Uchaguzi 2020 Lushoto, Tanga: Wananchi wamkataa na kumfukuza mgombea wa CCM, Shabani Shekilindi (Boznia)

Uchaguzi 2020 Lushoto, Tanga: Wananchi wamkataa na kumfukuza mgombea wa CCM, Shabani Shekilindi (Boznia)

Ebu tuambiane nyie mnataka Rais ambaye alikuwa anaiabudu Lock down, aliyekuwa anawaabudu wanaotukejeli bila kuwa na lockdown, aliyekuwa ametumwa kuiponda nchi yetu kuwa hawachukui hatua za Covid-19, mnataka anayefanya maigizo kuwa watu wavae barakoa wakati mwenyewe wakati yeye mwenyewe hajavaa, anayetaka lockdown wakati yeye Mwenyewe hayupo lockdown, anayeabudu misaada ya lockdown wakati akiona wenzetu Wakenya wanavyopata taaabu saaaaana. Hivi hata Mikutano mnayoifanya hamwelewi yote ni jitihada za JPM.
Magufuli hajafanya hata theluthi ya aliowafanyia gadafi wananchi wake,lakini sote tunajua kilichompata Gadafi,fanya vyote lakini ukibana sana raia wako ipo siku watakugeukia,hio nchi inayoongozwa kwa mawazo ya mtu falani ambaye haamini mawazo ya watu wengine itakua nchi ya ajabu.
 
Nasubiri jibu, the end justifies the meaning.
The end justifies the means...la msingi ni Kama hao watu watapiga Kura kwa chama husika...unajaza uwanja..unawahamasisha wajitokeze...unawahamasisha wakipende chama...unawahamasisha waje wasikilize Sera zako..mwisho wa siku waje wakupigie Kura...Sasa naona wengine wanakejeli...eti nyie mnatumia malori...mnatumia sijui boti...sijui mnatumia wasanii...ndio wanafanya hivyo kwani tatizo liko wapi? Yaani mtu mzima na akili eti anakejeli nyie mnawabeba na malori..Sasa tatizo liko wapi? Hata wakija kwa punda na mikokoteni..what is the problem?! La msingi hapo ni upigaji wa Kura na upenzi kwa chama husika...
 
Magufuli hajafanya hata theluthi ya aliowafanyia gadafi wananchi wake,lakini sote tunajua kilichompata Gadafi,fanya vyote lakini ukibana sana raia wako ipo siku watakugeukia,hio nchi inayoongozwa kwa mawazo ya mtu falani ambaye haamini mawazo ya watu wengine itakua nchi ya ajabu.
Hao walibya Sasa wanalia ..wanaoandika ba Ghadafi afufuke...walidanganywa na wakadanganyika...
 
Hao walibya Sasa wanalia ..wanaoandika ba Ghadafi afufuke...walidanganywa na wakadanganyika...
Libya wote wanalia hasa waliokuwa waimba mapambio ya malaika kama nyie ndio wanaopata shida zaidi ndio waliojaa magerezani.
 
Yes you are very stupid indeed. Uongozi usiotaka haki kwa raia wake anayeushabikia is very stupid indeed

Tume yenye double standard kwa wenye mamlaka waliomteua na wapinzani anaowanyanyasa kutolisemea hili is very stupid indeed

Kuwaengua wagombea wa upinzani awamu hii ya kidikteta (uchaguzi wa vyama vingi ulianza 1995 na hatukuona hili) na wanaokaa kimya kufurahia hili are very stupid indeed
Hahaha interesting...very interesting...interesting indeed...mgombea hajui namna ya kujaza fomu ya kugombea...yaani wakati mwingine unafanya ukaidi kujaza fomu...huweki wadhamini...hutaki ku.declare details zako...hata picha yako tu hutaki kuambatisha...unadanganya umri na kadhalika..very stupid...lazima uenguliwe..

Haki Bila wajibu...mtu unadai haki lakini hutaki kuheshimu mamlaka..unaikejeli mamlaka...hutekelezi wajibu wako Kama raia...gari ya polisi unatupia mawe..ukipigwa mabomu ya machozi unalalamika...yaani haki iko mdomoni lakini neno wajibu halimo kwenye kamusi yako...very stupid..
 
Libya wote wanalia hasa waliokuwa waimba mapambio ya malaika kama nyie ndio wanaopata shida zaidi ndio waliojaa magerezani.
Duh...kazi ipo...disinformation campaign at it's best....hahahaha
 
Very
Hahaha interesting...very interesting...interesting indeed...mgombea hajui namna ya kujaza fomu ya kugombea...yaani wakati mwingine unafanya ukaidi kujaza fomu...huweki wadhamini...hutaki ku.declare details zako...hata picha yako tu hutaki kuambatisha...unadanganya umri na kadhalika..very stupid...lazima uenguliwe..

Haki Bila wajibu...mtu unadai haki lakini hutaki kuheshimu mamlaka..unaikejeli mamlaka...hutekelezi wajibu wako Kama raia...gari ya polisi unatupia mawe..ukipigwa mabomu ya machozi unalalamika...yaani haki iko mdomoni lakini neno wajibu halimo kwenye kamusi yako...very stupid..
Kwa majira hii ya awamu ya tano it is very interesting kukutana na watu very stupid indeed. Uchaguzi wa vyama vingi ulianza mwaka 1995, wakati huo wagombea wa vyama vya upinzani walikuwa wanajua kujaza fomu Rais akiwa Mkapa.

2000 akiwa Mkapa tena wapinzani walikuwa wanajua kujaza fomu.

2005 kwa CCM akigombea Kikwete wapinzani walikuwa wanajua kujaza fomu

2010 kwa Kikwete tena wapinzani walikuwa bado wanajua kujaza fomu.

2015 Magufuli hajawa Rais kwenye uchaguzi wapinzani walikuwa wanajua kujaza fomu.

Kuanzia 2019 wapinzani ghafla hawajui kujaza fomu wakaenguliwa kwa 99%, na mwaka huu ndio hawajui kujaza fomu wamesahau. You ll have to be IDIOT to even mention it, let alone defending it. Simple and clear IDIOTS alone will defend it.

"Nikuteue mimi, nikupe gari na posho halafu umtangaze mpinzani" kauli ya kiundewazimu kuwahi kutolewa na Rais aliye madarakani nchini.

This is not interesting but it is INSANITY
 
Kwa hiyo unataka tumchague huyu mtesi kwa sababu ya lockdown? Siyo Tanzania ya leo hii. Ombeni Watanzania waufyate 28 Okt 2020 NEC na polisi watakapoiba kura. Wasipoufyata, rudini Chattle mkafuge kuku.
Na tungekua lock down tungekufa sana .watu hawana budi kushukuru hiki suala la Tanzania kutowekwa Lockdown.

pigen makelelw hata hawo sijui mashangazi wanajiita hivo ila ni wanasiasa hawana cha barakoa.wala zile mada zao za W.H.O wamehamia kwenye nini sasa hiv god knows
 
Very

Kwa majira hii ya awamu ya tano it is very interesting kukutana na watu very stupid indeed. Uchaguzi wa vyama vingi ulianza mwaka 1995, wakati huo wagombea wa vyama vya upinzani walikuwa wanajua kujaza fomu Rais akiwa Mkapa.

2000 akiwa Mkapa tena wapinzani walikuwa wanajua kujaza fomu.

2005 kwa CCM akigombea Kikwete wapinzani walikuwa wanajua kujaza fomu

2010 kwa Kikwete tena wapinzani walikuwa bado wanajua kujaza fomu.

2015 Magufuli hajawa Rais kwenye uchaguzi wapinzani walikuwa wanajua kujaza fomu.

Kuanzia 2019 wapinzani ghafla hawajui kujaza fomu wakaenguliwa kwa 99%, na mwaka huu ndio hawajui kujaza fomu wamesahau. You ll have to be IDIOT to even mention it, let alone defending it. Simple and clear IDIOTS alone will defend it.

"Nikuteue mimi, nikupe gari na posho halafu umtangaze mpinzani" kauli ya kiundewazimu kuwahi kutolewa na Rais aliye madarakani nchini.

This is not interesting but it INSANITY
You think so..?! It has happened...here we are...isanity or not...they are not candidates...wamebaki na 'pride' yao ya wataka haki...Kama huko nyuma mtu was a thief...Sasa amekamatwa leo..
Anadai mbona huko nyuma nilikuwa sikamatwi!! Iliyobaki ni kutekeleza vitendo vya kigaidi Kama kile Cha kumuua Emmanuel Mlelwa...hiyo ndiyo insanity...na anayeunga mkono kitendo kile na hata kuhoji naye ni insane...kuchoma ofisi za chama chako hiyo ndiyo insanity...
 
Tumesikia, ila Dunia nzima hakuna Rais aliyefikia kiwango cha JPM. Ikiwa kwenye utendaji na kumtumaini Mungu. Wewe endelea na Mwabudu kuzimu TAL
tapatalk_1601418168188.jpeg
 
You think so..?! It has happened...here we are...isanity or not...they are not candidates...wamebaki na 'pride' yao ya wataka haki...Kama huko nyuma mtu was a thief...Sasa amekamatwa leo..
Anadai mbona huko nyuma nilikuwa sikamatwi!! Iliyobaki ni kutekeleza vitendo vya kigaidi Kama kile Cha kumuua Emmanuel Mlelwa...hiyo ndiyo insanity...na anayeunga mkono kitendo kile na hata kuhoji naye ni insane...kuchoma ofisi za chama chako hiyo ndiyo insanity...
Aliuliwa Alphonse Mawazo aliyekuwa mwenyekiti wa Cdm Geita wangapi walikamatwa licha ya kujulikana ni makada wa CCM.

Zitto aliwakatia rufaa wagombea wa CCM akina Ndalichako kwa kutorudisha fomu tarehe 25 August, lakini ikatupwa simply ni CCM.

Anyway singependa kuzungumza na Mirembe cases wanaolazimisha nyeusi ionekane nyeupe, have a nice day, pumzika akili yako inahitaji kupumzika si kwa kiwango hiki cha uendawazimu.

Na kama ulikuwa unadhani kuna sane person utakaem convice afya ya akili inatakiwa ifanyiwe uchunguzi
 
Acha propaganda za kitoto. Wapigakura ni watu wazima wenye akili zao. Wamalawi walilia kwa sababu Kamuzu alitoka madarakani? Wazambia waliugua kwa sababu Kaunda alitoka madarakani? Wakenya walikosa chakula kwa sababu Moi na KANU walitoka madarakani? Mmeishiwa sera sasa mmekalia kupiga soga. Mara mabeberu, mara Libya, mara Lissu siyo raia... Nyerere (baba wa CCM) alisema wanaofilisika kisera ndio hukimbilia upuuzi huu. Mruhusu Watanzania kuchagua viongozi wanaowataka. Mmefika kikomo cha uongo wenu na hila.
Hao walibya Sasa wanalia ..wanaoandika ba Ghadafi afufuke...walidanganywa na wakadanganyika...
 
Ajashughulikia matatizo ambayo yanawakabili wananchi moja kwa moja.

Tunahitaji Ria's ambaye anayajua matatizo ya wananchi , Ni yeye Lissu anayajua matatizo yetu , Mana risasi 16 ni funzo kwetu
 
WeWe mama unalia vizuri najua hata kwa mumeo unaliaga vizuri hivyo hivyo.

naomba Sugu anisugue vizuri Umeniota tukiwa kitandani?

WeWe mama unataka kupanuliwa wapi huko chini au kwa juu?




SUBIRI KIDOGO
 
Tumesikia, ila Dunia nzima hakuna Rais aliyefikia kiwango cha JPM. Ikiwa kwenye utendaji na kumtumaini Mungu. Wewe endelea na Mwabudu kuzimu TAL

Muabudu Mungu anayetumia kundi la watu wasiojulikana!
 
Hao walibya Sasa wanalia ..wanaoandika ba Ghadafi afufuke...walidanganywa na wakadanganyika...
Kwahio unataka watu wakae kimya kwakua walibya wanalia?Wacha waendelee na misimamo yao wao wanaamini majeshi ndio kila kitu kwao
 
Mbona tayari kishakataliwa !
JPM wakati anapambana na Lowassa alipiga push-ups nyingi mara kadhaa, ulifahamu maana yake? Dhihaka kwa Lowassa kuhusu afya yake. Rhetorical language.

Wakati huu anapambana na amepigishwa magoti mara mbili akiomba kura, unajua maana yake??

Mataga Tafuta thamani ya X......
 
Back
Top Bottom