Lulu apanda kizimbani kwa mauaji ya Kanumba, Seth Bosco atoa ushahidi mkali

Lulu apanda kizimbani kwa mauaji ya Kanumba, Seth Bosco atoa ushahidi mkali

Kesi hii ina mambo mengi ndani yake,ina vikesi kadhaa ndani yake.Katika jinai hasa domicile lazima mshtak alete ushahid usioacha shaka ili mahakama ifanye kazi yake.Usishangae hukumu ikatoka baada ya miaka si chini ya mitatu kuanzia leo.
Heee anaeshitaki si afadhali kuacha arudi msituni akafuge nyuki
We mpaka uchungu wa kufiwa unafutikaaa!
 
Lakini mazingira ya case hii unayaonaje?
Kama atafungwa, ni kifungo cha nje na kutumikia jamii.
Hakuwa na kusudio kabisa.
Ni sawa na mwanaume kufia kwenye kinena.
Kuua bila kukusudia adhabu ya juu ni kifungo cha maisha.Anaweza akaokolea na utetezi wa umri kama ikithbitika alikuwa bado minor,vinginevyo aprove self defense ama vinginevyo.Lakin vyovyote iwavyo sioni Lulu akiwa aquitted,atafungwa walau miaka mitano.Kumbuka kesi ya Pistorius,ilikuwa mistake of fact lakini yuko ndani had leo.
 
Kesi hii ina mambo mengi ndani yake,ina vikesi kadhaa ndani yake.Katika jinai hasa domicile lazima mshtak alete ushahid usioacha shaka ili mahakama ifanye kazi yake.Usishangae hukumu ikatoka baada ya miaka si chini ya mitatu kuanzia leo.
Duuhh
 
Kesi bado iko hai wakati marehemu keshaoza na kuoza.... Heri yeye aliyekufa ameepuka matatizo mengi sana... Imagine ndio ingekuwa vice versa sasa
Ingekuwa mbaya mnoo,jiulize kama angekuwa huyu ndo alikufa marehemu wa sasa angekuwa na mashtaka mangapi na upi ungekuwa mtazamo wa jamii dhidi yake?
 
Hivi ni kweli lulu alikuwa kwenye mahusiano na marehemu kanumba? Mbn kwenye ushahidi hapo naona eti chanzo cha ugomvi ni lulu kuongea na boyfriend wake mbele ya kanumba??
nimejikuta najiuliza!
na huyo boyfriend ni nani?
NAAMBIWA NI ALLY KIBA!
msianze mambo yenu ya teams!
kulikuwa hakuna teams Enzi hiyo!
SO WAT IF LULU ALIKUWA ANAJILINDA NA KANUMBA ALIKUWA ANALAZIMISHA PENZI?
maana kama alikuwa mpenzi wake ,nini tafsiri ya "KWANINI UNAONGEA NA BOYFRIEND WAKO MBELE YANGU"
but najiuliza tena?
KWANINI KANUMBA AHOJI HILO?
means ALIKUWA NA SHARE ZAKE HAPO!
buuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuut ILIKUWA NI MAKUBALIANO YA IT NEEDS TO REMAIN A BEHIND THE CLOSET THING BUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUT hakuna kuonyeshana maboyfriend wala magirlfriend!
MAANA KUMBUKUMBU ZANGU STEVE HAKUWAHI KUTAMBULISHA MWANAMKE IN PUBLIC !
mpk paaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaap LULU KAMUUA NA KUMBE ALIKUWA MPENZI WAKE!

aaaaaaaaaaaaaaargh!
THE VICTIM HAPA NI LULU ZAIDI KULIKO KANUMBA !hata kama yeye ndiye amefariki!
HAKA KATOTO KALIKUWA MOLESTED NA WATU AMBAO MAMA YAKE KWA MAKUSUDI AU BAHATI MBAYA ALIWAKABIDHI !

NATAMANI MAMA MTU NDIYE AWE MTUHUMIWA!
 
Malezi ndo yalichangia sana lulu kua vile mama ake ndo wa kulaumiwa 100% aliacha shule form two ili alishe familia mpk kesho mama lulu hana alifanyalo zaidi ya kumtegemea bintiye kuna muda namuonea huruma sana huyu binti kwa kweli
Wa kulaumiwa hapa ni wengi ,wengi sana,baba yake,wababa watu wazima waliomuingiza mtoto katika dunia ovu,wakamkatili utoto wake.Kuna wale walioweka mbele ya luninga wakamfanua kuwa maarufu hadi kujiona yuko juu ya wengine hata waliomzidi umri.Na wale waliomshabikia,mamlaka zilizozembea hadi mtoto akaacha shule? Hapa namkumbuka King crazy Gk na sauti ya Manka.je,yawezekana hii ndiyo sauti ya Manka aliyoiimba msanii huyu?
 
Naomba ufafanuzi. Ili nijue nisije pata nami kesi ya mauaji.
Unyenyekevu na upole ndiyo sifa ya mwanamke wife material,ukiona mmeanza kutunishiana misuli kumbuka kuna njia nyingine ya maisha.Hata hivyo,wanaume pia tujue maisha ya kuburuzana huu siyo wakati wake,kama mtu anaongea na boyfriend wake mbele yako na ukadhihirisha mwache afanye apendavyo.Kinyume na hapo,Hayeshi majuto yatokanayo na ubabe huo.
 
SETH NI SHAHIDI !
alimkuta kanumba akiwa amefariki!
baada ya kuitwa na lulu mwenyewe!
1)NINI KINATHIBITISHA KUWA NDANI WALIKUWEPO WAO WATATU?
2)LULU SASA HIVI TU ANA KAUMBO KAMA DIAMOND KARANGA,MIAKA MITATU SIJUI MINNE ILIYOPITA SI NDO ALIKUWA SAWA NA KASHAYIRI KACHANGA!

NAMUWAZA KANUMBA NA UREFU WAKE !
NA NGUZU ALIZOKUWA ANAONEKANA ANAZO,ALIKUWA NA TUSIX PAX TWAKE SI HABA!,LULU ALIMSHINDAJE NGUVU?

3)NANI ANATHIBITISHA KUWA ANAYOSEMA LULU NI KINYUME NA ANACHOSEMA SETH?
 
nimejikuta najiuliza!
na huyo boyfriend ni nani?
NAAMBIWA NI ALLY KIBA!
msianze mambo yenu ya teams!
kulikuwa hakuna teams Enzi hiyo!
SO WAT IF LULU ALIKUWA ANAJILINDA NA KANUMBA ALIKUWA ANALAZIMISHA PENZI?
maana kama alikuwa mpenzi wake ,nini tafsiri ya "KWANINI UNAONGEA NA BOYFRIEND WAKO MBELE YANGU"
but najiuliza tena?
KWANINI KANUMBA AHOJI HILO?
means ALIKUWA NA SHARE ZAKE HAPO!
buuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuut ILIKUWA NI MAKUBALIANO YA IT NEEDS TO REMAIN A BEHIND THE CLOSET THING BUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUT hakuna kuonyeshana maboyfriend wala magirlfriend!
MAANA KUMBUKUMBU ZANGU STEVE HAKUWAHI KUTAMBULISHA MWANAMKE IN PUBLIC !
mpk paaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaap LULU KAMUUA NA KUMBE ALIKUWA MPENZI WAKE!

aaaaaaaaaaaaaaargh!
THE VICTIM HAPA NI LULU ZAIDI KULIKO KANUMBA !hata kama yeye ndiye amefariki!
HAKA KATOTO KALIKUWA MOLESTED NA WATU AMBAO MAMA YAKE KWA MAKUSUDI AU BAHATI MBAYA ALIWAKABIDHI !

NATAMANI MAMA MTU NDIYE AWE MTUHUMIWA!
Umeongea kwa satire ila kuna facts kuntu,mtoto alidhulumiwa sana huyu.Twaweza muhukumu leo hapa kwa dunia lakini huko kwa Mungu majuto yatakuwa mengi,jamii ilimdhulumu,marehemu alimdhulum,wazazi walimdhulum,mfumo ulimdhulum nk.Yatosha kuombana radhi na kuachana na mkondo wa sheria.
 
OK SO UKIWA UKIWA NJE KWA DHAMANA HUWA KESI INASIMAMA NA HUHUDHURII MAHAKAMANI?
Kesi za mauaji huwa zinachukua muda kusikilizwa kutokana na upungufu wa majaji ambao huwa wanasikiliza kesi hizo...Waliopo magerezani tu wanakaa hadi miaka mitatu bila kesi zao kusikilizwa, hawa wenye dhamana ndo huchukua muda mrefu zaidi hata miaka 10 ndo kesi ikaanza, na hata hii ikija kuhairishwa baada ya kusikilizwa inawezachukua miaka saba tena ndo ikatolewa hukumu
 
Wa kulaumiwa hapa ni wengi ,wengi sana,baba yake,wababa watu wazima waliomuingiza mtoto katika dunia ovu,wakamkatili utoto wake.Kuna wale walioweka mbele ya luninga wakamfanua kuwa maarufu hadi kujiona yuko juu ya wengine hata waliomzidi umri.Na wale waliomshabikia,mamlaka zilizozembea hadi mtoto akaacha shule? Hapa namkumbuka King crazy Gk na sauti ya Manka.je,yawezekana hii ndiyo sauti ya Manka aliyoiimba msanii huyu?
Daah!so sad ila mama hawezi kutoka kwenye hili kwa kweli!hao wengine wataingia padogo sana ila mama kama mama kwa nini alishindwa Kumlinda mwanawe?!
Wangapi wanalelewa na mzazi mmoja na wanakua vzr?huyu mama naskia back then wanakaa manzese alikua anazunguka bar na mtoto na kuanza kusema mcheki mwanangu alivyo mzuri akikua ntapata sana hela kwake

Kwa hyo toka mtoto alishamuandaa aje kua wa namna gani huyu mtoto na angekua mama bora baada ya matatizo angejifunza badala yake karudi anaanza tena kumuuza bintiye kwa kina Komba,Seki n.k!!Naskia (not sure)alishawah mnunulia Bodaboda asimamie bimkubwa Yule pesa akawa analewea hovyo yaani tafrani tu

Sasa ni mama gani huyooo(Godforbid)!!
 
Back
Top Bottom