Uchaguzi 2020 Lushoto, Tanga: Wananchi wamkataa na kumfukuza mgombea wa CCM, Shabani Shekilindi (Boznia)

Uchaguzi 2020 Lushoto, Tanga: Wananchi wamkataa na kumfukuza mgombea wa CCM, Shabani Shekilindi (Boznia)

U
Na tungekua lock down tungekufa sana .watu hawana budi kushukuru hiki suala la Tanzania kutowekwa Lockdown.

pigen makelelw hata hawo sijui mashangazi wanajiita hivo ila ni wanasiasa hawana cha barakoa.wala zile mada zao za W.H.O wamehamia kwenye nini sasa hiv god knows
Uliishia darasa la ngapi mbona kuandika wewe always tatizo? Duh unakera, unaweka profile ya sura nzuri kuandika a lot of spelling mistakes, punctuation au ni mihemko ya kupenda uozo CCM?
 
Hebu ba jameni tujiulize maswali kuhusu suala la JPM na kitu kinaitwa corona.
1). Wakati tunachagua Rais wa 2015 huyu corona alikuwepo?
2). Kama alikuwepo, tulichagua Rais wa kupambana na Corona?
3). Kama kweli maono ya JPM ndiyo yaliyofukuza corona, mbona tunahangaika na kujenga mahospitali na mazahanati kwa gharama kubwa, si maono hayo yatuondolee ukimwi, kifua kikuu, kisukari na shinikizo la damu?
4). Kama uwezo wa JPM uko katika kitengo cha tiba, kwanini tusimuachie wizara ya afya tukapata rais wa kushughulika na uhuru, haki na maendeleo ya watu?
Wewe unahangaika kuwajibu watu wasiokuwa na uelewa wowote kuhusu hilo jambo.

Kiufupi ni kwamba Magufuli alielekea kuliangamiza taifa kwa kukosa uelewa wa magonjwa ya mlipuko na kwa sababu ya kiburi tu.
Wakati corona ilikuwa haijulikani itasababisha maafa kiasi gani, kiongozi hawezi kukomaza tu shingo na kuhatarisha maisha ya watu wake.

Lockdown au bila lockdown, sisi hatuna tofauti yoyote na nchi zinazotuzunguka. Tofauti yetu ni kuwa vilaza tuliobahatika tu huku bila kujua kilichotuepusha kuangamia. Ujuha zaidi ni kutotaka hata kujishughulisha kujua kwa nini corona haikutamba katika maeneo yetu haya; na badala yake tunajisifia ujinga wetu.
 
Ya wapi hii na ni lini?! Maana taarifa ya wiki hii mwanzoni ya Amsterdam ni kuendeleza kampeni kwenye social media ili ku- discredit the authorities...anasema lazima juhudi zaidi ziongezwe mitandaoni kuichafua serikali na mamlaka nzima...lengo lake ni kuendelea hivi hivi na baadaye watu waingie mitaani watu wafe uchaguzi uvurugike na jumuiya ya kimataifa iingilie Kati na kuitisha mazungumzo Kati ya Lissu na CCM..stupid ...very stupid indeed...
Yes you are very stupid indeed. Uongozi usiotaka haki kwa raia wake anayeushabikia is very stupid indeed

Tume yenye double standard kwa wenye mamlaka waliomteua na wapinzani anaowanyanyasa kutolisemea hili is very stupid indeed

Kuwaengua wagombea wa upinzani awamu hii ya kidikteta (uchaguzi wa vyama vingi ulianza 1995 na hatukuona hili) na wanaokaa kimya kufurahia hili are very stupid indeed
 
Na BADO.. DADEKI.. Wakiiba kura, Uchaguzi huu lazima tupasuane matumbo, tulane maini wenyewe kwa wenyewe.
Mtupoli na DUDU/ CHAMA lake in Gwajima's VOICE.. CCM ya Magufuli HATUWATAKI.
 
Sasa ni dhahiri kwamba hali ya wagombea wa CCM kuanzia ngazi ya urais hadi udiwani ni ngumu. Inasemekana huyu ni mgombea ubunge wa CCM jimbo la Lushoto Mjini Bosnia amekataliwa wazi wazi bila chenga na wakazi wa jimbo lake.

View attachment 1586446
Sasa huyu ndio mbunge wao, ni kakikundi kadogo tu kamejipanga kumchafua subiri wataslam waingie kulifanyia kazi na uzuri mmetustua mapema. Hao hao wanaozomea ndio watampigia kura
 
Sasa huyu ndio mbunge wao, ni kakikundi kadogo tu kamejipanga kumchafua subiri wataslam waingie kulifanyia kazi na uzuri mmetustua mapema. Hao hao wanaozomea ndio watampigia kura
Ulitaka wananchi wa jimbo zima wakusanyike kwenye kile kijiji, hao wanawakisha ujumbe wa wenzao.
 
Na hii ni ya lini mkuu.

Kwani tatizo hapo lipo wapi?! Una hofu ya kujaza uwanja?! Kila chama kina mbinu zake..CCM inatumia wasanii. Uhamasishaji kwa kutumia makada na hata kutoa usafiri.. the end justifies the means...hakuna tatizo kabisa...wawe wamepewa usafiri au hata pisho no problem..chadema nao wanna mbinu zao...nitaziweka baadaye kutokana na jibu lako kwa comment hii..
 
Interlectual capacity, vast knowledge tactically and tentatively , Tanzanian come to concrete, definite and profound conclusion that, We are like Children who are being brought up under tough environment by hard working Dad for our future benefit.
Waheshimwa Wabunge, Mawaziri, Waziri Mkuu na Mh. Rais wanafanya kazi kwa juhudi kubwa kwa manufaa ya Inchi ambayo itaendelea kuepo na wanayoyafanya yatadumu kwa karine nyingi zizajo kwa manufaa ya vizazi vijavyo na pengine kwa mateso ya kizazi cha sasa.
Kinachotutesa wanainchi sasa ni kwa nini kizazi hiki kiteseke kwa kiasi kikubwa kwa maisha mazuri ya kizazi kijacho.
Wanainchi na hasa vijana wanahisi kuwa wanaowaletea matatizo ya kuwa na maisha magumu ni viongozi wao wa Juu. Hili limeanza kuwaletea chuki kwa Wabunge wao.
Viongozi wao wanatumia muda mwingi kuongea mafanikio ya miradi mikubwa ya kitaifa bila kuonyesha mchakato wa kuondoa mateso yao ya kila siku ya kukosa chakula kizuri na cha uhakika, mavazi na mahala pa kulala baada ya kusomeshwa kwa gharama kubwa za wazazi wao na Taifa.
Vijana wanataka maendeleo yawe balanced kati ya vitu na watu.
VItu vinavyoleta mavufaa kwa Vijana ndani ya muda mfupi na directly ndivyo vyenye tija kwao.
Kwa mfano Serikali ikishiriki katika ujenzi wa viwanda vikubwa ambavyo vitaleta ajira kubwa ndani ya muda mfupi ndiyo kitu chenye tija kwao. Miradi ambayo inaongeza kipato cha Taifa kwa ujumla,kumwelezea mtu mwenye njaa ni sawa na kimpigia mbuzi gitaa.
Sisi Wakristo, Yesu Kristo wakati anaelekea kuteswa, aliwaandalia wanafunzi wake karamu ya mwisho na kuwaambia " Twaeni mle wote huu ndiyo mwili wangu utakaotolewa kwa ajili yenu kwa ajili ya maondoleo ya dhambi, ufufuko wa mwili na uzima wa milele ijayo, fanyeni hivi kwa kunikumbuka mimi"
Tumeendelea kumkumbuka Yesu Kristo kwa sababu ya chakula na kinywaji, Yesu kristo hakuwa na nyumba ya kuishi wala kibanda cha chips lakini anaheshimika kwa sababu ya upendo wake kwa watu na kutuachia Amani.
Viongozi wa sasa walisheni na kuwanywesha Watanzania ili wawakumbuke.
 
Sasa ni dhahiri kwamba hali ya wagombea wa CCM kuanzia ngazi ya urais hadi udiwani ni ngumu. Inasemekana huyu ni mgombea ubunge wa CCM jimbo la Lushoto Mjini Bosnia amekataliwa wazi wazi bila chenga na wakazi wa jimbo lake.

View attachment 1586446
Naona mchicha unaanza kukolea nazi. 🤣🤣🤣🤣🥰🥰🥰
FB_IMG_1601367808287.jpg
 
Interlectual capacity, vast knowledge tactically and tentatively , Tanzanian come to concrete, definite and profound conclusion that, We are like Children who are being brought up under tough environment by hard working Dad for our future benefit.
Waheshimwa Wabunge, Mawaziri, Waziri Mkuu na Mh. Rais wanafanya kazi kwa juhudi kubwa kwa manufaa ya Inchi ambayo itaendelea kuepo na wanayoyafanya yatadumu kwa karine nyingi zizajo kwa manufaa ya vizazi vijavyo na pengine kwa mateso ya kizazi cha sasa.
Kinachotutesa wanainchi sasa ni kwa nini kizazi hiki kiteseke kwa kiasi kikubwa kwa maisha mazuri ya kizazi kijacho.
Wanainchi na hasa vijana wanahisi kuwa wanaowaletea matatizo ya kuwa na maisha magumu ni viongozi wao wa Juu. Hili limeanza kuwaletea chuki kwa Wabunge wao.
Viongozi wao wanatumia muda mwingi kuongea mafanikio ya miradi mikubwa ya kitaifa bila kuonyesha mchakato wa kuondoa mateso yao ya kila siku ya kukosa chakula kizuri na cha uhakika, mavazi na mahala pa kulala baada ya kusomeshwa kwa gharama kubwa za wazazi wao na Taifa.
Vijana wanataka maendeleo yawe balanced kati ya vitu na watu.
VItu vinavyoleta mavufaa kwa Vijana ndani ya muda mfupi na directly ndivyo vyenye tija kwao.
Kwa mfano Serikali ikishiriki katika ujenzi wa viwanda vikubwa ambavyo vitaleta ajira kubwa ndani ya muda mfupi ndiyo kitu chenye tija kwao. Miradi ambayo inaongeza kipato cha Taifa kwa ujumla,kumwelezea mtu mwenye njaa ni sawa na kimpigia mbuzi gitaa.
Sisi Wakristo, Yesu Kristo wakati anaelekea kuteswa, aliwaandalia wanafunzi wake karamu ya mwisho na kuwaambia " Twaeni mle wote huu ndiyo mwili wangu utakaotolewa kwa ajili yenu kwa ajili ya maondoleo ya dhambi, ufufuko wa mwili na uzima wa milele ijayo, fanyeni hivi kwa kunikumbuka mimi"
Tumeendelea kumkumbuka Yesu Kristo kwa sababu ya chakula na kinywaji, Yesu kristo hakuwa na nyumba ya kuishi wala kibanda cha chips lakini anaheshimika kwa sababu ya upendo wake kwa watu na kutuachia Amani.
Viongozi wa sasa walisheni na kuwanywesha Watanzania ili wawakumbuke.
Rubbish 🤣🤣🤣👆
 
Sasa ni dhahiri kwamba hali ya wagombea wa CCM kuanzia ngazi ya urais hadi udiwani ni ngumu. Inasemekana huyu ni mgombea ubunge wa CCM jimbo la Lushoto Mjini Bosnia amekataliwa wazi wazi bila chenga na wakazi wa jimbo lake.

View attachment 1586446

Ndugu zangu, hakika chama chetu kikongwe kimejaa propaganda za maji taka, makada walijitokeza na propaganda kuwa Lissu hawezi kurudi Tanzania,Lissu aliwathibitishia watanzania kuwa angerudi tu, wakabadili gia kuwa akirudi atakamatwa airport, Jamaa akarudi tena kwa kishindo wakashindwa kumkamata airport.

Wakasema Chadema haiwezi kumpa nafasi ya kugombea Urais maana Mbowe na Lema hawamtaki wanamtaka Lazaro, Chadema ikampa kugombea tena kwa kura nyingi sana. Wakasema tume lazima itamwengua maana ana kesi kwahiyo hatatoboa, akateuliwa kugombea.

Wakasema hana pesa za kufanya kampeni hawezi kuzunguka nchi nzima, leo yupo anazunguka kila kona tena kwa speed ya 5GB. Wakasema hata pata watu kwenye mikutano yake, sasa ni mafuriko.

Mgombea wao akawaambia wafuasi wake kwamba picha za mikutano ya Lissu ni za ku edit, wamegundua kuwa mgombea wao hakuwa sahihi wamekuja na propaganda mpya kuwa watu wanaojaa kwenye mikutano ya Lissu siyo wapiga kura kwa kuwa hawajajiandikisha ila wanafunzi na wale wanaojaa kwenye fiesta ndio wapiga kura. Hakika wajumbe wamezidi kuyeyuka na propaganda za maji taka. Mwaka huu kazi mnayo wajumbe,a.k.a makada a.k.a uvccm walioagizwa kujibu hoja.
 
Back
Top Bottom