tweenty4seven
JF-Expert Member
- Sep 21, 2013
- 15,863
- 19,626
Wamtafute fursa z kumwaga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
tweenty4seven tupatie namba plzTeh teh aweke namba ya simu basi
Wamtafute fursa z kumwaga
Waongaji sasa hivi wako bize kutengeneza katiba
Duh, hadi kibamia changu kimesinyaa
Yaani mabinti wengi mikoani wanaitamani tasnia ya filamu kwa kuwaangalia wenzao akina Aunty, Wema, Lulu, Odama, Kajala na wengineo....kumbe ukweli ni kuwa filamu inatumiwa kama platform tu ya kuwaweka sokoni wageuzwe "sex slaves" na wenye nazo....
Na ukweli ni kuwa tasnia hii ya filamu ilipaswa kuwa kioo cha jamii na kuheshimiwa sana, na sio haya madudu yanayofanyika.
hahaaaaa kazi kweli kweli... mtu kaanza kuigiza juzi juzi unashangaa kaibuka na ndiga la maana
sa unajiuliza ni movie hizi hizi ama mbona kina bi mwenda wameigiza miaka nenda rudi lakin hamna kitu
Baba zao tupo.
kamata fursa twenzetu
Akili kumkichwa shosti...
Mambo best
Kumbe una kibamia asante kwa taarifa
hahhaaaaaaaaa umenichekeshaje
Tuchangamkie haraka
Tena mwambie best yako H.O.E kuwa nawasubiri ghorofa ya juu, chumba namba mbili a.k.a PM, sawa?
mheshimiwa Masaki ,suala la kujichukulia shria mikononi ni fano mkubwa ambao unaonyesha jinsi gani sheria imeoza nchini,angalia jeshi la police jinsi lilivyokuwa duni hawana communication ya kutosha ,magari na vyombo vingine vya mawasiliano vimeshindikana kupatikana kutoka kwa government hii inachangia sana kwa jeshi hilo kutofanya kazi zake kwa ufanisi zaidi,hapa wa kulaumiwa ni serikali na wla sio hao police kwani kama serikali ikihitaji watu hawa kufanya kazi zao kikamilifu watazifanya.Serkali lazima ifanye investment kubwa sana katika jeshi la usalama wa raia (police)kama walivyoinvest katika jeshi,kama kuna kijinchi kitakachojaribu kutuletea tabu basi9 hapo ndipo mtajionea jinsi gani imewekeza ndani ya jeshi letu,na vivyo hivyo inaweza ikafanyika kwa jeshi la police.Vibaka wote watakapoyeyukia hatutojua.
peace!!!