Luteni Jenerali Roger L. Cloutier wa Jeshi la Marekani atekwa na Makomandoo wa Urusi akiwa vitani Ukraine

Kabla ya yote wamtoe marindah kwanza,Ila wanaweza wakawa wanapotezea Muda wao tu wakashangaa huyo Gen. anakata mauno balaa full kuenjoy maana hayo ndio mambo Wamarekani/NATO na mashabiki wao wa JF wanaayapenda saaana.
Tunajua mmevurugwa kwa kushindwa kule Ukraine,hatuna sababu ya kukushangaa unavyoishiwa hoja kwa kiasi hiki
 
Da' Nyamizi, inaonekana hadi leo Ukraine haijageuka majivu eti? Wakati tuliambiwa siku tatu!
Hebu tuwekee source yako hapa ambapo kamanda Putin alisema wataikuchukua Ukraine ndani ya siku 3,na ukishindwa kuweka source then toka hapo nje ya nyumba kisha angalia juu na ujipige pige kifua huku ukisema kwa sauti " hakika Mimi nilipewa kichwa kwa ajili ya kufugia nywele.".
 
Ama kweli Putin kawavurugeni,ni kweli mnapaswa kupagawa haswa.Kyiv pamekuwa pamoto hadi mmepakimbia wenyewe
 
Mkuu ukicopy makala ya mtu usiondoe jina la mwandishi wake... Post kama ilivyo
 
Kwani Ni uongo kwamba US/NATO na mashabiki wao Ni mashabiki wa ushoga na Ni mashoga?
Na pia ni mashabiki pia wa games,fast food, social networks, music,football and soccer lakini haihusiani chochote Na Mada ya vita vya urusi Na ukraine
 
Na pia ni mashabiki pia wa games,fast food, social networks, music,football and soccer lakini haihusiani chochote Na Mada ya vita vya urusi Na ukraine
[emoji16][emoji16] pale ambapo Mmarekani mweusi anapodhani fasta food, Twitter,games ni kipaumbele Cha nchi nyingine Kama zilivyo nchi za mashoga US/NATO [emoji16][emoji16]
 
[emoji1787][emoji1787] hapo pamekuwa pagumu kwake kupajibu,afadhari umemsaidia kumjibia
[emoji16][emoji16][emoji16] sleepy Joe anasemaje khs mapunga? Anasema kilainishi kipi kinawafaa kipindi hiki? [emoji16][emoji16]
 
Mtoa posts hii habari umeikopi kwa yericko nyerere Facebook,tunajua yericko nyerere yuko upande wa urusi,mbona hatoi habari ya magenerali 7 wa urusi waliouawa ukraine
Toa wewe itatosha sana mkuu ... Hata CNN,BBC,sky hawatoi habari nzuri za Urusi ... Sooo ukijipa jukumu la kutoa habari za Ukraine utakuwa umefanya la maana kuliko kulalamika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…