Marie Antoinette
JF-Expert Member
- Jan 28, 2019
- 426
- 412
Ndo ujinga wa waAfrika. Kwanza zimenunuliwa watu wauwane wao kwa wao. Serikali hapo imepoteza sana, tena sana. Na ukiziangali, ni msaada mkubwa kwa muasi aise!!! Jiulize magari yaliyokuwa mjini Goma yote ya jeshi na misilaha mizito ya kibabe!!! Jiulize sasa! Wamwanza vita kwa kuungaunga, sasa hivi vifaa ni uhakika.Hizo silaha zilizoshikwa ni mamilioni ya Dalars.
Wakati Mwananchi kula mara moja kwa siku ni shida.
Na Leo asubuhi nilikuwa naangalia Waasi wanazidi kurecruit vijana huenda wakafikia 20000 strong armed to the teeth ili waanze kwenda Kisangani Bukavu na hatimae Lubumbashi.Ndo ujinga wa waAfrika. Kwanza zimenunuliwa watu wauwane wao kwa wao. Serikali hapo imepoteza sana, tena sana. Na ukiziangali, ni msaada mkubwa kwa muasi aise!!! Jiulize magari yaliyokuwa mjini Goma yote ya jeshi na misilaha mizito ya kibabe!!! Jiulize sasa! Wamwanza vita kwa kuungaunga, sasa hivi vifaa ni uhakika.
Kwa unafiki huu unaanzaje labda!!!Hivi kweli MUUNGANO WA AFRIKA MOJA utawezekana kweli?!
Ni wale wanajeshi wa FARDC na wazalendo, wamepelekwa brain washing(safisha bongo).Na Leo asubuhi nilikuwa naangalia Waasi wanazidi kurecruit vijana huenda wakafikia 20000 strong armed to the teeth ili waanze kwenda Kisangani Bukavu na hatimae Lubumbashi.
Kwa fikra zako hizo Afrika ndio ingekuwa bara tajiri sana duniani na isingekuwa kichekesho kama ilivyo leo kwa maana Africa is always the home to dictators.Mimi ndio maana napenda sana kiongozi dikteka, muhimu tu aweke mbele masilahi ya nchi. Upumbavu wa demokrasia na diplomasia unachelewesha sana maendeleo ya nchi
Sio wanapewa na Rwanda, M23 ni RwandaWanapewa na Rwanda
Eti wamefanya mpango wa internet toka Rwanda, hakuna kitu kinaitwa M23 hapa duniani.., hao ni Reanda wameenda kupora madini, na wamenogeea wanataka waweke kibaraka wao permanently!Kwa hiyo, mpaka wanafikia hatua waliofikia unadhani hawana funds!? Hivi, kama mtu anaweza kuwafashili wanaofanya mapenzi ya jinsia moja, unadhani hana faida!? Ulishaambiwa dunia ni tambala bovu. Leo hii mtu anaweza akafadhili hao M23, na faida akiilenga miaka 5 ijayo. Pili, ajuae walivyojipanga ni nani!? Mji mzima haukuwa na umeme. Leo hii unawaka. Maji hayakuwepo, lakini kwa sasa unaambiwa mitaa yote ina maji. Internet wamefanya mpango kutoka Rwanda, wanapata. Je, mishahara watashindwaje kulipa!?
Raia washenzi sana. Wiki moja tu walikuwa wakiwapigia mwano na kuwakaahifu wakiiomba serikali iwasaidie, leo wapo barabarani kuikemea na kuomba raisi ajiudhulu. Ili waweke ushindi lazima wahakikishe raia wana furaha. Maji bure mji mzima unadhani mchezo!? Hiyo ni tiketi tosha
Simaanishi awe foolish and selfish dictator kama Idd Amin. Akipatikana dikteta amaeweka mbele masilahi ya nchi mfano Putin au Gaddafi maendeleo yanakuja chap chap tu.Kwa fikra zako hizo Afrika ndio ingekuwa bara tajiri sana duniani na isingekuwa kichekesho kama ilivyo leo kwa maana Africa is always the home to dictators.
Hapana, wapo pia baadhi yao ni raia wa DrcSio wanapewa na Rwanda, M23 ni Rwanda
Kwahiyo?Na Leo asubuhi nilikuwa naangalia Waasi wanazidi kurecruit vijana huenda wakafikia 20000 strong armed to the teeth ili waanze kwenda Kisangani Bukavu na hatimae Lubumbashi.
Wanafanya kazi ya Rwanda, si wanalipwa au?Hapana, wapo pia baadhi yao ni raia wa Drc
Ndio....wanapewa pesa na silaha Ili kuendesha vita.Wanafanya kazi ya Rwanda, si wanalipwa au?
Tanzania haijawahi kuwa nchi ya demokrasia ni nchi ya kidiktetaMimi ndio maana napenda sana kiongozi dikteka, muhimu tu aweke mbele masilahi ya nchi. Upumbavu wa demokrasia na diplomasia unachelewesha sana maendeleo ya nchi
Tanzania Kwako Ukabila haupo au umekwisha? Hovyoooooo.....!!Congo ukabila tatiZo
Kwahiyo ni Rwanda..Ndio....wanapewa pesa na silaha Ili kuendesha vita.
Ni Wakongomani wanaolipwa na kusaidiwa na Rwanda ili kuendesha uasi dhidi ya serikali ya nchi yao.Kwahiyo ni Rwanda..
Tafsiri hicho wanachoongeaJeshi la M23, limetembelea kambi ya Mubambiro. Baada ya mazungumzo (hawakuingia kambini, waliishia nje ya kambi). Wanajeshi wa Afrika kusini wameonyesha kuridhia ukarimu wa M23 na kuomba mambo matatu:
1. Kuruhusiwa kwenda Goma, kwa kutumia vifaru, wakakusanye vitu vyao vilivyopo kwenye kambi ya MONUSCO na kukaa navyo walipo kambini hapo.
View attachment 3220509
Video inayoelezea kuhusu mazungumzo ya M23 na wanajeshi wa SADC
2. Kuruhusiwa kurudi nyuma walipokuwa na positions za mapigano, wakusanye vipande vya miili ya wenzao ili visafilishwe kuzikwa nchini kwao.
3. Kuruhusiwa kutumia uwanja wa Goma kusafilisha miili hiyo.
M23 imewaomba kuwasilisha maombi yao hayo kwa maandishi, ili viongozi wakuu wayapitie na wawajibu.
Soma Pia: Jeshi la Afrika Kusini pamoja na FARDC limefanikiwa kuwadhibiti M23 kuelekea GOMA
Pamoja na kutangaza vifo 13, inaonekana wazi Africa Kusini walipoteza wanajeshi zaidi ya idadi iliyotangazwa.
Wakati huo pia, M23 imewachukua waliokuwa wanajeshi wa FARDC na kuwapeleka kambini kwa ajili ya mafunzo ya uzalendo, huku wakiahidiwa kuendelea kulipwa kama wanajeshi, kwa mshahara mpya watakaopangiwa, na badae watakaopenda wataendelea na kazi yao. Upande wa wazalendo, wenyewe watafundishwa mbinu za ujasiliamari na kuruhusiwa kuanzisha maisha mapya uraiani.
Mpaka sasa, M23 imesharejesha umeme mjini Goma, kwa zaidi ya asilimia 75, maji yapo mbioni kusambaa mjini kote baada ya umeme kurudi, na Internet kwa sasa inapatikana,kupitia MTN ya Rwanda, ambapo mtandao kwa sasa unapatikana hadi umbali wa km 10 kutoka mpakani, jambo linalouweka mji mzima wa Goma katika hali ya kuweza kufikiwa na mawasiliano ya uhakika.
Hata hivyo, inasemekana bado mapigano yanaendelea Kivu kasikazini, ambapo lengo la M23 ni kukomboa Kivu kazikasini na kuhakikisha uwanja wa ndege wa Kavumu, jimboni humo, hautumiki.
Ni Rwandan Tutsis looting DRC minerals for Rwanda..Ni Wakongomani wanaolipwa na kusaidiwa na Rwanda ili kuendesha uasi dhidi ya serikali ya nchi yao.
M23 are Congolese citizens turned Rwandan foot soldiers.