Tunajua mmevurugwa kwa kushindwa kule Ukraine,hatuna sababu ya kukushangaa unavyoishiwa hoja kwa kiasi hikiKabla ya yote wamtoe marindah kwanza,Ila wanaweza wakawa wanapotezea Muda wao tu wakashangaa huyo Gen. anakata mauno balaa full kuenjoy maana hayo ndio mambo Wamarekani/NATO na mashabiki wao wa JF wanaayapenda saaana.
Hebu tuwekee source yako hapa ambapo kamanda Putin alisema wataikuchukua Ukraine ndani ya siku 3,na ukishindwa kuweka source then toka hapo nje ya nyumba kisha angalia juu na ujipige pige kifua huku ukisema kwa sauti " hakika Mimi nilipewa kichwa kwa ajili ya kufugia nywele.".Da' Nyamizi, inaonekana hadi leo Ukraine haijageuka majivu eti? Wakati tuliambiwa siku tatu!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Kaka yangu we acha tu,watu wamevurugwa humu vibaya sana,Putin alichowafanyia Pro Russia siyo poa kabisa.Hawajui washike lipi waache lipi kwa sasaDa' Nyamizi, inaonekana hadi leo Ukraine haijageuka majivu eti? Wakati tuliambiwa siku tatu!
Unaijua idadi ya mashoga waliopo Russia,au unajizimia data makusudiKwani Ni uongo kwamba US/NATO na mashabiki wao Ni mashabiki wa ushoga na Ni mashoga?
Ama kweli Putin kawavurugeni,ni kweli mnapaswa kupagawa haswa.Kyiv pamekuwa pamoto hadi mmepakimbia wenyeweHebu tuwekee source yako hapa ambapo kamanda Putin alisema wataikuchukua Ukraine ndani ya siku 3,na ukishindwa kuweka source then toka hapo nje ya nyumba kisha angalia juu na ujipige pige kifua huku ukisema kwa sauti " hakika Mimi nilipewa kichwa kwa ajili ya kufugia nywele.".
Kama Putin anaubavu amuue Kama Qassim Suleiman alivyouwawa
Msaidieni mwenzenu kuchagua mafuta/vilainishi vitakavyokaweza kuhimili vishindo vya warusi.Tunajua mmevurugwa kwa kushindwa kule Ukraine,hatuna sababu ya kukushangaa unavyoishiwa hoja kwa kiasi hiki
Mkuu ukicopy makala ya mtu usiondoe jina la mwandishi wake... Post kama ilivyoZamotomoto kutoka katika uwanja wa Vita mji wa Mauripol, Makomandoo wa Urusi kutoka kikosi hatari zaidi Ulimwenguni cha Spetsnaz kilichochini ya KGB /FSB wamemteka Kamanda wa Jeshi la Marekani Luten General Roger L. Cloutier Jr, Pamoja na propaganda kadhaa za watu wasio rasmi wala wasemaji wa Marekani kukanusha taarifa hizo, lakini Pentagon na White House hawajatoa taarifa zozote.
Ifahamike kuwa hapo mwanzo Putin alionya kwamba mamluki yeyote atakayeingia Urus atashughulikiwa sawasawa na mhalifu na adui wa Moscow, Na ikikumbukwa ni wiki tatu tu waliposhanbuliwa Mamluki wa Uingereza katika miji ya Khakyiv nk. Sasa leo ni Marekani.
Huyu amekuwa akijichimbia kwenye kambi ya kijeshi ya Azov mjini Mauripol akiongoza vikosi vya Ukraine kwa muda mrefu na kutoa upinzani kwa majeshi ya Ukombozi ya Urusi. Taarifa toka Moscow zinasema kamanda huyu alikuwa akiongoza vikosi vya Walenga shabaha (snipers) ambao wengi wameshaanhamizwa.
Luteni General Roger amwahi kuongoza kikosi cha Marekani kilichoko Afrika (Africa Command HQ.
Taarifa zinasema kwa siku ya tatu sasa Marekani inahaha kumkomba bila mafanikio na imejaribi kila njia kumpigia magoti Rais Putin, ambapo kinyume chake Putin ameamuru General huyu na wenzake waliokamatwa wapelekwe Moscow
View attachment 2177884
View attachment 2177885
View attachment 2177891
View attachment 2177894
View attachment 2177895
[emoji16][emoji16][emoji16] msimamo wa kidume huo,hebu tuwekee hapa na msimamo wa sleepy Joe khs upunga na usagaji.[emoji16][emoji16]Unaijua idadi ya mashoga waliopo Russia,au unajizimia data makusudi
Na pia ni mashabiki pia wa games,fast food, social networks, music,football and soccer lakini haihusiani chochote Na Mada ya vita vya urusi Na ukraineKwani Ni uongo kwamba US/NATO na mashabiki wao Ni mashabiki wa ushoga na Ni mashoga?
Umevurugwa haswa Mkuu [emoji3]Msaidieni mwenzenu kuchagua mafuta/vilainishi vitakavyokaweza kuhimili vishindo vya warusi.
Hamna ushoga russia[emoji16][emoji16][emoji16] msimamo wa kidume huo,hebu tuwekee hapa na msimamo wa sleepy Joe khs upunga na usagaji.[emoji16][emoji16]View attachment 2178137
Si bora kakusitiri,kumbe wewe ndiyo mwanzisha huu umbeya,uone aibu hata kidogo basiMkuu ukicopy makala ya mtu usiondoe jina la mwandishi wake... Post kama ilivyo
[emoji16][emoji16] pale ambapo Mmarekani mweusi anapodhani fasta food, Twitter,games ni kipaumbele Cha nchi nyingine Kama zilivyo nchi za mashoga US/NATO [emoji16][emoji16]Na pia ni mashabiki pia wa games,fast food, social networks, music,football and soccer lakini haihusiani chochote Na Mada ya vita vya urusi Na ukraine
Jibu swali,Russia hakuna mashoga?[emoji16][emoji16][emoji16] msimamo wa kidume huo,hebu tuwekee hapa na msimamo wa sleepy Joe khs upunga na usagaji.[emoji16][emoji16]View attachment 2178137
[emoji1787][emoji1787] hapo pamekuwa pagumu kwake kupajibu,afadhari umemsaidia kumjibiaHamna ushoga russia
[emoji16][emoji16] kidume anakwambia Russia lazima kuwe na baba na mama,masuala ya kutumia kinyeo Kama njia kuu ya uzazi haiwezekaniki hio.Hamna ushoga russia
[emoji16][emoji16][emoji16] sleepy Joe anasemaje khs mapunga? Anasema kilainishi kipi kinawafaa kipindi hiki? [emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787] hapo pamekuwa pagumu kwake kupajibu,afadhari umemsaidia kumjibia
Toa wewe itatosha sana mkuu ... Hata CNN,BBC,sky hawatoi habari nzuri za Urusi ... Sooo ukijipa jukumu la kutoa habari za Ukraine utakuwa umefanya la maana kuliko kulalamikaMtoa posts hii habari umeikopi kwa yericko nyerere Facebook,tunajua yericko nyerere yuko upande wa urusi,mbona hatoi habari ya magenerali 7 wa urusi waliouawa ukraine
Mzee kama una ndugu wa karibu Mwambie akupeleke Kwa mwanasaikolojia...una tatizo unahitaji kusaidiwa[emoji16][emoji16] pale ambapo Mmarekani mweusi anapodhani fasta food, Twitter,games ni kipaumbele Cha nchi nyingine Kama zilivyo nchi za mashoga US/NATO [emoji16][emoji16]View attachment 2178148