roadmaster
JF-Expert Member
- Mar 21, 2023
- 1,609
- 2,751
Serikali ya Kongo ikodi Wagner wamunyooshe kagame
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na JK alishawaambia SADC kama mnashindwa niacheni niazishe baraa mpaka Kigari au huyu jamaa aongee na Hawa watu wake, bifu ndio lilianzia Hapa.Uko sawa kabisa,na nakubaliana na wewe mia kwa mia pia.ila usiifananishe congo na Tanzania,
Congo iliharibiwa na Mobutu na Kupelekea kua rahisi kuingiliwa na mamluki wa kigeni.
Tanzania tulikua tunajua mapema uwepo wa mamluki na ndio maana kagame alipoiinulia mabega Tanzania,kikwete akachukua hatua Kali na za haraka kuwaondoa wahamiaji haramu aliokua anawategemea kagame.
Lakini Mobutu yeye alikua anaangalia pesa TU,sio taifa.
lee Vladimir cleef hofu yangu juu ya mamluki wa nje ya nchi kujipenyeza ndani ya serikali na nyumba nyeupe CDF kapita mulemule.Uko sawa kabisa,na nakubaliana na wewe mia kwa mia pia.ila usiifananishe congo na Tanzania,
Congo iliharibiwa na Mobutu na Kupelekea kua rahisi kuingiliwa na mamluki wa kigeni.
Tanzania tulikua tunajua mapema uwepo wa mamluki na ndio maana kagame alipoiinulia mabega Tanzania,kikwete akachukua hatua Kali na za haraka kuwaondoa wahamiaji haramu aliokua anawategemea kagame.
Lakini Mobutu yeye alikua anaangalia pesa TU,sio taifa.
Mimi ningekuwa Rais wa Tanzania Kagame ningemtengenezea Tukio na kumtoa madarakani kwa nguvu,watusi ni Human animalsJeshi la Rwanda lililoivamia nchi ya Congo DRC kwa kujiita M23, imepokea KIPIGO kitakatifu toka kwa Jeshi la Congo na makundi ya Wazalendo.
Baada ya jeshi la Congo kufanya mashambulizi makali ya Anga dhidi ya Jeshi vamizi la M23, wamefanikiwa kuwaua wanajeshi wengi wa Rwanda wakiwemo makomandoo.
Waliokufa vibaya ni Jeneral André Nyamvumba, huyu ni Mtaalamu WA vita toka Rwanda ambaye amebobea kwenye matumizi ya teknolojia ya IT katika uwanja WA vita.
Mwingine ni Kanali Gaston wa M23 naye Amekufa, Pia Kanali Erasto Bahat naye amekufa.
Walio jeruhiwa vibaya ni pamoja na Jenerali Mulokole na Godefroid Niyombare.
Watusi ni watu hatari sana. Hapa Kuna jambo la kujifunza ili kuwaelewa Hawa Watusi na mikakati Yao.
Ukiangalia katika waliojeruhiwa utaona Jina la mtu mmoja ambaye Alifanya mapinduzi huko Burundi ambayo yalifeli baada ya Tanzania kuingiliwa kati kuyazima.
Huyu Jeneral Godefroid Niyombare alijaribu kumpindua Raia wa Burundi Peter Nkurunziza na kufurushwa na Makomandoo WA Tanzania.
Sasa mtu huyuhuyu Leo anaonekana akiwa kwenye jeshi la Rwanda Bali limevamia Congo.
Utagundua kuwa Kagame ndiye alitaka kumpindua Raia WA Burundi na ndio navuruga amani ya Afrika Mashariki.
Hawa Watusi Agenda Yao ni kuikamata Congo na Burundi Kisha wakipata nguvu ya Uchumi wake kuivamia Tanzania.
Kuwaelewa Hawa watu unatakiwa kufiatilia sana. Pia Jenerali Nyakarundi hajulikani alipo.
Mashambulizi yamefanya na ndihivita za Congo kwa ushirikiano na Makundi ya Wazalendo.
Hongera sana DRC
Unataka kureason Nini wakati vitu viko wazi. Au haujui kama M23 upo Congo. Unajua kutumia Google ? Basi jifunze kutumia Google alafu tafuta Makala za Hima Empire na M23
Endelea kujidanganya. Sijui kwanini mnaitukuza sana Rwanda.
Waambie hata leo waje
Kwamba Lengo la PK na M7 ni kuitawala Tz hii ninayo ifahamu??
Naamini wewe ndio hujui historia au nguvu ya kila Nchi katika ukandaa huu wa Africa Mashariki.
Nenda kajifunze zaidi, acha hizo habari za kusadikika.
Mi nitatorokea KenyaNarudia tena.....RWANDA AFANYE UJINGA WAKE KWA CONGO NA BURUNDI ILA SIO TANZANIA. asijaribu kuigusa mipaka ya nchi hii....atajuta mbwa huyu.
Lakn jeshi kazi yake nikulinda usalama mipakaniAchana na maneno ya vitisho mkuu, kuna maeneo Tz tumelala sana. Tunachoweza ni kuilinda CCM madarakani.
Kwani wakati anatoa maneno ya kijinga kwa jk tulimkosea nini? Kagame ni dictator na ana uchu wa rasilimali za nchi nyinginesasa wewe ata kama ndio
Sasa wewe hata kama ndio ushabiki unazidisha sasa Tanzania itavamiwa kwa kipi hasa hatuna kinyongo na nchi yyte sisi.
Acheni uchochozi wa kijinga.
Hawaelewi hii ni longterm plan, hata israel wakati anakuja kununua ardhi kidogo kidogo kama mkimbizi kwa waarabu, hakuna angeamini ungemwambia kama hwa jamaa kuna siku watawatwala hawa waarabu na kuanzisha nchi yao, watu wana malengo ya 50 to 100 years to come,... umeelewa MKAKATI?
... kwanza wanateka na kuzitawala Burundi na Kongo na kujiimarisha kiuchumi na kiteknolojia,
... THEN TANZANIA FOLLOWS!
QUITE PLAUSIBLE! 💀💀💀☠️
Vijana wa kinyarwanda mbona mnawapa teuzi ? Tena katika vyeo vyenye maamuzi.Narudia tena.....RWANDA AFANYE UJINGA WAKE KWA CONGO NA BURUNDI ILA SIO TANZANIA. asijaribu kuigusa mipaka ya nchi hii....atajuta mbwa huyu.
Wahutu si ndo walio ua watusi 1millionMimi ningekuwa Rais wa Tanzania Kagame ningemtengenezea Tukio na kumtoa madarakani kwa nguvu,watusi ni Human animals
Ondoa ujinga wako na stori za vijiweni.we husomi hata nakala??
mjinga hapa ni ww!! mm naelewa nn wachangiaji wanaongea!!
Anza kutafuta hayo wanayoongea utayapata shida unazan wananena kwa lugha
Hahahaaaaaa wamesahau bendera ilipepea rusumo paleJichanganye tu Rwanda igeuke Kata ya Kigoma
Na hawatajaribu sababu pamoja na m23 kua uwanja wa Vita lakini tulishawabalasa congo wakarudi Rwanda. Kagame akanuna na Uzuri alikutana na msela wetu kikwete akawa anamcheka kidhungu tu. Alipoona utawala wa msela umepita na mwamnyange hayupo karudisha kwato za m23 Kongo. Ila safari hatajuta watu walikua wanalinda amani tu Sasa hivi Ni kuwapelekea Moto wa uhakika. Wachague mawili tu warudi Rwanda wacongo waishi kwa Amani au wabaki wafe kibudu.Pamoja na watu wengi kupnga kuw M23 ikmalz congo na ugand itaingia Tz na cc wa Tz tukajion tuko vzr kvp nawez nisikubali moja kwa moja kwa reason moja M23 wapo kwenyereal uwanj wa vita miak na mikak , wanafany real practice kwahyo wakzm Tz tunawez kaangwa kdogo
Wanalilea jingajinga Kagame tuHahahaaaaaa wamesahau bendera ilipepea rusumo pale