KIMAROO
JF-Expert Member
- Oct 18, 2012
- 453
- 259
hahahahahaaha kumbe ni ushabikiKokoto vs muwaji
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahahahahaaha kumbe ni ushabikiKokoto vs muwaji
Sheikh PONDA alisema hakubaliani na mfumo wa NECTA unawabeba wakiristo. DPP akasema utaniona kama unasema hivyo.na sasa anamuona kweliah hilo ndo tatizo lako!hilo tuu!
kwanini hutoki kwenye boksi wewe?
unahama kwenye hoja ya msingi unaleta habari za udini
hapa udini unaingiaje?
nakuuliza wewe Babamamakakadada!
Don-Oba,
Upo NAÏVE sana na inawezekana hata sheria moja ya nchi hii hujui.
Lipo shitaka la kuua bila kusudia. Manslaughter.
Ukimshtaki mtu mahakamani kwa kosa la kuua kwa kusudia, Murder, ikagundulika aliua bila kukusudia, manslaughter ina maana anaachiwa huru.
Mahakama haiwezi kutunga shitaka.
Kama DPP hana ushahidi hawezi kukushtaki.
Mfano, umeshitakiwa kwa kosa la kuiba. Ushaidi ukaonyesha kua haukuiba bali ULIPIGA, ingawa kupiga mtu ni kosa, mahakama haiwezi kukuhukumu kwa kosa ambalo haukushtakiwa nalo. Hivyo inakuacha huru.
Ndio hilo alilofanya DPP.
Wabongo muwe mnasoma na msiwe wavivu wa kufikiri na mbilikimo wa mawazo.
Je umewahi kujiuliza kwanini marehemu alikua anatembea na mtoto chini ya miaka 18?. Marehemu alikua akimbaka. Ndio maana yake.
wewe jamaa ushaanza na thread zako za uchonganishi!kwani leo ni i_j_u_m_a rafiki?hamna kitu pale DPP
Sheikh PONDA alisema hakubaliani na mfumo wa NECTA unawabeba wakiristo. DPP akasema utaniona kama unasema hivyo.na sasa anamuona kweli
usifananishe kesi ya lulu na ponda. Mwacheni mtoto wa watu arudi mtaani, ameshapata somo la kutosha. Yaani bila aibu unasema ameua kwa kukusudia? Ina maana alitoka kwao akasema leo st lazima afe? Tumeyasikia mazingira ya tukio la kifo cha kanumba, kwa utashi wa kawaida tu, utagundua kilichotokea ni kitendo cha bahati mbaya.
kuhusu ponda, naona watu mnataka kujisahaulisha makusudi. Huyu jamaa, alitaka kuchangia katika kufanya watu wakose amani katika nchi yao. Umesahau aliipa serikali wiki moja iwaachie watu wanaotuhumiwa kuchoma na kuiba vitu makanisani kwa kutumia nguvu na silaha (hata kama sio majambazi, walifanya kitendo cha ujambazi). Hii inamaanisha nini?
Sitaki kusema ponda asipewe dhamana au apewe, ninachowakilisha hapa ni kwamba kesi ya mtoto lulu na ponda ni vitu viwili vyenye utafauti wa hali ya juu.
Hakuna mantiki yoyote,umekurupuka sana,umeshindwa hata kujenga hoja yenye mashiko.
Hivi mtu kubadilishiwa mashtaka inahusika vp na mtu mwingine kunyimwa dhamana?.......
hiyo ndio propaganda yenu. Hatujaona mashtaka hayo. Tunaona kashtakiwa kwa kuiba kokoto na saruji. Hayo mengine mimi huyasikia zaidi kwenye mitandao.......
Sheikh PONDA alisema hakubaliani na mfumo wa NECTA unawabeba wakiristo. DPP akasema utaniona kama unasema hivyo.na sasa anamuona kweli.......
Usifananishe kesi ya Lulu na Ponda. Mwacheni mtoto wa watu arudi mtaani, ameshapata somo la kutosha. Yaani bila aibu unasema ameua kwa kukusudia? Ina maana alitoka kwao akasema leo ST lazima afe? Tumeyasikia mazingira ya tukio la kifo cha Kanumba, kwa utashi wa kawaida tu, utagundua kilichotokea ni kitendo cha bahati mbaya.
Kuhusu Ponda, naona watu mnataka kujisahaulisha makusudi. Huyu jamaa, alitaka kuchangia katika kufanya watu wakose amani katika nchi yao. Umesahau aliipa serikali wiki moja iwaachie watu wanaotuhumiwa kuchoma na kuiba vitu makanisani kwa kutumia nguvu na silaha (hata kama sio majambazi, walifanya kitendo cha ujambazi). Hii inamaanisha nini?
Sitaki kusema Ponda asipewe dhamana au apewe, ninachowakilisha hapa ni kwamba kesi ya mtoto Lulu na Ponda ni vitu viwili vyenye utafauti wa hali ya juu.
Hiyo propaganada zenu. mbona hakuna mashtaka hayo. kuna wizi wa kokoto? Propaganda kwenye mitandao hazifai kuzibeba kichwaniNdugu yangu, mimi sina propaganda yeyote, nimeelezea kilichotokea kipindi kile tu. Kwamba ameshtakiwa kwa lipi hainuhusu. Ina maana na wewe ulimuunga mkono kwa kitendo chake cha kuipa serikali wiki moja iwaachie watu waliofanya kitendo cha ujambazi?
Asprin enh twenzetu bana!
ah humu kuna watu kuna siku hata wakienda benki saa kumi na nusu watasema hawajafunguliwa kwa sababu ya udini!
tusepe bana!
Kuunganisha Kesi ya Lulu na ya Ponda ni kichekesho cha mwisho wa mwaka. Mbaya zaidi ni kuingiza mambo ya Udini kwenye hizi kesi.
Mbona alichofanyiwa Lulu hakina tofauti sana na alichofanyiwa marehemu Ditopile? Je kama watu wangesema kuwa bwana Zombe aliachiwa kwa kuwa waliouwawa walikuwa ni Wakristo ingeingia akilini kwako?
Mimi sio mwanasheria, ila kuna jambo moja la msingi ninaloliona: Kuna tatizo kubwa kwenye mfumo wetu wa sheria. Tatizo hilo halitokani na Udini bali linachangiwa kwa kiasi kikubwa na ukosefu wa uadilifu.
Nadhani hata hiyo amri ya sita huifahamu, maana ni 'usizini' (sasa labda maana ya kuzini ni ngumu kwako). Sina maana kwamba kufanya ngono kabla ya kuoa ni halali, ila Lulu hakuzini, kama alikuwa anafanya ngozo (maana sina uhakika kwenye hili, sijawahi kuwachungulia) basi amefanya uasherati.Mtoto anavunja amri ya sita?