Lukuvi: Nina Hofu na Uislaam aka "Islamophobia".

Lukuvi: Nina Hofu na Uislaam aka "Islamophobia".

Status
Not open for further replies.
Ukileta Udini na ukaanza kujadili mambo ya kusadikika ya KANISA linaongoza serikali........
Halafu unataka serikali mbili za LUKUVI, KIKWETE, VUAI na MWINYI, unaonyesha ulivyo goigoi.
hajitambui labda anataka kila shule ifundishe madras mnabenki yenu bdo hamridhiki hamjakataliwa kusoma shule za kristian japo zakwenu mnataka msome wenyewe cjui huyu faizy fox anataje? Yale ni maoni yake lukùv na jinsi aonae yeye na hafurahishwi na hicho kikundi chenu kinachouwa mapadri na uchomaji wa makanisa kule zanzbr na hakuna anayekamatwa
 
hajitambui labda anataka kila shule ifundishe madras mnabenki yenu bdo hamridhiki hamjakataliwa kusoma shule za kristian japo zakwenu mnataka msome wenyewe cjui huyu faizy fox anataje? Yale ni maoni yake lukùv na jinsi aonae yeye na hafurahishwi na hicho kikundi chenu kinachouwa mapadri na uchomaji wa makanisa kule zanzbr na hakuna anayekamatwa

Kwa nini hawakamatwi ?
 
hakuna suala la ukristo hapa mnajichanganya
mimi nakubaliana na mawazo ya wewe mleta mada dhidi ya Lukuvi ila si ukristo dhidi ya uislam
wala wakristo hawana hila na waislam na hakuna trick hapa
wewe Faizafox unakwepa kuihusisha CCm moja kwa moja unakimbilia ukristo maana wewe na hili Dubwana CCm ni A+

hapa tatizo ni CCM na nia yao, pale Lukuvi hana nia mbaya na Uislam ila anautumia uislam na kanisa Kuendelea kuifanikisha mbinu ya CCM kuendelea kutawala kwa hila.

hapa kunaletwa fitina kati ya Dini ili CCm iendelee kuwapo, mleta mada unaificha CCM unaibua adui katika mzozo eti ni ukiristo na serikali ya mfumo flan, lukuvi unamfanya minor kwenye hii ishu huku CCM ukiiondoa kabisa. Tafakari upya!

kama serikali ingekuwa mfumo kristo basi mwinyi, kikwete wasingelikuwa watawala. hapa tatizo ni CCM kucheza na akili za Dini kuendelea kuwapo madarakani na matakwa yake kufanyika, tena wanajua kabisa waislam mkiguswa tu balaa lkn bado wanaujasri wakuwatumia pande zote kufanikisha mambo yao na kuharibu wasichotaka...lol

kweli aliezoea kuishi kwa hila....
pesa nayo ni sabuni ya roho kwani Bungeni waliokuwa wakimpigia makofi na hata bila kuomba miongozo juu ya lukuvi pale hawakuwapo waislamu? au wazanzibari ambao pia ni waislam? lakini pesa imewazima, kimyaaa wameweka dini na utaifa wao pembeni, CCM mtoa kitu anaatumikiwa kwa uaminifu, hapa ndipo ninapopenda propoganga za masisiemu yanawachanganya kisha mnakuja kulia huku. ila kwakuwa anakitu aaaah, hamtoki hata Dini zenu zibamizwe.

sisiem wagawe uwatawale.....na imewabamba leo sasa FaizaFox hutaki kuitaja CCM unawaleta wakristo kama ndio adui, hata Lukuvi si Adui anasmamia kazi ya Dubwana linaitwa CCM, akitemwa tu hata leo yupo tayari kukubali serikali 3
na kuamini na kutangaza uislam na ukristo ni imani tu za watu wala si mbaya alimradi wote ni wafuasi wa mungu wa amani
 
Tatizo kubwa Tanzania uwa hakuna Mkirsto mdini lakini kutokana na kauli ya Lukuvi kuwafurahisha wakirsto wenzake hakuna tatizo.

Huu muungano upo chini ya Kanisa, angalia kauli za Mrema na Lukuvi.

Wazanzibar pambaneni muikomboe nchi yenu kutoka kwenye mikono ya Kanisa.
Watapambana vipi wakati wewe na chama lako CCM mko upande mmoja wa wanaowakandamiza?
 
Lukuvi ni aina ya viongozi wa CCM wasiojitambua..
 
Watapambana vipi wakati wewe na chama lako CCM mko upande mmoja wa wanaowakandamiza?
Hivi ulikuwepo Kanisani wakati Lukuvi alipokuja kuwapa darasa la muungano?
 
Hahahahaha,nacheka kwa huzuni,maana leo wametupiwa virago mchana kweupeee na kina Lukuvi,tena "wasaka tonge" CCM Znz wakiwa wanachekelea tu,namsifu FazalFoxy walau anajitutumua kuhoji japo ni huku JF,hao wengine wanasikilizia maumivu ya kutupiwa virago kimya kimya.
Humjui Ritz wewe teh teh teh
 
Hivi ulikuwepo Kanisani wakati Lukuvi alipokuja kuwapa darasa la muungano?

Usikwepe hoja Mkuu,M/Kiti wa chama chako anataka serikali mbili za huo "Muungano wa kanisa" kwani kashikiwa bunduki na kulazimishwa? Wewe ni CCM damu na M/kiti wako katoa msimamo wa chama chenu ni Serikali mbili,swali Je unataka wapambane vipi kuuondoa huo muungano wa kanisa wakati wewe Mwislam na M/kiti wako mwislam pia mnautetea kwa mapovu na kuwakejeli kina Mzee Warioba (Mkristo) ambae alishauri kuwe na serikali 3?
 
Humjui Ritz wewe teh teh teh

Ni kweli simjui Ritz in personal,lakini namjua kupitia mabandiko yake hapa kuwa yeye ni mwanachama mwaminifu wa CCM muumini wa serikali 2 lol!
 
Kitendo cha raisi Kikwete na waziri wake Lukuvi kutamka hadharani kuwa iwapo mfumo wa serikali 3 utapita, basi jeshi litaweza kupindua nchi,kwa kauli hii hawajatenda kosa la uchochezi yaani kuchochea uhaini wa jeshi?

Kama raisi ana kinga(kinga ya kipuuzi kabisa),je Lukuvi nae ana kinga ya kutoshitakiwa?

Wanaharakati na wanasheria mumshitaki huyu Lukuvi ili iwe funzo kwa viongozi wengine wenye tabia ya kuropoka hovyo.
 
Ritz, @FaizaFoxy,

..LOL!!

..hayo ni maoni ya mnadhimu mkuu wa CCM ktk bunge la jamhuri.

..je, mmesharudisha kadi?

..kama bado, mnasubiri nini?

.."nilikuwa napita tu."

NB:

..nasikia JK ameruka kimanga kauli yangu kwamba jeshi litapindua.

cc THE BIG SHOW, Kadogoo, gombesugu
 
Wazanziba wanaojitambua nyie najua mnapewa maagizo Kanisani kwenu mchague serikali mbili.
Kanisa gani unazungumzia au unamaanisha CCM? Wale Wazanzibar wote wamepewa maagizo kanisani bwana Ritz, HKigwangalla amepewa maagizo kanisani? Aden Rage na yeye kapewa maagizo kanisani? Samia Suluhu kapewa maagizo kanisani? Ina maana kina Jaji Warioba walipewa maagizo msikitini au wapi? Tundu Lissu alipewa maagizo msikitini au? David Kafulila alipewa na yeye maagizo msikitini au? wewe mwenyewe bwana Ritz umepewa maagizo wapi?
 
Last edited by a moderator:
WEWE faizafox ni mnafiki sana, na wala hujui unachokiongea, kwani huyo Lukuvi yupo chama gani na anaeneza Sera za chama kipi? unajifanya unauchungu na uislam hapo hapo unaunga mkono sera za chama ambacho kwa madai yako kina hofu ya uislam, poor you!

Hahaha kufa anataka kuzimia "anaogopa",anajisahaulisha kwamba huyo Lukuvi ni mwanachama mwenzake aache unafki mbona huyo lukuvi akiongea povu masuala ya Kitaifa ndie wa kwanza kum-support!!!?
 
Last edited by a moderator:
Nioneshe ni wapi niliitetea Serikali mbili? mimi sijali iwe moja, mbili au tatu.

Lakini leo hujamsikia lukuvi? ansema na hofu na Uislaam kuwa Zanzibar ikiwa na mamlaka kamili itakuwa Dola ya Kiislaam.

Tena kakiri kuwa maneno hayo kayasema kanisani na kakiri kuwa alitumwa na Waziri Mkuu.

Tunaposema, Tanzania tunaendeshwa na mfumo kristo , huwa mnabisha, haya bisheni sasa.

Hoja dhaifu sana,wenye msimamo wa kutetea s2 ni ccm ambayo ww ni mpiga debe wao mzuri,ccm zanzibar 99% ni waislamu tumewasikia weusi(waunguja) wakiwatukana na kuwakejeli weupe na wapemba,nao ni mfumo kristu?Tatizo ni watu kuhodhi na kudhibiti madaraka kwa njia yeyote. Kwa hiyo Shein na serikali yake nao wako kwenye mfumo kristu? Na kundi la UKAWA limeumdwa kuupinga mfumo kristu au ccm? Kama juha Lukuvi kwa kutaka kutumia kivuli cha dini na wewe hali kadhalika,tunachopinga ni upuuzi wa ccm,ufisadi wa epa mmojawapo mmiliki wake kagoda ni muislam,ila huwezi penda ccm km c mnafiki km wewe faizafox
 
Kabla ya kutoka bungeni baadhi ya wabunge wa UKAWA jana, Professor Lipumba aliweka wazi aliyoyaongea kanisani waziri mmoja wa Serikali ya Muungano. Lipumba alisema kuna waziri kaenda kuhutubia kanisani kuwa "ikiwa Zanzibar itapewa mamlaka kamili basi mjuwe itaanzisha dola ya Kiislam".

Jana nikauliza ni waziri gani huyo? sikupata jibu humu JF.

Lakini kwa kuwa Mungu hamfichi mnafik, huyo waziri kajitokeza mwenyewe bungeni leo hii na kwanza kukiri kuwa katumwa na Waziri Mkuu na kusema kuwa hiyo ni hofu, "phobia" yake na akaendelea kusema "hakuna yeyote wa kunizuia hofu yangu hii".

Akazunguka wee na maneno lakini akashindwa kukisema kile alichokieleza Lipumba.

Kwa uchache, Lukuvi ameudhihirishia umma kuwa ana "Islamophobia" au hofu ya Uislaam.

Kiongozi unaefikia kutangaza Kanisani na Bungeni kuwa hutaki kuwapa mamlaka kamili Zanzibar kwa ajili ya dini yao, kweli hiyo si Serikali ya Mfumo Kristo tunayoilalamikia siku zote humu?

Na leo Lukuvi kahitimisha kwa kuniunga mkono yale ninayoyasema humu kila siku kuwa huu Muungano upo kwa ajili ya Kanisa. Na unaongozwa na Kanisa. Huwa mnajifanya hamnielewi lakini leo yamebainika bayana.

Wanaonisikitisha zaidi ni wale Wazanzibari waliobaki kuipigia makofi hoja hii ya Lukuvi, halafu wanajiita wao Waislaam. Waislaam mnaambiwa hampewi nchi yenu kwa kuwa Lukuvi ana hofu mkipewa mtaifanya dola ya Kiislaam na nyinyi mnashangilia? Yaani Lukuvi anawaambia kinaga ubaga kuwa mtabaki ndani ya mfuko Kristo mkitaka msitake na mkikataa basi ni bora nchi hii ishikwe na jeshi na akafikia mpaka kuwapa mfano wa Islamic Brotherhood ya Egypt.

Kinachonishangaza hii hofu yanini kwa Lukuvi? ikiwa nchi anayoiongelea ni Zanzibar na Wazanzibari 99% ni Waislaam ikiwa wataamuwa nchi yao kuwa ya Kiislaam yeye anapatwa na hofu ya nini?

cc Ritz, gombesugu kahtaan
Moderator tafadhali usiiunganishe hii na nyuzi nyingine hii maudhui yake inajitegemea.

FaizaFoxy,
Mara tu lilipodhihiri tatizo la serikali mbili au tatu niliweka mada kadhaa katika
website yangu na katika nyingine mbili nikisema kuwa hapatawezekana kamwe
mtu yeyote kuweza kufanya tafakuri ya maana na kuweza kuchangia katika
mada hiyo bila ya kujua historia ya kweli ya mapinduzi ya Zanzibar.

Ukishajua historia ya kweli ya mapinduzi ya Zanzibar hapo mtu anaweza kuwa
katika hali ya siyo tu kuchangia bali hata kujua kwa nini kwanza, hii leo historia
ya mapinduzi imetiwa mkono na kubadilishwa.

Pili atajua kwa nini hao mashujaa khasa wa mapinduzi yenyewe hawatajwi; na
tatu kutokakana na kujua hayo mawili yalotajwa ataelewa kwa nini Zanzibar leo
haitakiwi kuwa huru.

Katika sherehe za kuadhimisha miaka 50 ya mapinduzi zimetolewa medali kadhaa
kwa wale mashujaa wa mapinduzi.

Ikiwa unaijua historia ya kweli ya mapinduzi utashangazwa kwa kukosekaaa majina
ya wapangaji wa mapinduzi.

Na hakika kuna wengi wameshangaa mbona kinara wa mapinduzi Abdallah Kassim
Hanga
hakuenziwa?

Hanga kafutwa katika historia ya Zanzibar.

Ukimsikia Hanga anatajwa basi atatajwa na wale ambao wameumizwa jinsi
alivyouliwa kishenzi mwaka 1967 au 1968 hakuna mwenye uhakika ni lini aliuliwa.

Mbona Oscar Kambona hakuenziwa?
Mbona Victor Mkello hakuenziwa?

Mbona Aboud Mmasai hakuenziwa?
Mbona Mohamed Omar Mkwawa hakuenziwa?

Vipi kuhusu John Okello?

Vipi Mwalimu Nyerere aliyetoa msaada mkubwa kutoka Tangayika, msaada wa
fedha na ''logistics'' hatajwi popote wala hakuenziwa?

Wako wengi waliostahili medali hawakupewa medali.
Hebu tuanze na kujiuliza kwa nini mambo yako hivi?

Hapa kinafichwa kitu gani?

Kwa wenye kujua historia ya kweli ya Zanzibar na kwa nini serikali ya Sheikh
Mohammed Shamte
ilipinduliwa hawashangai kusikia William Lukuvi kenda
kanisani kusema aliyosema kuwa kuna hofu Zanzibar itaimarisha Uislam ikiwa
itaachiwa kuwa huru.

Kwa sasa nitaishia hapa niwaache wana jamvi wahangaishe akili na fikra zao.

Lakini ningependaWillia m Lukuvi ajifunze kidogo historia ya Waislam na Uislam
katika kupigania uhuru wa nchi hii Tanganyika.

Nimeweka picha ya Mzee Mkwawa alivyo sasa picha hii nimempiga mimi mwaka
2012 nyumbani kwake Sahare Tanga.

Mzee Mkwawa ndiye aliyekuwa akiwavusha mamluki kutoka mashamba ya mkonge
Sakura na Kipumbwi kwenda Zanzibar kuipigia kura ASP mwaka 1961 na kupindua
serikali mwaka 1964.

Ningependa pia William Lukuvi ajifunze historia ya Nyerere atakuwa mwerevu.

Nimeweka picha nikiwa studio za Radio Al Noor Zanzibar nikifanya kipindi ''mubashara''
kuhusu historia ya Zanzibar.

Kuna picha Mzee Hassan Nassor Moyo akisoma kitabu, ''Kwaheri Ukoloni Kwaheri
Uhuru'' nyumbani kwake Fuoni na nyingine nikizungumza na Salim Rashid Katibu wa Baraza
la Mapinduzi Zanzibar, 1964.

Ipo picha niko na Mzee Aboud Jumbe.

Kuna picha ya Waislam waliokuwa na Nyerere bega kwa bega wakati wa kuikomboa
Tanganyika katika miaka ya 1950.

Wakati huo maaskofu walikuwa wakiwakataza wafuasi wao wasijiunge na TANU.
 

Attachments

  • 2014-01-05 10.18.46.jpg
    2014-01-05 10.18.46.jpg
    26.6 KB · Views: 54
  • 2014-01-29 19.37.18.jpg
    2014-01-29 19.37.18.jpg
    433.3 KB · Views: 56
  • TITI MOHAMED, NYERERE  NA BARAZA LA WAZEE WA TANU.jpg
    TITI MOHAMED, NYERERE NA BARAZA LA WAZEE WA TANU.jpg
    85.9 KB · Views: 55
  • 2012-11-23 16.50.58.jpg
    2012-11-23 16.50.58.jpg
    165.8 KB · Views: 56
  • 2012-11-25 14.08.25.jpg
    2012-11-25 14.08.25.jpg
    261.7 KB · Views: 55
  • 2012-11-24 17.41.10.jpg
    2012-11-24 17.41.10.jpg
    190.6 KB · Views: 58
  • $RN44KNK.jpg
    $RN44KNK.jpg
    303.5 KB · Views: 54
  • PHOTO SHEIKH RAMIA, IDD FAIZ, NYERERE, SAADANI ABDU KANDORO AND HAMISI TARATIBU DODOMA.doc
    PHOTO SHEIKH RAMIA, IDD FAIZ, NYERERE, SAADANI ABDU KANDORO AND HAMISI TARATIBU DODOMA.doc
    3.5 MB · Views: 44
CCM wamesahau mziki wa kafu .
Mwaka 2010 CCM ilishinda kwa huruma na busara za Lipumba na kwa kumheshimu kama muislam mwenzake ,sasa wasubiri 2015.Lukuvi hakutumia busara na wazanzibar na mashehe pale bungeni wananyenyekea 300,000/= kwa siku.Hata mpemba mwenye duka la spea hapati hizo daile.
Wazanzibar wanatafuta mtaji wa kuja kuwekeza Tanganyika. Maneno ya Lukuvi watayajadili baadae wakirudi huko misikitini.Kwa sasa ngoja wale la mlevi.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom