Lulu apanda kizimbani kwa mauaji ya Kanumba, Seth Bosco atoa ushahidi mkali

Lulu apanda kizimbani kwa mauaji ya Kanumba, Seth Bosco atoa ushahidi mkali

alishatangaza kafikisha miaka 18 kabla ya kifo cha kanumba na birthday party alifanya....ila baada ya lile tukio umri wake ulirudi nyuma ghafla
Na bado hapo hapo kaficha umri wake

She's 25 yrs old now!
 
Lakini mazingira ya case hii unayaonaje?
Kama atafungwa, ni kifungo cha nje na kutumikia jamii.
Hakuwa na kusudio kabisa.
Ni sawa na mwanaume kufia kwenye kinena.
ndo maana hilo kosa likaitwa "kuua bila kukusudia" kwa sababu hilo kusudio halikuwepo lakini ndo keshaua! umeelewa?
 
nimejikuta najiuliza!
na huyo boyfriend ni nani?
NAAMBIWA NI ALLY KIBA!
msianze mambo yenu ya teams!
kulikuwa hakuna teams Enzi hiyo!
SO WAT IF LULU ALIKUWA ANAJILINDA NA KANUMBA ALIKUWA ANALAZIMISHA PENZI?
maana kama alikuwa mpenzi wake ,nini tafsiri ya "KWANINI UNAONGEA NA BOYFRIEND WAKO MBELE YANGU"
but najiuliza tena?
KWANINI KANUMBA AHOJI HILO?
means ALIKUWA NA SHARE ZAKE HAPO!
buuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuut ILIKUWA NI MAKUBALIANO YA IT NEEDS TO REMAIN A BEHIND THE CLOSET THING BUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUT hakuna kuonyeshana maboyfriend wala magirlfriend!
MAANA KUMBUKUMBU ZANGU STEVE HAKUWAHI KUTAMBULISHA MWANAMKE IN PUBLIC !
mpk paaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaap LULU KAMUUA NA KUMBE ALIKUWA MPENZI WAKE!

aaaaaaaaaaaaaaargh!
THE VICTIM HAPA NI LULU ZAIDI KULIKO KANUMBA !hata kama yeye ndiye amefariki!
HAKA KATOTO KALIKUWA MOLESTED NA WATU AMBAO MAMA YAKE KWA MAKUSUDI AU BAHATI MBAYA ALIWAKABIDHI !

NATAMANI MAMA MTU NDIYE AWE MTUHUMIWA!
how LuLu ndo awe Victim? Kanuni ni kwamba ukiwa victim you should always be the same,but once you commit an offence you are now turning into culprit/criminal...status ya uvictim inafia hapo....pengine mwanzoni Lulu ndo angeweza kuwa victim kama unavyosema ila mara tu alipohusishwa n haya mauaji basi ameshageuka na kuwa suspect/culprit na kwa sasa ni accused,wakimkuta na hatia tutamuita convict.
 
Hao ni mabwana wawili ambao wamefahamika,bado ambao jamii haiwajui,huyo dogo anawakilisha madada ambao hawaridhiki na mwanaume mmoja,hawajiheshimu na wanatia aibu familia zao na watu wanaojiheshimu.

Kwa hali ilivyo huyo dogo kwenye mambo ya multiple relations atakua kakubuhu na yawezekana kwakua na idadi kubwa ya wanaume hivyo,anakutana na wanaume wengine ambao siyo wastaarabu wanamla tigo na anaweka siri kama ambavyo alikua anamficha Kanumba kua hana mwanaume mmoja.

Hao ni mabwana wawili ambao wamefahamika,bado ambao jamii haiwajui,huyo dogo anawakilisha madada ambao hawaridhiki na mwanaume mmoja,hawajiheshimu na wanatia aibu familia zao na watu wanaojiheshimu.

Kwa hali ilivyo huyo dogo kwenye mambo ya multiple relations atakua kakubuhu m
Yupo mshikaji namfahamu kbs alimwambia mtt fly to Kia jamaa akajilia mzigo kwenye Hotel ya Snow Crest,hio kama sikosei ni mwaka 2014
 
Kama alikua na wanaume wote hao toka mdogo i hope Lulu atakua na mtoto
 
Seth Kakonda Jamani,angekuwepo star number Moja Tanzania maisha yao yasingekuwa yalivyo,Mama Kanumba afungue kesi ya kumuomba fidia Lulu,ingawa hakuna dau litakaloziba pengo la Kanumba ila walau apate hela za kumsaidia.Maana mwanae angekuwepo nina hakika hata mama Naseeb asingeona ndani kwa Mama Kanumba.
 
ila mleta uzi hajatutendea haki..ilibidi unukuu walau maswali mawili matatu ambayo upande wa utetezi uliyauliza katika kum cross examine huyo shahidi namba moja wa upande wa mashtaka...maana hiyo ni stage muhimu sana katika kuibua shaka ya maana (reasonable doubt) juu ya ushahidi uliotolewa na huyo shahidi...au defence hawakuwa na maswali?
 
Mkuu Lulu alikua anapigwa hadi picha amezima Club kabla ya hilo tukio so hata Kanumba sidhan kama alikua mwanaume wake wa kwanza though kisheria haiwez kuwa utetezi
Sana tu lulu ameanza uhuni toka yuko mdogo kanumba ni victim tu!
 
Mwingine ni nani? Ccm mbele kwa mbele au Pasua kichwa?
Pasua kichwa ndo first love wake!!and after incident mtu wa kwanza kumpigia simu ni pasua kichwa ndo akamfata fasta kumkimbiza eneo la tukio!

Yule hakua na mmoja maana ile siku j3 kipindi cha mkas kinarushwa dogo nilikua nae airport mtwara alienda kwa mshikaji mmoja kuliwa
 
kabisa!
HUYU MAMA NDIYE ANASTAHILI YOTE YALIYOMKUTA HUYU MTOTO!
mtoto wa miaka nane ,unamuacha na WANAUME BAKI(hao ndugu tu mtihani)
UNAMUACHA NA WANAUME BAKI!WANAKAA KAMBINI SIJUI KAMBINI ATI WANAIGIZA IGIZO!
LEO MIMI SIMUONI LULU KUWA NI TATIZO!
HUYU MTOTO ALIONEWA NA JAMII ILIYOMZUNGUKA!
HUKU CHENI HUKU RAY HUKU KANUMBA HUKU CHEKIBUDI HUKU MAMA ANAJIVUNIA AMEZAA MTOTO MZURI HAWEZI KUISHI KWA SHIDA !
walioishi tabata na huyu mama wataelewa ninachozungumza!
TO ME LULU NI VICTIM!

kanumba na wengine WALIMUUA HUYU MTOTO AKIWA HAI!
UNAPOINFLUENCE MTOTO ASISOME
UNAPOINFLUENCE MTOTO AONE MWILI WAKE NDIO MGODI WAKE
UNAPONFULENCE MTOTO ASIJALI UTU WA MWILI WALA NAFSI YAKE
COME TO THINKC OF WANAUME AMBAO LULU AMEWAHI KUWA NA MAHUSIANO NAO?
mimi na uzee wangu sipandi kwa mtu kama marehemu wa TOT!
HUYU ALIULIWA AKIWA HAI!
UNAPOUA NAFSI NA UTASHI WA MTU HUMBAIKIZI SALAMA!
SIONI AJABU YOYOTE YA HAYA YANAYOMKUTA!
NAUMIA KAMA MZAZI WA KIKE
NAUMIA KAMA MAMA WA MABINTI
NAUMIA KAMA MWALIMU

Maneno yako yanauma sana. Dunia inamhukumu Lulu akiwa mtoto mdogo sana, sio haki. Hili tukio lilitokea akiwa mtoto, Mungu amsaidie. Maisha yamembebesha mzigo mzito hadi nafikir akiwaza hata yeye hutamani angekufa tu siku hiyo.
 
Ye Seth alishuudia uyo kanumba akisukumwa au alidondok tu mwenyew na stress zk za u freemason achen izo nyie polis
 
Back
Top Bottom