Lulu arudi chuo, anachukua telecommunication engineering

yuko UDSM? hehee labda atumie njia mbadala kupennya. Tena kasema ' anachukua' sio anasoma mweee!
 
Iyo filamu ishatoka? Itauzwa kopi bei gani? Au ni title ya filamu tu?.
 
Lulu naye! Anadhani hatujui anasoma hapo Magogoni hicho chuo kinaandaa masekretari.. Na wako kwenye mitihani kuanzia wiki jana.

Siku hizi ukisoma MS Word na XL Unasoma Engineering???[emoji23] [emoji23]
Hapo sasa ndipo wanaponishangaza!
 
Huyu binti anasoma Telecommunication engineering? Aisee!! Isije ikawa hata hajui anasoma nini maana akili zake ni hatua saba mbele. Na chuo kipi? Maana siku hizi mpaka Dar Star College, Amazon College, English Fountain wanatoa kozi hizi. Ikiwa huyu binti anasoma hii course na kwenye reputable institution, basi nachana cheti cha MBA na kurudi shule upya kwenye eneo la Telecommunication engineering.
 
Yaani hawa wasanii uchwara wanavyoropokaga hadi kero.... Kwenda hapo magogoni secretary ndo keshakuwa engineer?!.. Majizzo ana kazi asee
 
Hahahah akiweza zile tan na cos basi atasoma hadi phd
 
Lulu naye! Anadhani hatujui anasoma hapo Magogoni hicho chuo kinaandaa masekretari.. Na wako kwenye mitihani kuanzia wiki jana.

Siku hizi ukisoma MS Word na XL Unasoma Engineering???[emoji23] [emoji23]
Haaaaaa[emoji2][emoji2]
 

Acheni utani na taaluma za watu jamani,

Haya kwa kuanzia tu, weka matokeo yake ya kidato cha nne hapa na A level.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…