Lyatonga Mrema: CCM wamenichezea rafu Uchaguzi Serikali za Mitaa, aonya

Lyatonga Mrema: CCM wamenichezea rafu Uchaguzi Serikali za Mitaa, aonya

Hahaaa Drama za Mrema WA TLP ni Hatari, si aliona wenzake wamepotea yeye ndo yupo sawa? So analalamika nini? Ndo kagundua now kuwa democrasia si kihivyo?
Hiyo ni zuga Tu nduguu usidhani kama kuna ukweli hapo kinachofanyika sasa ni kulalamika mbele ya umma ili ionekane ameonewa
 
Mimi nahisi huyu Mrema kikombe cha Babu wa Loliondo kilimuongezea ugonjwa
 
Akifanya mahojiano na mwandishi wa Mwananchi tena akiwa amekalishwa kwenye kiti cha plastiki Mrema amesema:

"Hali ni mbaya, kwani mimi nilikuja kushiriki uchaguzi huu kwa nia njema kumsaidia Rais wangu kwa sababu walitaka kuonyesha kuwa hakuna utawala bora, watu walisusa na kugoma, mimi nikasema ingawa sina halmashauri nibaki na kijiji hiki kimoja".

Akaendelea “Nilisema ushindani uwe kwenye sanduku la kura, lakini haikutokea hivyo, magari yote ya serikali ya Moshi yamehamia Kiraracha, kuna mawakala wangu wametolewa kwenye vituo, hali ikiwa hivi nchi itaharibika".

Mzee Augustino Lyatonga Mrema wenzio walipoamua kususia uchaguzi ukawaona kama majuha ukataka ulambe viatu vya binadamu wenzio sasa unakuja kulia lia tukusaidie nini?

Mzee unatakiwa upambane na hali yako na sio kutafuta huruma ya wananchi, ulikuwa unajua kabisa sarakasi za uchaguzi wa mwaka huu lakini kutokana na kujipendekeza kwako ukaziba masikio kwa pamba, tulia mzee sindano ikuingie acha kulialia.
 
Hivi huyu Mrema si ndiyo alisema kwenye kikao chao cha Halmashayri kuu ya TLP wamekubaliana kupitisha jina la John Magufuli kutoka chama cha CCM kuwa ndiyo mgombea,wao kwenye uchaguzi mkuu mwaka 2020??

Huyo sasa amejigeuza kutoka mwanasiasa na kuwa comedian!
Huyu mzee ni bora angejipumzikia zake tu
 
Akifanya mahojiano na mwandishi wa Mwananchi tena akiwa amekalishwa kwenye kiti cha plastiki Mrema amesema:

"Hali ni mbaya, kwani mimi nilikuja kushiriki uchaguzi huu kwa nia njema kumsaidia Rais wangu kwa sababu walitaka kuonyesha kuwa hakuna utawala bora, watu walisusa na kugoma, mimi nikasema ingawa sina halmashauri nibaki na kijiji hiki kimoja".

Akaendelea “Nilisema ushindani uwe kwenye sanduku la kura, lakini haikutokea hivyo, magari yote ya serikali ya Moshi yamehamia Kiraracha, kuna mawakala wangu wametolewa kwenye vituo, hali ikiwa hivi nchi itaharibika".

Mzee Augustino Lyatonga Mrema wenzio walipoamua kususia uchaguzi ukawaona kama majuha ukataka ulambe viatu vya binadamu wenzio sasa unakuja kulia lia tukusaidie nini?

Mzee unatakiwa upambane na hali yako na sio kutafuta huruma ya wananchi, ulikuwa unajua kabisa sarakasi za uchaguzi wa mwaka huu lakini kutokana na kujipendekeza kwako ukaziba masikio kwa pamba, tulia mzee sindano ikuingie acha kulialia.
Mrema ni mfu anayetembea , matendo yake ni ya mtu "mfu"!
 
Walipataje fomu za kujaza?? Au wenzetu walipewa na Jafo mwenyewe?? Pole msee wa Kiraracha naona ni hicho kijiji chako tu walipiga kura hiyo ya turufu
 
Zee LINAFIKI la kiraracha limemwaga machozi mbele ya Rc wa kilimanjaro mama Anna kwa jinsi lilivyochezewa rafu na kile chama mahiri cha siasa kabisa barani Afrika,chama cha wanyonge kinachobadilikabadilika . kama kinyonga na kinachokwenda na wakati
Zee hilo limesikika likisema hali ni mbaya sana na kuonya kwamba italeta vurugu,sisi wazalendo tunalionya hilo zee linyamaze kimya la sivyo litachukuliwa hatua kwa kiutumika na mabeberu kuchafua amani yetu inayotunzwa na jeshi la police waliopo 60,000 nchi nzima ambao wanadhihirisha ubora wao kwa kudhibiti watanzania milioni 50.
Zee hilo ni kama linawatafutia wakurugenzi na wasimamizi lawama,NI NANI YUPO TAYARI KUTANGAZA MSHINDI NJE YA CCM AMUUDHI YULE BOSS MWENYE MUHIMILI ULIOJIMBIA CHINI ?AMBAYE ALISHATOA MAAGIZO NA ONYO KALI,YAANI YEYE ATOE HELA YAKE MFUKONI KUWAPA NYUMBA NA MAGARI HALAFU WATANGAZE MPINZANI MSHINDI?
 
Mzee atulie alee wajukuuu watamnyanganya hata huo uparole,Akajifariji na mwenzie le profu
 
Zee LINAFIKI la kiraracha limemwaga machozi mbele ya Rc wa kilimanjaro mama Anna kwa jinsi lilivyochezewa rafu na kile chama mahiri cha siasa kabisa barani Afrika,chama cha wanyonge kinachobadilikabadilika . kama kinyonga na kinachokwenda na wakati
Zee hilo limesikika likisema hali ni mbaya sana na kuonya kwamba italeta vurugu,sisi wazalendo tunalionya hilo zee linyamaze kimya la sivyo litachukuliwa hatua kwa kiutumika na mabeberu kuchafua amani yetu inayotunzwa na jeshi la police waliopo 60,000 nchi nzima ambao wanadhihirisha ubora wao kwa kudhibiti watanzania milioni 50.
Zee hilo ni kama linawatafutia wakurugenzi na wasimamizi lawama,NI NANI YUPO TAYARI KUTANGAZA MSHINDI NJE YA CCM AMUUDHI YULE BOSS MWENYE MUHIMILI ULIOJIMBIA CHINI ?AMBAYE ALISHATOA MAAGIZO NA ONYO KALI,YAANI YEYE ATOE HELA YAKE MFUKONI KUWAPA NYUMBA NA MAGARI HALAFU WATANGAZE MPINZANI MSHINDI?

Nimejifunza kuwa:

Huyo mama kamdharau kabisa Mrema
Anatamani ashuke kwenye gari achume fimbo amcharaze

Kwa jicho la tatu mrema anaigiza ili kufunika wale waliokwenda mtaroni
 
Na yule jogoo kwenye bendera yake akamtoe amchore tetea ieleweke moja tu kagongwa anasubiri kutaga mayai
 
Back
Top Bottom