Na bado hapo hapo kaficha umri wakealishatangaza kafikisha miaka 18 kabla ya kifo cha kanumba na birthday party alifanya....ila baada ya lile tukio umri wake ulirudi nyuma ghafla
ndo maana hilo kosa likaitwa "kuua bila kukusudia" kwa sababu hilo kusudio halikuwepo lakini ndo keshaua! umeelewa?Lakini mazingira ya case hii unayaonaje?
Kama atafungwa, ni kifungo cha nje na kutumikia jamii.
Hakuwa na kusudio kabisa.
Ni sawa na mwanaume kufia kwenye kinena.
how LuLu ndo awe Victim? Kanuni ni kwamba ukiwa victim you should always be the same,but once you commit an offence you are now turning into culprit/criminal...status ya uvictim inafia hapo....pengine mwanzoni Lulu ndo angeweza kuwa victim kama unavyosema ila mara tu alipohusishwa n haya mauaji basi ameshageuka na kuwa suspect/culprit na kwa sasa ni accused,wakimkuta na hatia tutamuita convict.nimejikuta najiuliza!
na huyo boyfriend ni nani?
NAAMBIWA NI ALLY KIBA!
msianze mambo yenu ya teams!
kulikuwa hakuna teams Enzi hiyo!
SO WAT IF LULU ALIKUWA ANAJILINDA NA KANUMBA ALIKUWA ANALAZIMISHA PENZI?
maana kama alikuwa mpenzi wake ,nini tafsiri ya "KWANINI UNAONGEA NA BOYFRIEND WAKO MBELE YANGU"
but najiuliza tena?
KWANINI KANUMBA AHOJI HILO?
means ALIKUWA NA SHARE ZAKE HAPO!
buuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuut ILIKUWA NI MAKUBALIANO YA IT NEEDS TO REMAIN A BEHIND THE CLOSET THING BUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUT hakuna kuonyeshana maboyfriend wala magirlfriend!
MAANA KUMBUKUMBU ZANGU STEVE HAKUWAHI KUTAMBULISHA MWANAMKE IN PUBLIC !
mpk paaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaap LULU KAMUUA NA KUMBE ALIKUWA MPENZI WAKE!
aaaaaaaaaaaaaaargh!
THE VICTIM HAPA NI LULU ZAIDI KULIKO KANUMBA !hata kama yeye ndiye amefariki!
HAKA KATOTO KALIKUWA MOLESTED NA WATU AMBAO MAMA YAKE KWA MAKUSUDI AU BAHATI MBAYA ALIWAKABIDHI !
NATAMANI MAMA MTU NDIYE AWE MTUHUMIWA!
Yupo mshikaji namfahamu kbs alimwambia mtt fly to Kia jamaa akajilia mzigo kwenye Hotel ya Snow Crest,hio kama sikosei ni mwaka 2014Hao ni mabwana wawili ambao wamefahamika,bado ambao jamii haiwajui,huyo dogo anawakilisha madada ambao hawaridhiki na mwanaume mmoja,hawajiheshimu na wanatia aibu familia zao na watu wanaojiheshimu.
Kwa hali ilivyo huyo dogo kwenye mambo ya multiple relations atakua kakubuhu na yawezekana kwakua na idadi kubwa ya wanaume hivyo,anakutana na wanaume wengine ambao siyo wastaarabu wanamla tigo na anaweka siri kama ambavyo alikua anamficha Kanumba kua hana mwanaume mmoja.
Hao ni mabwana wawili ambao wamefahamika,bado ambao jamii haiwajui,huyo dogo anawakilisha madada ambao hawaridhiki na mwanaume mmoja,hawajiheshimu na wanatia aibu familia zao na watu wanaojiheshimu.
Kwa hali ilivyo huyo dogo kwenye mambo ya multiple relations atakua kakubuhu m
[emoji23] [emoji23] [emoji23] wote hao ila kila mmoja kwa wakati wakeMwingine ni nani? Ccm mbele kwa mbele au Pasua kichwa?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Fanya yako ndugu ...ishu zangu hazikuhusu ...
Ss ww ulitaka wote humu ndani tuwe wanasheria?...[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]Nimegundua watu wengi humu ndani ni viazi kabisa linapokuja suala la sharia.
Haijatumika sana. Kitu mnatooKwanini Kanumba alitaka kutembea na binti ambaye alkua chini ya miaka 18?
Yap kafa pia[emoji2] [emoji2] [emoji125] [emoji125] [emoji125] sheby mix matelephone🙁😵 na huyo alikufa?
Sana tu lulu ameanza uhuni toka yuko mdogo kanumba ni victim tu!Mkuu Lulu alikua anapigwa hadi picha amezima Club kabla ya hilo tukio so hata Kanumba sidhan kama alikua mwanaume wake wa kwanza though kisheria haiwez kuwa utetezi
Pasua kichwa ndo first love wake!!and after incident mtu wa kwanza kumpigia simu ni pasua kichwa ndo akamfata fasta kumkimbiza eneo la tukio!Mwingine ni nani? Ccm mbele kwa mbele au Pasua kichwa?
Mi nashangaa kaua yupo uraiani babu seya kasingiziwa kapigwa maisha
kabisa!
HUYU MAMA NDIYE ANASTAHILI YOTE YALIYOMKUTA HUYU MTOTO!
mtoto wa miaka nane ,unamuacha na WANAUME BAKI(hao ndugu tu mtihani)
UNAMUACHA NA WANAUME BAKI!WANAKAA KAMBINI SIJUI KAMBINI ATI WANAIGIZA IGIZO!
LEO MIMI SIMUONI LULU KUWA NI TATIZO!
HUYU MTOTO ALIONEWA NA JAMII ILIYOMZUNGUKA!
HUKU CHENI HUKU RAY HUKU KANUMBA HUKU CHEKIBUDI HUKU MAMA ANAJIVUNIA AMEZAA MTOTO MZURI HAWEZI KUISHI KWA SHIDA !
walioishi tabata na huyu mama wataelewa ninachozungumza!
TO ME LULU NI VICTIM!
kanumba na wengine WALIMUUA HUYU MTOTO AKIWA HAI!
UNAPOINFLUENCE MTOTO ASISOME
UNAPOINFLUENCE MTOTO AONE MWILI WAKE NDIO MGODI WAKE
UNAPONFULENCE MTOTO ASIJALI UTU WA MWILI WALA NAFSI YAKE
COME TO THINKC OF WANAUME AMBAO LULU AMEWAHI KUWA NA MAHUSIANO NAO?
mimi na uzee wangu sipandi kwa mtu kama marehemu wa TOT!
HUYU ALIULIWA AKIWA HAI!
UNAPOUA NAFSI NA UTASHI WA MTU HUMBAIKIZI SALAMA!
SIONI AJABU YOYOTE YA HAYA YANAYOMKUTA!
NAUMIA KAMA MZAZI WA KIKE
NAUMIA KAMA MAMA WA MABINTI
NAUMIA KAMA MWALIMU