Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mm ninazaidi ya miaka 50 nisengependa kuanza maisha nisiyozoea lazima jesh litachukua nchi tukiruhusu muundo wa serikali3 sbb jesh litashndwa kulipwa sbb serikali ya mungano haina vyanzo vyakipato,
AIRE MAN FaizaFoxy , Ritz CHAMVIGAHakuna chochote kitachozuia mm kusema,nitasema kweli na nitarudia kusema kweli nikweli cku ,,,tbc wanakataka matangazo jamani kudadedeki tbccc,,,,
Lukuvi anaonge sasa bungeni sijaelewa anajibu hoja alizotuumiwa jana na UKAWA, anachangia hoja kuuu au anajibu kama waziri wa nchi?
Sijaelewa lengo lake sasa ana dakika kumi na tano zaidi ya kumi kuu anatamba tuuuu.... sijamuelewa kabisa.
acha u......ga wewe kwani sasa hatutawaliwi na jeshi
rais--kanali wa jeshi
wakuu wa mikoa ----wanajeshi
wakuu wa wilaya-----wanajeshi
au wewe unaongelea jeshi gani??????
Mm ninazaidi ya miaka 50 nisengependa kuanza maisha nisiyozoea lazima jesh litachukua nchi tukiruhusu muundo wa serikali3 sbb jesh litashndwa kulipwa sbb serikali ya mungano haina vyanzo vyakipato,
Lukuvi anaonge sasa bungeni sijaelewa anajibu hoja alizotuumiwa jana na UKAWA, anachangia hoja kuuu au anajibu kama waziri wa nchi?
Sijaelewa lengo lake sasa ana dakika kumi na tano zaidi ya kumi kuu anatamba tuuuu.... sijamuelewa kabisa.
Sita anasema ni mgonjwa wamemzuia airpot akielekea India kwa matibabu
....wekeni kwa kifupi amnachoongea huyo mnyalu...
Eti hela ya kununulia mabomu.....
Akili yako ni ndogo kuweza kumwelewa lukuviHuyu lukuvi ni mbipi kweli badala ya kujibu hoja analeta mipasho ambayo haina mwelekeo.