tofyo
JF-Expert Member
- Jul 18, 2013
- 2,755
- 764
unajua maana jeshi lililoasi.
Nashindwa nikuulizaje, nini maana ya kuasi kwa jeshi?
Au nikutolee mfano.inamaana mapinduzi ya kijeshi misri ni ya kiaasi.
Jeshi kama jeshi lililokamilika kila sekta linawezaje kujiasi na kama litaasi litakuwa limemuasi nani?
Weka sawa kichwa cha habari.
Nashindwa nikuulizaje, nini maana ya kuasi kwa jeshi?
Au nikutolee mfano.inamaana mapinduzi ya kijeshi misri ni ya kiaasi.
Jeshi kama jeshi lililokamilika kila sekta linawezaje kujiasi na kama litaasi litakuwa limemuasi nani?
Weka sawa kichwa cha habari.