M23 ya Rwanda yapata kipigo. Wamekufa viongozi wao muhimu sana

M23 ya Rwanda yapata kipigo. Wamekufa viongozi wao muhimu sana

Jeshi la Rwanda lililoivamia nchi ya Congo DRC kwa kujiita M23, imepokea KIPIGO kitakatifu toka kwa Jeshi la Congo na makundi ya Wazalendo.

Baada ya jeshi la Congo kufanya mashambulizi makali ya Anga dhidi ya Jeshi vamizi la M23, wamefanikiwa kuwaua wanajeshi wengi wa Rwanda wakiwemo makomandoo.

Waliokufa vibaya ni Jeneral André Nyamvumba, huyu ni Mtaalamu WA vita toka Rwanda ambaye amebobea kwenye matumizi ya teknolojia ya IT katika uwanja WA vita.

Mwingine ni Kanali Gaston wa M23 naye Amekufa, Pia Kanali Erasto Bahat naye amekufa.

Walio jeruhiwa vibaya ni pamoja na Jenerali Mulokole na Godefroid Niyombare.

Watusi ni watu hatari sana. Hapa Kuna jambo la kujifunza ili kuwaelewa Hawa Watusi na mikakati Yao.

Ukiangalia katika waliojeruhiwa utaona Jina la mtu mmoja ambaye Alifanya mapinduzi huko Burundi ambayo yalifeli baada ya Tanzania kuingiliwa kati kuyazima.

Huyu Jeneral Godefroid Niyombare alijaribu kumpindua Raia wa Burundi Peter Nkurunziza na kufurushwa na Makomandoo WA Tanzania.

Sasa mtu huyuhuyu Leo anaonekana akiwa kwenye jeshi la Rwanda Bali limevamia Congo.

Utagundua kuwa Kagame ndiye alitaka kumpindua Raia WA Burundi na ndio navuruga amani ya Afrika Mashariki.

Hawa Watusi Agenda Yao ni kuikamata Congo na Burundi Kisha wakipata nguvu ya Uchumi wake kuivamia Tanzania.

Kuwaelewa Hawa watu unatakiwa kufiatilia sana. Pia Jenerali Nyakarundi hajulikani alipo.

Mashambulizi yamefanya na ndihivita za Congo kwa ushirikiano na Makundi ya Wazalendo.

Hongera sana DRC
Wangekuwa waislam wangesema magaidi,ila kwa vile yote mila nguruwe hatusikii ugaidi P*mbavu zao
 
Ndugu huu ni mkakati hebu acha hizo fikra za asijaribu Tz iko hivi kuna plan ya kina M7 na huyo paka kuitawala Rwanda , Congo , Burundi , Uganda na Tanzania nchi hizi ziwe chini ya Himaya ya kitutsi yaani #Hima empire# na amini usiamini kagame kupitia makundi yake ya kigaidi yanayoitaka Congo wakiikama DRC tu ndani ya mwaka wataichukua Burundi na mwaka 1 baadae wataichukua Tanzania jua linawaka na kwakuongeza wameanza na Congo ili kupata raslimali zitakazo tumika kuongeza nguvu kumpiga yeyote atakayepinga hima Empire
Aisee hii habari utafikri tulikuwa wote siku muharifu mmoja alipo kamatwa na majeshi yetu kipindi kile ambacho Rwanda,Burundi na Uganda walipopanga kumpindua Kabila kwa madai ya kukiuka makubaliano yao waliokuwa wamekubaliana kwa kuwa Kabila alilewa kwa sehemu kubwa na Tanzania,yule mateka alieleza kitu kama hiki ulichokielezea.

Ila baadhi watakupinga sana kwa sababu hawakijui kilichojificha uvunguni.
 
Jeshi la Rwanda lililoivamia nchi ya Congo DRC kwa kujiita M23, imepokea KIPIGO kitakatifu toka kwa Jeshi la Congo na makundi ya Wazalendo.

Baada ya jeshi la Congo kufanya mashambulizi makali ya Anga dhidi ya Jeshi vamizi la M23, wamefanikiwa kuwaua wanajeshi wengi wa Rwanda wakiwemo makomandoo.

Waliokufa vibaya ni Jeneral André Nyamvumba, huyu ni Mtaalamu WA vita toka Rwanda ambaye amebobea kwenye matumizi ya teknolojia ya IT katika uwanja WA vita.

Mwingine ni Kanali Gaston wa M23 naye Amekufa, Pia Kanali Erasto Bahat naye amekufa.

Walio jeruhiwa vibaya ni pamoja na Jenerali Mulokole na Godefroid Niyombare.

Watusi ni watu hatari sana. Hapa Kuna jambo la kujifunza ili kuwaelewa Hawa Watusi na mikakati Yao.

Ukiangalia katika waliojeruhiwa utaona Jina la mtu mmoja ambaye Alifanya mapinduzi huko Burundi ambayo yalifeli baada ya Tanzania kuingiliwa kati kuyazima.

Huyu Jeneral Godefroid Niyombare alijaribu kumpindua Raia wa Burundi Peter Nkurunziza na kufurushwa na Makomandoo WA Tanzania.

Sasa mtu huyuhuyu Leo anaonekana akiwa kwenye jeshi la Rwanda Bali limevamia Congo.

Utagundua kuwa Kagame ndiye alitaka kumpindua Raia WA Burundi na ndio navuruga amani ya Afrika Mashariki.

Hawa Watusi Agenda Yao ni kuikamata Congo na Burundi Kisha wakipata nguvu ya Uchumi wake kuivamia Tanzania.

Kuwaelewa Hawa watu unatakiwa kufiatilia sana. Pia Jenerali Nyakarundi hajulikani alipo.

Mashambulizi yamefanya na ndihivita za Congo kwa ushirikiano na Makundi ya Wazalendo.

Hongera sana DRC
Upo sahii, na hili lengo lao la kutaka kuivamia Tanzania nchi kama nchi tunalifahamu tokea kitambo.
Kanda yoyote Ile nchi Moja lazima iwe na adui jirani yake.
Bila kupepesa macho adui wa Tanzania East Africa ni Rwanda, muda wote Tumekua na mapigano yasio ya Moja Kwa Moja na ndugu zetu Hawa wa Rwanda katika maeneo mbalimbali ndani ya jumuiya yetu hasa Congo na Burundi. Mungu sio Athuman, kaijalia kidogo Tanzania nguvu za kijeshi. Bila ya hivyo hawa watu wangetusumbua sana.

Ukiutizama ule mgogoro wa Ziwa Nyasa baina ya Tanzania na Malawi na kwa kupitia mkataba wa Heligoland wa 1890 na ule wa Umoja wa mataifa, utagundua Malawi ingekua Rwanda lazima Tanzania ingeingia kwenye mapigano. Lakini raisi wa Malawi Razarius Chakwera alishawai kusema kwamba "kuingia kwenye vita na Tanzania juu ya Ziwa Nyasa ni kosa kubwa sana, sababu Tanzania ni ndugu zetu na tunawategemea sana kwenye chakula". Hapa unapata kutambua kwamba wamalawi ni marafiki zetu.
 
Ndugu huu ni mkakati hebu acha hizo fikra za asijaribu Tz iko hivi kuna plan ya kina M7 na huyo paka kuitawala Rwanda , Congo , Burundi , Uganda na Tanzania nchi hizi ziwe chini ya Himaya ya kitutsi yaani #Hima empire# na amini usiamini kagame kupitia makundi yake ya kigaidi yanayoitaka Congo wakiikama DRC tu ndani ya mwaka wataichukua Burundi na mwaka 1 baadae wataichukua Tanzania jua linawaka na kwakuongeza wameanza na Congo ili kupata raslimali zitakazo tumika kuongeza nguvu kumpiga yeyote atakayepinga hima Empire
Huu ni mkakati wa kijinga na WA kufikirika TU, hautakaa uwezekane milele.
Wala sidhani kama Kagame anaweza kuwaza jambo la hatari namna hii kwake na watakaomfuata.

Hebu fikiria ugumu huu.

Vita baada ya kujaribu kutaka kukamata mojawapo ya nchi anazotamani kuzikamata kabla ya kuishinda nchi hiyo ili kwenda kuikamata nchi nyingine itapiganwa bila mwisho kwa miaka nenda miaka Rudi.
Sababu Iko hivi,huko congo Rwanda wala kagame haiungwi mkono na watu wote Raia wa congo,hivyo hawatakubali kushindwa.congo kama congo Ina nchi marafiki hawatakuabtayari kuiachia congo iangukie mikononi mwa Rwanda.

Hali Iko hivyo kwa Uganda,Burundi na Tanzania.
Nchi hizi kama ilivyo congo kagame haungwi mkono na raia wa nchi hizi walq Hana kabila linalomuunga mkono zaidi ya jamii wa Warusi wachache TU wasiojitambua wanaopatikana kidogo Burundi na kwa uchache Uganda,Tanzania ndio hakuna kabisa.

Sasa jamii ndogo TU ya wanyarwanda ndio itingishe mbuyu wenye miaka mingi namna hiyo?
Ndugu yangu ,kagame Hana jeshi la namna hiyo,mambo mengine tuanamsingizia TU ama tuanamkuza TU.

Mfano mmoja TU kuishinda Tanzania hiyo ni ndoto.
Lakini hata ikitokea Tanzania ikazidiwa ujue Kuna nchi ndogondogo na kubwa zitaingia upande wa Tanzania kwa sababu za kihistoria.
Sababu za kihistoria ni kwamba nchi kama south Afrika,Angola,msumbiji,Zambia,Botswana haziwezi kuiacha Tanzania ikaanguka.
Hizo nchi ni kama Tanzania aliwekeza.

Rwanda hata akisaidiwa na USA Kaa ukijua kua Urusi,china na Korea kaskazini na baadhi ya nchi kubwa hazitakaa kimya kuiacha nchi rafiki ikianguka.
Huko nimeenda mbali sana kuonesha ugumu wa kagame kwa kile unaita ni mkakati .
Lakini Hali halisi ni kwamba Tanzania peke yetu TU kagame hawezi kufanya lolote.yaani wamuone mwaka wa kwanza kaishinda DRC,mwaka wa pili kaishinda Burundi,mwaka wa Tatu kaishinda Uganda ,halafu Tanzania wamekaa TU.hakuna kitu kama hicho.

Kwanza kabisa Rwanda haiwezi kuishinda DRCpeke yake wala Uganda peke yake,na hata Burundi vita itapiganwa muda mrefu sana.vita ya kuiteka nchi na kuyaweka mikononi mwako majeshi yote ya nchi unayopigana nayo ni ngumu sana.
Vita hubadilika na kua vita vya msituni ama mtaa kwa mtaa baada ya jeshi kuona Sasa limepoteza udhibiti wa maeneo muhimu.hapa hata raia wa kawaida walio wengi huacha shughuli zao na kuingia vitani kwa mtindo wa waasi,wapigania uhuru ama askari wa msituni.kuwatuliza watu Hawa ni miaka na miaka Hadi utakapokubali yaishe.mfano wapalestina, Mujahedeen,Porisalio,umkhonto we swize,MPLA,etc.
Kagame Hana ubavy huo,Hana watu na walq hawezi kujaribu kuonja sumu kwa kuilamba.
 
Nasimama na rwanda namkubari sana kagame aisee
Sawa kabisa wala haikatazwi mtu kua mshabiki wa mtu mwingine.anaweza akakuvutia kwa jinsi anavyoijenga nchi yake.
Lakini hayo mengine naona ama wanamsingizia TU ama wanamkuza.
Kagame na Rwanda yake ni dhaifu mno kuweza kufurukuta hapa nchi za ukanda wa maziwa makuu.
Ni dhaifu mno.
 
Jeshi la Rwanda lililoivamia nchi ya Congo DRC kwa kujiita M23, imepokea KIPIGO kitakatifu toka kwa Jeshi la Congo na makundi ya Wazalendo.

Baada ya jeshi la Congo kufanya mashambulizi makali ya Anga dhidi ya Jeshi vamizi la M23, wamefanikiwa kuwaua wanajeshi wengi wa Rwanda wakiwemo makomandoo.

Waliokufa vibaya ni Jeneral André Nyamvumba, huyu ni Mtaalamu WA vita toka Rwanda ambaye amebobea kwenye matumizi ya teknolojia ya IT katika uwanja WA vita.

Mwingine ni Kanali Gaston wa M23 naye Amekufa, Pia Kanali Erasto Bahat naye amekufa.

Walio jeruhiwa vibaya ni pamoja na Jenerali Mulokole na Godefroid Niyombare.

Watusi ni watu hatari sana. Hapa Kuna jambo la kujifunza ili kuwaelewa Hawa Watusi na mikakati Yao.

Ukiangalia katika waliojeruhiwa utaona Jina la mtu mmoja ambaye Alifanya mapinduzi huko Burundi ambayo yalifeli baada ya Tanzania kuingiliwa kati kuyazima.

Huyu Jeneral Godefroid Niyombare alijaribu kumpindua Raia wa Burundi Peter Nkurunziza na kufurushwa na Makomandoo WA Tanzania.

Sasa mtu huyuhuyu Leo anaonekana akiwa kwenye jeshi la Rwanda Bali limevamia Congo.

Utagundua kuwa Kagame ndiye alitaka kumpindua Raia WA Burundi na ndio navuruga amani ya Afrika Mashariki.

Hawa Watusi Agenda Yao ni kuikamata Congo na Burundi Kisha wakipata nguvu ya Uchumi wake kuivamia Tanzania.

Kuwaelewa Hawa watu unatakiwa kufiatilia sana. Pia Jenerali Nyakarundi hajulikani alipo.

Mashambulizi yamefanya na ndihivita za Congo kwa ushirikiano na Makundi ya Wazalendo.

Hongera sana DRC
Hiki chanzo we umekitoa wapii ujue kati ya hao uliowataja hapo juu kuwa wameuwawa mmoja wapo ni Mwana familia yangu.
 
Ramani ya Empire Hima (Tutsi Empire) hii hapa. Mpaka Mwanza iko Rwanda
Sawa mkuu,Iko hivi.
Hata sisi Tanzania kwa kua ndio nchi inayoongea kiswahili 100% tunaweza tukachora ramani ya nchi zote penye jamii wanapopngea kiswahili.lengo likiwa ni kutaka kukikuza na kisaida kukitangaza TU.

Huenda na hao Warusi lengo lao ni kutaka kujua watusi wako wapi na wapi ili kusaidiana ama kusaidia maendeleao ya kwao.

Hata kabisa katoliki pia hufanya sensa za nna hii.
Narudia tena.kagame na Rwanda yake hawezi kupigana na nchi hizo moja Kila baada ya nyingine ili asimike kabila lake lotawale makabila mengine kinguvu hawezi.haya yaliwashinda wakoloni wenye nguvu ya pesa na silaha Leo kagame mmoja hawezi hii kitu.
Hicho unachowaza ni ukoloni.dunia hii ukoloni haunq nguvu tena,atwpingwa kwa maneno na vitendo na naamini kagame ana akili sana hawezi thubutu kuwaza jambo la hatari kama hilo kwake na hiyo jamii yake.
Iko hivi,sio Kila mpango hufanikiwa,je akianzisha vita halafu akashidwa huoni kama watusi wataishi maisha ya kale kabisa?
Maana hakuna nchi itataka kuwahost Tena,watachukiwa,watapigwa,watabaguliwa,watengwa,watauwawa na kufukuzwa hivyo Kila watakapoonekana.watafanyiww Kila aina ya ukatilibhapa duniania.
Nimekuambia hivyo uone hatari ya kufikirika kujaribu vita ya aina hiyo,ya kujaribu kuipiga DRC,Burundi,Uganda,Tanzania nk ili kuunda sijui Bahima Empire.
Nchi nyingine zikijua kua kumbe lengo ni hilo,zitaingia upande wa nchi zinazovamiwa na kagame au Hima kwa ajili ya kuvunja kabisa ndoto hiyo na kujiwekea buffer zone.
Mfano Mozambique,SA,Angola,Zambia, Botswana,Malawi,Kenya,central Afrikan.k
 
ukiitazama Rwanda ya leo kwenye war scale na Tanzania,Rwanda haifurukuti hata punje ya mchanga kwa tz.

ila ukiitazama Rwanda ya 50+yrs ijayo,na kwa jinsi nchi yetu ya tz ilivyo shaghala baghala ipo siku Rwanda itatuliza machozi ya damu.
Ha haha haa.pia usisahau kua Tanzania ya miaka hamsini ijayo haiwezi kua kama ilivyo Leo.
Haitakua inaongozwa na Samia,CCM wala makonda.
Tanzania inahitaji miaka mitano TU chini ya mtanzania mzalendo wa kweli na mtu mwenye maono kubadilisha na kua moja ya nchi inayoheshimika na kuogopwa kwa maendeleao yake na nguvu zaidi za kijeshi.
Miaka mitano TU isiyo ya kikandamizaji Bali inayochochea maendeleao kizalendo.
Ni mipango mizuri bila nguvu wala vitisho wala uonevu vitakavyochochea maendeleo Kwa haraka.
Kwa sababu rasilimali zote tunazo.
 
Ndugu huu ni mkakati hebu acha hizo fikra za asijaribu Tz iko hivi kuna plan ya kina M7 na huyo paka kuitawala Rwanda , Congo , Burundi , Uganda na Tanzania nchi hizi ziwe chini ya Himaya ya kitutsi yaani #Hima empire# na amini usiamini kagame kupitia makundi yake ya kigaidi yanayoitaka Congo wakiikama DRC tu ndani ya mwaka wataichukua Burundi na mwaka 1 baadae wataichukua Tanzania jua linawaka na kwakuongeza wameanza na Congo ili kupata raslimali zitakazo tumika kuongeza nguvu kumpiga yeyote atakayepinga hima Empire

Hima empire naisubiri kwa hamu.
 
Back
Top Bottom