Lukuvi: Nina Hofu na Uislaam aka "Islamophobia".

Lukuvi: Nina Hofu na Uislaam aka "Islamophobia".

Status
Not open for further replies.
Teh teh teh naona mpini umekuingia kisawasawa, vipi ulikuwepo Kanisani wakati Lukuvi anawapa darasa la muungano.

Mkuu Ritz,

Huyo dogo kadoda11 mpini umemuingia!
Mohamed Said kaandika mengi mno kuhusu chuki za watu sampuli ya Lukuvi dhidi ya Uislam na Waislam. Hii leo wanaumbuka hawa wachungwaji!

Teh teh teh!
 
Last edited by a moderator:
Ni kweli hii ineaonesha yale waliyo nayo kifuani mwao na yamedhihiri ili kuwafunua macho watu.Hivi tumuulize Lukuvi Nyerere alipo kubali kuungana na zanzibar jee hakujua kuwa tanganyika yenye waislam na wakristo inaungana na nchi yenye waislam watupu?
jee nini lengo la muungano huu ? kuudhibiti uislamu ? lukuvi amethibitisha chuki zake dhidi ya dini ya bosi wake na lengo kuu la muungano ni kuupiga vita uislam znz basi hakuna jengine . wale wazenji wasiojitambua wajue wanakaangwa kwa mafuta yao wenyewe
 
Lukuvi kamdhalilisha baba wa taifa letu,kidogo kidogo tutawajua ni wepi kazi yao kupiga makofi na kutabasamu,kumbe moyoni si wazalendo wa kumuenzi baba wa taifa. Nyerere alikemea udini je Lukuvi hakuwepo. Angekuwa Lisu, ahh katukana
 
Lukuvi leo kadhihirisha kinaga ubaga kuwa Serikali inaendeshwa kimfumo kristo. Haya tuliyajadili sana kwenye nyuzi ya Mohamed Said, watu wakapinga sana na kutubeza sana Waislaam. Lakini leo Lukuvi kadhihirisha na kasema ana "hofu" na hiyo hofu (phobia) yake kwa Uislaam hakuna wa kumzuwia.

Kikwete, ndio waziri wako huyo, ana hofu na Uislaam, jee hana hofu na wewe?

Likija suala la chadema kuipinga ccm na serikali yake ya kidhalimu na yenye mfumo unaodai kristo, unakuwa wa kwanza kuwaponda na kuwatetea hao ccm na viongozi wao waandamizi. Leo kilio cha nini , endelea kuwatetea kama mnavyofanya siku zote na wenzako.
 
Ndugu Kishada, Ingekuwa kheri kama kauli ya LKV ingechonganisha Uislamu dhidi ya CCM badala ya kuchonganisha Uislamu dhidi ya Ukristu. LKV anawakilisha serikali ya CCM, hawakilishi Kanisa.
 
Jumapili hii Lukuvi atakua kanisa gani mkuu? Ukipata ratiba tuwekee hapa JF
Atakuwa kanisa la India mkuu, maana wamemrudisha alikuwa anachukua usafiri kuelekeapo sababu eti kina FaizaFoxy na kina Ritz walikuwa hawajasikia vizuri kwa hiyo walimrudisha athibitishe ili waweze kupata fursa ya kumsikia vizuri na waweze kumuona kwa miwani ya 3D, akawashangaa ina maana kumbe hawakumsikia na Lyatonga maana anayo copy, sasa ikabidi awathibitishie tu...
 
Last edited by a moderator:
Wewe kauzu kweli, Lukuvi mwenyewe kakiri katoa maelekezo Kanisani wewe unapinga.

Hivi huko kwenu mna ndugu kauzu.jenga hoja.je wewe unapendelea serekali za kidini?hilo ndilo swali la msingi
 
Kabla ya kutoka bungeni baadhi ya wabunge wa UKAWA jana, Professor Lipumba aliweka wazi aliyoyaongea kanisani waziri mmoja wa Serikali ya Muungano. Lipumba alisema kuna waziri kaenda kuhutubia kanisani kuwa "ikiwa Zanzibar itapewa mamlaka kamili basi mjuwe itaanzisha dola ya Kiislam".

Jana nikauliza ni waziri gani huyo? sikupata jibu humu JF.

Lakini kwa kuwa Mungu hamfichi mnafik, huyo waziri kajitokeza mwenyewe bungeni leo hii na kwanza kukiri kuwa katumwa na Waziri Mkuu na kusema kuwa hiyo ni hofu, "phobia" yake na akaendelea kusema "hakuna yeyote wa kunizuia hofu yangu hii".

Akazunguka wee na maneno lakini akashindwa kukisema kile alichokieleza Lipumba.

Kwa uchache, Lukuvi ameudhihirishia umma kuwa ana "Islamophobia" au hofu ya Uislaam.

Kiongozi unaefikia kutangaza Kanisani na Bungeni kuwa hutaki kuwapa mamlaka kamili Zanzibar kwa ajili ya dini yao, kweli hiyo si Serikali ya Mfumo Kristo tunayoilalamikia siku zote humu?

Na leo Lukuvi kahitimisha kwa kuniunga mkono yale ninayoyasema humu kila siku kuwa huu Muungano upo kwa ajili ya Kanisa. Na unaongozwa na Kanisa. Huwa mnajifanya hamnielewi lakini leo yamebainika bayana.

Wanaonisikitisha zaidi ni wale Wazanzibari waliobaki kuipigia makofi hoja hii ya Lukuvi, halafu wanajiita wao Waislaam. Waislaam mnaambiwa hampewi nchi yenu kwa kuwa Lukuvi ana hofu mkipewa mtaifanya dola ya Kiislaam na nyinyi mnashangilia? Yaani Lukuvi anawaambia kinaga ubaga kuwa mtabaki ndani ya mfuko Kristo mkitaka msitake na mkikataa basi ni bora nchi hii ishikwe na jeshi na akafikia mpaka kuwapa mfano wa Islamic Brotherhood ya Egypt.

Kinachonishangaza hii hofu yanini kwa Lukuvi? ikiwa nchi anayoiongelea ni Zanzibar na Wazanzibari 99% ni Waislaam ikiwa wataamuwa nchi yao kuwa ya Kiislaam yeye anapatwa na hofu ya nini?

cc Ritz, gombesugu kahtaan
Moderator tafadhali usiiunganishe hii na nyuzi nyingine hii maudhui yake inajitegemea.

ndio ujue unatetea chama chenye viongozi wa aina gani............dhambi ya kula nyama ya mtu ni mbaya Sana itawatafuna sana. CCM
 
FaizaFoxy,
Mara tu lilipodhihiri tatizo la serikali mbili au tatu niliweka mada kadhaa katika
website yangu na katika nyingine mbili kuwa nikisema kuwa hapatawezekana
mtu yeyote kuweza kufanya tafakuri ya maana na kuweza kuchangia katika
mada hiyo bila ya kujua historia ya kweli ya mapinduzi ya Zanzibar.

Ukishajua historia ya kweli ya mapinduzi ya Zanzibar hapo mtu anaweza kuwa
katika hali ya siyo tu kuchangia bali hata kujua kwa nini kwanza hii leo historia
ya mapinduzi imetiwa mkono na kubadilishwa.

Pili atajua kwa nini hao mashujaa khasa wa mapinduzi yenyewe hawatajwi na
tatu kutokakana na kujua hayo mawili yalotajwa ataelewa kwa nini Zanzibar
haitakiwi kuwa huru.

Katika sherehe za kuadhimisha miaka 50 ya mapinduzi zimetolewa medali kadhaa
kwa wale mashujaa wa mapinduzi.

Ikiwa unaijua historia ya kweli ya mapinduzi utashangazwa kwa kukosekaaa majina
ya wapangaji wa mapinduzi.

Na hakika kuna wengi wameshangaa mbona kinara wa mapinduzi Abdallah Kassim
Hanga hakuenziwa?

Mbona Oscar Kambona hakuenziwa?
Mbona Victor Mkello hakuenziwa?

Vipi Mwalimu Nyerere aliyetoa msaada mkubwa kutoka Tangayika, msaada wa
fedha na ''logistics'' hatajwi popote?

Wako wengi waliostahili medali hawakupewa medali.
Hebu tuanze na kujiuliza kwa nini mambo yako hivi?

Hapa kinafichwa kitu gani?
Kwa sasa nitaishia hapa niwaache wana jamvi wahangaishe akili na fikra zao.

Mzee wetu Mohamed Said,

Huu mpini uloweka hapa ni hatari, kuna vilaza hapa watapata tabu sana kufahamu haya mambo!

Ukipata fursa japo kiduchu, tunakuomba uje upige msasa vichwa vyao, kwani itafika mahala watafahamu tu, maana wameenza "kuyaabula" wenyewe kwa wenyewe sasa!

Ahsanta
 
Last edited by a moderator:
Ritz, FaizaFoxy,

..LOL!!

..hayo ni maoni ya mnadhimu mkuu wa CCM ktk bunge la jamhuri.

..je, mmesharudisha kadi?

..kama bado, mnasubiri nini?

.."nilikuwa napita tu."

NB:

..nasikia JK ameruka kimanga kauli yangu kwamba jeshi litapindua.

cc THE BIG SHOW, Kadogoo, gombesugu

Nipo around mkuu JokaKuu

ukistaajabu ya nyerere utayaona ya lukuvi sasa

Ila tutafika tuh,twende tuh
 
Last edited by a moderator:
FaizaFoxy,
Mara tu lilipodhihiri tatizo la serikali mbili au tatu niliweka mada kadhaa katika
website yangu na katika nyingine mbili kuwa nikisema kuwa hapatawezekana
mtu yeyote kuweza kufanya tafakuri ya maana na kuweza kuchangia katika
mada hiyo bila ya kujua historia ya kweli ya mapinduzi ya Zanzibar.

Ukishajua historia ya kweli ya mapinduzi ya Zanzibar hapo mtu anaweza kuwa
katika hali ya siyo tu kuchangia bali hata kujua kwa nini kwanza hii leo historia
ya mapinduzi imetiwa mkono na kubadilishwa.

Pili atajua kwa nini hao mashujaa khasa wa mapinduzi yenyewe hawatajwi na
tatu kutokakana na kujua hayo mawili yalotajwa ataelewa kwa nini Zanzibar
haitakiwi kuwa huru.

Katika sherehe za kuadhimisha miaka 50 ya mapinduzi zimetolewa medali kadhaa
kwa wale mashujaa wa mapinduzi.

Ikiwa unaijua historia ya kweli ya mapinduzi utashangazwa kwa kukosekaaa majina
ya wapangaji wa mapinduzi.

Na hakika kuna wengi wameshangaa mbona kinara wa mapinduzi Abdallah Kassim
Hanga hakuenziwa?

Mbona Oscar Kambona hakuenziwa?
Mbona Victor Mkello hakuenziwa?

Vipi Mwalimu Nyerere aliyetoa msaada mkubwa kutoka Tangayika, msaada wa
fedha na ''logistics'' hatajwi popote?

Wako wengi waliostahili medali hawakupewa medali.
Hebu tuanze na kujiuliza kwa nini mambo yako hivi?

Hapa kinafichwa kitu gani?
Kwa sasa nitaishia hapa niwaache wana jamvi wahangaishe akili na fikra zao.
Karibu sana Sheikh wetu Mohamed Said...
 
Last edited by a moderator:
wameshaanza kuchokonoa mambo ya udini hawa sisiem sijui kwanini wako hivyo
Kabla ya kutoka bungeni baadhi ya wabunge wa UKAWA jana, Professor Lipumba aliweka wazi aliyoyaongea kanisani waziri mmoja wa Serikali ya Muungano. Lipumba alisema kuna waziri kaenda kuhutubia kanisani kuwa "ikiwa Zanzibar itapewa mamlaka kamili basi mjuwe itaanzisha dola ya Kiislam".

Jana nikauliza ni waziri gani huyo? sikupata jibu humu JF.

Lakini kwa kuwa Mungu hamfichi mnafik, huyo waziri kajitokeza mwenyewe bungeni leo hii na kwanza kukiri kuwa katumwa na Waziri Mkuu na kusema kuwa hiyo ni hofu, "phobia" yake na akaendelea kusema "hakuna yeyote wa kunizuia hofu yangu hii".

Akazunguka wee na maneno lakini akashindwa kukisema kile alichokieleza Lipumba.

Kwa uchache, Lukuvi ameudhihirishia umma kuwa ana "Islamophobia" au hofu ya Uislaam.

Kiongozi unaefikia kutangaza Kanisani na Bungeni kuwa hutaki kuwapa mamlaka kamili Zanzibar kwa ajili ya dini yao, kweli hiyo si Serikali ya Mfumo Kristo tunayoilalamikia siku zote humu?

Na leo Lukuvi kahitimisha kwa kuniunga mkono yale ninayoyasema humu kila siku kuwa huu Muungano upo kwa ajili ya Kanisa. Na unaongozwa na Kanisa. Huwa mnajifanya hamnielewi lakini leo yamebainika bayana.

Wanaonisikitisha zaidi ni wale Wazanzibari waliobaki kuipigia makofi hoja hii ya Lukuvi, halafu wanajiita wao Waislaam. Waislaam mnaambiwa hampewi nchi yenu kwa kuwa Lukuvi ana hofu mkipewa mtaifanya dola ya Kiislaam na nyinyi mnashangilia? Yaani Lukuvi anawaambia kinaga ubaga kuwa mtabaki ndani ya mfuko Kristo mkitaka msitake na mkikataa basi ni bora nchi hii ishikwe na jeshi na akafikia mpaka kuwapa mfano wa Islamic Brotherhood ya Egypt.

Kinachonishangaza hii hofu yanini kwa Lukuvi? ikiwa nchi anayoiongelea ni Zanzibar na Wazanzibari 99% ni Waislaam ikiwa wataamuwa nchi yao kuwa ya Kiislaam yeye anapatwa na hofu ya nini?

cc Ritz, gombesugu kahtaan
Moderator tafadhali usiiunganishe hii na nyuzi nyingine hii maudhui yake inajitegemea.
 
Mimi mtazamo wangu ni kwamba Lukuvi amefanya kitu kizuri sana (hata kama hakudhani italeta tafrani) kwa kuongea hisia zake za ukweli. Hata kama aliteleza ukweli ni kwamba inabidi Watanzania wengi wa Tanganyika na Zanzibar tumfurahie Lukuvi alivyochemka kwani amedhihirisha rasmi kwamba Serikali na CCM wanang'ang'ania mfumo wa serikali mbili kwa kuwa unawanufaisha viongozi. Issue ya udini inatumiwa tu kuwatia hofu wananchi.

Wananchi wa Tanzania (Zanzibar na Tanganyika) inabidi kusisitiza maoni yao yaliyomo kwenye rasimu ya pili ndio yawe mwongozo wa kutengeneza Katiba mpya ya wananchi, yasichakachuliwe na akina Lukuvi, Wassira wala Asha Bakari.

Ila tukumbuke kuwa huyo Lukuvi anateuliwaga na Kikwete kuanzia ukuu wa mkoa mpaka uwaziri. Duh.
 
Na hiyo ndio Serikali tukufu ya CCM kila siku unayoisifia na kusema itatawala milele...

Nasubiri kusikia siku ukisema CCM ni Chama cha Kikristo..

Tatizo ccm hupendwa na wanafiki kama faizafox,watu wakati wakipinga dhuluma za ccm inayoongozwa na kikwete,kinana ambao si wa kanisa anawatetea kwa nguvu zote,ila kwa chuki yake kubwa dhidi ya ukristo inashinda dhamira yake mbaya
 
FaizaFoxy,
Mara tu lilipodhihiri tatizo la serikali mbili au tatu niliweka mada kadhaa katika
website yangu na katika nyingine mbili nikisema kuwa hapatawezekana kamwe
mtu yeyote kuweza kufanya tafakuri ya maana na kuweza kuchangia katika
mada hiyo bila ya kujua historia ya kweli ya mapinduzi ya Zanzibar.

Ukishajua historia ya kweli ya mapinduzi ya Zanzibar hapo mtu anaweza kuwa
katika hali ya siyo tu kuchangia bali hata kujua kwa nini kwanza, hii leo historia
ya mapinduzi imetiwa mkono na kubadilishwa.

Pili atajua kwa nini hao mashujaa khasa wa mapinduzi yenyewe hawatajwi; na
tatu kutokakana na kujua hayo mawili yalotajwa ataelewa kwa nini Zanzibar leo
haitakiwi kuwa huru.

Katika sherehe za kuadhimisha miaka 50 ya mapinduzi zimetolewa medali kadhaa
kwa wale mashujaa wa mapinduzi.

Ikiwa unaijua historia ya kweli ya mapinduzi utashangazwa kwa kukosekaaa majina
ya wapangaji wa mapinduzi.

Na hakika kuna wengi wameshangaa mbona kinara wa mapinduzi Abdallah Kassim
Hanga
hakuenziwa?

Hanga kafutwa katika historia ya Zanzibar.

Ukimsikia Hanga anatajwa basi atatajwa na wale ambao wameumizwa jinsi
alivyouliwa kishenzi mwaka 1967 au 1968 hakuna mwenye uhakika ni lini aliuliwa.

Mbona Oscar Kambona hakuenziwa?
Mbona Victor Mkello hakuenziwa?

Mbona Aboud Mmasai hakuenziwa?
Mbona Omar Mohamed Mkwawa hakuenziwa?

Vipi kuhusu John Okello?

Vipi Mwalimu Nyerere aliyetoa msaada mkubwa kutoka Tangayika, msaada wa
fedha na ''logistics'' hatajwi popote wala hakuenziwa?

Wako wengi waliostahili medali hawakupewa medali.
Hebu tuanze na kujiuliza kwa nini mambo yako hivi?

Hapa kinafichwa kitu gani?

Kwa wenye kujua historia ya kweli ya Zanzibar na kwa nini serikali ya Sheikh
Mohammed Shamte
ilipinduliwa hawashangai kusikia William Lukuvi kenda
kanisani kusema aliyosema kuwa kuna hofu Zanzibar itaimarisha Uislam ikiwa
itaachiwa kuwa huru.

Kwa sasa nitaishia hapa niwaache wana jamvi wahangaishe akili na fikra zao.

Mwalimu wangu,

Naomba kwa heshima na taadhima zote nikusalim

Asalaam aleykhum warahmatullah wabarakatuh,

Karibu sana ndug yangu kipenz,

Naona maarifa yako kwa sasa yameshaanza kufanya kazi,

Hivi majuz tumeshuhudia bungeni Tundu lisu akicopy na kupaste nondo zenu wewe na Dr Harith Gassamy,

Insha allah ukiwa na nafasi jamvi linakuhitaji hili uje Utaradadi kidogo wallahi,

Watu tupare raha,ilm bur dan na mengineyo,,

Karibu sana 😛hoto:😛hoto:
 
Atakuwa kanisa la India mkuu, maana wamemrudisha alikuwa anachukua usafiri kuelekeapo sababu eti kina FaizaFoxy na kina Ritz walikuwa hawajasikia vizuri kwa hiyo walimrudisha athibitishe ili waweze kupata fursa ya kumsikia vizuri na waweze kumuona kwa miwani ya 3D, akawashangaa ina maana kumbe hawakumsikia na Lyatonga maana anayo copy, sasa ikabidi awathibitishie tu...

Nasikia wewe ndio unamuandikia speech Lukuvi.

Tumeshawarecord na kesho mkisema tuliwanukuu vibaya tutawaonesha ushahidi mchana kweupe!

Na bado, mtaumbuka sana mwaka huu!
 
Unamuonea bure huyo Lukuvi huo ni msimamo wa viongozi wake yaani waziri mkuu aliyemwakilisha kanisani na Rais wake ambaye keshasema yeye na serikali mbili ni damu damu.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom