M23 ya Rwanda yapata kipigo. Wamekufa viongozi wao muhimu sana

Yaani wenyewe washindwe kujitawala na kuuwana hovyo.alagu wawatawale watu weusi?. Akili zingine hizi. Waambieni watusi na kagame wenu hii Ni Tanzania Kama kwa miaka karibu ishirini kashindwa kuitawala congo na kakundi kake mavi M23 hapa kwetu asijaribu na kabla hajaanza chochote anatakiwa kuanza kufikilia ataenda kuishi uamishoni kwenye nchi gani akishaipata nchi ya kukimbilia alafu ndiyo awaze kuichokoza sisi watanzania watoto pendwa wa MUNGU.
 
Duuuu! Aisee hapa nimechoka kabisa, sikujua kuwa wewe "Marack" ni zumbukuku namna hii, unakaa chumbani kwako unaanza kutunga riwaya kichwani mwako kwa feelings na wishes zako halafu unatuleta hapa kwenye JF, kwa kweli nakupa advise story zako pereka kwenye riwaya na hadithi kwani hapa sio mahari pake. Unatia chumvi mpaka radha ya mboga haisikiki tena, Nyama rob kilo chumvi kilo moja. Eti Jenerali Mulokole amejeruhiwa vibaya huko Congo, Eti Jenerali Niyombare amajeruhiwa pia. Kwanza kabisa sio kweli ni uzushi wako, halafu pia ni vipi hawa majenerali wawili unawawekaje kwenye eneo moja la vita? hivi unamfahamu vizuri Jenerali Mulokore? Kabisa wewe ni bure kabisa just a Keyboard recruit, hivi zile story zako za safari yako huko DRC ziliishia wapi? jaribu kuingia kwenye uandishi wa riwaya za kufikirika.
 
Duuuu! Aisee hapa nimechoka kabisa, sikujua kuwa wewe "Marack" ni zumbukuku namna hii, unakaa chumbani kwako unaanza kutunga riwaya kichwani mwako kwa feelings na wishes zako halafu unatuleta hapa kwenye JF, kwa kweli nakupa advise story zako pereka kwenye riwaya na hadithi kwani hapa sio mahari pake. Unatia chumvi mpaka radha ya mboga haisikiki tena, Nyama rob kilo chumvi kilo moja. Eti Jenerali Mulokole amejeruhiwa vibaya huko Congo, Eti Jenerali Niyombare amajeruhiwa pia. Kwanza kabisa sio kweli ni uzushi wako, halafu pia ni vipi hawa majenerali wawili unawawekaje kwenye eneo moja la vita? hivi unamfahamu vizuri Jenerali Mulokore? Kabisa wewe ni bure kabisa just a Keyboard recruit, hivi zile story zako za safari yako huko DRC ziliishia wapi? jaribu kuingia kwenye uandishi wa riwaya za kufikirika.
 
Natamani ungepata nafasi ya kunifahamu. Pole sana Kamanda wa M23, najua hii habari inaladha mbaya kwako.
Haya tupe wewe habari ya ukweli huko Kitchanga au uko Kiwanja ama Masisi?
 
Natamani ungepata nafasi ya kunifahamu. Pole sana Kamanda wa M23, najua hii habari inaladha mbaya kwako.
Haya tupe wewe habari ya ukweli huko Kitchanga au uko Kiwanja ama Masisi?
Huko kote nipo mara kwa mara lakini kwa sasa nipo Goma, sasa sijui unataka story ipi? Ngoja nikudokezee kidogo, kwa taarifa yako hivi sasa vikosi vya SADC(SA & TZ) vimeingia rasmi kwenye uwanja wa mapambano na kwa kweli ndani ya masaa 48 yaliyopita vikosi hivi vya SADC baada ya kupewa briefing pale Goma vimeingia moja kwa moja vitani. Kwa kweli sipendi kukushtua au kumshtua yeyote hapa lakini habari sio nzuri sana. Mapokezi kwenye uwanja wa mapambano hayakuwa kama walivyo tarajia. Nasikitika sana baadhi ya vijana wa Kanali Ayub wameuzwa na FARDC, fuatilia vizuri hii habari ni latest sana, zipo picha kuthibitisha haya lakini hazifai kuzionyesha.
 
Godefroid Niyombare ni Generali wa Burundi ambaye aliwahi kuwa Balozi wa Burundi huko Kenya
 
Kwa hiyo zile issue za mapango ya mboni, malipuko ya Arusha, kibiti nk ni kutaka kuingiza mguu?
Ni nani hao?
Na kwa nn yote yalikuwa awamu ya Innee?
 
Weka acha porojo
 
Sasa uko Goma alafu unaripoti mambo ya vita. Acha stori za youtube wewe. Sogea hapa Rutchuru tucheze mdundo wa Karashnakov. Nikupeleke Butembo na béni ukajinyee. We unakaa Goma wanaume wako site. Mwendo mdundo mpaka Kigali
 
Sasa uko Goma alafu unaripoti mambo ya vita. Acha stori za youtube wewe. Sogea hapa Rutchuru tucheze mdundo wa Karashnakov. Nikupeleke Butembo na béni ukajinyee. We unakaa Goma wanaume wako site. Mwendo mdundo mpaka Kigali
Justine front yetu ya kwa Inonga ipo salama kweli?
 
Kwa hiyo alishamia Rwanda
Vita ni ya watusi kuitaka Congo na Burundi. Kwahiyo mtusi popote alipo Yuko vitani haijalishi Yuko wapi. Hâta Hapa wapo. Muhim ni kufanikisha kuunda Taifa lao la Hima Empire
 
Hii commentbitoshe. Rwanda hana uwezo huo hata chembe. Kwa taarifa zake tu ajue Rwanda ameinyamazisha kwa mabavu kuna uasi wa wenyewe kwa wenyewe n information za ndani za Rwanda tunazijua in and out.
Wala wasidhani Tz ina mgawanyiko kwa kutazama siasa zetu. Ni BIG NO.
sisi ni kama Yanga na Simba tu. Mwisho wa siku tuko pamoja .
Rwanda hana huo umija maana Watutsi na Wahutu amewabagua kikabila.
Siku hata akijaribu tu. Atajua Hajui
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…