M23 yatuma salam za uimara wake kwa vikosi vya KDF na FDNB vilivyopelekwa Congo kuthubutu kuwapokonya silaha

M23 yatuma salam za uimara wake kwa vikosi vya KDF na FDNB vilivyopelekwa Congo kuthubutu kuwapokonya silaha

Wewe acha kusifia watu wanaoua raia. Me nilidhani utasema wameua wanajeshi 50 kumbeunazungumzia kikosi kinachoua Raia.

Hata angekua mwanajeshi mmoja wa M23 akiwa na Machine Gunn anawezakuuahata raia 1000.

Kama upo nao subiri moto mkali unakuja. Jehanam mtaiona mkiwa duniani hapahapa. Siku zinahesabika kufikia ile siku muhimu yenye huzuni kubwa kwa M23 wote na familia zao. Save date
Haya majeshi bora yangebaki katika nchi zao kulinda mipaka yao, kuliko kwenda Congo kujivinjari na chuchuz za kikongo.
 
Mkuu UN wanalinda raia sio M23.
Kama hujawahi kwenda Congo mission ndio unaweza kusema hivo.
Huoni hadi wacongo wameshituka hawawataki hao askari wa UN.
Hata sudani ni hivo hivo waasi gani wanavaa ndala lakini wanaisumbua serikali!?
UN ndio wanaochagua silaha gani mtumie na saa ngapi muwashambulie.
Juzi tu jeshi la Congo limeenda kuwafuata hao waasi jeshi la UN likakaa katikati ety linazuia mapigano mpaka likafurushwa na raia.
Wakati askari wa tz wanapigwa ambush Congo UN ndio ilikuwa imetoa order mizinga yote ilirudi nyumbani baada ya kurudisha tu wakapigwa ambush.
 
Unasifia kufa raia wasio na hatia,mafunzo ya kijeshi? Ndio iwe salamu kweli?
 
Sasa kama Burundi na Kenya wametuma majeshi yao, lakini majeshi hayo yameshindwa kuingia nao vitani unafikiri ni nani m'babe wa vita hivyo?


Huwa nasema, vijana wengi kichwani wamejaza funza badala ubongo. Oya jamaa mbona unakuwa mpumbavu kirahisi namna hiyo aisee???

Inamaana hujui kama vita inakuwa na mpangokazi (plan), mtaani tunaita RAMANI YA VITA!!??

Idd Amin Dada alipovamia Tz baada majeshi kuamriwa kuingia vitani, PLAN NZIMA YA AWAMU YA KWANZA YA VITA KUMMG'OA ADUI NCHINI ilichukua WIKI 3. Imagine Adui yupo nchini lakini inachukua wiki 3 kuandaa mpangokazi wa vita.

Sasa kama nchini mwako inachukua muda huo kukamilisha mpangokazi wa vita, wewe ulitaka KDF na jeshi la Burundi wafike tu Kongo na kuingia frontline muda huo huo???

Oya jamaa vita sio football au komborera jamaa!!!
 
Huwa nasema, vijana wengi kichwani wamejaza funza badala ubongo. Oya jamaa mbona unakuwa mpumbavu kirahisi namna hiyo aisee???

Inamaana hujui kama vita inakuwa na mpangokazi (plan), mtaani tunaita RAMANI YA VITA!!??

Idd Amin Dada alipovamia Tz baada majeshi kuamriwa kuingia vitani, PLAN NZIMA YA AWAMU YA KWANZA YA VITA KUMMG'OA ADUI NCHINI ilichukua WIKI 3. Imagine Adui yupo nchini lakini inachukua wiki 3 kuandaa mpangokazi wa vita.

Sasa kama nchini mwako inachukua muda huo kukamilisha mpangokazi wa vita, wewe ulitaka KDF na jeshi la Burundi wafike tu Kongo na kuingia frontline muda huo huo???

Oya jamaa vita sio football au komborera jamaa!!!
Mwambie uyu?
haelewi lolote.?
Hajui kazi ngumu ua ni kuplani/kudraft mpango kazi wa vita.
 
Bila raisi Samia kuombwa aruhusu TPDF kushiriki katika oparation hiyo, basi hakuna kitakachofanyika.

Ukitoa jeshi letu TPDF ambalo hata M23 wenyewe wanaliogopa baada ya kuwapa kichapo kikali mwaka 2013, hakuna jeshi lingine la Afrika Mashariki lenye nguvu, maarifa na mbinu za kuwadhibiti vijana hao.
 
Za asubuhi wakubwa, weekend inaendeleaje?

Leo nawaletea muendelezo wa kile kinachojiri huko Congo katika oparation ya jeshi la kanda yetu hii ya EAC. Oparation hii mahsusi imebuniwa kwa lengo la kuwapokonya silaha waasi wote waliopo katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, ila walengwa haswa wa oparation hii ni wale vijana walioshiba mafunzo ya kijeshi, wenye weledi wa kupambana na adui mchana au usiku, angani au ardhini, vijana hawa sio wengine bali ni lile kundi imara la waasi wa M23.

Kabla oparation hiyo haijapangwa, viongozi wa nchi zetu za maziwa makuu walitoa kwanza siku maalum na saa kwa makundi hayo kusalimisha silaha zao wenyewe, kuachia maeneo yao (walioyateka) na kusubiri michakato mingine ya kisheria itakayofanywa kwa waasi hao.

Baada ya kumaliza kutoa tamko hilo la kusalimisha silaha, ndipo viongozi wa nchi hizo wakatuma majeshi yao Congo kwa ajili ya kwenda kuwawajibisha waasi wote watakaokaidi kutii agizo hilo la serikali na nchi za maziwa makuu.

M23 ambalo ndio kundi imara na hatari kwa majeshi yaliokwenda huko, lilikaidi maagizo hayo na kusubiri kuona ni nini kitachofanywa na vikosi hivyo vilivyodai kwamba vinakwenda kusafisha uasi katika nchi hiyo ya pili kwa ukubwa barani Afrika.

Juzi M23 imefanya oparation zake inazofanyaga kila siku na kupelekea watu 50 kufariki dunia. Hii ni salam ya dhahiri kwa vikosi hivyo vya Burundi na Kenya vilivyopelekwa huko eti kujaribu kuwapokonya silaha 'wanajeshi' wenzao, kama vile mtu anapojaribu kumpokonya mtoto wake pipi.

Kifupi ishaonesha kuwa M23 ni maji marefu ndio maana kdf na fdnb wanashindwa kuthubutu kuingiza miguu katika maji yao (maeneo yao) wasije wakazama mazima ikawa aibu kwao na kwa nchi zao.

Ushauri wangu ni kuitaka serikali mpya ya Congo iangalie namna bora ya kuongea na kundi hili kwa mara ya mwisho kwa lengo la kuleta amani maeneo hayo. Ikishindikana ndio nguvu kubwa na ya pamoja itumike. Ila kuyategemea majeshi haya ya Burundi na Kenya kuleta amani ni kupoteza muda bure, maana hawana uwezo hata waku deal na mayi mayi achilia mbali vijana hatari wa M23.
wangetumwa watanzania, wangemaliza kazi.
 
Wakenya waliingia Congo na mikwara, ila sasa hivi wako kimya utafikiri wamemwagiwa maji ya baridi ya asubuhi.
Ww mpummbaf Sana,hao watu 50 waliouwawa ni watoto na wanawake, mbona wasiende kwa wenzako,? Alafu unawasifia! Jinga ww.
 
Bila raisi Samia kuombwa aruhusu TPDF kushiriki katika oparation hiyo, basi hakuna kitakachofanyika.

Ukitoa jeshi letu TPDF ambalo hata M23 wenyewe wanaliogopa baada ya kuwapa kichapo kikali mwaka 2013, hakuna jeshi lingine la Afrika Mashariki lenye nguvu, maarifa na mbinu za kuwadhibiti vijana hao.
Watz bhna..yani m23 wa 2014 ndio m23 wa 2022..karagabao.

#MaendeleoHayanaChama
 
Ww mpummbaf Sana,hao watu 50 waliouwawa ni watoto na wanawake, mbona wasiende kwa wenzako,? Alafu unawasifia! Jinga ww.
Sasa majeshi ya Kenya na Burundi yapo Congo kufanya nini? Au kula bata na kina fally pupa?
 
Twende na hash tag # Saidia Congo. Ni Waafrika wenzetu wanaumia. Sio jambo la kufurahia kwa mwanaume aliokamilika.
 
Za asubuhi wakubwa, weekend inaendeleaje?

Leo nawaletea muendelezo wa kile kinachojiri huko Congo katika oparation ya jeshi la kanda yetu hii ya EAC. Oparation hii mahsusi imebuniwa kwa lengo la kuwapokonya silaha waasi wote waliopo katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, ila walengwa haswa wa oparation hii ni wale vijana walioshiba mafunzo ya kijeshi, wenye weledi wa kupambana na adui mchana au usiku, angani au ardhini, vijana hawa sio wengine bali ni lile kundi imara la waasi wa M23.

Kabla oparation hiyo haijapangwa, viongozi wa nchi zetu za maziwa makuu walitoa kwanza siku maalum na saa kwa makundi hayo kusalimisha silaha zao wenyewe, kuachia maeneo yao (walioyateka) na kusubiri michakato mingine ya kisheria itakayofanywa kwa waasi hao.

Baada ya kumaliza kutoa tamko hilo la kusalimisha silaha, ndipo viongozi wa nchi hizo wakatuma majeshi yao Congo kwa ajili ya kwenda kuwawajibisha waasi wote watakaokaidi kutii agizo hilo la serikali na nchi za maziwa makuu.

M23 ambalo ndio kundi imara na hatari kwa majeshi yaliokwenda huko, lilikaidi maagizo hayo na kusubiri kuona ni nini kitachofanywa na vikosi hivyo vilivyodai kwamba vinakwenda kusafisha uasi katika nchi hiyo ya pili kwa ukubwa barani Afrika.

Juzi M23 imefanya oparation zake inazofanyaga kila siku na kupelekea watu 50 kufariki dunia. Hii ni salam ya dhahiri kwa vikosi hivyo vya Burundi na Kenya vilivyopelekwa huko eti kujaribu kuwapokonya silaha 'wanajeshi' wenzao, kama vile mtu anapojaribu kumpokonya mtoto wake pipi.

Kifupi ishaonesha kuwa M23 ni maji marefu ndio maana kdf na fdnb wanashindwa kuthubutu kuingiza miguu katika maji yao (maeneo yao) wasije wakazama mazima ikawa aibu kwao na kwa nchi zao.

Ushauri wangu ni kuitaka serikali mpya ya Congo iangalie namna bora ya kuongea na kundi hili kwa mara ya mwisho kwa lengo la kuleta amani maeneo hayo. Ikishindikana ndio nguvu kubwa na ya pamoja itumike. Ila kuyategemea majeshi haya ya Burundi na Kenya kuleta amani ni kupoteza muda bure, maana hawana uwezo hata waku deal na mayi mayi achilia mbali vijana hatari wa M23.
M23 sio imara....their end and their helper is near...au wewe ndio msemaji....

Sent from my Infinix X658E using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom