Lukuvi: Nina Hofu na Uislaam aka "Islamophobia".

Lukuvi: Nina Hofu na Uislaam aka "Islamophobia".

Status
Not open for further replies.
Kwa hiyo unakiri kuwa Lukuvi kafanya vibaya au?

Hakuna anayepinga kwamba Lukuvi hajafanya vibaya ila wewe huo uzi wako umeuleta kiuchochezi, kitu kimefanywa na mtu mmoja wewe unaunganisha mambo ya Lukuvi na Ukristo. Mbona Viongozi wa Kiislamu wanavyoshinda Misikitini wakipanga mikakati mibaya dhidi ya Ukristo hamsemi?
 
Tatizo ni pale mtu Anafanya kazi kwa kulinda cheo ama kusifiwa na wakubwa wake na kuikuaka misingi ya utawala ndio maana unaona watu wa natumiwa kwa kuua watu wanaokuwa wako kinyume na viongozi kama vile mambomu ya arusha,iringa na kuteswa kwa baadhi ya watu haya sio kwamba kikwete anapanga bali kuna viogozi wasiopungua watatu wana latibu hayo kwa kutumia vibaya vyombo vya dora tume zinazoundwa kuchunguza haya zinashindwa kutoa ripoti kwa sababu wanaoguswa katika matukio hayo yote ni viogoz wa Serikali. Kama kikwete asipokuwa makuwa makini watu wataendelea kuuwawa na hakuna hatua yyt itakayo kukuliwa
 
Kama jei kei angewatumia
mkapa,warioba,butiku,sumaye.
Kidogo hadhi na heshima yake ingekuwa juu zaidi na taifa lingeimarika kiustawi.
Lakini kwa watu kama mwigulu,wassira,lukuvi aaah! Hovyo kabisa.
hapo mtu wa maana hapo ni warioba tu. wengine uliowataja hamna kitu. labda mkapa kwa mbaaaali.
 
Kawaida wajanja huchaguana, na wabovu hivyo hivyo.Hiyo inafuata law of attraction which states that LIkES ATTRACTS LIKES.
hiyo ni law ya wapi. unlike charge attract each other. wewe hiyo umeitoa mfukoni kwako?
 
na wewe una hofu na ukristo. unawezaje kusema hivyo wakati cream nzima ya uongozi TZ ni waislam???tuachane na mada zenye mwelekeo wa udini.
 
This will endless cost our president. Mbona wapo lukuki washauri wazuri, either watu wa usalama wameshindwa kumtaarifu Mh. Rais kuhusu wasifu wa watu wa kumshauri ama alikataa ushauri na kuchukua washkaji zake ili waneemeshe matumbo yao.
hiki kizungu hiki hatari sana.
 
Huu ulikuwa wakati mzuri sana wa kuyakarabati makosa yaliyofanywa huko nyuma katika historia yetu na kwa pamoja tungezika tofauti zetu na kupanga njia bora ya kufuata bila kulalamikiana,na hiyo imeishafanywa na tume. hizi tofauti tunazoziona ni za kibinafsi na woga wa mabadiliko ambao hauna msingi wowote ule.
 
hapo mtu wa maana hapo ni warioba tu. wengine uliowataja hamna kitu. labda mkapa kwa mbaaaali.

Pole sana kaka kwa kutojua ni Kwanini BEN MKAPA yuko kimya sana nakuomba sana usitafiti ukimya wa ben mkapa kama wewe ni mzarendo wa Tz .ila kama sio mzarendo na kuruhusu uendelee kutafiti (sirikali=serikali)
 
Kama jei kei angewatumia
mkapa,warioba,butiku,sumaye.
Kidogo hadhi na heshima yake ingekuwa juu zaidi na taifa lingeimarika kiustawi.
Lakini kwa watu kama mwigulu,wassira,lukuvi aaah! Hovyo kabisa.

Jamaa ana inferiority complex hawezi kuwatumia watu wenye akili zaidi yake!!!
 
Kwa hiyo unakiri kuwa Lukuvi kafanya vibaya au?
Wote Lukuvi na Lipumba ni mbumbu. Ila aliyeharibu zaidi ni huyu aliyemuita mwenzake na kundi lake intarahamwe halafu na kuonesha utoto wa kutoka.
 
Wadau kwa jinsi nilivyo muona Waziri Lukuvi akiongea bungeni kwa jazba bila kutumia busara, in fact aliongea pumba na huyu ni mmoja wa washauri wa Jk. Najiuliza Jk akiwa mezani na washauri wake wawili, kushoto Lukuvi kulia Wasira, nini kitaendelea hapo??
Kiukweli Rais wetu Mh Kikwete ana kazi kubwa sana., hilo jopo lake la washauri ni watu wasio na BUSARA kabisa. Mfano hiyo Mh Lukuvi mtu Wa karibu Rais wetu hakutakiwa kujibu mapigo kwa njia ile, naona Kama alizidi kupandikiza chuki tu. Cha kushangazi Mh Sitta kamwachia tu aendeleze kupunda chuki. Pole sana Rais wangu Kikwete.
 
Naungana na FF, kuwa Lukuvi alichokifanya ni makosa makubwa na anastahili ajihuzulu mara moja!

Huwezi kuwa kiongozi wa wananchi wote halafu ukawabagua wananchi unao waongoza, tena kibaya zaidi ni kwa kuwabagua kwa misingi ya imani zao!

Pili, ameonyesha kuwa ni mchochezi mkubwa sana....huwezi kuongea kwa kukosoa imani hii mbele ya imani ile....yaani kama kiongozi hawezi kuwakosoa au kuwatenga waislamu mbele ya imani ya dini ingine ya kikristo! Angeenda Zanzbar au msikitini alafu akaseme alichosema....aone atajibiwaje!
 
Pole sana kaka kwa kutojua ni Kwanini BEN MKAPA yuko kimya sana nakuomba sana usitafiti ukimya wa ben mkapa kama wewe ni mzarendo wa Tz .ila kama sio mzarendo na kuruhusu uendelee kutafiti (sirikali=serikali)
eleza huo ukimya wa ben acha kuzunguka mbuyu. "jf, where we dare to talk openly''
 
Wakuu,baada ya kumwangalia Lukuvi akitutisha sisi wananchi wenzake juzi pale bungeni,iko kama vile watawala wame panick,kuna kitu gani wanachoogopa kwenye S3(serikali tatu) ambacho wanashindwa kutueleza sisi ndugu zao?Maana kwa akili za kawaida,ikiwa utashi wa kisiasa utakuwepo,kwa pamoia ndio tunao wajibu wa kutafuta njia ya kuhakikisha kuwa kunakuwa na vyanzo vya mapato vitakavyotosheleza mahitaj(ikiwamo hitaji la kuendesha majeshi)ya serikali ya Shirikisho!Hivyo swala la hizo S3 kushindwa kuligharania jeshi halitakuwepo tena.Hata hivyo,mwisho wa siku:Tanganyika itazaliwa kwa nguvu za wapigania uhuru wa Zanzibar,hata vijana na wazee wa Tanganyika wakionyesha uchovu wa namna gani!
 
Najua majibu yangu ni marefu mno kwa nyinyi mliozoea mitihani ya multiple choice. Hata hivyo kwa nini unapata kigugumizi kutuambia kama Boko Haram, Al Qaeda wanawakilisha Uislamu au la? Kama siwezi kufanya reference kwao kwa sababu hawamo katika Quran niambie wapi kwenye Biblia kuna Anglican au Gene Robinson?

Amandla.....
Narudia tena kukujuza hapa nilipo bold hao Boko Haram na AL-Qaida hawawakilishi Waislam katika harakati zao hizo wanapigania maslahi yao ya kidunia, ebu pata darsa kiduchu kuhusu Uislam.
Kwanini Uislamu ni Dini Sahihi?
Uislamu ndio dini sahihi inayostahiki kuwa chaguo la kila mtu mwenye akili timamu kwa sababu zifuatazo:
Kwanza: Uislamu ni dini ya Mweyezi Mungu (s.w.) aliyemuumba Mwanaadamu kwa lengo maalum. Ni Muumba pekee anayejua mahitaji halisi ya Mwanaadamu na ni yeye pekee anayejua njia sahihi ya kumfikisha mwanaadamu kwenye lengo lake la maisha. Mwenyezi Mungu anasisitiza:
"Ni juu yetu (kubainisha) njia (sahihi)" (92:12)
Hakika dini mbele ya Mwenyezi Mungu ni Uislamu (3:19).
Pili: Uislamu ndio dini pekee inayotosheleza kwa ukamilifu vipengele vyote vya sifa za dini sahihi kama ifuatavyo:
(a) Uislamu unaeleza ukweli juu ya Maumbile na nafasi ya mwanaadamu hapa Ulimwenguni
Uislamu unatufahamisha kuwa ulimwengu huu pamoja na vyote vilivyomo umeumbwa na Mwenyezi Mungu (s.w.), kwa lengo maalum. Katika Qur'an tunafahamishwa kuwa lengo la kuumbwa mwanaadamu ni kumuabudu Mwenyezi Mungu. Rejea Qur'an (51:56). Pia tunafahamishwa kuwa lengo la kuumbwa viumbe vyote vya mbingunina ardhini ni kwa ajili ya kumtumikia mwanaadamu. (Rejea Qur'an, (2:29).
Aidha tunafahamishwa katika Qur'an kuwa mwanaadamu hapa ulimwenguni ana Hadhiya ukhalifa wa Mwenyezi Mungu. Kuwa khalifa wa Mwenyezi Mungu ni kusimamisha ufalme wa Mwenyezi Mungu kwa kufuata mwongozo wake na kutarajia Radhi zake. Pia Uislamu unatufahamisha kuwa mwanaadamu atakuwa na maisha ya akhera ambapo atalipwa kutokana na matendo yake hapa duniani. Wale walioufuata dini ya Mwenyezi Mungu (s.w.) na kuishi kulingana na lengo la kuumbwa kwao watakuwa na maisha ya furaha na amani huko peponi. Na wale waliofuata dini walizounda wanaadamu wakashindwa kufikia lengo la maisha yao, watapewa adhabu kali huko motoni.
(b) Kanuni na Sharia za Uislamu zinakwenda sambamba na kanuni na Sharia za maumbile yote
Kufuata Uislamu ni kutii kwa unyenyekevu sharia na taratibu alizoziweka Mwenyezi Mungu katika kuendesha maisha ya kila siku ya kibinafsi na kijamii. Pia kutokana na Sayansi tunafahamu kuwa ili maumbile yote yabakie katika hali yake ya kawaida, ikiwa ni pamoja na miili yetu, wanyama, mimea na viumbe vingine vilivyo hai na visivyo hai vimedhibitiwa na kanuni na sharia za maumbile za kibailogia, kifizikia na kikemia. Aliyeziweka sharia hizi ni Mwenyezi Mungu Muumba. Hivyo mwanaadamu atakapokuwa mtii wa kanuni na sharia za Mwenyezi Mungu atakuwa ameamua kwenda sambamba na maumbile yote.
Tunafahamishwa katika Qur'an kuwa viumbe vyote, isipokuwa binaadamu vinafuata Uislamu bila ya hiari:
"Je, wanataka dini isiyokuwa ya Mwenyezi Mungu (dini ya Kiislamu) na hali kila kilichomo mbinguni na ardhini kinamtii yeye kipende kisipende? Na kwake watareshwa wote". (3:83).
Katika aya nyingine Mwenyezi Mungu (s.w.) anatufahamisha kwamba Uislamu ndio njia ya maisha pekee inayokwenda sambamba na umbile la binaadamu, umbile la mbingu na ardhi na viumbe vyote vilivyomo:
"Basi uelekeze uso wako katika dini iliyo sawasawa. Ndilo umbile Mwenyezi Mungu alilowaumbia watu. Hakuna mabadiliko katika maumbile ya viumbe vya Mwenyezi Mungu. Hiyo ndio dini iliyo ya haki, lakini watu wengi hawajui." (30:30).
(c) Uislamu ni Dini inayotosheleza mahitaji yote ya binaadamu ya kimwili na kihisia
Uislamu unamuhimiza mwanaadamu kukinawirisha kiwiliwili chake na kukiweka katika siha nzuri kwa kula na kunywa vilivyo vizuri, kufanya mazoezi ya viungo, kujikinga na maradhi na kujitibu, kujinadhifisha nguo na mwili.
Sambamba na kuurutubisha mwili, Uislamu unamuelekeza mtu ni vipi afanye anapokuwa katika hali na hisia tafati tafauti, ambazo bila mwongozo zinaweza kumhilikisha. Kwa upande mmoja Uislamu unamuelekeza mwanaadamu anapokuwa katika hali ya furaha kama kuwa katika utajiri mkubwa, katika madaraka makubwa n.k., asitakabari bali amshukuru aliyemtunukia neema hizo kwa kuzitumia kwa faida ya watu wote katika jamii.
Kwa upande mwingine Uislamu unamuelekeza mwanaadamu anapokuwa katika hali ya majonzi, huzuni, matatizo, na katika hali nyingine kama hizo, afanye Subira na kumtegemea Mwenyezi Mungu kama tunavyokumbushwa katika aya zifuatazo:
"Na tutakuitieni katika msukosuko wa hofu na njaa na upungufu wa mali na watu na matunda. Na wapahse habari njema wanaosubiri. Ambao uwafikapo msiba husema, Hakika sisi ni wa Mwenyezi Mungu na kwake yeye tutarejea:
Hao juu yao zitakuwa baraka zitokazo kwa Mola wao na rehema, na ndio wenye kuongoka." (2:155-157).
(d) Uislamu ni njia kamili ya maisha
Uislamu ni dini pekee inayojibuysisha na fani zote za maisha. Uislamu haugawi maisha ya dini na dunia bali umemuelekeza mwanaadamu namna bora ya kukiendea kila kipengele cha maisha yake ya kibinafsi, kifamilia, kiuchumi kisiasa, na maisha yote ya kijamii na kumuwekea mipaka itakayombakisha katika lengo lake la maisha. Kwa maana nyingine Uislamu hauhitaji kuazima lolote kutoka kwenye dini nyingine linalohusiana na uendeshaji wa maisha ya kila siku katika kila fani.
(e) Uislamu umeweka Ibada maalum kwa lengo la kumjenga Mwanaadamu kimaadili
Pamoja na Mwenyezi Mungu (s.w.) kumpa mwanaadamu mwongozo unaomuwezesha kukiendea kila kipengele chake cha maisha kwa usahihi kulingana na lengo, amemuamrisha kutekeleza Ibada maalum kwa lengo la kumjenga kimaadili na kumbakisha katika hadhi yake ya ukhalifa. Ibada hizi ni nguozo tano za Uislamu - kutoa Shahada mbili, kusimamisha Swala, kutoa Zakat, Kufunga Ramadhani na Kuhiji Makka kwa wenye uwezo.
Kutoiaja na umuhimu wake, ibada hizi za faradhi zimeambatanishwa na ibada za sunnah ili kuzikamilisha ibada za faradhi pale zilipoteleza kwa upungufu. Mwanaadamu kamwe hawezi kuwa na maadili yanayostahiki bila ya kuteleza hizi kwa ukamilifu wake.
(f) Uislamu ni Dini ya Walimwengu wote wa nyakati zote
Uislamu ni dini ya kijitiisha na kujinyenyekesha kwa Mwenyezi Mungu (s.w.) kila mwenye kuamini Mwenyezi Mungu na kujitiisha kwake kwa kufuata barabara mwongozo wake katika kukiendea kila kipengele cha maisha huwa ni Muislamu bila ya kujali ukoo wake, taifa lake, hadhi yake au wakati wa historia. Uislamu ni dini iliyofundishwa na Mitume wote kuanzia kwa Adam (a.s.) kama tunavyojifunza katika aya zifuatazo:
"Amekupeni sharia ya Dini ile ile aliyomuusia Nuhu na tuliyokufunulia wewe na tuliyowausia Ibrahim na Musa na Isa, kwamba simamisheni dini wala msifarikiane kwayo, ni ngumu kwa wenye kushirikisha (dini hii) unayowaitia. Mwenyezi Mungu humchagua kwake amtakaye na humuongoza kwake aelekeaye." (42:13).
"Na ipiganieni Diniya Mwenyezi Mungu kama inavyostahiki (kuopiganiwa). Yeye amekuchagueni (muwe umma ulio bora). Wala hakuweka juu yenu mambo mazito katika dini. (Nayo dini hii) ni Mila ya baba yenu Ibrahim. Yeye (Mwenyezi Mungu) alikuiteni Waislamu tangu huko mwanzo katika vitabu vya zamani) na katika (Qur'an) hii pia (mumeitwa kwa jina hilo) ili awe Mtume shahidi juu yenu na nyinyi muwe shahidi juu ya watu (waliotangulia). Basi simamisheni swala na toeni zaka na shikamaneni pamoja kwa ajili ya Mwenyezi Mungu. yeye ndiye Mola wenu. Mola mwema alioje na msaidizi mwema alioje."
(g) Uislamu ni Dini ya kusimamisha Haki na Usawa
Miongoni mwa mambo makubwa yanayovuruga amani ulimwenguni ni kuwepo kwa dhulma katika jamii. Na dhulma haiondoki mpaka Haki isimamishwe. Dini zote zilizoundwa na wanadamu ziko pale kustawisha dhulma katika jamii - matajiri na wenye hadhi huwakandamiza raia maskini na wanyonge. Uislamu ndio dini pekee inayoweza kumkomboa mwanaadamu kutokana na dhulma za aina zote. Usimamishaji wa haki umekuwa miongoni mwa masharti makubwa manne ya kusimama Uislamu kama tunavyojifunza katika Suratul-Asr:
"Naapa kwa zama ("Asr), kuwa binaadamu yuko katika hasara. Isipokuwa wale walioamini na wakafanya vitendo vizuri na wakausiana (kusimamisha) haki na wakausiana (kushikamana) na subira". (103:1-3).
Aya hizi kwa ufupi zinatufahamisha kuwa Uislamu utasimama kwa mtu binafsi na kwa jamii kwa ujumla iwapo mambo manne yatatekelezwa yote kwa pamoja na kwa ukamilifu; Mambo hayo ni:
i) Kuamini inavyostahiki
ii) Kufanya vitendo vizuri
iii) Kuusiana kusimamisha Haki
iv) Kuusiana kusimamisha subira.
"Yeye (Mwenyezi Mungu) ndiye aliyemleta Mtume wake kwa uongofu na Dini ya Haki ili aijaalie kushinda dini zote ijapokuwa watachukia washirikina." (9:33 na 61:9).
[SIZE=-1]Tunajifunza kutokana na aya hii kuwa Uislamu ni dini ya Haki kwa maana ya kuwa ni dini yya Mwenyezi Mungu mwenye haki pekee ya kumuundia mwanaadamu dini. Pia tunajifunza kuwa Uislamu ndio dini pekee inayoweza kusimamisha haki katika jamii. Katika aya nyingine Mwenyezi Mungu anafahamisha kama ifuatavyo:[/SIZE]

Na hapa chini msome kiongozi wako wa dini ambae ni shoga.
gene-robinson.jpg
(Photo: More Light Presbyterians via The Christian Post)Gene Robinson, bishop of New Hampshire in The Episcopal Church, speaks at a More Light Presbyterians event on June 30, 2012.

The first openly gay Episcopal bishop, Gene Robinson, made controversial remarks on ABC Australia's popular "Q&A" show on Monday, noting that Jesus lived an "alternative lifestyle" while highlighting how Jesus spent time with male disciples and that he loved them.
"Jesus had a very kind of alternative lifestyle," Robinson said, hinting at a possible sexual orientation for the Savior of the world.
When asked "What did Jesus say about homosexuality?" the Episcopal bishop responded "Jesus said nothing about homosexuality."
"This is a man who remained single for virtually all his lifetime in a culture that demanded marriage. He spent most of his time with twelve men, he singled three of them out for special leadership, and one of them is known as the beloved disciple, the one whom Jesus loved," Robinson said.
But quickly he added,"I'm not saying he was gay. I'm not saying he ever had sex with anyone. I'm just saying this is a man who lived outside the normal boundaries of his own culture and knew about a family of choice."
Fred Nile, president of the Fellowship of Congregational Churches and longest serving member of the New South Wales Parliament, had a quick rejoinder. "He's misrepresenting what Jesus said," Nile asserted. "Jesus did say, for example, what marriage is – where a man shall leave his mother and father and shall cling to his wife. The two shall become one."
"Two men cannot become one. Two women cannot become one. But God has made us biologically so a man and a woman can become one and complement each other," Nile said. He also disagreed with Robinson's suggestion that Jesus "never spoke about homosexuality."

Tarejea barzani....
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom