Shakula ya mutoto hiyooooo
Eti chakula ya mutoto.....na isije tu ikatokea akasinzia wakati ananyonyesha.......likamlalia huyo mtoto kwishney..........
Wanaposema bongo muvi zinalipa huwa unaelewaje kwani ?.........na hakuna cha maana wanachofanya kwenye hizo muvi zaidi ya kuvaa, kuendesha magari na make up.....
chakula ya mutoto inaachwa nje njeShakula ya mutoto hiyooooo
hivi hao watoto wa mawaziri wanawapataga wapi..........
Baba zao tupo.
Hahahahaaa
Polepole nipo chumbani.
anakumbuka shuka kumeshakucha.........
alivyyokuwa anahongwa na njemba la T.O.T hakujua haya
Heheheeeee..chumbani! Maya ukitoka nishtue
Nikushtue ufanyaje?
Nikusalimie
Ingia chumba namba mbili a.k.a PM.
mie nikajua ukiigiza tu unatoka....watu wanaendesha ndinga za maana
ushindwe wewe sasa kumhonga
Haka kabinti kuna mshkaji anakamega huku atown mara nyingi wkend kako huku
Dinazarde Heaven on Earth qn of sheba kuna fursa huku.Jamaa yuko sawa financial yani yuko sawa kuhonga magari wadada kwake kawaida sana, hapa twn wko kibao ambao wamepata ist, rav4 na volkswagen toureg