Lulu arudi chuo, anachukua telecommunication engineering

Jaman mbona kasema anasoma Human resources,alianza certificate naona sa ivi yuko diploma
 
"Nikitaka mke jasiri,Nitatuma mshenga kwa Lulu"
 
Ni Engineering ya Professor Maji Marefu.
 
Kama engineering ni rahisi hivyo wacha na mie nikasome hiyo course
 
Atakuwa amewatia hasira sana maengineer, huu ni ukosefu wa adabu na heshima kwa board.
 
shule kama hizi ni mizigo kwa taifa. hayo madarasa ni bora wapewe wafanya biashara wa kuku wafugie kuku. yani shule ina div 4 na zero tu!!
Hahahahaha....dah sina mbavu.... iko kule Mongo la ndege....Hahaha
 
Watu wanajua kuremba bwana, sasa MS Office inaitwa Software Engineering, kama Mwajuma ukimuuliza unaitwa nani anakwambia Mwa-J.
Halafu hao wanaosema ms office ndo sw engineering hebu waulize kaswali kadogo tu kuhusu labda nini maana ya prototyping utacheka mpaka upaliwe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…