Hardbody
JF-Expert Member
- Jan 25, 2017
- 4,139
- 4,640
Huyo mwingine alikua naniAlikua na mabwana wawili at the same time
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo mwingine alikua naniAlikua na mabwana wawili at the same time
Hatujui nani ila kuna mshikaji namjua alikua anaishi mtwara one week before tragedy lulu akijua mtwara kuliwa alifikia naf blue view hotelHuyo mwingine alikua nani
Kumbe msaada wa komba haukufika mwisho??Nimekumbukaa msaada wa komba captain
hizi mahakama hazitabiriki..... utashangaa Lulu anakula miaka 7 ndanidah kiuzembe uzembe anaweza hukumiwa huyu binti looh japo hatuombei hivyo
May be Pole PoleHuyo mwingine alikua nani
Alikua na mabwana wawili at the same time
Duh hebu nipe ubuyu huyo unayemjua basi aliyekuwa anafaidi mzigo huu[emoji38][emoji38]Hatujui nani ila kuna mshikaji namjua alikua anaishi mtwara one week before tragedy lulu akijua mtwara kuliwa alifikia naf blue view hotel
Msaada wa komba ulianzia gerezanKumbe msaada wa komba haukufika mwisho??
NANI HUYU SASA KAMA ALIKUWA NA PESA AKARUDI USWAZI ? SASA ZIMEISHA AMA NINI ANARUDI TYENA RUMANDE?Mwenye pesa si mwenzakoo
Wangapi wanaua hawapewi dhamana?NANI HUYU SASA KAMA ALIKUWA NA PESA AKARUDI USWAZI ? SASA ZIMEISHA AMA NINI ANARUDI TYENA RUMANDE?
[emoji1] [emoji1] [emoji1]Yule ................ " Sasa kumekuchaa........Jogoo ameshawika Dodoma..... Kada wa............. APEWE KURA ZA NDIO...
Wa mtwara[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] kafa sa hvDuh hebu nipe ubuyu huyo unayemjua basi aliyekuwa anafaidi mzigo huu[emoji38][emoji38]
OK SO UKIWA UKIWA NJE KWA DHAMANA HUWA KESI INASIMAMA NA HUHUDHURII MAHAKAMANI?Kesi ilikuwepo haijaanza upya,yuko nje kwa dhamana na kwa shtaka la manslaughter bail iko kisheria.
THAT I CAN UNDERSTAND MY POINT IS IMEKUWAJE SASA ANARUDI MAHAKAMANI NA NI KAMA VILE KESI ILIISHA ? UKIWA NJE KWA DHAMANA SI INABIDI UWE UNAENDA KUSIKILIZA KESI? KILA INAPOPANGWA IT SEEMS LIKE LULU HAKUWA HATA AKIENDA MAHAKAMANIWangapi wanaua hawapewi dhamana?
R.I.P ShebbyWa mtwara[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] kafa sa hv
Mtaje bac[emoji144][emoji144]Wa mtwara[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] kafa sa hv
Kama kuna kesi ndani ya kesi kama suala la utata wa umri lazima kesi ya msingi isimame,kama ushahidi haujakamilika dpp lazima aukamilishe kwanza.Pia dhamana ina masharti yake na sijawahi sikia Lulu kayakiuka.huenda alikuwa anaripoti mahakamani sisi hatujui.Pamoja na hayo yote ,DPP na jaji muhusika ndo wanajua kwanini hal iko kama ilivyo.Mtuhumiwa haendeshi kesi,yeye anafuata yale anayoelekezwa kufuata basi.OK SO UKIWA UKIWA NJE KWA DHAMANA HUWA KESI INASIMAMA NA HUHUDHURII MAHAKAMANI?
Kama kuna kesi ndani ya kesi kama suala la utata wa umri lazima kesi ya msingi isimame,kama ushahidi haujakamilika dpp lazima aukamilishe kwanza.Pia dhamana ina masharti yake na sijawahi sikia Lulu kayakiuka.huenda alikuwa anaripoti mahakamani sisi hatujui.Pamoja na hayo yote ,DPP na jaji muhusika ndo wanajua kwanini hal iko kama ilivyo.Mtuhumiwa haendeshi kesi,yeye anafuata yale anayoelekezwa kufuata basi.