Lukuvi: Nina Hofu na Uislaam aka "Islamophobia".

Lukuvi: Nina Hofu na Uislaam aka "Islamophobia".

Status
Not open for further replies.
Kungekuwa na thread nyingi za kuwahamasisha waombe radhi, halafu wajumbe kutoka Zanzibar kila ambae angesimama kuchangia lazima kila mmoja angekuwa analaani kwanza, hapo Ritz angekuwa na thread moja ndefu matata page zingekuwa zimepita kama 5 hivi, views wangekuwa kwenye 7600, hapo FaizaFoxy angewaka kama mara 2 hivi...

Kwa hiyo wewe umependa Waziri Mkuu kuchochea udini? Lukuvi amesema ameenda pale kwa niaba ya Waziri Mkuu na ilibidi aongee, na katika kujikoroga kwake, anasema hiyo ni hofu yake, ana hofu na Siasa za Uamsho na Cuf kwani ni za kidini na wanataka kuifanya Zanzibar kuwa nchi ya Kiislaam.

Nauliza, jee yeye anapata hofu ya nini Zanzibar wakifata imani yao?

Kuhusu Uamsho kuwa ni CUF na Hassan Nassor Moyo ni CUF?

Hapa Lukuvi kadhihirisha usemi wetu wa miaka nenda miaka rudi kuwa tunaendeshwa na mfumo kristo. Na hilo hatukubaliani nalo hata chembe, mpaka kieleweke, kama si leo, kesho, kama si kesho keshokutwa, tutakufa tunapinga mfumo kristo na wengine wataendeleza mapambano.

Tunaowashangaa ni Wazanzibari walioshangilia kudhalilishwa dini yao.
 
Stahamala kitu gani....I am straight, I dont like double standard hapa.

Setikali hii ni serikali ya kikristo, so she claim.
Serikali ya CCM anayoipenda sana. Sasa analalamika nini na mambo ya udini usio na kichwa wala miguu.

Upuuzi tu umewajaa hawa wachumia tumbo wa ccm.
Mzigo huu pakua mwenyewe.

Kuwepo kwa njama dhidi ya Waislamu kulikuja kudhihirishwa pale watafiti wa Kikristo walipoanza kufanya utafiti kuhusu athari za Ukristo katika utawala wa dola; na bila kujali matokeo ya utafiti kwa hisia za Waislamu wakawa wanaeleza jinsi Waislamu kwa hila na msaada wa serikali walivyowekwa pembeni katika kugawana madaraka na Wakristo.
Hivi sasa kuna vitabu viwili vilivyoandikwa na Wakristo wenyewe vinavyothibitisha kuwa Wakristo wametumia nyadhifa zao katika serikali kuuhujumu Uislamu na Waislamu.
Jan P van Bergen katika kitabu chake, Development and Religion in Tanzania, (1981) ametoboa siri kuhusu uadui aliokuwa nao Nyerere dhidi ya Uislamu na Waislamu.
Kitabu kinaeleza kwa ufasaha jinsi Nyerere wakati alipokuwa madarakani alivyokuwa akifanya mikutano ya siri na viongozi wa Kanisa kuweka mikakati ya kuupa nguvu Ukristo. Katika mikutano hiyo Nyerere aliwahakikishia viongozi wa Kanisa kuwa anaaunga mkono Ukristo.
Kitabu hicho kinaeleza jinsi Nyerere alivyotimiza ahadi yake hiyo kwa Kanisa kwa kuhakikisha kuwa anawapa Wakristo nafasi za juu katika serikali na chama.
Kitabu hiki kilikuwa kikiuzwa Catholic Bookshop, Dar es Salaam. Lakini ilipokuja kudhihirikia Kanisa kuwa kitabu hiki kilikuwa kinatoa habari nyeti na siri za Kanisa kuhusu njama dhidi ya Waislam, kwa haraka sana kikaacha kuuzwa. Hadi hivi sasa kitabu hicho ni marufuku kuletwa tena Tanzania.
Kitabu cha pili ni cha Dr John C. Sivalon, Kanisa Katoliki na Siasa ya Tanzania Bara 1953 Hadi 1985 (1992).
Kitabu hiki kinaeleza njama ndani ya serikali kuuhujumu Uislam. Sivalon anafichua kuwa kuanzia mwaka 1961 baada ya Tanganyika kupata uhuru, Kanisa lilikuwa na hofu mbili. Hofu ya kwanza ilikuwa umoja wa madhehebu za Kiislamu kati ya Sunni, Bohora, Ismailia na Ithnasheri. Hofu ya pili ilikuwa kuhamishwa kwa makao makuu ya EAMWS kutoka Mombasa kuja Dar es Salaam. Kanisa lilikuwa linahofu kuwa mali walizokuwanazo Waasia Waislamu zikitiwa katika shughuli za Waislamu ambao walikuwa na nguvu kubwa katika uwanja wa siasa zitaathiri maslahi ya Ukatoliki katika Afrika ya Mashariki. Kwa ajili hii Kanisa likatanganza kuwa Uislamu ni adui wake na ikaanza mikakati ya hujma dhidi ya Uislamu ili kuudhoofisha.

Kuna kazi mbili zilizoandikwa na Waislamu kuhusu uhusiano baina ya serikali na Waislamu. Kazi ya kwanza ni tasnifu ya Kiwanuka, 'The Politics of Islam in Bukoba District' (1973); kazi ya pili ni makala ya utafiti 'Islam and Politics in Tanzania' (1989) iliyoandikwa na mwandishi wa kitabu hiki.
Ilikuwa baada ya kusoma tasnifu ya Kiwanuka na kuona jinsi ukweli wa kuvunjwa kwa EAMWS kulivyopoteshwa ndipo kama Muislamu na kama ada ya Uislamu inavyodai kuwa pande mbili za mgogoro zote lazima zisikilizwe, ndipo nilipoamua kufanya utafiti na kuandika tatizo lile kwa mtazamo wa Waislamu. Ukweli ambao kwa miongo miwili ulizuiwa usifahamike kwa Waislamu.
Ulikuwepo Kanisani wakati Lukuvi anatoa darasa la muungano.
 
Ndo waone jinsi wanavyoburuzwa mbele ya macho yao
 
Katika viongozi ambao huwa najiuliza imekuwaje wakawa viongozi ni LUKUVI japo mimi ni mkristo lakini obvious amefanya kitu cha kipuuzi..kwenda kuongea masuala ya kisiasa kanisani huku akijenga hoja kwa mlengwa wa dini tena nyingine its totally a disgrace. viongozi wa namna hii wanalipeleka Taifa pabaya mno..Tuing'ang'anie Zanzibar kwa sababu wakiwa na serikali yao wataifanya nchi yao kuwa ya kiislamu! Kama wao wazanzibari wataona inafaaa kwao kwa maslahi yao kufanya hivyo baada ya wao kuwa nchi kamili sasa kuna ubaya gani? Kwa hiyo huu muungano ni wa lazima na utaendelea milele kwa sababu eti tukitengana nao watakuwa nchi ya kiislamu? Kwani mimi nikiamua kuvunja nyumba yangu ya tofali na kuamua kujenga ya chuma utanilazimisha nisijenge kwa sababu wewe hautaki? Hapa ndipo inapojidhihirisha misingi ya huu muungano si imara na upo tu kama kiini macho!!

hata mimi kwa hili sipo pamoja na lukuvi anatujengea uhasama, mbona vatican inaendeshwa kwa mfumo katoliki wakati itali kuna madhehebu mengi lakini kuna amani?
 
Mkuu gombesugu.

Haya pitia hii bayana kiduchu.

Duu!!!

Mkuu Ritz,

Naona leo umeamua kushusha mipini ya nguvu! Duuh! Teeeh! Teeh! Teeh!

Mie ndo kwanzaa nangia hapa jamvini...kwa hiyo yanilazim kuzipitia kwa utuvu takkriban bayana zoote hapa,kabla sijaanza kuchangia kwa utuvu!

Nakusoma mno!

Tuko pamoja Kaka!

Ahsanta.
 
Mkuu,

Umejitahidi kunena/kuelekeza mangi...lakini ndo bado waregea kule kule!? Yaani umeidhoofisha bayana yako kwa kuelekeza personal grievances zako dhidi ya CCM, badala ya kujikita kwenye mada dhidi ya Lukuvi kupewa fursa na Viongozi wa Kanisa kueneza Islamophobia kwa waumini!? Daah! Au weye Mkuu hilo huoni kama ni tatizo!?

Pia unaposema yakua ati Wakristo hawana matatizo/khofu dhidi ya Watanzania wenzao wenye imani ya Kiislam!?...hivi Mkuu kweli weye unajiaminisha kuwa ndo mouth piece ya Wakristo woote hapo nchini!? Hata yule Cardinal Pengo pia pana Wakristo kadhaa ambao hawakubaliani na baadhi ya misimamo/fikra zake...sembuse weye Mkuu!? Daah!

Kwa kifupi,umeidhoofisha bayana/post yako kwa kuweka kimbelembele cha chuki zako kwa wale CCM!

Mada sensitive kama hizi, inalazim tujitahidi kujadili kitaaluma zaidi na kwa pamoja...bila ya kujali mno misimamo/itikadi zetu za kisiasa!?

Ahsanta sana.
===>Kuwatetea CCM ni makosa,wao wanatumia dini kuiongoza nchi hii,mara ngapi wameishutumu CDM kuwa wanatumiwa na wakatoliki kutaka kutawala nchi hii?
===>Mara ngapi CCM inashutumu CUF kuwa inawatumia waislamu kutaka kutawala nchi hii?
===>Hakuna marefu yasiyo na ncha,hata uongo una mwisho wake,haya ni mambo wanayoyatumia CCM kutidanganya watanzania ili waendelee kututawala,hapa ubishi hakuna kabisa,Wakristo wa CCM wanaenda makanisani kuwasema vibaya waisalamu na Waislamu wa CCM wanaenda misikitini kuwasema vibaya wakristo,sasa leo siri imevuja hakuna pa kuijficha,hivyo waadhibiwe kwa kutupambanisha kwa sababu ya dini zetu
===>Kwa watanzania kila mtu ana ndugu wa kiislamu na kikristo,hivyo huyu Lukuvi anapotuelezea hofu ya waislamu anataka sisi wengine tuwanyanyase ndugu zetu,labda swali rahisi kwa Lukuvi yeye hana ndugu waislamu?
 
Kwa hiyo wewe umependa Waziri Mkuu kuchochea udini? Lukuvi amesema ameenda pale kwa niaba ya Waziri Mkuu na ilibidi aongee, na katika kujikoroga kwake, anasema hiyo ni hofu yake, ana hofu na Siasa za Uamsho na Cuf kwani ni za kidini na wanataka kuifanya Zanzibar kuwa nchi ya Kiislaam.

Nauliza, jee yeye anapata hofu ya nini Zanzibar wakifata imani yao?

Kuhusu Uamsho kuwa ni CUF na Hassan Nassor Moyo ni CUF?

Hapa Lukuvi kadhihirisha usemi wetu wa miaka nenda miaka rudi kuwa tunaendeshwa na mfumo kristo. Na hilo hatukubaliani nalo hata chembe, mpaka kieleweke, kama si leo, kesho, kama si kesho keshokutwa, tutakufa tunapinga mfumo kristo na wengine wataendeleza mapambano.

Tunaowashangaa ni Wazanzibari walioshangilia kudhalilishwa dini yao.

Faiza we mkali...Hamna kupepesa macho Straight you hit the Raw Nerves....ofcoz waislam wote sie tuko wadini kwa mujibu wa baba askofu naniii...wanatuogoopa sana hawa jamaa
 
Kama serikali iliyoko madarakani imesema na kusisitiza kuwa katu haitaki serikali 3, na kama hata imediriki kusema kuwa ikiwa ni serikali tatu bora Jeshi lichukue nchi na kama Rasimu iliyoko mezani inapendekeza serikali 3, wabunge wazalendo kama UKAWA wakae pale kufanya nini? Tusidanganye wala kuwadanganya Watz!
 
Bibie! Naamini kuwa wewe ni mmoja kuwa mmoja wa watetezi wa Ndugu JK! Swali langu ni mmoja je huyu rahisi anapotetea sirikali mbili je naye anabaraka za kanisa ili Zenji isiwe na mamlaka kamili. Ni kwa faida ya CCM au kabnisa

bibie hili swali hataweza kulijibu kwa usahihi kamwe!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Kabla ya kutoka bungeni baadhi ya wabunge wa UKAWA jana, Professor Lipumba aliweka wazi aliyoyaongea kanisani waziri mmoja wa Serikali ya Muungano. Lipumba alisema kuna waziri kaenda kuhutubia kanisani kuwa "ikiwa Zanzibar itapewa mamlaka kamili basi mjuwe itaanzisha dola ya Kiislam".

Jana nikauliza ni waziri gani huyo? sikupata jibu humu JF.

Lakini kwa kuwa Mungu hamfichi mnafik, huyo waziri kajitokeza mwenyewe bungeni leo hii na kwanza kukiri kuwa katumwa na Waziri Mkuu na kusema kuwa hiyo ni hofu, "phobia" yake na akaendelea kusema "hakuna yeyote wa kunizuia hofu yangu hii".

Akazunguka wee na maneno lakini akashindwa kukisema kile alichokieleza Lipumba.

Kwa uchache, Lukuvi ameudhihirishia umma kuwa ana "Islamophobia" au hofu ya Uislaam.

Kiongozi unaefikia kutangaza Kanisani na Bungeni kuwa hutaki kuwapa mamlaka kamili Zanzibar kwa ajili ya dini yao, kweli hiyo si Serikali ya Mfumo Kristo tunayoilalamikia siku zote humu?

Na leo Lukuvi kahitimisha kwa kuniunga mkono yale ninayoyasema humu kila siku kuwa huu Muungano upo kwa ajili ya Kanisa. Na unaongozwa na Kanisa. Huwa mnajifanya hamnielewi lakini leo yamebainika bayana.

Wanaonisikitisha zaidi ni wale Wazanzibari waliobaki kuipigia makofi hoja hii ya Lukuvi, halafu wanajiita wao Waislaam. Waislaam mnaambiwa hampewi nchi yenu kwa kuwa Lukuvi ana hofu mkipewa mtaifanya dola ya Kiislaam na nyinyi mnashangilia? Yaani Lukuvi anawaambia kinaga ubaga kuwa mtabaki ndani ya mfuko Kristo mkitaka msitake na mkikataa basi ni bora nchi hii ishikwe na jeshi na akafikia mpaka kuwapa mfano wa Islamic Brotherhood ya Egypt.

Kinachonishangaza hii hofu yanini kwa Lukuvi? ikiwa nchi anayoiongelea ni Zanzibar na Wazanzibari 99% ni Waislaam ikiwa
wataamuwa nchi yao kuwa ya Kiislaam yeye anapatwa na hofu ya nini?

[video=youtube_share;PIAPAAd3Dck]http://youtu.be/PIAPAAd3Dck[/video]

cc Ritz, gombesugu, kahtaan, THE BIG SHOW, CHAMVIGA
Moderator tafadhali usiiunganishe hii na nyuzi nyingine hii maudhui yake inajitegemea.

Sasa waislam wanavyojilipua left, right and centre, unaweza kusema hofu yake iko baseless?
 
Last edited by a moderator:
Kapigilia msumari wa mwisho kuwa Bunge hilo ni kupoteza muda tu kwani tayari msimao wa serikali mbili hautaweza kubadilishwa!
 
Lukuvi akiwa mmoja wa wanamtandao anajua fika kwamba linapokuja suala la ubaguzi, Salim Ahmed Salim alibaguliwa na mtandao wakati wa mchakato wa urais ndani ya ccm (2005). Je hapa palikuwa na suala la serikali tatu? Tanganyika na CUF au Chadema? Hapana, kulikuwa na CCM, iliyoshinda baadae kwa zaidi ya 80%.

Salim alibaguliwa kwa lugha ya:
Hizbu, Mwarabu, Mpemba.

CC Mzee Mwanakijiji, Nguruvi3, Mag3, MwanaDiwani, Ritz, Pasco, FJM, Nape Nnauye, Tumaini Makene, Mwigulu Nchemba


Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums

Kauli ya Lukuvi inazua maswali; mauajj ya kasisi Zanzibar yalifanywa na nani na kwa sababu zipi? Nani alikuwa anachoma makanisa Zanzibar? je, yawezekana yalikuwa maandalizi ya kuhamasisha dunia kwamba zanzibar ni siasa kali na hivyo serikali 2 ni mlinzi dhidi ya siasa kali?
 
Last edited by a moderator:
Ritz, @FaizaFoxy,

..LOL!!

..hayo ni maoni ya mnadhimu mkuu wa CCM ktk bunge la jamhuri.

..je, mmesharudisha kadi?

..kama bado, mnasubiri nini?

.."nilikuwa napita tu."

NB:

..nasikia JK ameruka kimanga kauli yangu kwamba jeshi litapindua.

cc THE BIG SHOW, Kadogoo, gombesugu

JokaKuu,

Unawashauri warejeshe membership cards za CCM ili wende wapi,jamani!? Daah! Teeh! Teeh! Teeh!

Mkuu Ritz anadai yakua hata hao Chadema ati role model yao ni CCM!?...yaani Chadema ni branch tu ya wachovu waliofukuzwa/wasiotakiwa ndani ya CCM!? Daah!

Yule Dr Slaa mwenyewe, japo yupo pale Ufipa/Chadema...lakini mpaka kesho ana membership card ya CCM na anailipia,au!? Duuh!

Ahsanta.
 
Kauli ya Lukuvi inazua maswali; mauajj ya kasisi Zanzibar yalifanywa na nani na kwa sababu zipi? Nani alikuwa anachoma makanisa Zanzibar? je, yawezekana yalikuwa maandalizi ya kuhamasisha dunia kwamba zanzibar ni siasa kali na hivyo serikali 2 ni mlinzi dhidi ya siasa kali?

Probably right
 
Briefly and to the point anasema anahisi hao ccm zanzibar waliobaki jengoni wamekula kungu ku please bwana wao.

Wamelegea sana maana walikuwa active kama Mazombe, sasa Binadamu halisi hawapo wamebaki wenyewe kilichopo ni kutoleana mimacho na kupumuliana hewa chafu.
 
Tusigawanyike kiimani, tukaacha kuamibiana na kupendana kwa sababu za hawa wenye uchu wa kutawala siku zote ingawa hawatafanikiwa.
Waislam na Wakristo tuwe makini, maana haya mambo ya udini ni mabaya kuliko njaa. Huyu Lukuvi ni mnafiki na mwongo sana. Tumpuuze na tusimpe nafasi atugawanye. Anatafuta 'divide and rule policy'

Wenye akili wanajua kabisa kwamba katika ukristu huyu mwizi tu na maccm yenzake,pale anatafuta jinsi ya kuungwa mkono kwa hiyo kila aina ya mbinu chafu yeye na wenzake watatumia kutimiza lengo lao la s2, kuna wale wazanzibari waliokuwa wanatukana kutetea s2 nao ni mfumo kristu? Roho za kishetani kwa kuona hawa mbona wametuzidi nasi tutafute elimu sisi na kwa vizazi vyetu mnaamua kuwachukia hamna kitu inferiority complex
 
Kwa hiyo wewe umependa Waziri Mkuu kuchochea udini? Lukuvi amesema ameenda pale kwa niaba ya Waziri Mkuu na ilibidi aongee, na katika kujikoroga kwake, anasema hiyo ni hofu yake, ana hofu na Siasa za Uamsho na Cuf kwani ni za kidini na wanataka kuifanya Zanzibar kuwa nchi ya Kiislaam. Nauliza, jee yeye anapata hofu ya nini Zanzibar wakifata imani yao? Kuhusu Uamsho kuwa ni CUF na Hassan Nassor Moyo ni CUF? Hapa Lukuvi kadhihirisha usemi wetu wa miaka nenda miaka rudi kuwa tunaendeshwa na mfumo kristo. Na hilo hatukubaliani nalo hata chembe, mpaka kieleweke, kama si leo, kesho, kama si kesho keshokutwa, tutakufa tunapinga mfumo kristo na wengine wataendeleza mapambano. Tunaowashangaa ni Wazanzibari walioshangilia kudhalilishwa dini yao.
tukiwaambia magamba ni janga hamuamini mnazidi kuipigia debe! Sasa mbwa kala mwanae unalia lia nini? Kapike urojo wa bwanao usitupigie kelele humu...
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom