tatizo mleta mada ni mdini sana inamana hujui kuwa uamsho ndyo wanaochoma makanisa?na haohao ndyo wanaodai jamhuri ya zanzbr mbona hujawahi kuwalaani wanaochoma makanisa.tatizo hamtaki ukweli .mi binafsi nataka serekali 1
tatizo mleta mada ni mdini sana inamana hujui kuwa uamsho ndyo wanaochoma makanisa?na haohao ndyo wanaodai jamhuri ya zanzbr mbona hujawahi kuwalaani wanaochoma makanisa.tatizo hamtaki ukweli .mi binafsi nataka serekali 1
Nioneshe ni wapi niliitetea Serikali mbili? mimi sijali iwe moja, mbili au tatu.
Lakini leo hujamsikia lukuvi? ansema na hofu na Uislaam kuwa Zanzibar ikiwa na mamlaka kamili itakuwa Dola ya Kiislaam.
Tena kakiri kuwa maneno hayo kayasema kanisani na kakiri kuwa alitumwa na Waziri Mkuu.
Tunaposema, Tanzania tunaendeshwa na mfumo kristo , huwa mnabisha, haya bisheni sasa.
Mfumo Kristo umetapakaa kila pahala, hakuna chama utachokwenda ambapo hakuna hilo. Mimi ntapiganana huo mfumo nikiwa ndani ya CCM. Uwanja wa mapambano.
Unasemaje UHAMSHO kuyaita Mapinduzi ya Zanzibar kuwa ni Haramu, au hilo ujalisikia ila hili la Kanisa ndiyo limekuwasha makalio?
Kungekuwa na thread nyingi za kuwahamasisha waombe radhi, halafu wajumbe kutoka Zanzibar kila ambae angesimama kuchangia lazima kila mmoja angekuwa analaani kwanza, hapo Ritz angekuwa na thread moja ndefu matata page zingekuwa zimepita kama 5 hivi, views wangekuwa kwenye 7600, hapo FaizaFoxy angewaka kama mara 2 hivi...Hebu fikiria endapo kauli kama hiyo ingetolewa na Lipumba, Tundu Lissu, Mbatia au wale wote wanaounga Rasimu ya katiba. Ingekuwaje?
Hilo ni swali zuri sana, nnauhakika tutapata majibu huu mjadala unapoendelea.
Kwa sasa swali lako zuri sipati jibu la haraka-haraka.
Kuna masuali mengi tu na wasiojuwa inabidi tuwaambie. Inaonekana wazi mh JK kalazimika kubadili msimamo katikati ya safari nadhani ni kwa hizi hofu za watu (Phobia) kama mtakumbuka suali la kadhi yule waziri Membe alipoitwa tu na muadham kardinali aligeuza msimamo kuhusu mahakama ya kadhi na JK naye alitoboa siri katika hutuba yake ya bunge kuwa kuna kiongozi wa dini mmoja ( anajulikana) alimpa ushauri wa serikali mbili na yeye kukubaliana naye kuwa bora tujaribu huo mtazamo wa mtu wa mungu. Jk kalazimika HAFLA KUBADILI MWELEKEO WA UMMA AMBAO ALISHAUJENGEA MATUMAINI KWA VITENDO VYAKE. kumbuka nani alimlazimisha kuleta mchakato kwani? kumbuka kauli zake za kuwataka watu wake wajiandae kisaikolojia, kumbuka jinsi alivyokwamua mchakato kila mawaziri wake walipopinga hatua za maridhiano? kumbuka kauli za kuhamasisha maridhiano na ile image yote ya kuipongeza tume ya WARIOBA leo ziko WAPI? hivi hamjajuwa tu? lazima kuna kitu na tayari picha imeanza kuonekana. Kwa mimi hata kama CCM wana maslahi yao kwa hili lakini na hili la upendeleo wa dini liko wazi.(Samahani kwa wale wakiristo) Haya ni mambo ya mjadala kwa sasa na kila kitu kina maana kipindi hiki. Tusidharau kitu. Hii kauli ya LUKUVI INATUCHONGANISHA SANA. Msitetee kwa ushabiki .Imeleta na kusadikisha kile ambacho siku nyingi kinasemwa huo ndio ukweli.
Ni waziri mkuu kumuwakilisha...Lukuvi hana tatizo.Atakuwa ametumwa..Je waliomtuma ni kina nani?!
Kabla ya kutoka bungeni baadhi ya wabunge wa UKAWA jana, Professor Lipumba aliweka wazi aliyoyaongea kanisani waziri mmoja wa Serikali ya Muungano. Lipumba alisema kuna waziri kaenda kuhutubia kanisani kuwa "ikiwa Zanzibar itapewa mamlaka kamili basi mjuwe itaanzisha dola ya Kiislam".
Jana nikauliza ni waziri gani huyo? sikupata jibu humu JF.
Lakini kwa kuwa Mungu hamfichi mnafik, huyo waziri kajitokeza mwenyewe bungeni leo hii na kwanza kukiri kuwa katumwa na Waziri Mkuu na kusema kuwa hiyo ni hofu, "phobia" yake na akaendelea kusema "hakuna yeyote wa kunizuia hofu yangu hii".
Akazunguka wee na maneno lakini akashindwa kukisema kile alichokieleza Lipumba.
Kwa uchache, Lukuvi ameudhihirishia umma kuwa ana "Islamophobia" au hofu ya Uislaam.
Kiongozi unaefikia kutangaza Kanisani na Bungeni kuwa hutaki kuwapa mamlaka kamili Zanzibar kwa ajili ya dini yao, kweli hiyo si Serikali ya Mfumo Kristo tunayoilalamikia siku zote humu?
Na leo Lukuvi kahitimisha kwa kuniunga mkono yale ninayoyasema humu kila siku kuwa huu Muungano upo kwa ajili ya Kanisa. Na unaongozwa na Kanisa. Huwa mnajifanya hamnielewi lakini leo yamebainika bayana.
Wanaonisikitisha zaidi ni wale Wazanzibari waliobaki kuipigia makofi hoja hii ya Lukuvi, halafu wanajiita wao Waislaam. Waislaam mnaambiwa hampewi nchi yenu kwa kuwa Lukuvi ana hofu mkipewa mtaifanya dola ya Kiislaam na nyinyi mnashangilia? Yaani Lukuvi anawaambia kinaga ubaga kuwa mtabaki ndani ya mfuko Kristo mkitaka msitake na mkikataa basi ni bora nchi hii ishikwe na jeshi na akafikia mpaka kuwapa mfano wa Islamic Brotherhood ya Egypt.
Kinachonishangaza hii hofu yanini kwa Lukuvi? ikiwa nchi anayoiongelea ni Zanzibar na Wazanzibari 99% ni Waislaam ikiwa wataamuwa nchi yao kuwa ya Kiislaam yeye anapatwa na hofu ya nini?
cc Ritz, gombesugu kahtaan
Moderator tafadhali usiiunganishe hii na nyuzi nyingine hii maudhui yake inajitegemea.
Hilo ni swali zuri sana, nnauhakika tutapata majibu huu mjadala unapoendelea.
Kwa sasa swali lako zuri sipati jibu la haraka-haraka.
Lukuvi akiwa mmoja wa wanamtandao anajua fika kwamba linapokuja suala la ubaguzi, Salim Ahmed Salim alibaguliwa na mtandao wakati wa mchakato wa urais ndani ya ccm (2005). Je hapa palikuwa na suala la serikali tatu? Tanganyika na CUF au Chadema? Hapana, kulikuwa na CCM, iliyoshinda baadae kwa zaidi ya 80%.
Salim alibaguliwa kwa lugha ya:
Hizbu, Mwarabu, Mpemba.
CC Mzee Mwanakijiji, Nguruvi3, Mag3, MwanaDiwani, Ritz, Pasco, FJM, Nape Nnauye, Tumaini Makene, Mwigulu Nchemba
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
La msingi ni kwamba hata wewe unapinga serekali za udini.kuwa waziNa nikuulize: kumzuia Salim asipite 2015 kwa hoja kwamba yeye ni hizbu, mwarabu, mpemba, je mtandao wa kina Lukuvi ulikuwa unaogopa serikali ya kidini?
Lukuvi - hata mimi nimemsikiliza na kumrekodi. Anachojaribu kufanya ni kuunganisha hoja ya Tanganyika na uislamu, hakuna kingine. Katika utafiti wake amegundua kwamba zanzibar imeshabaini kwamba bila ya Tanganyika, mamlaka kamili katika masuala nje ya muungano haiwezekani. Na hilo likitokea, CCM haitakuwa na uhalali mwingine wa kutawala. Nani ataipa kura au kusikiliza kampeni za wagombea urais wa Tanganyika, wakati waliikana? Nani ataipa kura urais wa muungano wa shirikisho wakati waliukana? Nani ataipa kura zanzibar wakati CCM ilikuwa inawanyima mamlaka kamili nje ya masuala ya muungano kwa kuikataa Tanganyika?
Lukuvi and company wameshaona shida iliyopo mbeleni. That's the bottom line.
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
Lukuvi leo kadhihirisha kinaga ubaga kuwa Serikali inaendeshwa kimfumo kristo. Haya tuliyajadili sana kwenye nyuzi ya Mohamed Said, watu wakapinga sana na kutubeza sana Waislaam. Lakini leo Lukuvi kadhihirisha na kasema ana "hofu" na hiyo hofu (phobia) yake kwa Uislaam hakuna wa kumzuwia.
Kikwete, ndio waziri wako huyo, ana hofu na Uislaam, jee hana hofu na wewe?