Lukuvi leo kadhihirisha kinaga ubaga kuwa Serikali inaendeshwa kimfumo kristo. Haya tuliyajadili sana kwenye nyuzi ya Mohamed Said, watu wakapinga sana na kutubeza sana Waislaam. Lakini leo Lukuvi kadhihirisha na kasema ana "hofu" na hiyo hofu (phobia) yake kwa Uislaam hakuna wa kumzuwia.
Kikwete, ndio waziri wako huyo, ana hofu na Uislaam, jee hana hofu na wewe?
Lukuvi alikuwa ana lengo la kutisha na kuchonganisha ili matakwa yao yaweze kutimia ndio maana aliongelea kanisani ili aonekane yupo pamoja na wakristo katika kufanikisha matakwa yao, we si unaona Askofu aliyesimikwa alivyokuja ku bold maneno ya Lukuvi ili record ikae sawa, sasa wewe unataka angeongelea bungeni malengo yangetimiaje!?
Kikwete, ndio waziri wako huyo, ana hofu na Uislaam, jee hana hofu na wewe?
Kwa uchache, Lukuvi ameudhihirishia umma kuwa ana "Islamophobia" au hofu ya Uislaam.
Na leo Lukuvi kahitimisha kwa kuniunga mkono yale ninayoyasema humu kila siku kuwa huu Muungano upo kwa ajili ya Kanisa. Na unaongozwa na Kanisa. Huwa mnajifanya hamnielewi lakini leo yamebainika bayana.
Wanaonisikitisha zaidi ni wale Wazanzibari waliobaki kuipigia makofi hoja hii ya Lukuvi, halafu wanajiita wao Waislaam. Waislaam mnaambiwa hampewi nchi yenu kwa kuwa Lukuvi ana hofu mkipewa mtaifanya dola ya Kiislaam na nyinyi mnashangilia? Yaani Lukuvi anawaambia kinaga ubaga kuwa mtabaki ndani ya mfuko Kristo mkitaka msitake na mkikataa basi ni bora nchi hii ishikwe na jeshi na akafikia mpaka kuwapa mfano wa Islamic Brotherhood ya Egypt.
Ndugu yangu hao Wakristo unawapakazia bure, Kiini cha CCM kung'ang'ania Serikali mbili ni kujiwekea Kinga baad ya kuiba na kupora Raslimali za Wanyonge na zingine kuhamishia ughaibuni....
Nimefurahia kwamba sasa ndo ule wakati muafaka wa wananchi kuchukua hatua kamili ya kujikomboa toka mikononi kwa mkoloni dhalimu CCM.
Ingawa huwa sikubaliani nawe katika mengi, ninaanza kuona kwamba umeanza kupata uelewa baada ya kuguswa suala la Imani ya Dini ya Mwenyezi Mungu. Lakini tunapowambia CCM ni Janga la Taifa kwenye tasnia ya Kijamii, Kiuchumu, Kisiasa na Kimazingira nk...
Tatizo Watanzania wengi ni wanafiki, leo ndio mnajifanya kushituka na kauli Za Lukuvi na ccm yake. Mbona vyama vya siasa wakati vinalalamika kuhusu kupakaziwa udini na ccm mlishangilia na kuunga mkono hoja za udini.
Leo yamewageuka mnajifanya mnashituka, watanzania lazima tukubali adui yetu ni mmoja tu nae ni ccm na kila mtu ataguswa kwa namna yake.
Ccm wapo kimaslai Zaid hawana rafiki wa kudumu ila maslai ya kudumu.
Kabla ya kutoka bungeni baadhi ya wabunge wa UKAWA jana, Professor Lipumba aliweka wazi aliyoyaongea kanisani waziri mmoja wa Serikali ya Muungano. Lipumba alisema kuna waziri kaenda kuhutubia kanisani kuwa "ikiwa Zanzibar itapewa mamlaka kamili basi mjuwe itaanzisha dola ya Kiislam".
Jana nikauliza ni waziri gani huyo? sikupata jibu humu JF.
Lakini kwa kuwa Mungu hamfichi mnafik, huyo waziri kajitokeza mwenyewe bungeni leo hii na kwanza kukiri kuwa katumwa na Waziri Mkuu na kusema kuwa hiyo ni hofu, "phobia" yake na akaendelea kusema "hakuna yeyote wa kunizuia hofu yangu hii".
Akazunguka wee na maneno lakini akashindwa kukisema kile alichokieleza Lipumba.
Kwa uchache, Lukuvi ameudhihirishia umma kuwa ana "Islamophobia" au hofu ya Uislaam.
Kiongozi unaefikia kutangaza Kanisani na Bungeni kuwa hutaki kuwapa mamlaka kamili Zanzibar kwa ajili ya dini yao, kweli hiyo si Serikali ya Mfumo Kristo tunayoilalamikia siku zote humu?
Na leo Lukuvi kahitimisha kwa kuniunga mkono yale ninayoyasema humu kila siku kuwa huu Muungano upo kwa ajili ya Kanisa. Na unaongozwa na Kanisa. Huwa mnajifanya hamnielewi lakini leo yamebainika bayana.
Wanaonisikitisha zaidi ni wale Wazanzibari waliobaki kuipigia makofi hoja hii ya Lukuvi, halafu wanajiita wao Waislaam. Waislaam mnaambiwa hampewi nchi yenu kwa kuwa Lukuvi ana hofu mkipewa mtaifanya dola ya Kiislaam na nyinyi mnashangilia? Yaani Lukuvi anawaambia kinaga ubaga kuwa mtabaki ndani ya mfuko Kristo mkitaka msitake na mkikataa basi ni bora nchi hii ishikwe na jeshi na akafikia mpaka kuwapa mfano wa Islamic Brotherhood ya Egypt.
Kinachonishangaza hii hofu yanini kwa Lukuvi? ikiwa nchi anayoiongelea ni Zanzibar na Wazanzibari 99% ni Waislaam ikiwa
wataamuwa nchi yao kuwa ya Kiislaam yeye anapatwa na hofu ya nini?
[video=youtube_share;PIAPAAd3Dck]http://youtu.be/PIAPAAd3Dck[/video]
cc Ritz, gombesugu, kahtaan, THE BIG SHOW, CHAMVIGA
Moderator tafadhali usiiunganishe hii na nyuzi nyingine hii maudhui yake inajitegemea.
Hapana sio mimi mkuu uliposikia wamekudanganya bwana Izz ila ni mteule wa Rais bwana Lukuvi, na ni mnadhimu wa serikali bungeni inayoongozwa na Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Mheshimiwa Ndugu Jakaya Mrisho Khalfan Kikwete na makamo wake Dr Gharib Bilal, Lukuvi inawezekana akawa amepata maelekezo kutoka huko...
Lukuvi leo kadhihirisha kinaga ubaga kuwa Serikali inaendeshwa kimfumo kristo. Haya tuliyajadili sana kwenye nyuzi ya Mohamed Said, watu wakapinga sana na kutubeza sana Waislaam. Lakini leo Lukuvi kadhihirisha na kasema ana "hofu" na hiyo hofu (phobia) yake kwa Uislaam hakuna wa kumzuwia.
Kikwete, ndio waziri wako huyo, ana hofu na Uislaam, jee hana hofu na wewe?
Mzee wetu Mohamed Said,
Huu mpini uloweka hapa ni hatari, kuna vilaza hapa watapata tabu sana kufahamu haya mambo!
Ukipata fursa japo kiduchu, tunakuomba uje upige msasa vichwa vyao, kwani itafika mahala watafahamu tu, maana wameenza "kuyaabula" wenyewe kwa wenyewe sasa!
Ahsanta
Kabla ya kutoka bungeni baadhi ya wabunge wa UKAWA jana, Professor Lipumba aliweka wazi aliyoyaongea kanisani waziri mmoja wa Serikali ya Muungano. Lipumba alisema kuna waziri kaenda kuhutubia kanisani kuwa "ikiwa Zanzibar itapewa mamlaka kamili basi mjuwe itaanzisha dola ya Kiislam".
Jana nikauliza ni waziri gani huyo? sikupata jibu humu JF.
Lakini kwa kuwa Mungu hamfichi mnafik, huyo waziri kajitokeza mwenyewe bungeni leo hii na kwanza kukiri kuwa katumwa na Waziri Mkuu na kusema kuwa hiyo ni hofu, "phobia" yake na akaendelea kusema "hakuna yeyote wa kunizuia hofu yangu hii".
Akazunguka wee na maneno lakini akashindwa kukisema kile alichokieleza Lipumba.
Kwa uchache, Lukuvi ameudhihirishia umma kuwa ana "Islamophobia" au hofu ya Uislaam.
Kiongozi unaefikia kutangaza Kanisani na Bungeni kuwa hutaki kuwapa mamlaka kamili Zanzibar kwa ajili ya dini yao, kweli hiyo si Serikali ya Mfumo Kristo tunayoilalamikia siku zote humu?
Na leo Lukuvi kahitimisha kwa kuniunga mkono yale ninayoyasema humu kila siku kuwa huu Muungano upo kwa ajili ya Kanisa. Na unaongozwa na Kanisa. Huwa mnajifanya hamnielewi lakini leo yamebainika bayana.
Wanaonisikitisha zaidi ni wale Wazanzibari waliobaki kuipigia makofi hoja hii ya Lukuvi, halafu wanajiita wao Waislaam. Waislaam mnaambiwa hampewi nchi yenu kwa kuwa Lukuvi ana hofu mkipewa mtaifanya dola ya Kiislaam na nyinyi mnashangilia? Yaani Lukuvi anawaambia kinaga ubaga kuwa mtabaki ndani ya mfuko Kristo mkitaka msitake na mkikataa basi ni bora nchi hii ishikwe na jeshi na akafikia mpaka kuwapa mfano wa Islamic Brotherhood ya Egypt.
Kinachonishangaza hii hofu yanini kwa Lukuvi? ikiwa nchi anayoiongelea ni Zanzibar na Wazanzibari 99% ni Waislaam ikiwa
wataamuwa nchi yao kuwa ya Kiislaam yeye anapatwa na hofu ya nini?
[video=youtube_share;PIAPAAd3Dck]http://youtu.be/PIAPAAd3Dck[/video]
cc Ritz, gombesugu, kahtaan, THE BIG SHOW, CHAMVIGA
Moderator tafadhali usiiunganishe hii na nyuzi nyingine hii maudhui yake inajitegemea.
Ikiwa kuwa Muislaam ndio udini basi mimi ni mdini sana tu.
Jee, Lukuvi unamweka kundi lipi kwa hayo aliyokiri?
kwani mkuu Izz we upo eneo gani nikupe ratiba kulingana na eneo lako uweze kuhudhuria akija bwana Lukuvi? inaonekana bayana zake zimekukuna sana vilivyo...Angalia sasa mnavoumbuka mchana kweupe!
Wewe unaemuandikia huo UHARO huyo Lukuvi wako hamtoki, japo mshaanza kutafuta pakutokea kwa kuanza kutaja majina ya watu hovyo!
Kesho atakua kigango cha wapi katika huo muendelezo wenu wa KANISA?
Tatizo kubwa Tanzania uwa hakuna Mkirsto mdini lakini kutokana na kauli ya Lukuvi kuwafurahisha wakirsto wenzake hakuna tatizo.
Huu muungano upo chini ya Kanisa, angalia kauli za Mrema na Lukuvi.
Wazanzibar pambaneni muikomboe nchi yenu kutoka kwenye mikono ya Kanisa.