Lukuvi: Nina Hofu na Uislaam aka "Islamophobia".

Status
Not open for further replies.
tatizo mleta mada ni mdini sana inamana hujui kuwa uamsho ndyo wanaochoma makanisa?na haohao ndyo wanaodai jamhuri ya zanzbr mbona hujawahi kuwalaani wanaochoma makanisa.tatizo hamtaki ukweli .mi binafsi nataka serekali 1

Ikiwa kuwa Muislaam ndio udini basi mimi ni mdini sana tu.

Jee, Lukuvi unamweka kundi lipi kwa hayo aliyokiri?
 
C.C.M Catholic Church Movement......Insha-Allah dada wache wapange na Mwenyezi Mungu anapanga...Na yeye ni mzuri wa Kupanga...Allah azidi kutufahamisha hili na jengine...Bado waislam wa Zanzibar tunafuraha ya kuwa pamoja na waislam walioko Bara...hakijaharibika kitu Dada....kama ukichunguza kwa mbaali Naona kheri haiko mbali inakuja...Allah akikupa siri ilioko nyoyoni mwa adui yako..hii ni moja hatua ya ushindi...
 
tatizo mleta mada ni mdini sana inamana hujui kuwa uamsho ndyo wanaochoma makanisa?na haohao ndyo wanaodai jamhuri ya zanzbr mbona hujawahi kuwalaani wanaochoma makanisa.tatizo hamtaki ukweli .mi binafsi nataka serekali 1

Ndugu yangu uwamsho ni waznz na makanisa yanayo chomwa moto ni ya waznz isitoshe hata huku kwetu Tanganyika nako yanachomwa moto na hata mbomu yanaripuliwa na uhalifu na mauwaji yanafanyika kila siku na si uwamsho wanaotekeleza hayo. Na ukumbuke muwamsho ni taasisi ya dini iliyo sajiliwa kama taasisi zingine...
Nataka nikuambie kiongozi wa aina ya Likuvi hakustahili kuongea aliyo ongea hasa kwenda kuongelea mustakabali wa nchi ktk kanisa na kujaribu kuwafarakanisha waTanzania kwa tofauti ya Uislam na ukiristo. Mm ni muislam na mwanachama wa ccm lakini leo hii ananifundisha nini kiongozi wangu ktk mustakabali wa imani ya dini yangu? Je ananilazimisha niamini wanayo sema waislam wenzangu kama nchii inaongozwa na mfumo kiristo? Nalazimika sasa kutafakari yanayo zungumzwa na wenzangu kuhusu mfumo kiristo nikiamini ccm nitaiyacha hapa Tz lakini uislam nitaendanao mpaka mwisho siku ya hukumu..
 

Unasemaje UHAMSHO kuyaita Mapinduzi ya Zanzibar kuwa ni Haramu, au hilo ujalisikia ila hili la Kanisa ndiyo limekuwasha makalio?
 
Unasemaje UHAMSHO kuyaita Mapinduzi ya Zanzibar kuwa ni Haramu, au hilo ujalisikia ila hili la Kanisa ndiyo limekuwasha makalio?

Wapi wamesema hivyo hebu tuekee ushahidi tafadhali!
Na kama huna ushahidi itakuwa umewazulia uongo Masheikh na utapata laana km iliyompata Mrema si unamuona alivyo!
 
Hebu fikiria endapo kauli kama hiyo ingetolewa na Lipumba, Tundu Lissu, Mbatia au wale wote wanaounga Rasimu ya katiba. Ingekuwaje?
Kungekuwa na thread nyingi za kuwahamasisha waombe radhi, halafu wajumbe kutoka Zanzibar kila ambae angesimama kuchangia lazima kila mmoja angekuwa analaani kwanza, hapo Ritz angekuwa na thread moja ndefu matata page zingekuwa zimepita kama 5 hivi, views wangekuwa kwenye 7600, hapo FaizaFoxy angewaka kama mara 2 hivi...
 
Last edited by a moderator:
Hilo ni swali zuri sana, nnauhakika tutapata majibu huu mjadala unapoendelea.

Kwa sasa swali lako zuri sipati jibu la haraka-haraka.

Nashukuru kwa jibu lako murua!! Maana wengine siye tumechoka na muundo wa Muungano huu na ndiyo maana haya ya Lukuvi labda ni mmoja ya maslahi mapana ya CCM kwenye muundo wa sirikali mbili. Maana unapoona mawaziri au viongozi wandamizi wanakuja na hofu kama hizo basi ujue kuna ghiriba nyingi ziko kuhusu Muungano huu na bado tutasikia mengi.
 

Mi naona Lukuvi ametumia ufisadi wake wa elimu kuleta honja mkorogano. Kwanza alienda kumwakilisha waziri mkuu katika hafla sijui ya kanisa gani???? Huko Dodoma, kisha akaanza siasa zake uchwara huko kanisani. Nilitarajia Waziri Mkuu kukemea tabia hiyo ya kutumia makanisa na misikiti kwa maslahi ya siasa. Katika hili ana udini, si tofauti na ule aliofanya Prof. Lipumba mwaka 2010 kama mkakati eti wa dini fulani lakini kumbe ni maslahi ya JK. Na hata sasa sijaelewa Lipumba anapolinganisha CCM na Interahamwe, maana nalo naona kama ni 'out of context' isipokuwa kama yeye anataka kutuambia kuwa anashabikia pia yale PK anayomfanyia JK na vitu vya namna hiyo, vinginevyo hakuna uhusiano wa Lukuvi (kanisani), na CCM katika serikali mbili....maana huko Rwanda makanisani sidhani kama ndiko walikouawa wengi kuliko mjini Kigali na vijijini....na bahati mbaya sana wote si viongozi wa dini na hata dini zenyewe ni washabiki tu kuliko waumini wa kweli. Kwao ni madaraka tu na si kingine. Mfumo kristo unaolalamikiwa ni kusema Lukuvi na Pinda ni viongozi wa dini wakati kule wengine si ajabu wana kibano sana juu ya wanavyofanya katika imani yao.
 
FaizaFoxy acha kupotosha umma wa Jf.tupo chonjo sana kufatilia juhudi zenu za kutaka ku- associate stutus quo ya kinacho endelea ktk BMK na udini.tatizo linajulikana lipo wapi;ni CCM ambayo wewe siku zote umekuwa ukiiunga mkono.usisahau kwamba hata W/lukuvi ni mwana ccm mwenzako.
huwa najiuliza,kama kauli hiyo ungetamkwa na mbowe au lissu hali ingekuwaje!.
 
Last edited by a moderator:



Hakika huyu ndio waziri aliyepewa mamlaka ya kuwa uwaziri kupitia CCM.

Afadhali kama moja tu limekugusa hasa kwa kuwa wewe huwatetea sana wana CCM.
 
Last edited by a moderator:

watu ni wasahaulifu sana,maneno ya kibaguzi yalitumika kuwaondoa watu ktk kugombea urais na leo yanatumika kutetea aina ya muungano,hapo ndipo huwa nashindwa kuelewa aina ya siasa tuliyo nayo hapa Tanzania.
mungu atuepushie,mbali na haya yanayoendelea huko bungeni
 
La msingi ni kwamba hata wewe unapinga serekali za udini.kuwa wazi
 

Umeona eeh,"wasaka tonge" CCM-Znz wanachekelea huku wanabaguliwa waziwazi ili mradi wasinyang'anywe tonge mdomoni,ama kweli adui wa muislam ni CCM kwa mujibu wa Lukuvi.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…