Uchaguzi 2020 Lushoto, Tanga: Wananchi wamkataa na kumfukuza mgombea wa CCM, Shabani Shekilindi (Boznia)

Rais atakayeshusha makato ya bodi ya mikopo hadi 7% kutoka 15% kwa mwezi na kuongeza na watumishi kupandishwa mishahara kwa 20% kila mwaka.
 
Okay
Ww uliyehesabu kura, lowassa alipata kura ngapi.?
Wanajua waliopora PC/Drives za THRDC na za UKAWA!!

Kuna vitu vipo wazi alafu unaleta ubishi usio na tija more so una Verified account.

Kma walishinda unapora matokeo ya wenzio ya nni? Can't u reason
 
Wanajua waliopora PC/Drives za THRDC na za UKAWA!!

Kuna vitu vipo wazi alafu unaleta ubishi usio na tija more so una Verified account.

Kma walishinda unapora matokeo ya wenzio ya nni? Can't u reason
Sawa kalale sasa mana naona unamumunya maneno tuu
 
Hali ya chama cha Manyang'au ni mbaya mno. Wanapingwa kila kona ya nchi.
 
Sikipendi CCM lakini sipendi zaidi hizi siasa chafu za kuandaa wahuni kuzomea wagombea. Mgombea huzomewa na kura! kwanini wasimwache mgombeas anadi sera zake then wamsubiri kwenye sanduku la kura?
 
View attachment 1587516
Sikujua nabishana na kil.aza kma ww. Yaani verified user unaandika upuuzi kma huu.

Nmekudharau sana
😂😂😂 Jamaa umenfurahiaha sana, afu Asante kwa kunifatilia, mwisho wa siku kila mtu anajua maisha yake so haina haja ya kuumizana kichwa

Kingine, JF n sehemu yangu ya kujitolea mawazo sasa ww endlea kuwa serious na mm kama vile ww n mwenyekiti wa familia yangu
 
kumbe haupo serious ? basi jumbe zako tunazidharau pia na ww tuna kudharau
 
View attachment 1587516
Sikujua nabishana na kil.aza kma ww. Yaani verified user unaandika upuuzi kma huu.

Nmekudharau sana
😂😂😂 Jamaa umenfurahiaha sana, afu Asante kwa kunifatilia, mwisho wa siku kila mtu anajua maisha yake so haina haja ya kuumizana kichwa
😂😂😂 Jamaa umenfurahiaha sana, afu Asante kwa kunifatilia, mwisho wa siku kila mtu anajua maisha yake so haina haja ya kuumizana kichwa
kumbe haupo serious ? basi jumbe zako tunazidharau pia na ww tuna kudharau
Sawa boss
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…