Lukuvi: Tukipitisha serikali tatu jeshi litatawala nchi

Lukuvi: Tukipitisha serikali tatu jeshi litatawala nchi

Kwa kitendo cha kujifanya ni mjuaji wa hali ya juu ndugu yangu tundu lisu anaendelea kuvuruga na kuuporomosha upinzani wa kisiasa tanzania. Kumdhihaki kwa sauti ya juu hayati mwl nyerere hata kama ni binadamu na anamakosa ktk utumishi wake wa umma hakutakuacha hivi hivi ndugu yangu.

Hekima na busara ya kawaida kabisa inahitajika kuwaenzi wazee wetu iwe ni katika ngazi ya familia au hata ya taifa. Ikumbukwe tu kuwa hayati nyerere ameishi na kuitumikia nchi hii kwa uadilifu wa hali ya juu na hakuwahi kujilimbikizia mali wala kuwa fisadi kama tunavyoshuhudia viongozi wa leo.

Hayati mwl nyerere aliishi kwa umaskini mkubwa na kutumia muda wake wote kuwapigania wanyonge wa ndani ya taifa hili na nje ya nchi hii. Amehakikisha tanzania imekuwa ni nchi ya mfano kwa amani na umoja katika africa.

Kwa vyovyote vile katika medani za siasa za nchi hii, yeyote anayemdhihaki kwa matusi, dharau na fitna hatasalimika kisiasa.

Ni ujumbe kwa tundu lisu na wenzako kuwa tunahitaji katiba bora yenye kuwajali na kutatua kero za watanzania. Lakini ni vema iwe kwa staha na kwa hekima si kwa fujo wala matusi.
 
Kwa kitendo cha kujifanya ni mjuaji wa hali ya juu ndugu yangu tundu lisu anaendelea kuvuruga na kuuporomosha upinzani wa kisiasa tanzania. Kumdhihaki kwa sauti ya juu hayati mwl nyerere hata kama ni binadamu na anamakosa ktk utumishi wake wa umma hakutakuacha hivi hivi ndugu yangu.

Hekima na busara ya kawaida kabisa inahitajika kuwaenzi wazee wetu iwe ni katika ngazi ya familia au hata ya taifa. Ikumbukwe tu kuwa hayati nyerere ameishi na kuitumikia nchi hii kwa uadilifu wa hali ya juu na hakuwahi kujilimbikizia mali wala kuwa fisadi kama tunavyoshuhudia viongozi wa leo.

Hayati mwl nyerere aliishi kwa umaskini mkubwa na kutumia muda wake wote kuwapigania wanyonge wa ndani ya taifa hili na nje ya nchi hii. Amehakikisha tanzania imekuwa ni nchi ya mfano kwa amani na umoja katika africa.

Kwa vyovyote vile katika medani za siasa za nchi hii, yeyote anayemdhihaki kwa matusi, dharau na fitna hatasalimika kisiasa.

Ni ujumbe kwa tundu lisu na wenzako kuwa tunahitaji katiba bora yenye kuwajali na kutatua kero za watanzania. Lakini ni vema iwe kwa staha na kwa hekima si kwa fujo wala matusi.


Acha Porojo, Tulia sindano iingie
 
Ni wakati muafaka Lukuvi astaafishwe na Kikwete, huyu ametuletea ftna kubwa ya udini tunayoipiga vita kila siku. Na amedhihirisha kuwa Serikali inaendeshwa kimfumo kristo eti anasema ni hofu yake!

Khaa, hofu yake ndiyo kwenda kusema kuwa Zanzibar ikipewa mamlaka kamili itakuwa nchi ya Kiislaam? hiyo ndiyo hofu yake?

Kwani nchi ambayo ina wananchi 99% Waislaam ikiwa ya Kiislaam yeye kinamuuma kinamtia hofu nini?
Ni kweli, ni Hatari sana kuwa na watu wenye mitizamo kama hii serikalini, kwani siku akikamata Madaraka makubwa naweza kuyatumia kama fimbo kwa watu ambao anaamini ni wapinzani kwake.
 
Tunakushauri Mhe. Rais leo kufikia saa mbili usiku Lukuvi awe ameng'oka na kuwa Mbunge wa kawaida. Uchochezi wake unaweza kugharimu Taifa. Hivi huyu jamaa ana digrii?.
Kiongozi,
Degree sio kipimo cha busara, hawa wenye degree nyingi nyingi si ndio wanaoiangamiza nchi yetu? umesahau? wengine si ndio vigeugeu?? wanayakataa hata maandiko yao wenyewe ili kulinda kitumbua!!!!!!!!!!
 
Kwa kitendo cha kujifanya ni mjuaji wa hali ya juu ndugu yangu tundu lisu anaendelea kuvuruga na kuuporomosha upinzani wa kisiasa tanzania. Kumdhihaki kwa sauti ya juu hayati mwl nyerere hata kama ni binadamu na anamakosa ktk utumishi wake wa umma hakutakuacha hivi hivi ndugu yangu.

Hekima na busara ya kawaida kabisa inahitajika kuwaenzi wazee wetu iwe ni katika ngazi ya familia au hata ya taifa. Ikumbukwe tu kuwa hayati nyerere ameishi na kuitumikia nchi hii kwa uadilifu wa hali ya juu na hakuwahi kujilimbikizia mali wala kuwa fisadi kama tunavyoshuhudia viongozi wa leo.

Hayati mwl nyerere aliishi kwa umaskini mkubwa na kutumia muda wake wote kuwapigania wanyonge wa ndani ya taifa hili na nje ya nchi hii. Amehakikisha tanzania imekuwa ni nchi ya mfano kwa amani na umoja katika africa.

Kwa vyovyote vile katika medani za siasa za nchi hii, yeyote anayemdhihaki kwa matusi, dharau na fitna hatasalimika kisiasa.

Ni ujumbe kwa tundu lisu na wenzako kuwa tunahitaji katiba bora yenye kuwajali na kutatua kero za watanzania. Lakini ni vema iwe kwa staha na kwa hekima si kwa fujo wala matusi.

Kwani Lissu amemtukana wapi Nyerere? Amesema nini kuhusu Nyerere. Kwani Kama alivyosema Lissu Kwani Nyerere ni Mungu? Ni Binaadamu Kama Binaadamu wengine maana amefanya makosa hasa kuunga mkono Biafra kujitenga na Nigeria, kaunga mkono Timor ya Mashariki kujitenga yote hayo UDINI ukimsumbuwa maana akitetea Ukristo kwa kuingilia mambo ya wengine. Mimi namuona Nyerere ni Dikteta na alikuwa haambiliki
 
Lukuvi amevunja sheria ya Usalama wa Taifa.

Sheria ya Usalama wa Taifa Na.3 ya 1970 iliyorekebishwa mara nne kati ya mwaka 1989-98 na marekebisho:

1. Namba 17 ya mwaka 1989.
2. Na.82/1994.
3. Na.9/1996.
4. Na 12/1998

Sheria hii inapiga marufuku kwa mtu yoyote kulichokonoa JESHI. Lukuvi ilitakiwa ashitakiwe kupitia Sheria hii, lakini kwa vile maneno yake yanabeba maslahi ya CCM, serikali itamwacha tu apete na uchochezi huu.

CC Mzee Mwanakijiji, Nguruvi3, Mag3, MwanaDiwani, Ritz, Pasco, FJM, Nape Nnauye, Tumaini Makene, Mwigulu Nchemba


Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums


Asiwe na wasiwasi wala haraka kutakuwa na Jeshi lisilo na Vifaru wala Magari litakalo komboa Tanganyika na Zanzibar kuwa Huru. Na hii ni suala la muda.

Topic: Kura ya Maoni: Muundo upi wa Muungano unafaa?

View Poll Results: Muundo upi wa Muungano unafaa?
Voters

253. This poll is closed

  • Serikali 1 65 25.69%


  • Serikali 2 17 6.72%


  • Serikali 3 169 66.80%


  • Sijui 2 0.79%
 
Haliko kisiasa.Haliko kusikiliza kauli yoyote ya mwanasiasa au awaye yeyote juu ya mambo ya kisiasa yanayokorogwa pamoja na mambo ya kijeshi. Jeshi letu ni chombo safi,imara na kitakatifu.Jeshi linachotufanyia kiulinzi na usalama ni mambo ya kutukuka na kupata thawabu kwa Mwenyezi Mungu.

Jeshi letu pendwa limejitenga kabisa na siasa.Kauli,kejeli,vitisho,vijembe,utabiri na vyote vya kisiasa vitaishia mbali na Jeshi letu. Iko wazi kuwa Jeshi ni chombo chetu kitakatifu na tunakiamini na kukiheshimu mno. Kinatenda kinachotakiwa kutenda na hakitatenda kinyume chake.

Jeshi letu limejaa weledi,uzalendo,utaifa na nidhamu. Litapuuza kila doa la kisiasa litakalonyemelea Jeshi. Jambo hili liko wazi sana.
 
Kwa kitendo cha kujifanya ni mjuaji wa hali ya juu ndugu yangu tundu lisu anaendelea kuvuruga na kuuporomosha upinzani wa kisiasa tanzania. Kumdhihaki kwa sauti ya juu hayati mwl nyerere hata kama ni binadamu na anamakosa ktk utumishi wake wa umma hakutakuacha hivi hivi ndugu yangu.

Hekima na busara ya kawaida kabisa inahitajika kuwaenzi wazee wetu iwe ni katika ngazi ya familia au hata ya taifa. Ikumbukwe tu kuwa hayati nyerere ameishi na kuitumikia nchi hii kwa uadilifu wa hali ya juu na hakuwahi kujilimbikizia mali wala kuwa fisadi kama tunavyoshuhudia viongozi wa leo.

Hayati mwl nyerere aliishi kwa umaskini mkubwa na kutumia muda wake wote kuwapigania wanyonge wa ndani ya taifa hili na nje ya nchi hii. Amehakikisha tanzania imekuwa ni nchi ya mfano kwa amani na umoja katika africa.

Kwa vyovyote vile katika medani za siasa za nchi hii, yeyote anayemdhihaki kwa matusi, dharau na fitna hatasalimika kisiasa.

Ni ujumbe kwa tundu lisu na wenzako kuwa tunahitaji katiba bora yenye kuwajali na kutatua kero za watanzania. Lakini ni vema iwe kwa staha na kwa hekima si kwa fujo wala matusi.

una ushahidi? hebu tuwekee uthibitisho hapa sio unaongea kwa kufirika tu.
 
Ni wakati muafaka Lukuvi astaafishwe na Kikwete, huyu ametuletea ftna kubwa ya udini tunayoipiga vita kila siku. Na amedhihirisha kuwa Serikali inaendeshwa kimfumo kristo eti anasema ni hofu yake!

Khaa, hofu yake ndiyo kwenda kusema kuwa Zanzibar ikipewa mamlaka kamili itakuwa nchi ya Kiislaam? hiyo ndiyo hofu yake?

Kwani nchi ambayo ina wananchi 99% Waislaam ikiwa ya Kiislaam yeye kinamuuma kinamtia hofu nini?
Makubwa! kumbe kuna wakati magamba yanageukana?
 
Alidhihaki how?

Je si kweli kuwa aliongea na The Observer na kusema Hatawapiga mabomu Wazanzibari kwa sababu ya Muungano Lakini Yeye huyohuyo akaja kuwaweka watu kizuizini kwa kutaka mjadala wa kuboresha muungano?

Mbona hata mimi kwa kumbukumbu zangu na nayajua mapungufu mengine tu ya Hayati JKN? Besides, Yeye mwenyewe katika hotuba zake aliwahi kukiri kuwa alifanya mengi ya kijinga na mengi mazuri lakini alikuwa anashangaa kuona viongozi waliokuwa madarakani walikuwa wanafuata yale ya kijinga badala ya mazuri.

Biblia inawasifu wafalme kama Suleiman Lakini pia inasema kwa ukweli kabisa makosa yake yakuoa wake zaidi ya 300 na kuwa na mahawara (masuria) zaidi ya mia tatu. Pia pamoja na kumsifu sana mfalme Daudi lakini pia biblia inakosoa kwa ukweli kabisa bila kuficha kuwa alimchungulia mke wa askari wake na akamfanyia hila kwa kuamuru apelekwe kupigana vitani tena akawekwr msitari wa mbele kabisa akabiliane na adui ili auawe, ili yeye aendelee kuzini na mkewe.

Akina Musa, Ibrahimu na wengineo yameandikwa mazuri na makosa waliyofanya ili kutufundisha sisi Seuze Nyerere?
If wafalme maarufu kama hawa waliosifika kwa uongozi na busara wamesifiwa na kukosolewa pia who is Nyerere?
 
Basi turudi mfumo wa chama kimoja au mtoa hoja unasemaje sababu upinzani michosho turudi one party.Kwenye uchaguzi tunaweka picha ya mtu na giza kama enzi za Nyerere.
 
Kwa kitendo cha kujifanya ni mjuaji wa hali ya juu ndugu yangu tundu lisu anaendelea kuvuruga na kuuporomosha upinzani wa kisiasa tanzania. Kumdhihaki kwa sauti ya juu hayati mwl nyerere hata kama ni binadamu na anamakosa ktk utumishi wake wa umma hakutakuacha hivi hivi ndugu yangu.

Hekima na busara ya kawaida kabisa inahitajika kuwaenzi wazee wetu iwe ni katika ngazi ya familia au hata ya taifa. Ikumbukwe tu kuwa hayati nyerere ameishi na kuitumikia nchi hii kwa uadilifu wa hali ya juu na hakuwahi kujilimbikizia mali wala kuwa fisadi kama tunavyoshuhudia viongozi wa leo.

Hayati mwl nyerere aliishi kwa umaskini mkubwa na kutumia muda wake wote kuwapigania wanyonge wa ndani ya taifa hili na nje ya nchi hii. Amehakikisha tanzania imekuwa ni nchi ya mfano kwa amani na umoja katika africa.

Kwa vyovyote vile katika medani za siasa za nchi hii, yeyote anayemdhihaki kwa matusi, dharau na fitna hatasalimika kisiasa.

Ni ujumbe kwa tundu lisu na wenzako kuwa tunahitaji katiba bora yenye kuwajali na kutatua kero za watanzania. Lakini ni vema iwe kwa staha na kwa hekima si kwa fujo wala matusi.


Mkuu;

bangi ya kuvutia chooni siyo nzuri. Wenzio wanavuta bani katika Counter ya kituo cha Polisi wewe unavutia choo cha City.


Acha hizo kuropoka...


MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!
 
Kwa kitendo cha kujifanya ni mjuaji wa hali ya juu ndugu yangu tundu lisu anaendelea kuvuruga na kuuporomosha upinzani wa kisiasa tanzania. Kumdhihaki kwa sauti ya juu hayati mwl nyerere hata kama ni binadamu na anamakosa ktk utumishi wake wa umma hakutakuacha hivi hivi ndugu yangu.

Hekima na busara ya kawaida kabisa inahitajika kuwaenzi wazee wetu iwe ni katika ngazi ya familia au hata ya taifa. Ikumbukwe tu kuwa hayati nyerere ameishi na kuitumikia nchi hii kwa uadilifu wa hali ya juu na hakuwahi kujilimbikizia mali wala kuwa fisadi kama tunavyoshuhudia viongozi wa leo.

Hayati mwl nyerere aliishi kwa umaskini mkubwa na kutumia muda wake wote kuwapigania wanyonge wa ndani ya taifa hili na nje ya nchi hii. Amehakikisha tanzania imekuwa ni nchi ya mfano kwa amani na umoja katika africa.

Kwa vyovyote vile katika medani za siasa za nchi hii, yeyote anayemdhihaki kwa matusi, dharau na fitna hatasalimika kisiasa.

Ni ujumbe kwa tundu lisu na wenzako kuwa tunahitaji katiba bora yenye kuwajali na kutatua kero za watanzania. Lakini ni vema iwe kwa staha na kwa hekima si kwa fujo wala matusi.

subiri sindano nyingine jumamosi

TANGAZO!
Haya haya wazanzibari! Kumekucha! La mgambo likilia kuna jambo! Chama cha wananchi CUF kikishirikiana na Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) kinawatangazia wanachama, wapenzi na wazanzibari wote wa mikoa mitatu ya Unguja, wazalendo na wapenda nchi yao kwa jumla kuhudhuria kwa wingi katika mkutano mkubwa wa hadhara wa aina yake na wa kihistoria utakaofanyika siku ya Jumamosi ya tarehe 19/04/2014. Mkutano utafanyika katika viwanja vya Kibanda Maiti, Wilaya ya Mjini, Mkoa wa Mjini Maghribi Unguja.
Wageni rasmi katika Mkutano huo ni Mwenyekiti wa CUF na kiongozi wa UKAWA, Prof Ibrahim Haruna Lipumba, Mwenyekiti wa CHADEMA, Mh Freeman Mbowe, Mwenyekiti wa NCCR-Mageuzi, Mh James Mbatia na Mwenyekiti wa DP, Mchungaji Christopher Mtikila.
Simba wa nyika, tishio la vibaraka wanaoiuza Zanzibar, kipenzi cha wazanzibari, mwenye uzalendo wa hali ya juu na mapenzi makubwa kwa Zanzibar na wazanzibari, Makamo wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar na Katibu Mkuu wa CU, Maalim Seif Sharif Hamad nae atanguruma .
Wapambanaji wengine wanaounda UKAWA, wakiwemo Mh Ismail Jussa, Mh Julius Mtatiro na Mh Tundu Lissu nao watanguruma mkutanoni.
Mkutano utaanza saa 2:00 barabara za asubuhi mpaka saa 12:00 jioni.
Agenda kuu katika Mkutano huo ni je Bunge la Katiba lililogeuzwa na CCM kuwa Bunge la Intarahamwe litafanikiwa kupindisha matakwa ya watanzania ya serikali tatu walioyatoa kwa Tume ya Jaji Warioba? Je watanzania watarajie nini baada ya Mashujaa wapigania Katiba ya wanacnhi kulisusia Bunge La Katiba?
Maswali yote hayo yatapatiwa majibu pamoja na mambo kadhaa muhimu. Hatumwi mototo!
Shime wazanzibari wote kuhudhuria kwa wingi bila ya kukosa!

Tunayo furaha kubwa kuwaarufu nyote kwamba matangazo ya Mkutano huu Mkubwa wa aina yake wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) yatarushwa moja kwa moja kupitia kituo cha radio cha chuchu FM 90.9.

Pia kwa wale walioko nje ya Zanzibar wanaweza kupata matangazo hayo moja kwa moja kupitia live streaming hapa: FreeZanzibarlive on USTREAM: Political events. Politics

HAKI NA USAWA WA MUUNGANO, SERIKALI TATU HAZIEPUKIKI!


 
WAKRISTO NA WAISLAMU wote tunatakiwa kuwa waangalifu sana na hawa Viongozi wasiomjua MUNGU wala kumuogopa MUNGU.Kinachotafutwa hapo ni KULETA MPASUKO KATI YA DINI HIZI KUBWA NCHINI KWETU.Jiulize LUKUVI baada ya kutoka kuutubia KANISANI na kutisha watu kuhusu vita nk anakuja katika BUNGE la KATIBA ANASEMA CUF NA UAMSHO NI KITU KIMOJA. LAANA hii ya KUWAFARAKANISHA WATANZANIA KUPITA IMANI ZAO IKURUDIE LUKUVI NA FAMILIA YAKO.
 
Hata hivyo mbona hata hivi sasa Jeshi ndilo linatuongoza? Maana viongozi wajuu wengi waliopo CCM walishakuwa Jeshini tena kwa vyeo vya juu. Mfano: Coln.(rtd) Kikwete J.K., Coln. (rtd) Kinana etc. Vilevile wakuu wa mikoa na wailaya walioteuliwa na mh. Rais, wengi walikuwa wanajeshi wa vyeo vya juu pia.

Propaganda hii inatutia mashaka na kuona ya kuwa, watawala wetu hawa wanataka waje waipindue nchi na kuitawala kijeshi pindi wananchi watakapopitisha kura za maoni za kudai serikali tatu? Watafute hoja nyingine zenye mshiko na siyo kututishia nyau kama walivyozoea.

Luteni . Edward Ngoyai Lowassa,- MB monduli na PM aliyejiuzulu
Capt. John Zephania Chiligati - MB Iramba masharik
Brig.Jenerali Hassan Ngwilizi - MB MLALO
Kanali. Issa Machibya -RC kgm
Luteni Yusuf Makamba - katibu mkuu mstaafu ccm
Kapt. George Huruma Mkuchika - MB Nachingwea
Meja Jenerali Kalembo -RC
Kanali Issa Machibya - RC KGM
Kanali Massawe _RC kagera
nk

ikumbukwe kuna wakati CCM iliongozwa na wanajeshi watupu

Kanali Kikwete - M/KTI
Luteni - makamba - katibu mkuu,,kama alivyo Kanali Kinana sasa
Cpt Ciligati - naibu katb mkuu bara

kwa mpaka hivi tunapozungumza nchi inaongozwa na wanajeshi tupu..
tuache kubabaisha wananchi,,turuhusu akili zetu zitupe majibu ya changamoto zinazotukabili badala ya kutoa vitisho vya bei rahisi kiasi hiki
 
Dah amesema yeye ndo hofu yake,may be kwa mi mali waliojilimbikizia wanogopa jeshi likija hawana chao,kwa hii ccm jeshi lije tu kwani si tuna shida nao?
 
Back
Top Bottom