yaani Lukuvi anawaambia kinaga ubaga kuwa mtabaki ndani ya mfuko Kristo mkitaka msitake na mkikataa basi ni bora nchi hii ishikwe na jeshi na akafikia mpaka kuwapa mfano wa Islamic Brotherhood ya Egypt.

Kinachonishangaza hii hofu yanini kwa Lukuvi? ikiwa nchi anayoiongelea ni Zanzibar na Wazanzibari 99% ni Waislaam ikiwa wataamuwa nchi yao kuwa ya Kiislaam yeye anapatwa na hofu ya nini?

cc Ritz, gombesugu kahtaan
Moderator tafadhali usiiunganishe hii na nyuzi nyingine hii maudhui yake inajitegemea.

Dada angu sijakuelewa unaongelea Lukuvi yupi haswa ni yule tuliyemjadili hapa kuwa alinunua kiwanja sehemu za mikocheni/mbezi kwa shs.400million halafu akaboma jumba la milioni 900.kama ni huyo basi ni haki yake maana anajua fika utawala ukibadilika nyumba yake ni halali ya jamii
 
tatizo mleta mada ni mdini sana inamana hujui kuwa uamsho ndyo wanaochoma makanisa?na haohao ndyo wanaodai jamhuri ya zanzbr mbona hujawahi kuwalaani wanaochoma makanisa.tatizo hamtaki ukweli .mi binafsi nataka serekali 1

Mbona km wao ndio wanaochoma kesi zote wameshinda?Wamekaa jela mwaka na nusu ushahidi haukupatikana!
Sasa kama hujui ngoja nikwambie kitu,wanaofanya fujo znz km kuchoma makanisa,tindi kali nk ni uvccm zanzibar.
Baada ya kuona nguvu ya UAMSHO ya kuamsha Umma juu mamlaka kamili ya ZANZIBAR Haizuiliki wakaanza hujma ili wapate sababu za kuwakamata!
Na hii CCM hawakuanza leo mwaka 1995 uchaguzi wa mwanzo wa vyama vingi kule pemba walikuwa usiku wakitia visima na shule vinyesi ili wapate sababu ya kuwashika viongozi wa upinzani wanawaona ni hatari kwao!
Ikatokea siku moja maeneo ya KIJIJI CHA MCHANGA MDOGO PEMBA wanakijiji wakapanga wafanye doria usiku ghafla wakakuta gari za FFU na mkuu wa mkoa zinaingia maeneo ya shule ya kijiji hicho!
Walichokifanya waliziachia gari mpaka zimeingia ndani wao wakafunga njia kwa magogo ya minazi,
Wakawafata wakawapiga mapanga mpaka wakaw hoi wakaja kuokolewa na polisi!
Na kuanzia siku hiyo vinyesi vilikwisha kabisa!
Sasa usishangae sana wanaweza kufanya propaganda hata km nikuwadhuru watu hata kuwauwa ili mradi wao uende.
 
Na hiyo ndio Serikali tukufu ya CCM kila siku unayoisifia na kusema itatawala milele...

Nasubiri kusikia siku ukisema CCM ni Chama cha Kikristo..

Mfumo Kristo umetapakaa kila pahala, hakuna chama utachokwenda ambapo hakuna hilo. Mimi ntapiganana huo mfumo nikiwa ndani ya CCM. Uwanja wa mapambano.
 
lukuvi nimemsikiliza vizuri.hakusema anataka serekali yenye mfumo wa kikristo.maneno haya ni kwako mwenyewe kwa utashi wako wa kutaka kusherehesha nia yako.alichosema anapinga na anaogopa serekali ya kidini.je wewe unataka serekali ya kidini?katiba zetu zote hupinga udini serekalini

Na nikuulize: kumzuia Salim asipite 2015 kwa hoja kwamba yeye ni hizbu, mwarabu, mpemba, je mtandao wa kina Lukuvi ulikuwa unaogopa serikali ya kidini?

Lukuvi - hata mimi nimemsikiliza na kumrekodi. Anachojaribu kufanya ni kuunganisha hoja ya Tanganyika na uislamu, hakuna kingine. Katika utafiti wake amegundua kwamba zanzibar imeshabaini kwamba bila ya Tanganyika, mamlaka kamili katika masuala nje ya muungano haiwezekani. Na hilo likitokea, CCM haitakuwa na uhalali mwingine wa kutawala. Nani ataipa kura au kusikiliza kampeni za wagombea urais wa Tanganyika, wakati waliikana? Nani ataipa kura urais wa muungano wa shirikisho wakati waliukana? Nani ataipa kura zanzibar wakati CCM ilikuwa inawanyima mamlaka kamili nje ya masuala ya muungano kwa kuikataa Tanganyika?

Lukuvi and company wameshaona shida iliyopo mbeleni. That's the bottom line.



Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Yaani katika viongozi hmnazo huyu jamaa sijui tumuweke wapi,katika nchi ambapo dini moja inahisi inaonewa wewe kwa uroho wa madaraka na kutotumia utashi unatoa hotuba kama ile, dahhhh tanganyika yangu
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom