Wala mimi sio mdogo hivyo, mtu mzima ila siwajui hao nahisi huo ni ubuyu wa wahenga zaidi maana nisingekosa kuujua kama ulikuwa hot hata kama ni enzi nakua.π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£ Dash! Umenichekesha sana.
Huwajui George Mpoji na Amanda?
Jeff mshauri na mshikaji wao wa karibu?
Itakuwa bado wewe ni under 23.
Ila hawa wana mapenzi yalikuwa moto haijawahi tokea. Waulizie wajanja wa enzi hizo watakuambia.
Hatari sana MkuuKuna dogo alipata mgao wa mirathi 30m+. Pesa aliyeyushia Dar na Dubai na maslayqueen wa Instagram wenye misambwanda. Kaishiwa na sasa kajificha kwa dada yake π€£
Pesa+upwiru=0
Nacharo ni mwingineHivi unajua wewe ndio umenifumbua akili? Kumbe ni Nambua?
Jamani jamani!
Na hizi lingerie za Nacharo ni za kwake? Haki sijui mengi kumbe? Loh ππΎππΎ
Huu ndio uzuri wa thread ya umbea, unatoa na kupokea umbea mpya.
Babu umechachukaaaaHatari sana Mkuu
Bora kuplay low
After all Ukienda Uzaramoni kule unajikamatia vigoli vyako Cheap na mambo wanajua kuliko hao Slay queens ambao ukiachana na kufuga Kucha ndefu hakuna Kitu wanaweza kwa bed.
Sio kutest mic one check ama Kumwaga Mauno ya Mkoleni, kote ni zero tu afu unakuta umetumia hela nyingi kumpata
Kuna kitu kinaitwa fantasy. Kila siku ushazoea kumuona slayqueen na tako lake akilipost Instagram, Facebook, YouTube, kwenye Tv. Unakuwa na matamanio ya hali ya juu, unakaa unawaza uko unapiga doggy huku tako KUBWA limepakwa wese,linatetemeka. Unakuwa nusu chizi, unatafuta pesa kwa nguvu ili kutimiza fantasy hizo. Pesa ukizipata sasa .......ndio mtu unamwaga hela kama atm mbovu isiyo na password π€£. Mpaka hela iishe ndio akili inarudi π€£Hatari sana Mkuu
Bora kuplay low
After all Ukienda Uzaramoni kule unajikamatia vigoli vyako Cheap na mambo wanajua kuliko hao Slay queens ambao ukiachana na kufuga Kucha ndefu hakuna Kitu wanaweza kwa bed.
Sio kutest mic one check ama Kumwaga Mauno ya Mkoleni, kote ni zero tu afu unakuta umetumia hela nyingi kumpata
Khanifah, it seems you are good at everything you do, hongera sana.View attachment 2844883View attachment 2844884Yes, ni Elizabeth Michael βLuluβ na Ali Saleh Kiba βAli Kibaβ mapenzini, enzi na enzi!
Mnakumbuka wakati msiba wa Kanumba unatokea kulisemekana kutokea ugomvi uliopelekea Lulu kumsukuma Kanumba ndio kuanguka na kufariki?
Chanzo ni simu kutoka kwa Ali Kiba kwenda kwa Lulu.
Lulu alienda kwa Kanumba waliyekuwa na miadi naye, na in fact yule (Kanumba) ndiye alikuwa mpenzi rasmi, huku Ali Kiba akila kisela kama kawaida, ila kwa mapenzi mazito!
Basi⦠ndipo Lulu kusikika akiongea kwa simu na mwanaume kimahaba, alipotakiwa kusema ni nani ndipo ukazuka ugomvi ulioliacha taifa na simanzi!
PENZI NI ZITO!
Jamani mnaambiwa hawa watu ni wanapendana kuliko mnavyoweza kufikiri! Yale mahaba ya Vee & Rotimi hayaoni ndani!
Na wanavyoyaendesha mapenzi yao wanajua wenyewe! Maana kila mmoja ni mkavu hadharani, mwanaume akatangulia kuoa, mwanamke nae akaolewa!
Ila wakutanapo moto huwaka! Nyasi huchanika!
Ni wanapendana hakuna mfano!
Najua mtajiuliza kama mimi nilivyojiuliza wakati nahakiki huu ubuyu, inawezekana vipi?
Yule Majizo ni mume rasmi tu wa hadhira, na huku Ali akiwa ameshatengana na mkewe Amina (japo talaka bado) hivi sasa akiwa na Babe Sherie, kote huko wanazuga tu.
Moyo wa Lulu uko kwa Ali Kiba, Ali nae Lulu ndio mwanamke wa maisha yake!
ACHANA NA SALAMAβ¦
Ndio, Lulu huwa anasagana na Salama Jabir, Ece Jay⦠huyohuyo! Kwa kitambo tu.
Na huwa ni pale Lulu anapokuwa na mastress yake anayopewa na mumewe anayetuhumiwa kujihusisha na mapenzi ya jinsia moja zaidi na mtangazaji maarufu kutokea Arusha, huwa anaenda zake kwa Salama wanatoana cheche stress zake zikipoa anarudi kuendelea na ndoa yake!
ACHANA NA NDAMA MUTOTO YA NGβOMBE!
Si mnaonaga Lulu anavyotuchamba βCatch the flight not the feelings β?
Ndio hivyo, akishapewa stress zake huko na mumewe au akiwa na shida zake za hela (Majizo bakhili)anamtafuta mubaba wake, anampandia ndege Ndama anaenda kutulizwa na kuondoka na maokoto yake.
ALI KIBA NDIO ZAIDI
Achana na hao woooote! Hakuna aliyeweza kusuuza moyo wa Lulu kama Ali Kiba. Ali ndio kiboko ya wote, mwanaume wa maisha yake!
Wanapeana nini? Sitaki kusema zaidi, ila wote inasemekana ni mahodari wa mchezo mbaya, mchezo haramu uliokaripiwa kwa karipio kali katika vitabu vyote vya dini! Mchezo ulioangamiza kila kiumbe katika mji ulioshindikana kuishi kwa kiumbe chochote hadi hii leo!
Hayo ndio maisha ya mastaa na vimbwanga vyao!
Leo team kataa ndoa wataondoka na ushindiβ¦
Wasalaam,
Nifah.
Kipindi hicho sasa huu muda wa maongezi kupitia simu ilikuwa ni kwa kukwangua karatasi (hakuna kuunga bundle wala soft),sasa hizo karatasi tulikuwa tunaziita dollar,mfano ilikuwa inaanzia dollar 1,2, 5 ...sasa hawa wapenzi muda mwingi walikuwa wakitembelea sana Magomeni Morocco na maeneo mengine.Wala mimi sio mdogo hivyo, mtu mzima ila siwajui hao nahisi huo ni ubuyu wa wahenga zaidi maana nisingekosa kuujua kama ulikuwa hot hata kama ni enzi nakua.
Ungesema walau kidogo, mbona watu mnakuwa wachoyo jamani wakati mimi nawapa maubuyu for free?
Hahahaha...............kwa kweli Mkuu, ndiyo maana kuna msemo "Vunja Mifupa kama meno yapo"Kuna kitu kinaitwa fantasy. Kila siku ushazoea kumuona slayqueen na tako lake akilipost Instagram, Facebook, YouTube, kwenye Tv. Unakuwa na matamanio ya hali ya juu, unakaa unawaza uko unapiga doggy huku tako KUBWA limepakwa wese,linatetemeka. Unakuwa nusu chizi, unatafuta pesa kwa nguvu ili kutimiza fantasy hizo. Pesa ukizipata sasa .......ndio mtu unamwaga hela kama atm mbovu isiyo na password π€£. Mpaka hela iishe ndio akili inarudi π€£
Sijataja jina la mtu.Unamuongelea Cassandra au π π π π
Halafu kweli mtoto kafanana na kaka mtu
Ila wale kwao wanafanana sana
π€£Hahahaha...............kwa kweli Mkuu, ndiyo maana kuna msemo "Vunja Mifupa kama meno yapo"
Ila roho inauma unapoagiza mzigo alafu Ukute yaliyomo hayamo π
Michepuko..[emoji1787][emoji1787]Kuna muda mahusiano yanakua hayaeleweki. Sasa majizo bahiri hadi kwa mkewe pesa zake anazipeleka wapi!?
Hahahaha.................Ningeambiwa niwape seminar Wanawake na Mabinti, ni kuwa Muda wanaoutumia Saluni bora wautumie kujifunza Kumridhisha Mwanaume.Babu umechachukaaaa
Kwa kweli Mkuuπ€£
Hiyo ni hasara kwa mnunuzi.
Hao maslayqueen ni umaarufu unawabeba. Wengine ni wazito zaidi ya Gogo yaani wazito kama karavati. Ila sikuhizi wamebuni mbinu mpya ya kuonesha kuwa wako flexible na wepesi ndio maana wanapost wapo gym. Ile kupost gym ni mbinu ya kuonesha wako flexible. Unganisha dots kwa nini slayqueen wengi siku hizi wanapost wapo gym?Kwa kweli Mkuu
Mara mia kuchukua Kuku wa Kienyeji, wengi huwa ni mafundi kuliko hao Slay queens
Binafsi nimewavua vyeo otherwise waje waniprove wrongHao maslayqueen ni umaarufu unawabeba. Wengine ni wazito zaidi ya Gogo yaani wazito kama karavati. Ila sikuhizi wamebuni mbinu mpya ya kuonesha kuwa wako flexible na wepesi ndio maana wanapost wapo gym. Ile kupost gym ni mbinu ya kuonesha wako flexible. Unganisha dots kwa nini slayqueen wengi siku hizi wanapost wapo gym?
Ile ni indirect marketing strategy π€£π€£
π€£Binafsi nimewavua vyeo otherwise waje waniprove wrong
Ningeweza kuandika mengi hapa but I reserve my comment.......kama kuna namna ya wao kupata ujumbe waambiwe waende wakapigwe Msasa hata hapo Bagamoyo ama hata Lindi tu.
Kuna Wazee wakipewa elfu 30 tu wanatoa darasa safi kabisa kwa hawa mabinti wenye kujua kutumia Instagram kuliko kujua kupangilia rangi za Shanga zao.
Sio muda wote kuweka makope na makucha marefu alafu kwa bed zero.
Niliwasikia Vijana fulani wakilalamika, huenda jambo hilo linawakera wengi Mkuu ππ€£
Unataka waongeze ubora wa huduma.
Nifah atawafikishia ujumbe kuwa huduma zao ni mbovu. Pia uende hata kwenye dm ya mange anaweza kuwafikishia ujumbe, ili waboreshe huduma zao π€£Niliwasikia Vijana fulani wakilalamika, huenda jambo hilo linawakera wengi Mkuu π
Bora sisi tumezeeka Mkuu π€