inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 20,344
- 21,967
Simsikii siku hizi,kapanda check?M23 aka watata, naomba mwamba Sultan Makenga anaendeleza hekaheka zake.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Simsikii siku hizi,kapanda check?M23 aka watata, naomba mwamba Sultan Makenga anaendeleza hekaheka zake.
Propaganda ya kishoga kabisa.., hao M23 wanatoa wapi hizo pesa za mishahara?
JPMMimi ndio maana napenda sana kiongozi dikteka, muhimu tu aweke mbele masilahi ya nchi. Upumbavu wa demokrasia na diplomasia unachelewesha sana maendeleo ya nchi
Unaposema wasanii unamaanisha akina Koffi Olomide au?😁Ngoja wasonge tu mbele waikomboe Congo itoke mikononi mwa wasanii
Kwahiyo sasa nadhani umeelewa chanzo cha haya mashambulizi..Wanauza madini
Kwahiyi jibu tumepata sasa kwanini DRC imevamiwa…, nani ananunua hizo blood minerals toka Rwanda, ni US na France....vita ya DRC inaendeshwa kwa mapato yanayotokana na mauzo ya madini.
Hata magenge ya dawa za kulevya Mexico yana silaha kama vikosi kamili vya kijeshi.Kwahiyo sasa nadhani umeelewa chanzo cha haya mashambulizi..
Kwahiyi jibu tumepata sasa kwanini DRC imevamiwa…, nani ananunua hizo blood minerals toka Rwanda, ni US na France..
Comment Yako imekaa kibepari zaidi😊
Wanapewa na RwandaPropaganda ya kishoga kabisa.., hao M23 wanatoa wapi hizo pesa za mishahara?
Kunawakati bila kuishi kibepari hauwezi kusonga, survival inahitaji ubepari.
Ugomvi wa Japan na USA ulianzia pale USA alipomuwekea Japan ilihali Japan anashida ya rubber na alikuwa anaitoa USA, Japan akaona isiwe shida akaenda zake Burma, Malysia na Singapore kuchukua makoloni ili apate raw material anayoitaka Kwa survival yake.
Kwa hiyo, mpaka wanafikia hatua waliofikia unadhani hawana funds!? Hivi, kama mtu anaweza kuwafashili wanaofanya mapenzi ya jinsia moja, unadhani hana faida!? Ulishaambiwa dunia ni tambala bovu. Leo hii mtu anaweza akafadhili hao M23, na faida akiilenga miaka 5 ijayo. Pili, ajuae walivyojipanga ni nani!? Mji mzima haukuwa na umeme. Leo hii unawaka. Maji hayakuwepo, lakini kwa sasa unaambiwa mitaa yote ina maji. Internet wamefanya mpango kutoka Rwanda, wanapata. Je, mishahara watashindwaje kulipa!?Propaganda ya kishoga kabisa.., hao M23 wanatoa wapi hizo pesa za mishahara?
Ipi hiyo!?Wameteka Ndege ya Kivita ya Kongo.
Ile ndege ya Kirusi iliyoshambulia Rwanda kipindi cha nyuma.Ipi hiyo!?
Hiyo ndege iliachwa pamoja na silaha nyingine na magari(inasemekana ni zaidi ya 200). Kwa hiyo imepaki tu kwenye shedi.Ile ndege ya Kirusi iliyoshambulia Rwanda kipindi cha nyuma.
Hizo silaha zilizoshikwa ni mamilioni ya Dalars.Hiyo ndege iliachwa pamoja na silaha nyingine na magari(inasemekana ni zaidi ya 200). Kwa hiyo imepaki tu kwenye shedi.