Lulu na Ali Kiba katika penzi la milele!

Lulu na Ali Kiba katika penzi la milele!

🤣
Tafatilia. Wadau wanasema wanakutana na magogo, makaravati, majabali na milima. Wazito kama kilo milioni hivi. Yaani Paja kubwa zito kama mfuko wa simenti 🤣🤣 na hilo ni paja moja tu linakuwa zito hivyo 🤣🤣🤣 ukijumlisha na kulewa ni gogo pro max. Kiuno kigumu cha zege 🤣🤣
Hatari Mkuu 😅
 
Mbna yule kidampa kauzu kaachana na majjoo, c yupo na m1 ktk kundi la weusi, na ndoa anayo ya kanisaniii??

Baada ya kufuma text ktk cm, ila majjoo ana wivuu balaaa kwa kidampa kauzuu, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Tena wewe umeandika kistaarabu sana. Mambo yanayoendelea mjini yanatisha. Kuna dada mmoja maarufu sana ana swaga za motivational speaker hasa kwenye mambo ya kushika ujauzito kwa wanawake... yeye alipata ujauzito kwa njia ya kupandikiza mbegu... baada ya kuficha sana kwa muda mrefu baba wa mtoto imekuja kugundulika mbegu zilizotumika ni za kaka yake. Kimsingi mtoto ni wa kaka yake. Yaani balaa. Watu hawajashtuka ila tayari baadhi kwenye posts zake wameanza kuuliza mbona mtoto anafanana na kaka yako kiasi hiki?? Mambo ni mengi sana.
Ila kweli yule mtoto anafanana na mjomba ake bhana, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wanasema mjomba ni mama. Uwiiiiih
 
Nacharo ni mwingine
Ndiyo huyo Nambua hv inaweza kuwa kweli zile mbegu za kaka mtu au ya walimwengu tu
Shoga mpaka nimeogopa!
Law aliwahi kuwa mshkaji wangu wakati nafanya kazi ofisi fulani, jamani alikuwa humble sana yule kaka.

Na ni kweli wanafanana mnooo, walimwengu wana mengi!
 
Shoga mpaka nimeogopa!
Law aliwahi kuwa mshkaji wangu wakati nafanya kazi ofisi fulani, jamani alikuwa humble sana yule kaka.

Na ni kweli wanafanana mnooo, walimwengu wana mengi!
Ila mbona ni kawaida kwa mtoto wa dada kufanana upande wa wajomba zake
 
Kipindi hicho sasa huu muda wa maongezi kupitia simu ilikuwa ni kwa kukwangua karatasi (hakuna kuunga bundle wala soft),sasa hizo karatasi tulikuwa tunaziita dollar,mfano ilikuwa inaanzia dollar 1,2, 5 ...sasa hawa wapenzi muda mwingi walikuwa wakitembelea sana Magomeni Morocco na maeneo mengine.

Hawa watu mmoja alikuwa akinunua dollar lazima amnunulie mwingine na lazima Jeff pia atanunuliwa dollar ili naye akaweke kwenye kimobitel chake na watsmpelekea popote alipo hata Getto watapeleka.

Muda woote walikuwa pamoja kwa umoja.
Ngoja wengine watakumalizia yaliyo baki binti.
Heeeeeh ndio maana basi, enzi hizo nilikuwa bado nacheza rede primary 🤣🤣🤣
Asante Mkuu.
 
Siamini Salama kashasugua hii kitu,si nkiskia ana pigana makasi na yule Regy wa pale nanilili?Inauma sana na kupita kwangu koote tomboy kanizidi Kwa kutafuna mastaa
Na utazidi kuumia zaidi ukijua kawasugua wangapi.
Wee kaa humo, hao ni wapenzi.
 
Hahahaha.................Ningeambiwa niwape seminar Wanawake na Mabinti, ni kuwa Muda wanaoutumia Saluni bora wautumie kujifunza Kumridhisha Mwanaume.

Imagine unakutana na demu mkali alafu hata Kutuma salamu hajui, usipokuwa makini anaweza kuondoka na kilungu cha gia.

Akiwa kwa bed hata kiuno hajui kunyonga ila sasa unakuta ana sura kali, tako kama la Sanchoka alafu rangi ni ile kutoka Dubai.

Mwanaume unabaki Kujilaumu kutwa kucha 🙌
Babu mi semina yako nimeipata na kuizingatiaaaaaa!
Ngoja nijifue kabisa kumfurahisha mtoto wa ma mkwe 🤣🤣🙈
 
Hao maslayqueen ni umaarufu unawabeba. Wengine ni wazito zaidi ya Gogo yaani wazito kama karavati. Ila sikuhizi wamebuni mbinu mpya ya kuonesha kuwa wako flexible na wepesi ndio maana wanapost wapo gym. Ile kupost gym ni mbinu ya kuonesha wako flexible. Unganisha dots kwa nini slayqueen wengi siku hizi wanapost wapo gym?
Ile ni indirect marketing strategy 🤣🤣
Tobaaaaaa!
Jamani leo ni mmenifurahishaaaa 🤣🤣🤣
Wadau kama wadau, kumbe kuna mbinu mpya ya kujiimarisha sokoni? 🙌🏾🙌🏾
 
Back
Top Bottom