M23 yalitembelea Jeshi la Afrika Kusini kambini kwao

M23 yalitembelea Jeshi la Afrika Kusini kambini kwao

Twin_Kids

JF-Expert Member
Joined
Feb 25, 2016
Posts
3,692
Reaction score
5,647
Jeshi la M23, limetembelea kambi ya Mubambiro. Baada ya mazungumzo (hawakuingia kambini, waliishia nje ya kambi). Wanajeshi wa Afrika kusini wameonyesha kuridhia ukarimu wa M23 na kuomba mambo matatu:

1. Kuruhusiwa kwenda Goma, kwa kutumia vifaru, wakakusanye vitu vyao vilivyopo kwenye kambi ya MONUSCO na kukaa navyo walipo kambini hapo.


Video inayoelezea kuhusu mazungumzo ya M23 na wanajeshi wa SADC

2. Kuruhusiwa kurudi nyuma walipokuwa na positions za mapigano, wakusanye mabaki ya miili ya wenzao ili isafilishwe kuzikwa nchini kwao.

3. Kuruhusiwa kutumia uwanja wa Goma kusafilisha miili hiyo.

M23 imewaomba kuwasilisha maombi yao hayo kwa maandishi, ili viongozi wakuu wayapitie na wawajibu.

Soma Pia: Jeshi la Afrika Kusini pamoja na FARDC limefanikiwa kuwadhibiti M23 kuelekea GOMA

Pamoja na kutangaza vifo 13, inaonekana wazi Africa Kusini walipoteza wanajeshi zaidi ya idadi iliyotangazwa.

Wakati huo pia, M23 imewachukua waliokuwa wanajeshi wa FARDC na kuwapeleka kambini kwa ajili ya mafunzo ya uzalendo, huku wakiahidiwa kuendelea kulipwa kama wanajeshi, kwa mshahara mpya watakaopangiwa, na badae watakaopenda wataendelea na kazi yao. Upande wa wazalendo, wenyewe watafundishwa mbinu za ujasiliamari na kuruhusiwa kuanzisha maisha mapya uraiani.

Mpaka sasa, M23 imesharejesha umeme mjini Goma, kwa zaidi ya asilimia 75, maji yapo mbioni kusambaa mjini kote baada ya umeme kurudi, na Internet kwa sasa inapatikana,kupitia MTN ya Rwanda, ambapo mtandao kwa sasa unapatikana hadi umbali wa km 10 kutoka mpakani, jambo linalouweka mji mzima wa Goma katika hali ya kuweza kufikiwa na mawasiliano ya uhakika.

Hata hivyo, inasemekana bado mapigano yanaendelea Kivu kasikazini, ambapo lengo la M23 ni kukomboa Kivu kazikasini na kuhakikisha uwanja wa ndege wa Kavumu, jimboni humo, hautumiki.
 
Jeshi la M23, limetembelea kambi ya Mubambiro. Baada ya mazungumzo (hawakuingia kambini, waliishia nje ya kambi). Wanajeshi wa Afrika kusini wameonyesha kuridhia ukalimu wa M23 na kuomba mambo matatu:

1. Kuruhusiwa kwenda Goma, kwa kutumia vifaru, wakakusanye vitu vyao vilivyopo kwenye kambi ya MONUSCO na kukaa navyo walipo kambini hapo.

2. Kuruhusiwa kurudi nyuma walipokuwa na positions za mapigano, wakusanye vipande vya miwili ya wenzao ili visafilishwe kuzikwa nchini kwao.

3. Kuruhusiwa kutumia uwanja wa Goma kusafilisha miwili hiyo.

M23 imewaomba kuwasilisha maombi yao hayo kwa maandishi, ili viongozi wakuu wayapitie na wawajibu.

Pamoja na kutangaza vifo 13, inaonekana wazi Africa Kusini walipoteza wanajeshi zaidi ya idadi iliyotangazwa.

Wakati huo pia, M23 imewachukua waliokuwa wanajeshi wa FARDC na kuwapeleka kambini kwa ajili ya mafunzo ya uzalendo, huku wakiahidiwa kuendelea kulipwa kama wanajeshi, kwa mshahara mpya watakaopangiwa, na badae watakaopenda wataendelea na kazi yao. Upande wa wazalendo, wenyewe watafundishwa mbinu za ujasiliamari na kuruhusiwa kuanzisha maisha mapya uraiani.

Mpaka sasa, M23 imesharejesha umeme mjini Goma, kwa zaidi ya asilimia 75, maji yapo mbioni kusambaa mjini kote baada ya umeme kurudi, na Internet kwa sasa inapatikana,kupitia MTN ya Rwanda, ambapo mtandao kwa sasa unapatikana hadi umbali wa km 10 kutoka mpakani, jambo linalouweka mji mzima wa Goma katika hali ya kuweza kufikiwa na mawasiliano ya uhakika.

Hata hivyo, inasemekana bado mapigano yanaendelea Kivu kasikazini, ambapo lengo la M23 ni kukomboa Kivu kazikasini na kuhakikisha uwanja wa ndege wa Kavumu, jimboni humo, hautumiki.
Kinachofanyika kwa sasa ni m23 ni kujipendekeza na kutaka kuugwa mkono na jumuiya za kimataifa hilo halipo hao ni wavamizi na ndio sababu ya vurugu hizo ghafla wageuke waugwana..
 
Dunia uwanja fujo, Dunia sio sehemu rafiki utaonewaonewa huruma tu, ubabe ni jambo muhimu sana Dunia ili jamii yako iweze kusurvive.

Europe, America, China,Russia nk bila ubabe na utemi utemi sidhani kama wangefika hapo walipo, Russia angekuwa mnyonge mpaka sasa wahuni wangekuwa Moscow na wangeshaweka pandikizi lao.

M23 na Rwanda hizi week mbili wametoa somo kubwa sana kwa Africa.

Tanzania tuache usingizi sasa, tuanze kusajiri vijana jeshini kwa wingi, tuanze kuwa na technolojia za kisasa sana ili mwisho wa siku jeshi letu liwe sehemu ya kukuza uchumi wa nchi wetu, Kwa kutumia jeshi letu tunaweza kusainisha mataifa mengi sana mikataba tukapiga hela kwa maslahi ya Taifa letu.
 
Kinachofanyika kwa sasa ni m23 ni kujipendekeza na kutaka kuugwa mkono na jumuiya za kimataifa hilo halipo hao ni wavamizi na ndio sababu ya vurugu hizo ghafla wageuke waugwana..
Hawahitaji kujipendekeza kwa yeyote au kuungwa mkono na beberu, Tshesekedi arudi Brussels kuendesha Uber maana ndio akili yake ilipofikia
 
Dunia uwanja fujo, Dunia sio sehemu rafiki utaonewaonewa huruma tu, ubabe ni jambo muhimu sana Dunia ili jamii yako iweze kusurvive.

Europe, America, China,Russia nk bila ubabe na utemi utemi sidhani kama wangefika hapo walipo, Russia angekuwa mnyonge mpaka sasa wahuni wangekuwa Moscow na wangeshaweka pandikizi lao.

M23 na Rwanda hizi week mbili wametoa somo kubwa sana kwa Africa.

Tanzania tuache usingizi sasa, tuanze kusajiri vijana jeshini kwa wingi, tuanze kuwa na technolojia za kisasa sana ili mwisho wa siku jeshi letu liwe sehemu ya kukuza uchumi wa nchi wetu, Kwa kutumia jeshi letu tunaweza kusainisha mataifa mengi sana mikataba tukapiga hela kwa maslahi ya Taifa letu.
Comment Yako imekaa kibepari zaidi😊
 
Mgogoro wa muda mrefu Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) umefikia kilele kipya baada ya kundi la waasi la M23 kuteka jiji la Goma, jiji lenye zaidi ya wakazi milioni moja. Tukio hili limeibua hofu kubwa, huku Umoja wa Mataifa ukitoa tahadhari kwamba vita hivi vinaweza kupanuka na kusababisha mzozo wa kikanda wenye athari kubwa.

Mgogoro huu wa DRC mara nyingi haupewi uzito unaostahili kimataifa, ingawa umechochewa na mchanganyiko wa migogoro ya kikabila, ushindani wa kisiasa wa kikanda, na udhibiti wa rasilimali za thamani. Matukio ya sasa yanaibua maswali makubwa: Je, kwa nini M23 imeibuka tena? Na kwa nini Rwanda inaonekana kuwa mdau mkuu katika mgogoro huu?

Asili ya M23 na Mgogoro wa Mashariki mwa DRC
M23, au "March 23 Movement," ni kundi la waasi lenye asili ya Watutsi wa Kongo, lililoanzishwa mwaka 2012 na wapiganaji wa zamani waliodai kuwa serikali ya Kongo ilikiuka makubaliano ya awali ya amani kuhusu kuingizwa kwa Watutsi wa Kongo katika jeshi la taifa. Katika mwaka huo huo, waasi wa M23 waliteka maeneo makubwa Mashariki mwa DRC na hata kulidhibiti jiji la Goma kwa zaidi ya wiki moja, hali iliyosababisha wafadhili wa kimataifa kusitisha misaada kwa Rwanda kutokana na madai kuwa ilikuwa inawaunga mkono waasi hao.

Pia soma:
Hata hivyo, M23 ilidhoofishwa na mashambulizi ya jeshi la Kongo kwa kushirikiana na vikosi vya Umoja wa Mataifa (MONUSCO), na kundi hilo likazimwa kwa takriban muongo mmoja. Lakini mwaka 2022, M23 iliibuka tena kwa nguvu, ikiwa na msaada wa Rwanda, na kuanzisha mashambulizi mapya dhidi ya jeshi la Kongo na vikundi vingine vya waasi katika jimbo la Kivu Kaskazini. Tangu wakati huo, M23 imeendelea kupanua udhibiti wake, na mnamo Januari 2025, ilianza operesheni kubwa iliyosababisha kuzingirwa kwa jiji la Goma.

Athari za Kuanguka kwa Goma
Jiji la Goma si tu mji mkubwa wa kibiashara, bali pia ni kituo muhimu cha shughuli za kibinadamu, usalama, na diplomasia. Zaidi ya raia milioni moja waliokuwa wamekimbia machafuko maeneo mengine ya DRC walikuwa wamejikusanya hapa kwa usalama. Kutekwa kwa jiji hili kunawaweka raia hao katika hatari kubwa ya ukiukwaji wa haki za binadamu, huku Umoja wa Mataifa ukionya kuwa hali hii inaweza kuwa na
 
Dunia uwanja fujo, Dunia sio sehemu rafiki utaonewaonewa huruma tu, ubabe ni jambo muhimu sana Dunia ili jamii yako iweze kusurvive.

Europe, America, China,Russia nk bila ubabe na utemi utemi sidhani kama wangefika hapo walipo, Russia angekuwa mnyonge mpaka sasa wahuni wangekuwa Moscow na wangeshaweka pandikizi lao.

M23 na Rwanda hizi week mbili wametoa somo kubwa sana kwa Africa.

Tanzania tuache usingizi sasa, tuanze kusajiri vijana jeshini kwa wingi, tuanze kuwa na technolojia za kisasa sana ili mwisho wa siku jeshi letu liwe sehemu ya kukuza uchumi wa nchi wetu, Kwa kutumia jeshi letu tunaweza kusainisha mataifa mengi sana mikataba tukapiga hela kwa maslahi ya Taifa letu.
Mimi ndio maana napenda sana kiongozi dikteka, muhimu tu aweke mbele masilahi ya nchi. Upumbavu wa demokrasia na diplomasia unachelewesha sana maendeleo ya nchi
 
Jeshi la M23, limetembelea kambi ya Mubambiro. Baada ya mazungumzo (hawakuingia kambini, waliishia nje ya kambi). Wanajeshi wa Afrika kusini wameonyesha kuridhia ukalimu wa M23 na kuomba mambo matatu:

1. Kuruhusiwa kwenda Goma, kwa kutumia vifaru, wakakusanye vitu vyao vilivyopo kwenye kambi ya MONUSCO na kukaa navyo walipo kambini hapo.

2. Kuruhusiwa kurudi nyuma walipokuwa na positions za mapigano, wakusanye vipande vya miwili ya wenzao ili visafilishwe kuzikwa nchini kwao.

3. Kuruhusiwa kutumia uwanja wa Goma kusafilisha miwili hiyo.

M23 imewaomba kuwasilisha maombi yao hayo kwa maandishi, ili viongozi wakuu wayapitie na wawajibu.

Pamoja na kutangaza vifo 13, inaonekana wazi Africa Kusini walipoteza wanajeshi zaidi ya idadi iliyotangazwa.

Wakati huo pia, M23 imewachukua waliokuwa wanajeshi wa FARDC na kuwapeleka kambini kwa ajili ya mafunzo ya uzalendo, huku wakiahidiwa kuendelea kulipwa kama wanajeshi, kwa mshahara mpya watakaopangiwa, na badae watakaopenda wataendelea na kazi yao. Upande wa wazalendo, wenyewe watafundishwa mbinu za ujasiliamari na kuruhusiwa kuanzisha maisha mapya uraiani.

Mpaka sasa, M23 imesharejesha umeme mjini Goma, kwa zaidi ya asilimia 75, maji yapo mbioni kusambaa mjini kote baada ya umeme kurudi, na Internet kwa sasa inapatikana,kupitia MTN ya Rwanda, ambapo mtandao kwa sasa unapatikana hadi umbali wa km 10 kutoka mpakani, jambo linalouweka mji mzima wa Goma katika hali ya kuweza kufikiwa na mawasiliano ya uhakika.

Hata hivyo, inasemekana bado mapigano yanaendelea Kivu kasikazini, ambapo lengo la M23 ni kukomboa Kivu kazikasini na kuhakikisha uwanja wa ndege wa Kavumu, jimboni humo, hautumiki.
Hongera sana M23 iendelee kuimarisha usalama katika maeneo yote waliyochukua
 
Ngoja wasonge tu mbele waikomboe Congo itoke mikononi mwa wasanii
Hili halitoweza kutimia hadi siku atakapotokea mkongo halisi wa kuitetea Congo,hawa M23 ni wasanii kama wasanii wengine na mamluki tu walipo kutelekeza malengo ya watu wengine ambao hawana mpango mwema na Congo
 
Back
Top Bottom