Raynavero
JF-Expert Member
- Apr 29, 2014
- 38,378
- 56,047
Hii bongo kakaa hafungwi mtuKuua bila kukusudia adhabu ya juu ni kifungo cha maisha.Anaweza akaokolea na utetezi wa umri kama ikithbitika alikuwa bado minor,vinginevyo aprove self defense ama vinginevyo.Lakin vyovyote iwavyo sioni Lulu akiwa aquitted,atafungwa walau miaka mitano.Kumbuka kesi ya Pistorius,ilikuwa mistake of fact lakini yuko ndani had leo.