kiboboso
JF-Expert Member
- Sep 17, 2013
- 9,323
- 12,594
Hivi ni kweli lulu alikuwa kwenye mahusiano na marehemu kanumba? Mbn kwenye ushahidi hapo naona eti chanzo cha ugomvi ni lulu kuongea na boyfriend wake mbele ya kanumba??
Inashangaza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi ni kweli lulu alikuwa kwenye mahusiano na marehemu kanumba? Mbn kwenye ushahidi hapo naona eti chanzo cha ugomvi ni lulu kuongea na boyfriend wake mbele ya kanumba??
SawaaThat is not a murder case. It's man slaughter. The bail is obvious.
Hafungwi.She was under 18 yrs during the incidence.
They were in love relations, The deceased himself call her at nite. No any weapon used.
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] daah tena yuko mahakamani busy na simuKuna mtu ananidai vijisent hapa kanitishia kunipeleka mahakani nilimjibu kama binti lulu anakesi ya mauwaji sembuse mimi ya madai nikamwambia nenda sasa hivi tutapambana huko
Yeah,aliua bila kukusudia,so sheria itafuata mkondo wake na anaweza kula at least 3-10yrs jail!dah kiuzembe uzembe anaweza hukumiwa huyu binti looh japo hatuombei hivyo
Yani mtoto mdogo ila ana mambo makubwa sana sasa kwa umri ule mabwana wawili kweli?ndo mana akampa.pressuee kaka wa watuAlikua na mabwana wawili at the same time
Wanawake wa sikuhizi mnazaa "underage". Huyo mama yake Lulu anaonekana kama pacha wake, yaani makamo sawa, hii imekaaje!
Halafu hii kesi nilijua ilisha malizika kitambo. Hata mamaake marehemu kunakipindi alitamka wazi kwamba kasamehe!
Sasa huyu shetani wa mikesi kaibuka toka wapi tena na ni nani mlalamikaji wa msingi pale?
Malezi ndo yalichangia sana lulu kua vile mama ake ndo wa kulaumiwa 100% aliacha shule form two ili alishe familia mpk kesho mama lulu hana alifanyalo zaidi ya kumtegemea bintiye kuna muda namuonea huruma sana huyu binti kwa kweliYani mtoto mdogo ila ana mambo makubwa sana sasa kwa umri ule mabwana wawili kweli?ndo mana akampa.pressuee kaka wa watu
Manslaughter ina adhabu yake mkuu,ukimkuta jaji kichaa anakutundika maisha as per section 198 ya penal code.That is not a murder case. It's man slaughter. The bail is obvious.
Hafungwi.She was under 18 yrs during the incidence.
They were in love relations, The deceased himself call her at nite. No any weapon used.
alishatangaza kafikisha miaka 18 kabla ya kifo cha kanumba na birthday party alifanya....ila baada ya lile tukio umri wake ulirudi nyuma ghaflaAlishakua 18 tayari ye mwenyewe alisema 18 mamake akaja badili akasema 17
Hayo ni mashauri ya kiraia tuu hayafungi mtu.Deni utapanga namna ya kumlipa usiogope.Kuna mtu ananidai vijisent hapa kanitishia kunipeleka mahakani nilimjibu kama binti lulu anakesi ya mauwaji sembuse mimi ya madai nikamwambia nenda sasa hivi tutapambana huko
[emoji2] [emoji2] [emoji2] tena mpk kwenye magazeti alijinadi kumbe una kumbuka eeeh!alishatangaza kafikisha miaka 18 kabla ya kifo cha kanumba na birthday party alifanya....ila baada ya lile tukio umri wake ulirudi nyuma ghafla
Kanumba aliridhika?Dada zetu tatizo hamridhiki
Kesi hii ina mambo mengi ndani yake,ina vikesi kadhaa ndani yake.Katika jinai hasa domicile lazima mshtak alete ushahid usioacha shaka ili mahakama ifanye kazi yake.Usishangae hukumu ikatoka baada ya miaka si chini ya mitatu kuanzia leo.Pumbavu kabisaaaa toka 2012 mpaka leo bado hakieleweki kitu! Angekuwa kibaka wa mtaani angeshatupwa lupango mudaaaaa
Lakini mazingira ya case hii unayaonaje?Manslaughter ina adhabu yake mkuu,ukimkuta jaji kichaa anakutundika maisha as per section 198 ya penal code.