Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunacheat sababu hatupati mapenziHakuna Mwanaume anacheat kwa Mwanamke fundi tena akiwa mdau wa hayo mambo, trust me 🤗
Ahahahah..kwahiyo hutaki au ?😂. Nipe sababu za kukufanya uone uongoUongo huu sasa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
OkYes, fanya hivyo kwanza.
Karibu dar mkuuKuna mambo ndio nimeyajua hapa for the first time
Haya rafiki emu Ning’ate sikio, wewe ni nani mwenzetu 😂😂😂Mkubwa tuu sema sipendi show off
This time nitakuja acha nilime mahindi kidogo kisha Nime huko dar nione mwenyewe haya mnayosemaKaribu dar mkuu
Sawa kaka karibu Buza kwa mama kibongeThis time nitakuja acha nilime mahindi kidogo kisha Nime huko dar nione mwenyewe haya mnayosema
Kila la kheri Mkuu, hakuna jambo linatupa faraja Wazee wenu kama kutuletea Wajukuu.
Nakumbuka lastborn wangu alipokuwa anasumbua kuhusu kuoa mapema ili kutuletea Wajukuu alifanya nikanunue ng'ombe 100
😂😂😂 nikisema mimi ni nani warembo wote mtajazana pm best.Haya rafiki emu Ning’ate sikio, wewe ni nani mwenzetu 😂😂😂
Huwezi kuwa tajiri kwa kutumia hela hovyohovyo,tatizo la wanawake ikishajua ipo ye anataka kila akitaka kitu umpatie na wanakuwa na expense za hovyohovyoKuna muda mahusiano yanakua hayaeleweki. Sasa majizo bahiri hadi kwa mkewe pesa zake anazipeleka wapi!?
Huu uonho wallah [emoji23][emoji23][emoji23]Ahahahah..kwahiyo hutaki au ?[emoji23]. Nipe sababu za kukufanya uone uongo
Hawajui Mume anataka mchezo tu anatulia.Tunacheat sababu hatupati mapenzi
Endelea kulinda wallet yako Mkuu, msimu huu wa sikukuu sio msimu mzuri wa kuanzisha mahusiano mapya lakini 😅😂😂😂 nikisema mimi ni nani warembo wote mtajazana pm best.
Kila la kheri MkuuHaina shida ntawaleta tuu baba....
Apo kwenye jogoo unanipa na la kurudia mjini[emoji16]
Nipo makini sana babu naona huyu Lamomy ashaanza kutengeneza mazingira ya kupunguza kibunda changu😂😂😂Endelea kulinda wallet yako Mkuu, msimu huu wa sikukuu sio msimu mzuri wa kuanzisha mahusiano mapya lakini 😅
Mbona nafahamu sisi kama Wazee wa Boma tulipokea posa ya Countrywide kwaajili ya kumuoa huyo LamomyNipo makini sana babu naona huyu Lamomy ashaanza kutengeneza mazingira ya kupunguza kibunda changu😂😂😂
Mzee wangu friji lako haligandishi kabisa🤣🤣Mbona nafahamu sisi kama Wazee wa Boma tulipokea posa ya Countrywide kwaajili ya kumuoa huyo Lamomy
Ngoja niitishe kikao cha dharura kulijadili hili 😅