Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
UKAWA wamo?
Sera za ccm udini udini udini...ana lalamikia uamsho....
Hakuna mahala ambapo jeshi
limechonganishwa na watanzania lakini wewe kwa matakwa yako binafsi
unataka kutengeneza mgogoro ambao wewe unadhani ni sahihi lakini hapana
hapana hapana hapana hapana.
Anazidi kusisitiza kuwa Serikali tatu zitasabbisha vita na hakuna atakayemzuia kuamini
na kusema hivyo, hayo yametokea kati ya Korea kusini na kaskazini hivyo Zanzibar na Tanganyika
itakuwa vivyo hivyo.
ana lalamikia uamsho....
Huko kulewa madaraka,na mwenyekiti anampa muda mwingi tu wakat anaongea ujinga tu,kwenye masuala ya katiba unazungumziaje dini na kabila za watu hana anachoongea kaz kutaja watu tu,akil ndogo huzungumzia watu.