M23 ya Rwanda yapata kipigo. Wamekufa viongozi wao muhimu sana

M23 ya Rwanda yapata kipigo. Wamekufa viongozi wao muhimu sana

Ha haha haa.pia usisahau kua Tanzania ya miaka hamsini ijayo haiwezi kua kama ilivyo Leo.
Haitakua inaongozwa na Samia,CCM wala makonda.
Tanzania inahitaji miaka mitano TU chini ya mtanzania mzalendo wa kweli na mtu mwenye maono kubadilisha na kua moja ya nchi inayoheshimika na kuogopwa kwa maendeleao yake na nguvu zaidi za kijeshi.
Miaka mitano TU isiyo ya kikandamizaji Bali inayochochea maendeleao kizalendo.
Ni mipango mizuri bila nguvu wala vitisho wala uonevu vitakavyochochea maendeleo Kwa haraka.
Kwa sababu rasilimali zote tunazo.
nakuunga mkono 100%.
ila mkuu ogopa mamluki,mamluki wakijipenyeza ndani ya nchi na serikali ni kazi kuwabaini.
ugumu wanaokutana nao jeshi la Congo kupambana na M23 ni jeshi la Congo kuwa na mamluki wa M23 waliojipenyeza ndani ya serikali na jeshi miaka mingi iliyopita.
hofu yangu ni hiyo.
 
Jichanganye tu we Kagame
Wewe akili huna, kwa nchi masikini za Afrika hakuna anayepigana akabaki na unafuu wa maisha, kama sasa hivi tunalalamika chakula ni ghali, tukiingia vitani itakuwa mara mbili au tatu.

Mwisho kabisa, wanajeshi wana ndugu, wana familia. Hakuna mtu anayependa kumpoteza ndugu yake hasa familia, endelea kukaza matako ili ufurahie Tanzania kuingia vitani ukidhani vita ni kama kunywa maji.
 
Jeshi la Rwanda lililoivamia nchi ya Congo DRC kwa kujiita M23, imepokea KIPIGO kitakatifu toka kwa Jeshi la Congo na makundi ya Wazalendo.

Baada ya jeshi la Congo kufanya mashambulizi makali ya Anga dhidi ya Jeshi vamizi la M23, wamefanikiwa kuwaua wanajeshi wengi wa Rwanda wakiwemo makomandoo.

Waliokufa vibaya ni Jeneral André Nyamvumba, huyu ni Mtaalamu WA vita toka Rwanda ambaye amebobea kwenye matumizi ya teknolojia ya IT katika uwanja WA vita.

Mwingine ni Kanali Gaston wa M23 naye Amekufa, Pia Kanali Erasto Bahat naye amekufa.

Walio jeruhiwa vibaya ni pamoja na Jenerali Mulokole na Godefroid Niyombare.

Watusi ni watu hatari sana. Hapa Kuna jambo la kujifunza ili kuwaelewa Hawa Watusi na mikakati Yao.

Ukiangalia katika waliojeruhiwa utaona Jina la mtu mmoja ambaye Alifanya mapinduzi huko Burundi ambayo yalifeli baada ya Tanzania kuingiliwa kati kuyazima.

Huyu Jeneral Godefroid Niyombare alijaribu kumpindua Raia wa Burundi Peter Nkurunziza na kufurushwa na Makomandoo WA Tanzania.

Sasa mtu huyuhuyu Leo anaonekana akiwa kwenye jeshi la Rwanda Bali limevamia Congo.

Utagundua kuwa Kagame ndiye alitaka kumpindua Raia WA Burundi na ndio navuruga amani ya Afrika Mashariki.

Hawa Watusi Agenda Yao ni kuikamata Congo na Burundi Kisha wakipata nguvu ya Uchumi wake kuivamia Tanzania.

Kuwaelewa Hawa watu unatakiwa kufiatilia sana. Pia Jenerali Nyakarundi hajulikani alipo.

Mashambulizi yamefanya na ndihivita za Congo kwa ushirikiano na Makundi ya Wazalendo.

Hongera sana DRC
Felix Tshisekedi atimize ahadi yake Sasa ya kwenye kampeni ya kukafurusha hako ka pussy Kagame
 
Wewe akili huna, kwa nchi masikini za Afrika hakuna anayepigana akabaki na unafuu wa maisha, kama sasa hivi tunalalamika chakula ni ghali, tukiingia vitani itakuwa mara mbili au tatu.

Mwisho kabisa, wanajeshi wana ndugu, wana familia. Hakuna mtu anayependa kumpoteza ndugu yake hasa familia, endelea kukaza matako ili ufurahie Tanzania kuingia vitani ukidhani vita ni kama kunywa maji.
Jichanganye tu Rwanda igeuke Kata ya Kigoma
 
Felix Tshisekedi atimize ahadi yake Sasa ya kwenye kampeni ya kukafurusha hako ka pussy Kagame
Kwa makakati uliowekwa m23 watajutia matendo yako ya kishenzi ndani ya congo. Saa hizi kagame kichwa kinamuuma jinsi gani atawapokea hao kenge wake wa M23 na kila wakati anakataa kuwa hausiki. Yaani wangeweka mkakati atakaye wapokea M23 ale kichapo tu.
 
Kwa makakati uliowekwa m23 watajutia matendo yako ya kishenzi ndani ya congo. Saa hizi kagame kichwa kinamuuma jinsi gani atawapokea hao kenge wake wa M23 na kila wakati anakataa kuwa hausiki. Yaani wangeweka mkakati atakaye wapokea M23 ale kichapo tu.
Burundi nae akiwashe
 
Narudia tena.....RWANDA AFANYE UJINGA WAKE KWA CONGO NA BURUNDI ILA SIO TANZANIA. asijaribu kuigusa mipaka ya nchi hii....atajuta mbwa huyu.
Aiguse mara ngapi kama naibu waziri mkubwa ni kijana wake
 
Kwani Tanzania inatofautigani na hiyo Congo? Unadhani Wacongo hawana akili au hawapendi amani kama Tanzania ? Kwa Taarifa yako, Hao Wacongo unaowaona Leo wanalala porini, huko Nyuma kabla ya Watusi kujipenyeza na kujiita M23 walikua wanaishi kwa amani na furaha kama wewe leo. Mambo tanayotokea Leo DRC ni mpango tangu miaka 1950s kabla hata ya uhuru WA Tanganyika. Tatizo sio Kagame kwani hata akija mwingine Bado atasimamia mpango wao.
Kama wewe ni Mtusi nadhani unajua mnavyo fundishwa kuwa Nyinyi ni damu takatifu toka Israël na Afrika yote ni Mali yenu mlipewa na Mungu.
Unajua mnavyo fundishwa kuwa Hima Empire inatakiwa kufika mpaka South Afrika.
Nenda Congo kaangalie Watusi wamepewa haki zote lakini hawaridhiki mpaka waigawe Congo ili wao wachukue sehem yenye madini Kisha waunganishe na Rwanda.
Hungereni Watusi kwa kusimamia mambo yenu
Wapeni vichwa tu!
 
Huu ni mkakati wa kijinga na WA kufikirika TU, hautakaa uwezekane milele.
Wala sidhani kama Kagame anaweza kuwaza jambo la hatari namna hii kwake na watakaomfuata.

Hebu fikiria ugumu huu.

Vita baada ya kujaribu kutaka kukamata mojawapo ya nchi anazotamani kuzikamata kabla ya kuishinda nchi hiyo ili kwenda kuikamata nchi nyingine itapiganwa bila mwisho kwa miaka nenda miaka Rudi.
Sababu Iko hivi,huko congo Rwanda wala kagame haiungwi mkono na watu wote Raia wa congo,hivyo hawatakubali kushindwa.congo kama congo Ina nchi marafiki hawatakuabtayari kuiachia congo iangukie mikononi mwa Rwanda.

Hali Iko hivyo kwa Uganda,Burundi na Tanzania.
Nchi hizi kama ilivyo congo kagame haungwi mkono na raia wa nchi hizi walq Hana kabila linalomuunga mkono zaidi ya jamii wa Warusi wachache TU wasiojitambua wanaopatikana kidogo Burundi na kwa uchache Uganda,Tanzania ndio hakuna kabisa.

Sasa jamii ndogo TU ya wanyarwanda ndio itingishe mbuyu wenye miaka mingi namna hiyo?
Ndugu yangu ,kagame Hana jeshi la namna hiyo,mambo mengine tuanamsingizia TU ama tuanamkuza TU.

Mfano mmoja TU kuishinda Tanzania hiyo ni ndoto.
Lakini hata ikitokea Tanzania ikazidiwa ujue Kuna nchi ndogondogo na kubwa zitaingia upande wa Tanzania kwa sababu za kihistoria.
Sababu za kihistoria ni kwamba nchi kama south Afrika,Angola,msumbiji,Zambia,Botswana haziwezi kuiacha Tanzania ikaanguka.
Hizo nchi ni kama Tanzania aliwekeza.

Rwanda hata akisaidiwa na USA Kaa ukijua kua Urusi,china na Korea kaskazini na baadhi ya nchi kubwa hazitakaa kimya kuiacha nchi rafiki ikianguka.
Huko nimeenda mbali sana kuonesha ugumu wa kagame kwa kile unaita ni mkakati .
Lakini Hali halisi ni kwamba Tanzania peke yetu TU kagame hawezi kufanya lolote.yaani wamuone mwaka wa kwanza kaishinda DRC,mwaka wa pili kaishinda Burundi,mwaka wa Tatu kaishinda Uganda ,halafu Tanzania wamekaa TU.hakuna kitu kama hicho.

Kwanza kabisa Rwanda haiwezi kuishinda DRCpeke yake wala Uganda peke yake,na hata Burundi vita itapiganwa muda mrefu sana.vita ya kuiteka nchi na kuyaweka mikononi mwako majeshi yote ya nchi unayopigana nayo ni ngumu sana.
Vita hubadilika na kua vita vya msituni ama mtaa kwa mtaa baada ya jeshi kuona Sasa limepoteza udhibiti wa maeneo muhimu.hapa hata raia wa kawaida walio wengi huacha shughuli zao na kuingia vitani kwa mtindo wa waasi,wapigania uhuru ama askari wa msituni.kuwatuliza watu Hawa ni miaka na miaka Hadi utakapokubali yaishe.mfano wapalestina, Mujahedeen,Porisalio,umkhonto we swize,MPLA,etc.
Kagame Hana ubavy huo,Hana watu na walq hawezi kujaribu kuonja sumu kwa kuilamba.
Mbona hushangai waisraeli wako milion 9 ila wanatishia middle east yenye raia milion 400.

Israel wana jeuri ya mabeberu same to Rwanda jamaa ana jeuri ya mabeberu.
 
Kwani Tanzania inatofautigani na hiyo Congo? Unadhani Wacongo hawana akili au hawapendi amani kama Tanzania ? Kwa Taarifa yako, Hao Wacongo unaowaona Leo wanalala porini, huko Nyuma kabla ya Watusi kujipenyeza na kujiita M23 walikua wanaishi kwa amani na furaha kama wewe leo. Mambo tanayotokea Leo DRC ni mpango tangu miaka 1950s kabla hata ya uhuru WA Tanganyika. Tatizo sio Kagame kwani hata akija mwingine Bado atasimamia mpango wao.
Kama wewe ni Mtusi nadhani unajua mnavyo fundishwa kuwa Nyinyi ni damu takatifu toka Israël na Afrika yote ni Mali yenu mlipewa na Mungu.
Unajua mnavyo fundishwa kuwa Hima Empire inatakiwa kufika mpaka South Afrika.
Nenda Congo kaangalie Watusi wamepewa haki zote lakini hawaridhiki mpaka waigawe Congo ili wao wachukue sehem yenye madini Kisha waunganishe na Rwanda.
Hungereni Watusi kwa kusimamia mambo yenu
Habari za kusadikika.
 
Rwanda hii ambayo ina visasi vya chini chini wenyewe kwa wenyewe?
Kwamba Jeshi letu ni dhaifu sababu lipo kisiasa? Lete kikundi chako cha kikaidi au tishia kuvamia mipaka ya Tanzania ndio utajua jeshi lipo kisiasa au laah.
Siri za nchi zitabaki kuwa siri za nchi.
Huko mipakani tuna wachonyota Kila mala🤣 uliza wananchi wa Karagwe Wana habari hii hasa kwenye lile Ziwa Lilo mpakani na Rwanda, sema tunawafinya kimyakimya
 
Huko mipakani tuna wachonyota Kila mala🤣 uliza wananchi wa Karagwe Wana habari hii hasa kwenye lile Ziwa Lilo mpakani na Rwanda, sema tunawafinya kimyakimya
Hakuna kitu kizuri kama kujifariji,endelea kujifariji
 
Jeshi la Rwanda lililoivamia nchi ya Congo DRC kwa kujiita M23, imepokea KIPIGO kitakatifu toka kwa Jeshi la Congo na makundi ya Wazalendo.

Baada ya jeshi la Congo kufanya mashambulizi makali ya Anga dhidi ya Jeshi vamizi la M23, wamefanikiwa kuwaua wanajeshi wengi wa Rwanda wakiwemo makomandoo.

Waliokufa vibaya ni Jeneral André Nyamvumba, huyu ni Mtaalamu WA vita toka Rwanda ambaye amebobea kwenye matumizi ya teknolojia ya IT katika uwanja WA vita.

Mwingine ni Kanali Gaston wa M23 naye Amekufa, Pia Kanali Erasto Bahat naye amekufa.

Walio jeruhiwa vibaya ni pamoja na Jenerali Mulokole na Godefroid Niyombare.

Watusi ni watu hatari sana. Hapa Kuna jambo la kujifunza ili kuwaelewa Hawa Watusi na mikakati Yao.

Ukiangalia katika waliojeruhiwa utaona Jina la mtu mmoja ambaye Alifanya mapinduzi huko Burundi ambayo yalifeli baada ya Tanzania kuingiliwa kati kuyazima.

Huyu Jeneral Godefroid Niyombare alijaribu kumpindua Raia wa Burundi Peter Nkurunziza na kufurushwa na Makomandoo WA Tanzania.

Sasa mtu huyuhuyu Leo anaonekana akiwa kwenye jeshi la Rwanda Bali limevamia Congo.

Utagundua kuwa Kagame ndiye alitaka kumpindua Raia WA Burundi na ndio navuruga amani ya Afrika Mashariki.

Hawa Watusi Agenda Yao ni kuikamata Congo na Burundi Kisha wakipata nguvu ya Uchumi wake kuivamia Tanzania.

Kuwaelewa Hawa watu unatakiwa kufiatilia sana. Pia Jenerali Nyakarundi hajulikani alipo.

Mashambulizi yamefanya na ndihivita za Congo kwa ushirikiano na Makundi ya Wazalendo.

Hongera sana DRC
Good move.
 
nakuunga mkono 100%.
ila mkuu ogopa mamluki,mamluki wakijipenyeza ndani ya nchi na serikali ni kazi kuwabaini.
ugumu wanaokutana nao jeshi la Congo kupambana na M23 ni jeshi la Congo kuwa na mamluki wa M23 waliojipenyeza ndani ya serikali na jeshi miaka mingi iliyopita.
hofu yangu ni hiyo.
Uko sawa kabisa,na nakubaliana na wewe mia kwa mia pia.ila usiifananishe congo na Tanzania,
Congo iliharibiwa na Mobutu na Kupelekea kua rahisi kuingiliwa na mamluki wa kigeni.
Tanzania tulikua tunajua mapema uwepo wa mamluki na ndio maana kagame alipoiinulia mabega Tanzania,kikwete akachukua hatua Kali na za haraka kuwaondoa wahamiaji haramu aliokua anawategemea kagame.
Lakini Mobutu yeye alikua anaangalia pesa TU,sio taifa.
 
Tanzania ujinga ni mwingi sana uwezo wa ku reason ni mdogo.
Rwanda avamie Congo then Tanzania. duh
Mnafikiri hawezi, kama hamas wamedefeat israel jeshi lililokuwa likiaminika kuww ndo jeshi bora kabisa
 
Mbona hushangai waisraeli wako milion 9 ila wanatishia middle east yenye raia milion 400.

Israel wana jeuri ya mabeberu same to Rwanda jamaa ana jeuri ya mabeberu.
Ha ha haa,
Mbona mazingira ni tofauti kabisa kati ya Israel na Rwanda.

Kama ni kweli kua Nia ya Rwanda ni kuzipiga nchi na kuweka Bahima basi mabeberu hawatakua upande wa kagame,kwa sababu mabeberu wao wanamtaka kagame kwa sababu ya malighafi TU,na malighafi wanaweza kuipata hata bila ya Bahima.
Wakati Israel yenyewe inapigana sio kuweka empire yake Bali ni kujilinda baada ya kuwakandamiza wapalestina.

Kagame ni rafiki wa mabeberu sawa lakini pia Tanzania ni tegemeo la mabeberu katika masuala ya mabeberu kwa ajili ya amani ya nchi za ukanda wa maziwa.

Pia Tanzania ni rafiki wa mabeberu na upande mwingine ni rafiki wa akina Urusi na china.hivyo kagame akiungwa mkono na mabebeu Tanzania na wenzake wataungwa mkono na akina Urusi na china.
 
Back
Top Bottom