Kazitunayo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2013
- 3,782
- 3,199
Naona kachukua kazi ya sheh Yahya ya utabiri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu ndicho umeona cha maana kuandika hapa sijaona hoja hata moja pengine jipange vizuri utulie na ujenge hoja kwa kutueleza nini unachokitaka kutueleza vema lakini kwa hizi hoja ni nyepesi sana.
Amejibu kuwa cuf ni uamusholukuvi jibu hoja acha kubwabwaja
kumbe mrema ni wa kuhongwa tu,ndo mana haeleweki
Akili yako ni ndogo kuweza kumwelewa lukuvi
Hata mini sijaelewa kama anatoa ufafanuzi wa tuhuma ama anachangia? Na je Warioba aliyetuhumiwa ka mengi hapo bungeni ataitwa pia?
Hakuna chochote kitachozuia mm kusema,nitasema kweli na nitarudia kusema kweli nikweli cku ,,,tbc wanakataka matangazo jamani kudadedeki tbccc,,,,
Tumezisikia kauli nyingi kutoka kwa viongozi wakuu wa CCM akiwa nzima na Jakaya Kikwete ambaye ni Rais wa nchi na mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama , alisema kuwa katiba ikiruhusu kuwa na serikali tatu , basi jeshi ndio ambalo litachukua nchi , hii ni kauli ya kuamsha hisia za Jeshi kujiandaa kumpindua huyu Rais ajaye wa Tanganyika ............
Lukuvi , leo ameendeleza kauli hizo hizo kuwa jeshi litapindua endapo kutakuwa na serikali tatu ,hii ni kuendeleza kuchochea hisia za Mapinduzi kwenye jeshi letu na kuwaandaa kisaikolojia kuwa kumbe wataweza kuipindua serikali wakati Wowote .
Huu ni muendelezo wa mchezo ambao CCM wamekuwa wakifanya tangu baada ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2010 na walifanya kikao kimoja Kibaha. Na walitoa maelekezo ya hovyo ambayo yalipingwa vikali sana na viongozi wa jeshi waliokuwa wamehudhuria kwenye kongamano hilo la mwaka 2011 na hata 2012 liliitishwa tena , hivyo kauli hizi sio za kupuuzwa hata kidogo , ni lazima zichukuliwe kwa tahadhari kubwa .
Ninategemea kuwa busara za viongozi wa jeshi sasa zitawale naw ajitokeze na waseme hadharani kuwa hawataki kuingizwa kwenye siasa na wawatake wanasiasa kuacha kuwachonganisha na wananchi na jeshi Lao .
Ni vyema sasa Kia mmoja kwa kutumia nafasi yake katika jamii ahakikishe kuwa sasa anatumia kila njia kuwataka viongozi aw CCM na serikali kuacha mara moja kuchochea hisia za Mapinduzi kwa jeshi letu ambalo Lina nidhamu kubwa na ya kuigwa hapa nchini, Afrika na ulimwennguni mwote.