Lulu na Ali Kiba katika penzi la milele!

Hatari Mkuu πŸ˜…
 
Mbna yule kidampa kauzu kaachana na majjoo, c yupo na m1 ktk kundi la weusi, na ndoa anayo ya kanisaniii??

Baada ya kufuma text ktk cm, ila majjoo ana wivuu balaaa kwa kidampa kauzuu, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ila kweli yule mtoto anafanana na mjomba ake bhana, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wanasema mjomba ni mama. Uwiiiiih
 
Nacharo ni mwingine
Ndiyo huyo Nambua hv inaweza kuwa kweli zile mbegu za kaka mtu au ya walimwengu tu
Shoga mpaka nimeogopa!
Law aliwahi kuwa mshkaji wangu wakati nafanya kazi ofisi fulani, jamani alikuwa humble sana yule kaka.

Na ni kweli wanafanana mnooo, walimwengu wana mengi!
 
Shoga mpaka nimeogopa!
Law aliwahi kuwa mshkaji wangu wakati nafanya kazi ofisi fulani, jamani alikuwa humble sana yule kaka.

Na ni kweli wanafanana mnooo, walimwengu wana mengi!
Ila mbona ni kawaida kwa mtoto wa dada kufanana upande wa wajomba zake
 
Heeeeeh ndio maana basi, enzi hizo nilikuwa bado nacheza rede primary 🀣🀣🀣
Asante Mkuu.
 
Siamini Salama kashasugua hii kitu,si nkiskia ana pigana makasi na yule Regy wa pale nanilili?Inauma sana na kupita kwangu koote tomboy kanizidi Kwa kutafuna mastaa
Na utazidi kuumia zaidi ukijua kawasugua wangapi.
Wee kaa humo, hao ni wapenzi.
 
Babu mi semina yako nimeipata na kuizingatiaaaaaa!
Ngoja nijifue kabisa kumfurahisha mtoto wa ma mkwe πŸ€£πŸ€£πŸ™ˆ
 
Tobaaaaaa!
Jamani leo ni mmenifurahishaaaa 🀣🀣🀣
Wadau kama wadau, kumbe kuna mbinu mpya ya kujiimarisha sokoni? πŸ™ŒπŸΎπŸ™ŒπŸΎ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…