M23 yalitembelea Jeshi la Afrika Kusini kambini kwao

M23 yalitembelea Jeshi la Afrika Kusini kambini kwao

Hizo silaha zilizoshikwa ni mamilioni ya Dalars.
Wakati Mwananchi kula mara moja kwa siku ni shida.
Ndo ujinga wa waAfrika. Kwanza zimenunuliwa watu wauwane wao kwa wao. Serikali hapo imepoteza sana, tena sana. Na ukiziangali, ni msaada mkubwa kwa muasi aise!!! Jiulize magari yaliyokuwa mjini Goma yote ya jeshi na misilaha mizito ya kibabe!!! Jiulize sasa! Wamwanza vita kwa kuungaunga, sasa hivi vifaa ni uhakika.
 
Ndo ujinga wa waAfrika. Kwanza zimenunuliwa watu wauwane wao kwa wao. Serikali hapo imepoteza sana, tena sana. Na ukiziangali, ni msaada mkubwa kwa muasi aise!!! Jiulize magari yaliyokuwa mjini Goma yote ya jeshi na misilaha mizito ya kibabe!!! Jiulize sasa! Wamwanza vita kwa kuungaunga, sasa hivi vifaa ni uhakika.
Na Leo asubuhi nilikuwa naangalia Waasi wanazidi kurecruit vijana huenda wakafikia 20000 strong armed to the teeth ili waanze kwenda Kisangani Bukavu na hatimae Lubumbashi.
 
Hivi kweli MUUNGANO WA AFRIKA MOJA utawezekana kweli?!
 
Na Leo asubuhi nilikuwa naangalia Waasi wanazidi kurecruit vijana huenda wakafikia 20000 strong armed to the teeth ili waanze kwenda Kisangani Bukavu na hatimae Lubumbashi.
Ni wale wanajeshi wa FARDC na wazalendo, wamepelekwa brain washing(safisha bongo).

Wanajeshi kwanza wameahidiwa kuendelea kulipwa. Hakika kamahahara katapandishwa ili washikike vizuri. Af wanapewa mafunzo mapya, waingizwe jeshini(M23).

Kwa hiyo wataongeza nguvu. Na hapo ndo ujue uzalendo wa kweli kwa wa Congo haupo, wao ni hela tu. Na wengine wakisikia mishahara huko ni mizuri, si kazi bwana eh!? Hakika watajiunga.
 
Mimi ndio maana napenda sana kiongozi dikteka, muhimu tu aweke mbele masilahi ya nchi. Upumbavu wa demokrasia na diplomasia unachelewesha sana maendeleo ya nchi
Kwa fikra zako hizo Afrika ndio ingekuwa bara tajiri sana duniani na isingekuwa kichekesho kama ilivyo leo kwa maana Africa is always the home to dictators.
 
Kwa hiyo, mpaka wanafikia hatua waliofikia unadhani hawana funds!? Hivi, kama mtu anaweza kuwafashili wanaofanya mapenzi ya jinsia moja, unadhani hana faida!? Ulishaambiwa dunia ni tambala bovu. Leo hii mtu anaweza akafadhili hao M23, na faida akiilenga miaka 5 ijayo. Pili, ajuae walivyojipanga ni nani!? Mji mzima haukuwa na umeme. Leo hii unawaka. Maji hayakuwepo, lakini kwa sasa unaambiwa mitaa yote ina maji. Internet wamefanya mpango kutoka Rwanda, wanapata. Je, mishahara watashindwaje kulipa!?

Raia washenzi sana. Wiki moja tu walikuwa wakiwapigia mwano na kuwakaahifu wakiiomba serikali iwasaidie, leo wapo barabarani kuikemea na kuomba raisi ajiudhulu. Ili waweke ushindi lazima wahakikishe raia wana furaha. Maji bure mji mzima unadhani mchezo!? Hiyo ni tiketi tosha
Eti wamefanya mpango wa internet toka Rwanda, hakuna kitu kinaitwa M23 hapa duniani.., hao ni Reanda wameenda kupora madini, na wamenogeea wanataka waweke kibaraka wao permanently!
 
Kwa fikra zako hizo Afrika ndio ingekuwa bara tajiri sana duniani na isingekuwa kichekesho kama ilivyo leo kwa maana Africa is always the home to dictators.
Simaanishi awe foolish and selfish dictator kama Idd Amin. Akipatikana dikteta amaeweka mbele masilahi ya nchi mfano Putin au Gaddafi maendeleo yanakuja chap chap tu.

Kwa kesi ya Afrika kuna tatizo kubwa sana kwenye recruitment yetu ya kupata viongozi. Hata nchi ambazo hazina viongozi madikteta maendeleo yanasuasua.
 
Kwa hio kambi ya Afrika kusini imezungukwa na m23, hayo masharti sioni Kama yanaweza kukubaliwa, m23 wataenda wenyewe kukusanya miili ya wasouth na kuwakabidhi, vifaa vya MONUSCO vitataifishwa, Siku south wakituma jeshi, M 23 watawamaliza kwanza hao waliopo kambini, kwa hio wapo Kama mateka. South tumbo joto kuwaokoa sskari wao waliopo kambini.

Je, m23 wakitoa masharti ili hawa waachiliwe wanahitaji Dola kadhaa, itakuwaje, Ramafosa anahali ngumu sana.

Sasa na hawa wagogo wanaotaka kupeleka pua zao DRC sijui Kama wana taarifa za kutosha
 
Jeshi la M23, limetembelea kambi ya Mubambiro. Baada ya mazungumzo (hawakuingia kambini, waliishia nje ya kambi). Wanajeshi wa Afrika kusini wameonyesha kuridhia ukarimu wa M23 na kuomba mambo matatu:

1. Kuruhusiwa kwenda Goma, kwa kutumia vifaru, wakakusanye vitu vyao vilivyopo kwenye kambi ya MONUSCO na kukaa navyo walipo kambini hapo.

View attachment 3220509
Video inayoelezea kuhusu mazungumzo ya M23 na wanajeshi wa SADC

2. Kuruhusiwa kurudi nyuma walipokuwa na positions za mapigano, wakusanye vipande vya miili ya wenzao ili visafilishwe kuzikwa nchini kwao.

3. Kuruhusiwa kutumia uwanja wa Goma kusafilisha miili hiyo.

M23 imewaomba kuwasilisha maombi yao hayo kwa maandishi, ili viongozi wakuu wayapitie na wawajibu.

Soma Pia: Jeshi la Afrika Kusini pamoja na FARDC limefanikiwa kuwadhibiti M23 kuelekea GOMA

Pamoja na kutangaza vifo 13, inaonekana wazi Africa Kusini walipoteza wanajeshi zaidi ya idadi iliyotangazwa.

Wakati huo pia, M23 imewachukua waliokuwa wanajeshi wa FARDC na kuwapeleka kambini kwa ajili ya mafunzo ya uzalendo, huku wakiahidiwa kuendelea kulipwa kama wanajeshi, kwa mshahara mpya watakaopangiwa, na badae watakaopenda wataendelea na kazi yao. Upande wa wazalendo, wenyewe watafundishwa mbinu za ujasiliamari na kuruhusiwa kuanzisha maisha mapya uraiani.

Mpaka sasa, M23 imesharejesha umeme mjini Goma, kwa zaidi ya asilimia 75, maji yapo mbioni kusambaa mjini kote baada ya umeme kurudi, na Internet kwa sasa inapatikana,kupitia MTN ya Rwanda, ambapo mtandao kwa sasa unapatikana hadi umbali wa km 10 kutoka mpakani, jambo linalouweka mji mzima wa Goma katika hali ya kuweza kufikiwa na mawasiliano ya uhakika.

Hata hivyo, inasemekana bado mapigano yanaendelea Kivu kasikazini, ambapo lengo la M23 ni kukomboa Kivu kazikasini na kuhakikisha uwanja wa ndege wa Kavumu, jimboni humo, hautumiki.
Tafsiri hicho wanachoongea
 
Ni Wakongomani wanaolipwa na kusaidiwa na Rwanda ili kuendesha uasi dhidi ya serikali ya nchi yao.

M23 are Congolese citizens turned Rwandan foot soldiers.
Ni Rwandan Tutsis looting DRC minerals for Rwanda..
 
Back
Top Bottom